Vous êtes sur la page 1sur 20

Kumbukumbu ya

Yasser Arafat - Uk. 12

www.annuurpapers.co.tz au facebook:annuurpapers@yahoo.com

Sauti ya Waislamu

ISSN 0856 - 3861 Na. 1203 MUHARRAM 1437, IJUMAA , NOVEMBA 12-18, 2015 BEI TShs 800/=, Kshs 50/=

Hapa kazi tu, ni

Bandika bandua kesi za Waislamu


Novemba 19 Masheikh wa Segerea
Novemba 23, wa rumande Butimba
Ponda Novemba 18, Imam Hamza 30
Haya ndiyo majaaliwa ya Waislamu

Mzee Mwinyi na
Lusitania yaJecha
SHEIKH Ponda Issa Ponda. SHEIKH Msellem Ali.

Yauma tublaa sSaraairu


Siku hiyo tutaziba vinywa vyao
Uk. 10

Kikao cha Maalim Seif,


Dr. Shein kina walakini
Wajumbe: CCM 4, CUF mmoja!
Kwani UKAWA hawana wazee?

Uk. 20

ANNUUR NEW.indd 1

11/12/2015 4:56:43 PM

Makala

AN-NUUR

MUHARRAM1437, IJUMAA NOVEMBA 12-18, 2015

Mafundisho ya Quran Aal Imran: 21


Fethullah-Gulen

HAKIKA wale ambao


wanazikufuru aya za
Mwenyezi Mungu na
wanawaua Manabii
pasi na haki yoyote na
wanawaua wale ambao
wanaamrisha uadilifu
katika watu, wabashirie
adhabu yenye kutiwa
uchungu [Aali-Imran
21]
Hakika wale ambao
wamekanusha kila
dini mpaka kuja kwa
Uislamu au wamekubali
baadhi ya mambo ya
dini na wakamkanusha
Mwenyezi Mungu na
wa k a z i k a n u s h a a ya
ambazo zinafahamisha
juu ya Mwenyezi Mungu
m t u k u f u n a j u u ya
umoja wake, wakapotea
na wakawapoteza
watu, wametajwa
hapa kwamba wao
wanazikufuru aya za
Mwenyezi Mungu
(kama) wanavyotajwa
wale ambao wameipasua
fimbo ya utiifu kwa
Mitume ambao
wamepelekwa, wakiwa
ni njia ya kuokoka kwao
na vikateremshwa vitabu
juu yao, kwamba wao
wanawaua Mitume
pasi na haki yoyote na
wamesifiwa wale ambao
wanawafanyia na dini
wale ambao wanafanya
juhudi ya kuisimamisha
haki na uadilifu kati
ya watu na wanafanya
mbinu za kuwaondosha
wametajwa kwa sifa
mbaya sana nayo
ni kwamba wao:
Wanawaua wale ambao
wanaamrisha uadilifu
katika watu na mwisho
ambao unawangojea
watu hawa wote, ni
mwisho mmoja tu nao
ni adhabu yenye kutiwa
uchungu.

ANNUUR NEW.indd 2

Na mfano ya watu
hawa hakuweza kubakia
katika dunia na kukaa
milele katika hiyo
dunia na hawakuweza
kuzuia kuondoka
kwao kwenda kwenye
nyumba nyingine na
hawakuajiandaa kwa
ajili ya nyumba hiyo na
kwa msemo wa Baddiu
A-Zamanni A-Noursy:
hawakuweza kukiua
kifo kabla ya kufa kwa
hiyo. Imekomelea mida
yao katika dunia na
wameipoteza akhera
yao. Matokeo yake,
wamepata hasara ya
dunia na akhera na hiyo
ndiyo hasara iliyo wazi
sana.
Na lau tunayaelezea
hapa mafunzo mwisho
wa aya, tungeona
kwamba sisi tuko
mbele ya silabi ambayo
hatujaizoea. Ndiyo hatua
yazoea maneno kuhusu
Bishara kwa adhabu
yenye kutiwa uchungu
kwa sababu bishara
hutumiwa wakati wa
kuzungumzia kuhusu
jambo zuri na lenye
kufurahisha na jambo
ambalo linamzamisha
mtu katika mafanikio
na halitumiwi wakati
wa kuzungumzia
m a m b o m a b a ya n a
yenye kuhuzunisha.
Hapasemwi kwa mfano
kuambiwa yule mtu
ambaye amefiwa na
mzazi wake-Pongezi
kwa kufiwa na mzazi.
Na kwa yule ambaye
amefilisika: (haambiwi)
Pongezi ni zako kwa
kufilisika. Kwa sababu
hiyo, kunapasa hapo
kufanya utafiti, kuhusu
hekima nyingine . Na
Mwenyezi Mungu ndiye
ujuzi na kuwazuzua. Na
mfano wa watu hawa
ambao zimekuwa nyoyo
zao zimefungwa chembe
ya imani na mbele ya
Quran na nafsi zao
zimejaa mfundo na chuki
mbele ya mawili hayo,
hapana shaka kwamba
wao watapasuka wakati
watakaposikia mfano
wa aya hizi.
Iwapo tutafanya
kazi ya kuutathimini
mtiririko wa aya

tunaweza kutaja undani


ufuatao: Kwa hakika
Mwenyezi Mungu
mtukufu amefungua
mbele ya watu hawa njia
za uongofu na imani, na
amewapelekea Mitume
na amewapeleka baada ya
hapo warithi wa Mitume
ambao wanaamrisha
uadilifu kati ya watu.
Isipokuwa wao
waliendelea kukanusha
neema hizi na kuzipinga
maana hawakuamini
na wakaingia katika
k u wa u a M i t u m e n a
kuwaua wale ambao
wanaamrisha uadilifu
katika watu. Kwa sababu
hiyo akataja kwa kusema:
Wabashirie adhabu
yenye kutiwa uchungu.
[Aali-Imran 21]
Maneno haya ni kwa watu hawa kwa upande wao wameipoteza fursa
ajili ya kuweka wazi na kuwahofisha kwa ya kuepuka adhabu na
ubaya wa mwisho wa upande wa pili kwamba bishara ya hakika.

KIRINJIKO ISLAMIC ENGLISH MEDIUM PRIMARY SCHOOL


(SAME KILIMANJARO)
NAFASI ZA DARASA LA I NA KUHAMIA DARASA LA II-III-2016

Mkuu wa shule, Kirinjiko Islamic English Medium Primary School anawatangazia


wazazi na walezi waislamu nafasi za Darasa la I na za kuhamia kwa Darasa la II na
III kwa mwaka 2016.
Kirinjiko Islamic English Medium Primary School ni kongwe ya Kiislamu iliyoanzishwa
mwaka 2003. shule inatoa taaluma na malezi mazuri.
Shule ina mandhari mazuri na rafiki kwa mtoto kujifunza na kulelewa. Shule hii
ni ya bweni na inapokea watoto wa kike na wa kiume.
Watoto wanapatiwa chakula kizuri na cha kutosha kwa kuzingatia lishe bora kwa
watoto wadogo. Wapo wahudumu wenye uzoefu wa kuhudumia watoto wadogo kwa
saa 24. Huduma zote nyingine muhimu zinapatikana shuleni.
Fomu za maombi ya kujiunga zinapatikana kote nchini katika
vituo vilivyoorodheshwa katka uk.wa 19 wa gazeti hili.
Mwisho wa kuchkua na kurudisha fomu ni 31 Desemba 2015.
Kwa maelezo zaidi wasiliana na mkuu wa shule kupitia:
S.L.P 62, SAME-KILIMANJARO.
Simu Na.. 0742181474/0758989477
Barua pepe (Email) : ipckiemps@gmail.com
Wahi kuchukua fomu usikose nafasi hii adhimu!
MKUU WA SHULE

11/12/2015 4:56:44 PM

Habari

AN-NUUR

MUHARRAM1437, IJUMAA NOVEMBA 12-18, 2015

Bandika bandua kesi za Waislamu


Na Bakari Mwakangwale

WA K AT I m a c h o n a
masikio ya wananchi
wengine yakielekezwa
katika kutathmini kasi
ya Awamu ya Hapa Kazi
tu itakavyowaletea
maendeleo
au
kuwapigisha maktaima
walipo, kwa upande wa
Waislamu hali ni tofauti
kabisa.
Bado hawajui hatma
yao katika hili wimbi
la kuwaandama kwa
tuhumza za ugaidi
ambalo limeacha familia
nyingi za Waislamu
zikiathirika.
Ukiacha kundi
k u b wa l a Waislamu
ambao wanashikiliwa
k a t i k a m a g e r e z a ya
D a r e s S a l a a m k wa
tuhuma hizo, wapo pia
wanaoshikiliwa mikoani
ambapo imechukua
muda mrefu bila kesi
zao kuzungumzwa huku
dhamana zao zikizuiwa.
Wa i s l a m u h a o
wakiwemo Masheikh
wa UAMSHO, hivi sasa
ni wafungwa wasio
hukumiwa baada ya
kukaa rumande kwa
miaka miwili.
Lakini ukiacha hao
walio wafungwa,
b i l a h u k u m u , wa p o
walioumizwa mikononi
mwa vyombo vya dola,
wakarejea makwao na
vilema ama athari za
kudumu za kiafya.
Hapa utamkuta
Ustadh Jamal Yassin
aliyeponzwa na kanzu
na kofia yake, ambapo
wenzake wengine
wawili aliokamatwa nao
waliachiwa baada ya
kujitambulisha kuwa
wao ni Pentekoste na
Sabato.
Kwa upande wa kesi
inayowakabili Masheikh
Mselem Ally, Farid Had
na Waislamu wengine 22,
imefahamika mapema
wiki hii kwamba
hatma ya kuanza
kusikilizwa kesi hiyo
sasa ipo mikononi mwa
Mahakama ya Rufani
Tanzania.
Masheikh na Waislamu
hao wamekuwa wakisota
mahabusu ya gereza la

ANNUUR NEW.indd 3

BAADHI ya Masheikh wa UAMSHO toka Zanzibar wakiwa katika mahakama


ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam. (Picha kutoka Maktaba yetu)
Segerea kwa muda wa Mahakama ya Rufani, hiyo ilifatia baada ya
miaka miwili sasa, huku kuhusiana pingamizi Mahakama yenyewe
kesi yao ya msingi ya a m b a l o S e r i k a l i ( K i s u t u ) k u t a m k a
tuhuma za ugaidi, ikiwa wameliweka dhidi ya kwamba haina mamlaka.
haijaanza kusikilizwa.
wateja wake.
Tu l i p e l e k a
Hiyo ni kutokana na
Leo (Juma tano wiki malalamiko Mahakama
sarakasi na mapingamizi hii) hapa Mahakamani, Kuu, nayo ilitoa ufafanuzi
ya kisheria yanayowekwa tulikuwa tumewasilisha kwamba, Mahakama
na upande wa mashitaka m a o m b i ya k u i t a k a y a K i s u t u i n a y o
ambao ni Jamhuri.
Mahakama ya Rufani, mamlaka ya kuamua
Na Jamhuri ikiweka itoe uamuzi wa kufuta uhalali wa mashitaka
m a p i n g a m i z i h a y o , kusudio la Serikali kutaka w a l i y o s h i t a k i w a
i n a b i d i u p a n d e wa kukata Rufaa dhidi ya Masheikh na Waislamu
u t e t e z i n a o k u j i b u uamuzi wa Mahakama hao au la. Alisema.
hoja kwa kuwasilisha Kuu, uliotolea ufafanuzi
Alisema, ama kwa
pingamizi/rufaa katika juu ya kesi ya Masheikh upande wa Serikali,
Mahakama ya Rufaa na k u s i k i l i z w a k a t i k a
kupelekea Mahakama ya Mahakama ya Kisutu. wao hawakuridhika
Kisutu, kuiahirisha kesi Amesema Wakili Juma. n a m a a m u z i h a y o
mara kwa mara.
Akifafanua alisema, kwa maana hiyo nao
Dalili na hatma ya awali uamuzi huo wa waliwasilisha kusudio
kuanza kusikilizwa kwa Mahakama Kuu, uliamua la kutaka kukata Rufaa
kesi hiyo, zimeonekana k wa m b a M a h a k a m a katika Mahakama ya
Jumatano wiki hii, katika ya K i s u t u , a m b a y o Rufani Tanzania.
Mahakama hiyo, baada hao Masheikh ndipo
Alisema, baada ya
ya majaji wanaosikiliza waliposhitakiwa inayo upande wa Mashitaka
shauri la mapingamizi mamlaka ya kuamua k u we k a k u s u d i o l a
ya upande wa Serikali m a s h i t a k a a m b a y o kukata Rufaa kupinga
na washitakiwa, kueleza yanawakabili ni halali maamuzi ya Mahakama
k u w a M a h a k a m a au la.
inakwenda kutafakari
Wa k i l i
N a s s o r o Kuu, na wao upande wa
na taarifa ya uamuzi alisema, tulipokuwa utetezi walitoa maombi
utatolewa Novemba 19, Mahakama ya Kisutu, yao katika Mahakama
2015.
walipeleka maombi hiyo ya Rufaa, kuwa
Akielezea uamuzi huo, M a h a k a m a K u u , hilo kusudio lao sio
Wakili wa Masheikh wakiomba Mahakama sahihi na kwamba halifai
na Waislamu hao, Bw. ya Kisutu ifute kesi hiyo kusikilizwa Mahakamani
Juma Nassoro, alisema kwa sababu Mahakama hapo.
Sasa leo (Jumatano
kesi imeahirishwa hadi hiyo haina mamlaka
N o v e m b a 1 9 , 2 0 1 5 , y a k u a m u a k e s i wiki hii) tumekuja
n a k w a m u d a h u u inayowakabili wateja kusikiliza maombi yetu
wanasubiri uamuzi wa wake na kwamba hatua kwamba hilo kusudio

lao sio halali halipaswi


kusikilizwa hapa. Kwa
bahati nzuri au mbaya
niseme kwamba, upande
wa mashitaka wao tena
walileta pingamizi
kupinga maombi yetu
kwamba tuliyawasilisha
kabla ya wakati, kwa
madai kwamba bado
hawajawasilisha rasmi
rufaa, isipokuwa ni
kwamba Serikali imeleta
kusudio la kukata rufaa
tu. Alifafanua Wakili
Nassoro.
Kwa maana hiyo
basi, kufuatia hali hiyo,
alisema Mahakama
imesikiliza hoja za pande
zote mbili na imeweza
kuonyesha kwamba,
maombi ya upande wa
utetezi ni sahihi kwa
sababu kule Mahakama
ya Kisutu, upande wa
Mashitaka (Serikali)
wamekuwa wakiahirisha
kesi hiyo kwa muda
wa miaka miwili sasa,
kwa hoja kwamba
wanakusudia kukata
rufaa ili hali Rufaa hiyo
haipo na haiwasilishwi
kwa muda wote huo.
Wa k i l i N a s s o r o
alisema, kutokana na
hali hiyo, ni kawaida
kwamba Mahakama ya
Rufani sasa inakwenda
kutafakari na italeta
taarifa kwa kusoma
uamuzi wa pingamizi
hilo, kwa maana hiyo
kesi imeahirishwa.
Hivyo tutarudi
Novemba 19, 2015,
kusikiliza huo uamuzi,
k a m a u m e k u b a l i wa
a u l a , u k i k u b a l i wa
maana yake ni kwamba
tutarudi Mahakama
ya Kisutu, lakini
pingamzi likikataliwa
maombi yetu sasa ya
kutaka hilo kusudio la
Serikali la kukata rufaa
yatasikilizwa rasmi na
ufumbuzi utapatikana.
Amesema wakili
Nassoro.
Wa k a t i h u o h u o ,
kutoka Jijini Mawanza,
imetaarifiwa kuwa
kesi inayomkabili
Imam Hamza, nayo
imeahirishwa hadi
Inaendelea Uk. 4

11/12/2015 4:56:45 PM

Tahariri

AN-NUUR

S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786


Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM.
www.annuurpapers.co.tz
E-mail: annuurpapers@yahoo.co.uk
Ofisi zetu zipo: Manzese Tip Top
Usangi House, barabara ya Morogoro, D'Salaam

Tunastaajabu ya uchaguzi
tumesahau El Nino injiani
WA K AT I u c h a g u z i
Mkuu Tanzania bara
ukiwa umeshamalizika,
isipokuwa katika
majimbo machache
ambayo uchaguzi
huo haukufanyika
kutokana na sababu
za misiba na hitilafu
za kiwaida, mawazo
ya Watanzania bado
yameendelea kubakia
k a t i k a t a t h m i n i ya
uchaguzi huo.
Wengi
bado
mawazo na fikra zao
wamezielekeza kwa Rais
mpya wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania,
John Pombe Magufuli,
huku hamu yao kubwa
ikiwa ni kufuatilia kwa
karibu utendaji wa kila
siku wa Dkt. Magufuli,
wakitamani kujua leo
kafanya nini, kesho
atafanya nini, kesho
kutwa atakuwa wapi nk.
Lakini pia wengi bado
wameelekeza mawazo
ya o h u k o v i s i wa n i
Zanzibar wakitaka kujua
nini hatma ya Uchaguzi
Mkuu visiwani humo,
kati ya wagombea Dkt.
Ali Mohammed Shein
wa CCM na Maalim
Seif Sharif Hamad wa
CUF, hasa baada ya
Mwenyekiti wa Tume
ya Uchaguzi Zanzibar
ZEC, kufuta uchaguzi
uliokuwa ukielekea
tamati visiwani humo.
Hadi sasa hali ni
kitendawili, haijulikani
nini hatma ya uchaguzi
huo na nani atakuwa
Rais wa serikali ya Umoja
wa Kitaifa Zanzibar.
Kwa
ujulma,
Watanzania wengi bado
wamegubikwa na fikra
za uchaguzi, wakitaka
k u o n a u t e n d a j i wa
viongozi wapya katika
siku hizi za awali za
madaraka yao, na pia

ANNUUR NEW.indd 4

wa k i t a k a k u m u o n a
Rais mpya wa serikali
ya Zanzibar na namna
atakavyoanza kazi zake.
Wakati Watanzania
wakiwa wametumbukia
k ati ka lin di h ilo la
kisiasa, wamesahau
kabisa kufikiri juu ya
uwezekano wa kupata
m a a f a ya n a y o w e z a
kusababishwa na mvua
zilizoanza kunyesha
s e he m u mbalimbali
nchini na maeneo ya
Afrika Mashariki kwa
ujumla.
Tayari mvua hizo
zimeshaleta madhara
katika jiji la Mwanza,
ambapo watu kadhaa
wa m e a t h i r i k a
kutokana na mafuriko
yaliyokumba maeneo
mbalimbali ya jiji hilo,
hususan katika eneo la
Mabatini.
Wa t u w a m e k o s a
makazi, mali na miundo
mbinu imeharibika.
Ta a r i f a z i n a s e m a
wa t u wa w i l i t a ya r i
wamethibitishwa kufa
kutokana na mafuriko
hayo na wengine kadhaa
wakikosa makazi.
Huko Rorya, wapo
wakazi wamekosa
makazi baada ya
nyumba zao kuezuliwa
na kimbunga, na mazao
yao kuharibiwa nk.
Tunakumbuka kuwa
awali, Mamlaka ya
Hali ya Hewa TMA,
ilishatangaza na
mapema kuwa kuna
uwezekano mkubwa wa
sehemu mbalimbali za
nchi yetu kukumbwa na
mvua kubwa za El Nino
na kutoa tahadhari na
mapema kwa wananchi,
hususan wale wanaoishi
katika maeneo hatarishi.
Hata hivyo tahadhari
hiyo imeonekana

kutotiliwa manani, hasa


ikizingatiwa kwamba ni
kipindi kirefu kidogo
k i m e p i t a b a a d a ya
u t a b i r i wa k u we p o
mvua kubwa za El Nino
kutolewa.
K wa m a a n a h i y o
hakuna jitihada
zozote zilizoonekana
kufanyika kwa ajili ya
kuchukua tahadhari.
Si kwa raia wala si kwa
serikali.
Serikali na watu wake,
wote wameelekeza fikra
zao katika uchaguzi

AN-NUUR

MUHARRAM1437, IJUMAA NOVEMBA 12-18, 2015

mkuu. Wote, hakuna


anayekumbuka tena
t a h a d h a r i ya T M A
kuhusu El Nino hata
baada ya kupita
uchaguzi.
Tunachukua fursa
h i i k u wa k u m b u s h a
Watanzania kuwa, kama
TMA walivyosema, El
Nino inaweza kupiga
hodi wakati wowote
sasa. Turejeshe fikra zetu
kuhusu hatari inayokuja
na mapema yafanyike
maandalizi kukabiliana
na hali itakavyokuwa.

Serikali iwe na
uhakika wa Mahema
au kambi za waathirika,
vifaa vya uokozi, dawa
na chakula. Kwa raia,
hasa wale wanaoishi
mabondeni ni muda
muafaka wa kutafuta pa
kujisitiri na mapema, si
kusubiri kuokolewa na
kupewa msaada ambao
h a u n a u h a k i k a wa
kupatikana na kukidhi
haja.
Tu k i e n d e l e a
kustaajabu ya uchaguzi,
tutayaona ya El Nino.
Mvua zimeshaanza,
tunakumbushana tu.

Bandika bandua kesi za Waislamu

Inatoka Uk. 3
Novemba 30.
K e s i
h i y o
imeahirishwa kwa
maelezo kuwa shahidi,
upande wa mashitaka
hakutumiwa nauli, kwa
maana amehamishiwa
Jijini Dar es Salaam,
kikazi.
Aidha, kesi nyingine
ya Wa i s l a m u n a n e ,
wa l i o p o m a h a b u s u
katika Gereza la
Butimba, Jijini Mwanza
nayo imeahirishwa hadi
Novemba 23, 2015.
K a t i k a k a d h i a ya
Ustadh Jamal Yassin,
huyu alikamatwa akiwa
na abiria wenzake
wawili wa daladala
ambapo wenzake hao
waliachiwa baada ya
kuulizwa dini zao na
kutambulika kuwa ni
Wakristo.
Kazi ikabakia
kwangu sasa, wakasema
wewe mwenye kanzu
fupi usiondoke.
N i k a a m r i wa n i i n u e
mikono juu na kunirusha
kichura kuelekea katika
gari na hapo safari ya
Central ikaanza.
Hivyo ndivyo
alivyosimulia Yassin juu
ya kukamatwa kwake
na Polisi na kuwekwa
rumande ambapo
anadai kuteswa sana
akidaiwa kuwa ni gaidi.
A n a s e m a
alipofikishwa Polisi
alikaguliwa ikidaiwa
kuwa ni gaidi aliyebeba

SHEIKH Ponda Issa Ponda (kushoto) akiwa na


Wakili wake. Hukumu ya kesi yake ni Novemba
18, mwaka huu.
mabomu huku askari
wengine wakishangilia
na kuwapongeza
wenzao kwa kukamata
gaidi hatari.
Katika hali hiyo,
Ustadh Yassin anasema,
aliteswa vikali na
chombo hicho cha dola
huku akibaki kutoa
Kalima ya Shahada na
kumuomba Allah (SWT)
amkubalie Shahada
yake.
Mkoani, Morogoro,
N o ve m b a 1 8 , 2 0 1 5 ,
i t a k u wa n i s i k u ya
h u k u m u ya S h e i k h
Ponda Issa Ponda,

katika Mahakama ya
Mjini Morogoro.
Awali hukumu
hiyo iliahirishwa na
Hakimu Mfawidhi wa
Mahakama hiyo, Marry
Moyo, kwa maelezo
kuwa alishindwa
kuikamilisha kuiandika
hukumu hiyo kutokana
na kuteteleka kwa afya
yake.
Haya ndiyo majaaliwa
ya Wai sl a mu , hu ku
wenzao katika jamii
wakitafakari namna
ya kusonga mbele
kimaendeleo katika
zama za Kitabu Hiki
cha Hapa Kazi tu.

11/12/2015 4:56:45 PM

Habari za Kimataifa

AN-NUUR

MUHARRAM1437, IJUMAA NOVEMBA 12-18, 2015

Mamba kulinda wafungwa hatari Indonesia


M
Kenya kuruhusu
umiliki kamili wa
makampuni ya
kigeni
KUU wa Shirika
la Kupambana
na Dawa za Kulevya
Indonesia, Bw. Budi
Waseso, amependekeza
mamba watumiwe
k u l i n d a wa f u n g wa
waliohukumiwa
kunyongwa.
Bw. Waseso anataka
taifa hilo lijenge gereza
katika kisiwa na
kizingirwe na mamba
akisema wanyama hao
ni walinzi bora kushinda
wanadamu, kwani
hawawezi kuhongwa.
"Tutaweka mamba
wengi sana huko. Huwezi
kuwahonga mamba.
Huwezi kuwashawishi
waruhusu washukiwa
watoroke. Bw Waseso
alinukuliwa na tovuti
moja nchini humo
inayojulikana kwa jina
Tempo.
M k u u
h u y o
alinukuliwa akisema
kuwa atazuru maeneo
mbalimbali katika
taifa hilo kwa lengo la
kutafuta mamba wakali
zaidi.
Indonesia ni moja ya
nchi zenye sheria kali
zaidi za kupambana
na dawa za kulevya
duniani na ilianza tena
kunyonga watu baada
ya kusitisha hukumu
hiyo kwa miaka mitatu
tangu 2013.
Hata hivyo mpango
huo umeelezwa kuwa
bado upo katika hatua
za mwanzo na bado
haijaamuliwa gereza hilo
litakuwa wapi na ni lini
litafunguliwa, Shirika la
Habari la AFP limesema
na kunukuliwa na BBC.

A T O T O
milioni 11
wapo katika
hatari ya kupoteza
maisha katika nchi
za Mashariki na
Kusini mwa Afrika
kutokana na baa la
njaa, magonjwa na
uhaba wa maji.
Mfuko wa Watoto
wa Umoja wa Mataifa
(UNICEF) umesema
majanga hayo
yamesababishwa na
mvua kubwa za el
Nino zinazoendelea

kunyesha katika
maeneo hayo.
Taarifa ya UNICEF
imesema ukosefu
wa chakula na maji
umesababishwa
na ukame na
kwamba, mafuriko
yaliyotokana na mvua
za el Nino huenda
ya k a wa s a b a b i s h i a
w a t o t o
h a o
magonjwa ya malaria,
kipundupindu na
homa ya dengue.
Ofisi ya Kuratibu
M i s a a d a
ya

Kibinadamu ya Umoja
wa Mataifa imesema
mvua za safari hii ni
kubwa zaidi katika
historia ya nchi za
Mashariki na Kusini
mwa Afrika.
Itakumbukwa kuwa,
watu zaidi ya 2,000
waliaga dunia katika
ukanda ya Afrika
Mashariki na
hususan nchini
Somalia, kutokana
na mvua za el Nino
zilizonyesha kati ya
mwaka wa 1997 na
1998. Irib.

ENYA inapanga
k u i f a n y i a
mageuzi sheria ya
makampuni, ili kuruhusu
makampuni ya kigeni
kuanzisha matawi
yanayoweza kumilikiwa
na makampuni hayo kwa
asilimia 100.
Waziri wa Viwanda
na Mashirika Bw. Adan
Mohamed, alisema
hayo katika mkutano
uliofanyika mjini Nairobi
wiki hii, kuwa Kenya
inatambua mchango wa
mitaji ya kigeni katika
maendeleo ya nchi na
itaweka mazingira mazuri
z a i d i k wa u we k e z a j i
kutoka nje.
Mwezi Septemba Rais
Uhuru Kenyatta, alisaini
mswada wa sheria ya
makampuni kuwa sheria,
ambapo mara sheria hiyo
itakapoanza kutekelezwa,
itabadilisha taratibu za
usajili wa makampuni
ambazo zimekuwa
zikitekelezwa kwa miaka
50 nchini humo.
Hata hivyo sheria mpya
inasema kuwa makampuni
ya kigeni yanayotaka
kuanzisha biashara nchini
Kenya, asilimia 30 ya
umiliki wake unatakiwa
kuwa wa wakenya. CRI

kujisalimisha kwa jeshi


la nchi hiyo kwa ajili
ya kutafuta suluhu na
amani.
Hadi sasa waasi
wengi wamejisalimisha
baada ya kubaini kuwa
kile walichokuwa
wakihamasishwa kuwa
wanakwenda kupigana
jihadi si sahihi, hivyo
kuamua kujisalimisha
kwa majeshi ya Syria.

Taarifa ya Televisheni
hiyo iliongeza kuwa
wengi walijisalimisha
kutokana na athari
ya mapambano hayo
makali baina ya waasi na
majeshi ya Syria katika
kijiji cha (Sanisel) kiliopo
Kaskazini mwa mkoa
wa Humeh na Hamswi,
ambapo imepelekea
kuangamia idadi kubwa
ya magaidi hao.

Mkoa wa Halab ndio


mkoa mkubwa zaidi
nchini Syria, ambapo
kwa upande wa
Mashariki umepakana
na nchi ya Iraq na kwa
upande wa Magharibi
umepakana na nchi ya
Lebanon.
Asilimia tisini ya mkoa
huo mpaka sasa uko
mikononi mwa majeshi

ya Syria, isipokuwa
sehemu ndogo ya
upande wa Kusini na
Kaskazini mwa mkoa
huo, ikiwemo wilaya
ya kale ya Palmyra na
Al-Qaryatayn na mpaka
wa Abulwalid uliopo
mpakani na Iraq eneo
ambalo bado liko chini
ya magaidi wa Daesh.
ABNA.

MAMBA wanaotumiwa kwa ulinzi.

Maisha ya watoto milioni 11 Afrika Mashariki hatarini

Magaidi 119 wajisalimisha Syria

E L E V I S H E N I ya
T
Alalam, imetangaza
h a b a r i
k u wa

magaidi wapatao 119


wamejisalimisha kwa
jeshi la Syria katika
mkoa wa Hamswi.
Watu hao walijiunga
na vikundi vya kigaidi
nchini humo kwa ajili ya
kufanya jihadi kuungoa
utawala wa Rais
Bashar al Assad nchini
humo, wameamua

ANNUUR NEW.indd 5

11/12/2015 4:56:46 PM

Makala

AN-NUUR

MUHARRAM1437, IJUMAA NOVEMBA 12-18, 2015

Dk. Karume nusura ya maridhiano uchaguzi mkuu Zanzibar


Na Shaban Rajab

WANASIASA wawili
wanaowania kutwaa
urais katika Uchaguzi
Mkuu wa Zanzibar
wa Oktoba 25, Dk.
Ali Mohamed Shein
kwa tiketi ya CCM na
Maalim Seif Sharrif
Hamad kwa tiketi ya
CUF walikutana mjini
Zanzibar Jumatatu
wiki hii na kuamsha
upya imani miongoni
mwa wananchi kuhusu
hatma ya mgogoro wa
Uchaguzi Mkuu wa
Zanzibar.
Wa g o m b e a h a o
wamekutana kwa
mara ya kwanza
tangu uchaguzi huo
ilipovurugwa baada ya
Mwenyekiti wa Tume
ya Uchaguzi Zanzibar
(ZEC), Jecha Salim Jecha,
kutangaza uamuzi wake
wa kufuta uchaguzi
wote nchi nzima
visiwani humo Oktoba
28, mwaka huu, huku
akiwa ameshatangaza
matokeo ya urais kwa
majimbo 31 kati ya 54
yote ya Zanzibar.
Rais Dk. Ali Mohamed
Shein na Makamu wake
wa Kwanza Maalim
Seif Sharrif Hamad,
walikutana Ikulu ya
Zanzibar Jumatatu wiki
hii.
Lakini lililoongeza
faraja na matumaini
kwa Wazanzibar, ni
hatua ya Rais Mstaafu
wa Zanzibar, Dk.
Amaan Abeid Karume,
kushirikishwa katika
mazungumzo ya kusaka
muafaka kwa wagombea
hao. Kukutana Dk.
Shein na Maalim Seif
wakati huu, na Dk.
Karume kuhusika katika
mazungumzo yao,
kunaweza kurudisha
imani kwamba utatuzi
wa mgogoro uko mbioni
kupatikana. Faraja
n a m a t u m a i n i k wa
Wazanzibar inatokana
n a u k we l i k wa m b a
Mhe. Abeid Amani
K a r u m e , a l i ye i n g i a
Ikulu Novemba 2000 na
kutoka Novemba 2010,
kwa pamoja na Maalim
Seif Sharif Hamad ndio

ANNUUR NEW.indd 6

Wazanzibar wamsubiri kwa hamu

Rais Mstaafu wa Zanzibar, Dk. Amaan Abeid Karume (katikati), Dkt. Ali
Mohamed Shein na kushoto ni Maalim Seif Sharif Hamad.
waliofanikisha kufikiwa a m e o n ye a s h a k u wa wa kisiasa Zanzibar na
mkataba wa kihistoria muumini wa hilo tangu kupitishwa utaratibu
w a m a r i d h i a n o , kuasisiwa maridhiano.
wa kuwa na serikali
yaliowezesha kuundwa
Dk.
K a r u m e ya umoja wa kitaifa,
kwa Serikali ya Umoja a n a t a m b u a h i s t o r i a tena wakati huo Mzee
wa Kitaifa (SUK) baada y a Z a n z i b a r n a Karume akiwa na nguvu
ya uchaguzi mkuu.
machungu ya wale wote za kimamlaka na kidola,
Kutokana
n a waliopoteza maisha n i f u n z o k u b wa n a
uzoefu wa kizalendo yao katika harakati ya somo kuu la kufikiwa
waliouonyesha kwa kudai uhuru na haki m a r i d h i a n o j u u ya
vitendo Mhe. Karume ya Kikatiba! Alishinda hitilafu iliyojitokeza
na Maalim Seif, wakati u sh a w i sh i w o t e wa katika hatua za mwisho
wa utawala wake na kutoka Bara wa kujaribu z a u c h a g u z i m k u u
hatimaye leo Zanzibar k u l i n d a m a s i l a h i Zanzibar safari hii. Hili
kumudu kuwa na serikali ya Chama badala ya linaweza kuthibitisha
ya Umoja wa kitaifa hadi maisha na maendeleo ya k w a m b a m i g o g o r o
sasa ambapo Zanzibar wananchi wa Zanzibar. y a W a z a n z i b a r ,
i nas hiriki uc h aguzi Matunda ya maamuzi inaweza kutatuliwa na
mwingine mkuu, na ya k e ya b u s a r a n a Wazanzibar wenyewe
k wa k u s h i r i k i s h wa mwenzake Maalim Seif bila kuingiliwa.
Mzee Karume katika yameonekana.
Kufikiwa maridhiano
kutatua sitofahamu
ya
kuwa na Serikali ya
M w i n g i n e
iliyopo Zanzibar hivi a l i y e s h i r i k i k a t i k a Umoja wa Kitaifa (SUK)
sasa, ni dalili tosha m a z u n g u m z o n i na mageuzi ya hali ya
kwamba kupitia uzoefu Rais wa zamani wa siasa ni moja kati ya
wa maridhiano hayo, Zanzibar, Alhaj Ali mambo ambayo leo,
kuna nafasi ya kufikiwa Hassan Mwinyi, ambaye yameifanya Zanzibar
makubaliono kati ya aliiongoza Zanzibar na watu wake kuwapo
Maalim Seif na Dkt. kwa kipindi cha mwaka k a t i k a r a m a n i y a
Shein juu ya hatma ya mmoja kufikia mwaka mwelekeo wa kilele cha
Uchaguzi mkuu huo 1994 (uongozi wa mpito) demokrasia si tu Afrika,
na serikali kuundwa kabla ya kuchaguliwa bali kuzishinda hata
na Zanzibar ikaendelea kuwa Rais wa Jamhuri ya nchi za Ulaya ambazo
kutulia.
Muungano wa Tanzania baadhi yake demokrasia
Uwepo wa Amani mwaka 1985.
inasuasua.
Abeid Amani Karume
Serikali ya Umoja wa
Kitendo cha pande
kwenye harakati hii ya z i n a z o h i t i l a f i a n a Kitaifa kwa kiasi kikubwa
kuirejesha Zanzibar kukaa meza moja ya imeirejesha Zanzibar
kwenye njia ya Siasa za m a z u n g u m z o n a katika ustaarabu wa
kuvumiliana na kuleta kumshirikisha mmoja siasa ikilinganishwa
m a t u m a i n i ya h a k i w a w a t u m u h i m u na ilivyokuwa siku za
kutendeka kwa kuwa walioridhia muafaka nyuma.

Haya ni matokeo ya
Rais Mstaafu Karume,
kuamua kubadili
m a m b o ya l i y o k u wa
yamezoeleka kwa miaka
m i n g i n a wa l i we k a
kando utashi binafsi na
kutanguliza maslahi ya
wengi katika ujenzi wa
jamii mpya Zanzibar.
Matakwa ya kisiasa
yaliyobadilisha mfumo
wa Serikali Zanzibar
kuwa ya Umoja wa
Kitaifa ni sehemu ya
mtangamano wa
siasa za kistaarabu na
kiungwana visiwani
humo.
Kwa kujifunza
kupitia hekma ya Mzee
Amaan Karume, katika
kipindi hiki tusingesikia
tena matamshi ya
kutaka kurudi nyuma
au kuyumbisha
maridhiano ya kisiasa
kwa kuvurugwa
uchaguzi mkuu visiwani
humo kwa sababu tu za
kihafidhina, chuki au
kutokubali kushindwa.
M a t a m s h i
yanayotolewa na baadhi
ya wanaounga mkono
hatua ya kufutwa
uchaguzi mkuu Zanzibar
hivi sasa, wengi ni wale
wale waliokuwa hawako
tayari kukubali kuwepo
SUK. Matamshi yao
yanatia kichefuchefu na
hayaonekani kama yana
heri na mustakabali wa
kisiasa wa Zanzibar.
Wapo wanaoamini
kwamba hata Mh.
Jecha kufikia hatua
ya kutangaza kufuta
uchaguzi, ni kutokana
na msukumo wa
kihafidhina usiokuwa
tayari
kuona
demokarasia inatawala
Zanzibar.
N i
m u h i m u
wahafidhina waliokuwa
hawataki maridhiano
yaliyozaa SUK na ambao
s a s a wa m e o n e k a n a
k u c h o c h e a k u f u t wa
uchaguzi mkuu,
kimsingi
nao
wanawajibika kuweka
mkazo katika maslahi ya
wengi kama alivyofanya
Rais Mstaafu Amaan
Abeid Karume enzi za
uongozi wake.
Inaendelea Uk. 7

11/12/2015 4:56:46 PM

MAKALA

AN-NUUR

MUHARRAM1437, IJUMAA NOVEMBA 12-18, 2015

Dk. Karume nusura ya maridhiano uchaguzi mkuu Zanzibar

Inatoka Uk. 6
H a t a
k a m a
w a h a f i d h i n a
wataendelea kushikilia
misimamo yao, ukweli
utaendelea kubaki
kwamba hakuna lililo
na mwanzo likakosa
mwisho.
Nchi bila kuwepo
amani, utulivu, umoja na
uzalendo, kusameheana
na kuvumiliana, hakuna
maendeleo na hakuna
atakayefaidika na hali
hiyo. Badala ya kuwaza
mikakati ya maendeleo,
kutakuwa na mawazo
ya kuwekeana kimamati
ya kunyimana haki,
kukomoana na kuumiza.
Hata kama nchi
itakuwa na rasilimali
za kila aina, chuki za
kisiasa na kuminyana
zitaongeza uadui na
mparaganyiko wa
wenyewe kwwenyewe
na matokeo yake wajanja
watumia mwanya huo
kuvuna na uporaji
rasilimali za nchi huku
Zanzibar ikiachwa kapa.
Rais Karume ameweka
historia Zanzibar ya
kuwa kiongozi makini
na mwenye kujali
wale anaowaongoza.
Amekuwa mfano wa
uwajibikaji, uadilifu na
uzalendo. Ana nafasi ya
kutumia hekima zake
kwa Dkt. Shein na CCM
na Maalim Seif na CUF
kulingana na mazingira
ya siasa za Zanzibar ili
kufikiwa muafaka au
maridhiano na Zanzibar
ikaonyesha kwa mara
nyingine ukomavu wa
kidemokrasia.
Lakini pia pande
z i n a z o v u t a n a
z i n a w a j i b i k a
kumheshimu Dk.
Karume wakati huu kwa
yale mema anayoshauri
kwa maslahi ya
Wazanzibar.
Dk. Amaan Karume,
alitumia busara
kuwatendea mazuri raia
wake kile walichokihitaji.
Hakutaka kutumia
ubavu wake wa
kimamlaka kuzima

ANNUUR NEW.indd 7

Rais Mstaafu wa Zanzibar, Dk. Amaan Abeid Karume (kulia) na Maalim


Seif Sharif Hamad.

DKT. Ali Mohamed Shein (kushoto) na Maalim Seif Sharif Hamad.

mahitaji ya Wazanzibar.
Hakujali kufifisha
mamlaka yake au
cha ma cha ke ku jal i
maslahiya Wazanzibar.
Bado anaendelea
kukumbukwa na jamii
kwa busara zake.
Kwa sifa zake hizo,
ana nafasi kubwa ya
kuwa kiungo muhimu
cha maridhiano kati ya
Rais Shein na Maalim
Seif katika mzozo wa
uchaguzi huu. Kwa
Zanzibar ndiye mtu
anayeweza kuwa kinara
wa suluhu kwa mifano
halisi.
Zanzibar kwa miongo
mingi imekuwa katika
lindi la siasa chafu
za kuhasimiana,
kuumizana na hata
kuuana. Jitihada nyingi
zilifanyika kuleta suluhu
zilishindikana. Siasa za
kubaguana kwa misingi
ya vyama na asili za
watu zilishaota mizizi.
Kulikuwa hakuna
kuzikana, kushirikiana
katika shida na raha.
Chuki zilitawala maisha
ya watu. Kila uchaguzi
ulipofika lazima watu
waumizane na wengine
wafe.
Miafaka kadhaa
ilifanyika na kuhusisha
viongozi wa bara lakini
ilishindikana.Lakini
baada ya maridhiano
kufikiwa, siasa za chuki
zilishafifia Zanzibar, hali
za uhasama ilishaanza
kufifia hasa baada ya
Serikali ya Umoja wa
Kitaifa kuundwa na
kuafanya kazi.
Pamoja na kwamba
hatujajuzwa nini
kilichojiri katika
mazungumzo ya
pande mbili hizo na
wazee, lakini itoshe
kubainisha kwamba
njia iliyochukuliwa ni
sahihi zaidi hasa kwa
kuwashirikisha moja
kwa moja wahusika na
gwiji la maridhiano.
Mungu asaidie suala
la mzozo wa uchaguzi
mkuu Zanzibar liishe
kwa haki na amani.

11/12/2015 4:56:47 PM

Makala

AN-NUUR

MUHARRAM1437, IJUMAA NOVEMBA 12-18, 2015

Siasa zisizo za haki zitatukwamisha


TULIFANYA tathmini
j u u ya m i f u m o ya
kuendesha maisha yetu
hapa duniani ambayo
kimsingi imeletwa na
sisi binadamu kwa
lengo la kuundosha ule
mfumo madhubuti wa
kimaisha unaotokana
na Muumba wetu Allah
(SW). Sasa tunakuta
kwamba katika
mfumo uliopo ambao
tunauita mfumo wa
kidemokrasia au mfumo
shirikishi ambao una
lengo la kutenda haki
kwa kila mwenye
haki yake, nyuma
ya pazia inaonekana
kuwa
mambo
yanakwenda tofauti na
yanavyoelezwa.
Hii ni mifumo ya
kibinadamu ambayo
k wa v y o v y o t e v i l e ,
inakuwa na mapungufu
makubwa tu na daima
haiwezi kutufikisha kule
tunakotaka kwenda
hapa duniani tu, achilia
mbali Akhera katika
siku ya malipo. Sababu
kubwa ni kuwa mifumo
hiyo imezingatia maslahi
ama ya mtu binafsi au
makundi/vyama vya
watu, ambapo maslahi
yao ni ya kidunia tu na
sio vyenginevyo.
Mbali ya kuwa mifumo
hiyo haitambuliwi na
Allah (SW) pia inakuwa
na madhaifu makubwa
k a t i k a m a i s h a ye t u
ya k i l a s i k u . H a ya
yanabainika kutokana
na ule ukandamizaji
mkubwa wa watu pamoja
na kuwa wasimamizi
wake wanajigamba na
kujinata kwamba wao
wanafanya na kuendesha
mambo yao kwa njia
za kidemokrasia eti
hawamuathiri yeyote
katika uendeshaji wa
shughuli zao hizo.
Lakini kwa kutumia
akili ya kawaida tu,
utagundua kuwa kuna
athari nyingi sana
ambazo zinawadhulumu
na kuwanyima watu
wao fursa mbali mbali
za msingi kwa sababu
tu labda wanapingana
na mifumo hiyo au kwa
sababu nyengine yeyote
ile.

ANNUUR NEW.indd 8

Turejee kwenye Mwongozo wa Allah (SWT)

BAADHI ya Masheikh wa UAMSHO wanaotuhumiwa kwa ugaidi wakiingia mahakamani.


Tu n a s h u h u d i a n i
namna gani viongozi
wa dini (Waislamu)
wanavyonyanyaswa,
kuteswa na hata
kuwekwa vizuizini kwa
kile kinachoonekana
kwenda kinyume au
kukosoa mifumo hiyo.
Aidha tunaona pia
wimbi kubwa la kukataa
katakata makundi/
vyama vinavyowakilisha
wananchi ambao
wana mtazamo
mmoja wa Kiislamu,
pamoja na kuwa
vyama hivyo havina
m a l e n g o y o y o t e ya
kuusimamisha Uislamu
pale walipo inatosha
tu kuvikataa vyama/
makundi hayo eti kwa
sababu yanawakilisha
Waislamu!
Vyama/makundi
hayo yanaambulia
k u n y a n g a n y w a
tonge mdomoni au
kufukuzwa katika viti
v ya m a d a r a k a p a l e

wananchi wanapoamua
kwa makusudi
kuongozwa na vyama/
makundi hayo, na
hatimae viongozi
wao kukamatwa na
kushitakiwa bila ya
hata kuwa na makosa
ya msingi ya kupelekea
kufanywa hivyo.
Matokeo yake dunia
nzima imekosa amani,
wakimbizi makundi kwa
makundi kila kukicha
wanatafuta akhuweniya
maisha yao kwa vile
wanakotoka hakukaliki
tena.
Nadhani umefika
wakati kwa wachambuzi
wa mambo kukaa
pamoja kwa ajili ya
kutathmini mambo
h a y o n a k u ya p a t i a
muarobaini wake.
Tufikie wakati/mahali
tuseme kuwa sasa basi
tulipofika panatosha,
mbele hakuendeki
tena na kilichobaki ni
kugeuza njia kurudi

nyuma na kuangalia
tulipoanza kukosea ili
tujirekebisha.
Bado tunao muda wa
kutosha tu wa kufanya
mabadiliko. Allah (SW)
bado yupo, muongozo
wake tunao, wanavyuoni
wa kuchambua mambo
wapo; katu tusisubiri
saa ya mwisho kama
alivyofanya Firauni
wakati anamfukuza
Nabii Mussa (AS)
atoke katika Nchi ya
Misri, alipoona tayari
bahari imemzunguka
na ameanza kuzama
ndipo alipoamini
k u wa k w e l i M u s s a
ametumwa na Allah
(SW) kuja kumfikishia
aliyomfikishia, ambayo
yeye (Firauni) aliyaona
hayana nafasi kwake.
Baada ya Allah (SW)
kutuumba ametuletea
muongozo wa namna
ya kuishi hapa duniani,
lakini siku moja wapo
tutakuwa tumekufa na
kufufuliwa ambapo
kutakuwa na maisha

mengine ya huko
A k h e r a . M a i s h a ya
akhera yatategemea
ni kwa kiasi na namna
gani tumeishi maisha
haya ya duniani jee,
tuliishi kwa mujibu wa
muongozo wa Muumba
wetu au tulivyojitakiwa
wenyewe tu.
Ni ukweli usiokuwa
n a p u n j e ya s h a k a
kwamba maisha bora
zaidi ya hapa duniani
kuliko yote yatapatikana
kwa kufuata muongozo
kutoka kwa Allah (SW),
na kinyume chake ni
kwamba maisha dhalili
zaidi ya hapa duniani
na kesho akhera ni
kutokana na kuishi kwa
mifumo tuliyojiwekea
wenyewe.
H a y a
y o t e
yanawezekana. Ni
kuamua na kutimiza
wa j i b u w e t u k a m a
viumbe wa Allah (SW)
ambao ni makhalifa
katika uso huu wa dunia.
(Imeandikwa na
Suluhu A. Hamza-0776
720 588, Zanzibar)

11/12/2015 4:56:48 PM

Makala

AN-NUUR

MUHARRAM1437, IJUMAA NOVEMBA 12-18, 2015

Misikiti katika Mji Mkongwe wa Zanzibar-(2)

Na Ben Rijal

WANINI ukaitwa
Mji Mkongwe?
Kikongwe ni
cha kale kwa hio Mji
Mkongwe ni mji wa kale
katika visiwa vya Unguja.
Mji Mkongwe ni mji
ambao hapo kale ulikuwa
ndio mji mkuu wa nchi
na ulikuwa ukionekana
kuwa na haiba ya kila aina.
Mji huu haupisahani na
miji mengine mikongwe
duniani kwa kuwa na
utajiri wa historia. Mji
huu umejengeka katika
ramani kwa umbo
la sambusa (triangle.)
Masafa ya mji huu ni
Hekta 800 na ina wakazi
wasiopungua 18,000. Kuna
majengo yapatao 1,700 ya
kila aina, kuna yenye
kuchukua sura za Kihindi,
Kiarabu na majengo
machache yenye kufwata
ramani za nchi za Ulaya.
Majengo yapatayo 1,100
yametambuliwa kama
majengo yenye thamani
kubwa katika utaalamu
wa ujenzi ambayo
majengo hayo ni kivutio
kikubwa kinachowavutia
watalii kuzuru kisiwa
cha Zanzibar, utalii wa
Z a n z i b a r u m e j i we k a
zaidi katika tarehe ya Mji
Mkongwe na fukwe zake
mwanana.
Katika eneo hili dogo
kabisa ambalo asili yake
hasa kilikuwa kipande cha
ardhi kilichozungukwa na
bahari mithili ya kisiwa
kidogo, kuna Chochoro
23, Makanisa 2, Misikiti 52,
Roshani 50, Varandaa na
baraza na zaidi ya milango
200 iliyonakishiwa kistadi
na ufundi wa hali ya
juu. Mji mkongwe wa
Zanzibar umechaguliwa
kuwa Eneo la urithi wa
Kilimwengu na Umoja
wa Mataifa na Shirika
la Umoja wa Mataifa la
UNESCO. Inasadikiwa
kuwa nyumba za mwanzo

ANNUUR NEW.indd 9

Picha ya Mandhari ya Mji Mkongwe iliopigwa kutoka


hewani.

Mandhari ya Mji Mkongwe unapowasili kwa boti

Ngome Kongwe

Jengo la Posta la zamani

katika mji huu zilijengwa


wakati wa Sultani Sayyid
Said katika mwaka wa
1830 alipohamishia makao
makuu yake kutoka Oman
na kuyaweka Zanzibar.
Ikiwa pamoja na
Mahekalu ya Wahindu,
jumba la Maparisi, Jamati
6, jumba la ajabu Baitil
Ajaib, Old Dispensary,
Bandari kuu, Mahkama,
Hospitali ya Rufaa, Ikulu,
Hamamu ya Hamamni,
Ngome Kongwe n.k.
M i p a k a ya a s i l i ya
Mji Mkongwe ni rahisi
kuielewa. Huanzia
s e h e m u ya b a r a b a r a
ya Makumbusho ya
Kihistoria kupitia Skuli
ya Ben Bela, Hailesalasie,
Kanisa la Kimoto, Soko
ya Darajani, Jumba la
Treni, kupitia Funguni ya
pwani mbovu ikiwa miaka
hii kunaitwa Bwawani.
Sehemu ya barabara hii
kwenda nyuma yake, ndio
Mji Mkongwe. Kwa mbele
ya barabara hio, utakutana
na maeneo ya Darajani,
Kikwajuni na mitaa
mengineo hio inakuwa
ni nje ya Mji Mkongwe
ingawa ramani ya leo ya
upigaji watu kura, Mji
Mkongwe unaingia ndani
ya ngambo.
Katika karne ya 19,
Mji Mkongwe ulikuwa ni
maskani ya wakazi kutoka
sehemu mbalimbali za
dunia ikiwa pamoja na
wa z a l e n d o . We n g i n e
ni kutoka Afghanistan,
India, Srilanka, Uturuki,
Iran, Oman, Yemen na
maeneo mengineo,
almuradi kulikuwa na
mchanganyiko wa
m a k a b i l a . Wa t u w a
makabila hayo kila
mmoja alishikamana na
k a z i m a a l u m u . Wa t u
kutoka bara ya Hindi wao
walikuwa zaidi katika
biashara na haya yanajiri
hadi sasa. Wale kutoka
Afghanistan walikuwa ni
vinyozi, waliotoka Yemen
walikuwa na viduka vya
mahitaji ya wanyonge
na wazega zega. Aidha
wengi waliotokea Oman
walikuwa ni wenye
mashamba hasa hasa ya
minazi na mikarafuu na
wale waliotoka Uajemi
wao walikuwa na biashara.
Katika mwaka wa 1988
Serikali ya Mapinduzi
Zanzibar (SMZ) ilifikia
uamuzi wa kuutangaza
Mji Mkongwe kuwa ni
sehemu ya uhifadhi na
kuendeshwa chini ya

mamlaka ya Mji Mkongwe


(Stone Town Conservation
and Development
Authority).
Mengi yasiokuwa
na hesabu yameweza
k u t e k e l e z wa k we n y e
Uhifadhi wa Mji Mkongwe
ingawa kuna yale yasio
machache nayo yameibuka
yanayoivuruga haiba ya
Mji Mkongwe na kuanza
kuitokomeza ile haiba
na sura halisi ya Mji
Mkongwe. Kama hayo
yatashtadi, basi mji huu
utaondokewa na ile asili
yake na kutokuwa tena Mji
Mkongwe na badala yake
kuitwa mji wa Kimambo
leo.
Skuli nyingi za Serikali
k a b l a ya M a p i n d u z i
ya mwaka wa 1964
zikionekana katika Mji
Mkongwe na kandoni
mwa Mji Mkongwe na
skuli za msingi zenye
kutajika zikionekana zaid
katika mji huo.
Misikiti ni mingi katika
sehemu hii ndogo. Kuna
Misikiti ipatayo 52 na yote
ya Misikiti hio ilijengwa
na wananchi wenyewe,
ingawa kwa miaka hii
baadhi yao imefanyiwa
matengenezo na ufadhili
kutoka nje.
Kitu
ambacho
kimenistajabisha sana
kuwa kwanini iliwezekana
kujengwa Misikiti hio bila
ya ufadhili na hivi sasa
imekuwa ni jambo gumu?
Kuna Msikiti umejengwa
na mwanamke na hili
ni katika jambo ambalo
wanawake wa kileo ni
gumu kwani wanawake
wa kisiku hizi hujiangalia
wao kimavazi na kutaka
nyumba zao zingare,
lakini sio kujishughulisha
katika mambo ya kheri
kama haya.
Nimebahatika kusali
zaidi ya asilimia 65 ya
Misikiti hiyo 52 na
zaidi katika mwezi wa
Ramadhani katika nyakati
za Magharibi, ikiwa ada
yangu nilioachiwa na
mzee niwe nazunguka
kusali Misikiti mbalimbali
katika mwezi mtukufu wa
Ramadhani.
Makala itakayofwata
itagusia kwa mukhtasari
juu ya Misikiti hiyo.
Fatana na mie katika
makala hizi tatu juu
ya Misikiti katika Mji
Mkongwe wa Zanzibar.

11/12/2015 4:56:49 PM

10
Na Omar Msangi

EI 7, 1915
meli ya abiria
ya Uingereza
(RMS Lusitania ) ikiwa
na abiria 1,266 na
mabaharia 696 ilizama
na kuuwa watu 1,198,
wakiwemo Wamarekani
128. Ilidaiwa kuwa
meli hiyo ilipigwa na
kuzamishwa na boti za
kijeshi za Ujerumani
(German U-boat U-20)
Uchunguzi uliokuja
kufanyika baadae
uliibua nadharia nyingi
juu ya kuzama kwa meli
hiyo na iliyo maarufu
zaidi ikisema kuwa
hata kama Ujerumani
ilihusika kuipiga meli
hiyo, lakini kulikuwa
na mpango mkakati wa
serikali ya Uingereza
kusababisha tukio kama
hilo, ili kuivuta jamii
ya kimataifa kuichukia
Ujerumani na hivyo
kuungana na Winston
Churchill, katika
k u i p i g a Uje ru mani .
Lakini muhimu zaidi
kuishawishi Marekani
kuingia vitani ikiwa
upande wa Uingereza.
Na kweli, baada ya
tukio hilo, vyombo vya
habari vya Marekani
vikaja juu ya vichwa
v ya h a b a r i v i k i l a n i
Ujerumani kwa kile
k i l i c h o d a i wa k u wa
ni ruthlessly killing
defense less Americans.
Congress na Pentagon
wakaingia kazini, kila
upande kwa namna
yake.
Kachero Patrick Beesly
( v e t e r a n wa N a va l
Intelligence Division,
British Admiralty)
akizungumzia tukio
hilo katika kitabu chake,
Room 40: British Naval
Intelligence, 1914-1918,
anasema kuwa jambo
lililo la wazi ni kuwa
uliwekwa mkakati wa
makusudi kufanya meli
hiyo ishambuliwe ili
kuivuta Marekani vitani.
There was a conspiracy
deliberately to put the
Lusitania at risk in the
hopes that even an abortive
attack on her, would bring
the United States into the
war.
Na katika moja
ya nyaraka za
kumbukumbu za
Churchill juu ya

ANNUUR NEW.indd 10

Makala

AN-NUUR

MUHARRAM1437, IJUMAA NOVEMBA 12-18, 2015

Mzee Mwinyi na Lusitania ya Jecha


Yauma tublaa sSaraairu
Siku hiyo tutaziba vinywa vyao

MELI ya abiria ya Uingereza (RMS Lusitania ).


Vita Kuu ya Kwanza
ya Dunia, WW1,
kumekutwa ujumbe
unaosema kuwa moja
ya mbinu za medani
ya vita hiyo ilikuwa ni
kumvuta rafiki kuingia
katika vita apigane
upande wa Uingereza.
(Tazama: Room 40: British
Naval Intelligence, 19141918-by Patrick Beesly.
2.The Lusitania- by Colin
Simpson.)
Katika kuandaa
mkakati huu, akina
Churchill hawakujali
maisha ya watu, mamia
kwa maelfu, ambao
wangepoteza maisha
k wa m e l i ya a b i r i a
kupigwa na Ujerumani,
wala gharama ya
kipesa itakayokuwa
imepotea kutokana na
kuharibiwa meli hiyo
ambayo kwa zama hizo
ilikuwa kubwa sana na
ya kipekee.
Hivi sasa kuna
mgogoro wa kisiasa
Zanzibar. Mgogoro
ambao asili yake ni
tangazo la mwenyekiti
wa tume ya uchaguzi
Zanzibar, Jecha Salim
Jecha kufuta uchaguzi
ukiwa katika hatua ya
kutoa matokeo.
Kwa mujibu wa

taarifa za vyombo vya


habari, jopo la wazee
ma-Rais wastaafu,
likiongozwa na Mzee
Ally Hassan Mwinyi,
linafanya mazungumzo
ili kutafuta muafaka
na suluhisho la
mgogoro huo. Wengine
wanaotajwa kuwepo
katika jopo hilo ni Dr.
Salmin Amour Juma
na Dr. Amani Abeid
Karume.
Katika lile shambulio
na kuzamishwa
Lusitania, inaelezwa
kuwa makachero au
wapanga mikakati
ya vita, wasingeweza
kupanga na kutekeleza
bila ya Waziri Mkuu,
Winson Churchill,
kujua na kuhusika
katika mpango mzima.
Na kwa maana hiyo,
Churchill alijua kabla
gharama za mpango
huo ikiwa ni pamoja na
kuuliwa watu wasio na
hatia. Kwa hiyo, hata
yale machozi na salamu
zake za rambirambi kwa
wafiwa baada ya kufa
watu 1198, zilikuwa za
kinafiki tu.
Ya p o m a d a i n a
uchambuzi wa kisheria
unaokuja na hoja
kwamba, Jecha hakuwa,

na hana mamlaka
kikatiba na kisheria
ya kufuta uchaguzi
Zanzibar. Lakini
pia yapo maelezo na
uchambuzi zikiweko
taarifa za waangalizi
wa uchaguzi kutoka
ndani na nje ya nchi
kwamba, hapakuwa na
dosari za kuhalalisha
k u f u t wa u c h a g u z i .
Na ndio maana Jecha
a l i k u wa a k i e n d e l e a
kutoa matokeo, ghafla
akatoweka, alipoibuka,
akatoka na tangazo
la kufutwa uchaguzi
akiwaacha hata
makamishna wa tume
yake wakiduwaa.
Katika ujumla wa yote
hayo, yanakuja madai
na maelezo kuwa sio
Jecha aliyefuta uchaguzi,
bali yeye katumiwa
tu kutoa tangazo. Na
ukisema hivyo maana
yake ni kuwa hakuna wa
kufanya hilo ila wenye
madaraka, walioshikilia
vyombo vya dola na
jeshi, ambao ndio hao
Inaendelea Uk. 11

Maandamano

Assalamu alaykum,
Kwa Niaba ya Zanzibar Welfare Association UK,
inapenda kuwaarifu Watu wote watakaonafasika,
kuhudhuria kwenye Maandamano yatakayofanyika
10 Downing St, London SW1A 2AA kuanzia saa nne
asubuhi siku ya Ijumaa tarehe 13/11/2015.
Lengo ni kutoa Shukran kwa Waziri Mkuu na
Serikali yake ya Uengereza kuona haki inatendeka
kwa Wananchi wa Zanzibar juu ya uchaguzi Mkuu
uliofanyika tarehe 25/10/2015.
Kibali kimetolewa na Parliamentary & Diplomatic
Protection Command wakishirikiana na Scotland
Yard Special Events.
Ahsanteni
Mwenyekiti ZAWA UK
Hassan M Khamis

11/12/2015 4:56:54 PM

11
Inatoka Uk. 10

hao viongozi na makada


wa CCM.
Kama nadhari na
madai haya ni sahihi,
ni wazi kwamba hata
wazee hawa walio
makada wa CCM,
wanajua kilichotokea,
kinachoendelea na
k i c h o t a k i wa k a t i k a
Lusitania hiyo ya
Jecha bila kujali gharama
zake. Na gharama hapa
ni pamoja na fedha za
wananchi zilizokwisha
k u t u m i k a
n a
zitakazotumika iwapo
mwisho wa Lusitania
na usanii huu, itakuwa ni
kurudiwa uchaguzi.
Katika Lusitania ya
Churchill watu 1198
walipoteza maisha. Katika
Lusitania ya Jecha,
hatujasikia visa vya watu
kupoteza maisha. Lakini
vipigo vilitembea na
vinaendelea kutembezwa.
Jana iliripotiwa kuwa bado
jeshi, vikosi na vifaru
vya Kijeshi vinaonekana
vikiranda mitaani.
Haijajulikana hatma ya
hali hiyo ni nini.
Hayo yakijiri, pengine
wazee wetu hawa ambao
ni Maalhaji pia, waliowahi
kuikabili Al-Qaaba na
kusimama katika Viwanja
vitukufu vya Arafa,
wangepita pale sipitali
Mnazi Mmoja wakatizama
hali za wagonjwa na hali
ya Sipitali hiyo, halafu
wakajiuliza:
Fedha zilizokwisha
kutumika katika
Lusitania hii ya
Jecha inayozama,
zikiongezwa nyingine
ambazo sasa sitatumika
kumpa Jecha kufanya
uchaguzi mwingine, lau
zingepelekwa sipitalini
hapo, ni kwa kiwango gani
zingeboresha huduma?

Kule Marekani
tunaambiwa kuwa hivi
sasa kuna matukio ya
k u t i s h a ya k u j i u wa
wanajeshi waliopigana
vita Iraq na Afghanistan.
Rekodi zinaonyesha
kuwa takribani askari
27,258 wameshajiuwa.
Hii ni zaidi ya askari wa
Marekani waliouliwa
wakipigana katika nchi
hizo mbili.
Wa t a a l a m u wa
m a g o n j wa ya a k i l i
wanasema kuwa kujiuwa

ANNUUR NEW.indd 11

Makala

AN-NUUR

MUHARRAM1437, IJUMAA NOVEMBA 12-18, 2015

Mzee Mwinyi na Lusitania Jecha

Clay Hunt mmoja wa askari wa Marekani waliojiua baada ya kurejea vitani


Iraq/Afghanistan.

MWENYEKITI wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar, Jecha Salim Jecha


huko kunatokana na
kuchanganyikiwa
kwa askari hao
kunakosababishwa na
kumbukizi za ukatili
na uovu waliofanya
kuwafanyia binadamu
wenzao wakiwa vitanikitaalamu ukiitwa, PostTraumatic Stress Disorder
(PTSD).
Katika jitihada za
kuwasaidia askari
maveterani wa vita, na
kupunguza kasi hiyo
ya kujiuwa, Bunge la
Congress limepitisha

sheria, Clay Hunt


Suicide Prevention for
American Veterans Act,
ikipewa jina la mmoja
wa askari aliyejiuwa.
Kinachokusudiwa
katika sheria hiyo, ni
kutoa huduma zaidi za
kiafya na ushauri nasaha
kwa askari, ikidhaniwa
kuwa huduma hizo
zitapunguza msongo wa
mawazo unaosababisha
askari kujiuwa.
( Ta z a m a : Ve t e r a n s
Suicide has Caused More
US Casualties Than Wars

in Iraq and AfghanistanBy Bruce Newman.)


Migogoro ya kisiasa
Zanzibar imeleta
maafa makubwa kwa
wa n a n c h i wa s i o n a
hatia. Hii ni pamoja
na mauwaji ya Januari
2001. Ukiacha mauwaji
hayo, vipo visa vya watu
kupigwa, kujeruhiwa,
k u t i wa v i l e m a v ya
kudumu, kuharibiwa
mali, wanawake kuporwa
mapambo ya vito vya
thamani/dhahabu. Lakini
viliwahi pia kuripotiwa

visa vya kubakwa wake za


watu na wari. Na ukitizama
mazingira ya kutokea yote
hayo, ni katika mtindo ule
ule wa Lusitania za Jecha.
Sasa ukiacha simulizi za
hapa na pale za matukio ya
baadhi ya magiwji, hasa
waliokuwa Wakuu wa
Mikoa/Wilaya na vyombo
v ya D o l a wa l i o k u wa
wakisifika kwa kuwapiga
watu mikwaju na kuwatia
katika tabu watu wasio na
hatia kwa sababu ya chuki
za kisiasa, yaweza tusifikie
hatua ya kushuhudia haya
ya PTSD.
Lakini pengine la
kuwakumbusha wazee
wetu hawa ni kuwa katika
kulishughulikia Lusitania
hili la Jecha Salim Jecha,
wa k u m b u k e i l e s i k u
aliyosifiwa katika Quran
kwa kauli ya: Yauma
tublaa s Saraairu-Siku
zitakapodhihirishwa siri.
Siku hiyo, yale
yaliyokuwa yamefichwa
na akina Winson Churchill
katika kuzamishwa
Lusitania na yaliyokuwa
siri ya Jecha katika
Lusitania yake ya kufuta
matokeo ya uchaguzi,
yatakuwa wazi.
W a l i o t a j w a
kushughulikia mgogoro
huu ulioletwa na
L u s i t a n i a ya J e c h a ,
wamepewa hadhi ya uzee.
Na Quran inasema kuwa
anayepewa neema ya umri
mrefu, hatma ya neema
hiyo ni kurejeshwa ukawa
dhalili, sawa mtoto mdogo
kabla ya kufa.
Lakini pia wakati huu
tukiwa wazee, ila bado
t u k i wa n a a f ya z e t u ,
tuzingatie tanb ihi ya
Quran pale iliposema:
Na kama tungependa
tungewapofoa macho yao
wakawa wanakimbilia
njia, lakini wangeonaje?
Na kama tungetaka
tungewafanya (wakawa)
vinyama papo hapo
mahala pao (walipokaa),
basi wasingeweza kwenda
wala kurudi. (36:66-67)
Lakini kubwa zaidi
tuzingatie kuwa ndimi zetu
na midomo yetu, iliyozoea
kusema tusiyotenda, na
kuwalaghai watu kuwa
sisi ndio watengezaji,

wakati ndio waharibuji


wakubwa (2: 11, 12),
Quran inasema:
Siku hiyo tutaziba
vinywa
vyao,
ituzungumze mikono
yao na itoe ushahidi
miguu yao kwa
yale waliyokuwa
wakiyachuma. (36:65)

11/12/2015 4:56:58 PM

12

MAKALA

AN-NUUR

MUHARRAM1437, IJUMAA NOVEMBA 12-18, 2015

Wapalestina waadhimisha miaka 11 toka kufariki Yasser Arafat


Na Kituo cha Habari cha
Palestina (Dar es Salaam)

MAELFU ya Wapalestina
wanaadhimisha miaka kumi
na moja (11) toka kufariki
kiongozi wa Jumuiya ya
Ukombozi wa Palestina
(P.L.O) Yasser Arafat, ambae
alifia hospitalini nchini
Ufaransa, mnamo Novemba
11, mwaka 2004, huku akiwa
na umri wa miaka 75 na
kuzikwa mjini Ramallah
nchini Palestina.
Maabara ya Uswis
ilisimamia uchunguzi wa
kifo cha Arafat na kupeleka
majibu kwa Mamlaka ya
Palestina (P.A). Wataalamu
hao walichukua sehemu
ya mwili wake na baada
ya vipimo ikaonesha kuwa
alilishwa sumu ya kiwango
cha juu aina ya Polonium
210 ambayo ilipelekea kifo
chake.
Wataalamu hao wa Uswis
ili kufanya uchunguzi wa
kina kuhusu kifo cha Arafat,
walichukua kumbukumbu
za matibabu yake kutoka
hospitalini Ufaransa, pia
sehemu ya mwili wake
kutoka kaburini vilevile
vifaa mbalimbali alivyotumia
akiwa hospilini mjini Paris
ambako alifia.
Nae mwanasayansi wa
Uingereza David Barclay
ambae aliisoma ripoti hiyo
ya uchunguzi, alisema:
Ripoti hiyo ina ushahidi
wa kutosha, na kwamba
kwa maoni yangu sumu
hiyo katika mwili wa Arafat
ni zaidi ya mara kumi
na nane (18) ya kiwango
kinachokubalika.
Maafisa wengi wa
Palestina wanaamini kuwa,
Israeli ndio ilimpa sumu
hiyo mbaya Arafat, huku
mwanachama wa kamati
ya utendaji ya P.L.O Wasel
Abuu Yousef akidai Israeli
kuwa nyuma ya mauaji
hayo. Rais Arafat aliuawa
kama muhanga wa kigaidi,
mpango mzima ukifanywa
na Israeli mjini Tel Aviv,
alisema.
"Ripoti hii inathibitisha
yale yote tuliyokuwa
tunayadhania kuwa Arafat
aliuawa;... Sasa tumejua
picha kamili ilivyokuwa,
vilevile tulikuwa tunajua
kuwa nani mwenye nia,
sababu na uwezo wa
kumuua, hivyo tunaomba
haki itendeke kwa kuchukua
mkondo wake," alisema
Hanan Ashrawi , kiongozi
mwandamizi wa Palestina.
Arafat alifariki katika
hospitali ya kijeshi nchini
U f a r a n s a N o ve m b a 1 1
mwaka 2004, baada ya
kuchukuliwa akiwa mgonjwa
wa kuhara na kutapika
mwezi Oktoba mwaka huo
huo. Madaktari Kifaransa
wamesema alifariki kwa

ANNUUR NEW.indd 12

KIONGOZI wa Jumuiya ya Ukombozi wa Palestina (P.L.O) Yasser Arafat (kushoto) akiwa


na Mwalimu Julius Kambara Nyerere wakati wa uhai wao.
ugonjwa wa kiharusi, ingawa
alikuwa na nia ya kuleta
hotuba juu ya sera za kigeni
hawakuweza kupata chanzo
ukombozi wa watu wote
za Tanzania kwa kuzingatia
cha ugonjwa huo.
wanaodhulumiwa, sawa
kanuni za haki na uhuru wa
Waendesha mashitaka
sawa wakiwa ni Waafrika au
binadamu, bila kujali mahali
wa Kifaransa walifungua
wasio Waafrika. Hivyo basi,
walipo duniani. Msimamo
uchunguzi wa mauaji mwezi
alikuwa akiunga mkono
huu ndio ulioongoza sera
Agosti 2012, baada ya athari
juhudi za Wapalestina katika
yake ya mambo ya nje kwa
ya sumu mbaya aina ya
kujikomboa dhidi ya uvamizi
miaka yote ya utawala wake.
polonium-210 kuripotiwa
wa kimabavu wa Israel.
N y e r e r e a l i k u wa n a
kupatikana katika baadhi ya
Wa k a t i w a u o n g o z i
uelewa na uzoefu wa kina
vifaa vya Arafat.
wake Tanzania ilikuwa
wa historia ya Palestina
Familia ya Arafat
ni miongoni mwa nchi za
na uanzishwaji wa dola ya
iliomba azikwe mjini
Afrika zilizokuwa mstari
Israeli. Hii ndiyo sababu
katika miaka ya 1970 alitoa
Jerusalem, lakini serikali ya
wa mbele katika kuwaunga
utambuzi kamili kwa
Israel ilipinga ombi hilo,
mkono Wapalestina, na hii
Wapalestina na kusaidia
huku Msemaji Mkuu wa
kwa kiasi kikubwa ilikuwa ni
Jumuiya ya Ukombozi wa
Wapalestina Saeb Erekat
kutokana na uongozi mahiri
Palestina (PLO).
akisema kaburi la Arafat
wa Mwalimu Nyerere.
Msaada Mwalimu
mjini Ramallah lilikuwa ni
Nyerere iliweka maadili
Nyerere kwa PLO ni tokea
kwa muda tu.
ya u o n g o z i b o r a h a t a
miaka ya 1960, pia alikuwa
"Siku moja, tutapata
kwa maeneo mengine ya
ni miongoni mwa viongozi
uhuru wetu na Jerusalem
Afrika kuhusu suala la
wa kwanza waliozungumzia
kusaidia mapambano ya
Mashariki utakuwa ndio mji
Palestina, baada ya kupata
Wapalestina wakati wa vita
mkuu wake," Erekat alisema.
uhuru mwaka 1961 lengo
ya Siku ya Sita mwaka 1967.
Leo hii Wapalestina bado
kuu lilikuwa ni kusaidia
Hayo ameyasema katika
wanasubiri ukamilifu wa
ukombozi wa nchi nyingine
mkutano wa kitaifa wa
ahadi hizo.
ambazo bado zipo chini ya
Tanganyika African National
Kamati ya uchunguzi ya
ukandamizwaji wa kikoloni.
Union (TANU) tarehe 16
kifo cha Rais Yasser Arafat
Hii ikiwa ni pamoja na
Oktoba 1967, uliojumuisha
imefahamu utambulisho wa
wale walio chini ya ubaguzi
wajumbe zaidi ya 2000,
wale wale wote waliohusika
wa rangi nchini Afrika
kwamba:
"Kuanzishwa kwa Serikali
kumpa sumu, hata hivyo
Kusini, Namibia na suala la
ya Israeli lilikuwa ni tendo la
uchunguzi unaonelea ipo
Palestina.
uchokozi dhidi ya Waarabu,
haja ya kuthibitisha hilo
Hii ikawa dhahiri zaidi
... jumuiya ya kimataifa
katika miaka ya 1960, wakati
k a b l a ya k u s a m b a z wa .
imekubalika hili kama
M
wa
l
i
m
u
a
l
i
p
o
u
a
m
b
i
a
Mjumbe wa Kamati Kuu
uchokozi. Mataifa ya Kiarabu
ujumbe wa Palestina
ya Fatah Tawfiq Tirawi,
hayakukubali kitendo hicho
k w a m b a , Wa p a l e s t i n a
cha uchokozi. Hivyo nchi
alisema.
za Kiarabu hazikukubali
Tirawi ameongeza kusema
wanateseka zaidi kuliko
uchokozi huo. "
kuwa, "Mvamizi Israeli
ilivyo kwa wananchi wa
Hivyo, Nyerere hakuwa
ndiye mwenye jukumu la
Afrika Kusini. Jambo
tayari kubadili msimamo
mauaji haya, isipokuwa sisi
lililompelekea kusema zaidi
wake. Alichukua msimamo
tunatafuta anayehusika na
kuwa: "Sisi tumepoteza
wa kikanuni wa kulaani
hilo moja kwa moja."
uhuru wetu, ama ninyi
u k i u k wa j i wa h a k i z a
Maadhimisho ya
mmepoteza nchi yenu!"
binadamu kufuatia tukio hilo
kifo cha Rais Arafat leo,
Mwalimu Nyerere
la mwaka 1967, Mwalimu
Julius Nyerere alisema:
yanatukumbusha uhusiano
alizungumza kwa nguvu
"Israeli ni lazima iondoke
wa dhati na kindugu uliopo
kabisa katika kuunga mkono
kutoka katika maeneo
kati ya Palestina na Tanzania
Palestina kuwa na haki ya
inayoyakalia kimabavu, tena
tangu wakati wa Mwalimu
kujitawala. Mwaka 1967
bila ya masharti yoyote ...
Nyerere.
baada ya Vita vya Siku Sita
hatukubaliani na uvamizi
Muasisi wa Tanzania
kati ya Palestina na Israeli,
wa kimabavu wa nchi fulani
Rais Mwalimu Nyerere,
Mwalimu Nyerere alitoa
dhidi ya nchi nyingine."

Msaada wa Tanzania
k a t i k a m a p a m b a n o ya
Wa p a l e s t i n a u l i b o r e k a
mno miaka ya 1970, pale
ilipokuwa PLO miongoni
mwa jumuiya za ukombozi
zilizohudhuria mkutano
wa harakati zisizoegemea
upande wowote (NAM) jijini
Dar es Salaam, mwezi Aprili
mwaka 1970.
Tanzania pia ilifungua
milango yake kwa
PLO mwaka 1974, pale
ilipioruhusu kuwa na ofisi
nchini, kasha baadae Ofisi
hiyo kuwa ndio Ubalozi wa
Palestina.
M wa k a 1 9 8 4 wa k a t i
Yasser Arafat alizuru rasmi
Tanzania na kutoa shukrani
zake za dhati kwa kitendo cha
mshikamano ulioonyeshwa
na Watanzania kwa ndugu
zao wa Kipalestina. Aliuliza
kwa namna gani wanaweza
kulipa fadhila zao kwa
Watanzania.
Likatolewa pendekezo la
madaktari wa Kipalestina
kuja Tanzania na kutoa
huduma za afya, jambo
ambalo lilitekelezwa ndani
ya muda mfupi. Ikatolewa
huduma bure kwa
Watanzania kupitia kituo
cha afya kilichojulikana
kwa jina la Kituo cha Afya
cha Palestina, kilichopo
Barabara ya Shekilango
Sinza jijini Dar es Salam.
Yasser Arafat alikuwa
ni ishara ya mapambano
ya watu wa Palestina kwa
ajili ya utambulisho, uhuru
na utaifa wao, alikuwa
na uwezo wa kuwaeleza
mahitaji yao kwa ufasaha
na ufanisi.
PLO, chini ya uongozi
wake,ilikuwa na uwezo
wa kufanya jitihada
kubwa, ambapo moja ya
mafanikio yake makubwa
ilikuwa kuhamasisha
jamii ya kimataifa katika
kuunga mkono wananchi
wa Pa l e s t i n a , k u j e n g a
uhusiano wa wapiganaji na
mshikamano kati ya Afrika
na Palestina.
Wanahistoria watakuja
kushuhudia kwamba
licha ya ukweli kwamba
Wa p a l e s t i n a w e n y e w e
walikuwa wanakabiliwa
na adui mwenye nguvu
na walihitaji kuhamasisha
nguvu zao na rasilimali zao
kwa mapambano yao, lakini
wao pamoja na hayo yote
na wanapigana kwa ajili ya
ukombozi wa Afrika.
Umoja huo ulioimarika
kiharakati, ni lazima
uendelee ili Waafrika na
Wapalestina waheshimu
urithi wa huyu kiongozi
mkuu wa Kiarabu Yaser
Arafat, kwa kuendeleza yote
aliyotuachia.
Contact us: P.O Box 20307,
612 UN Road Upanga West,
Dar es Salaam Tel: 2152813,
2150643 Fax: 2153257 Email:
pict@pal-tz.orgWebsite:
www.pal-tz. org

11/12/2015 4:56:59 PM

13

MAKALA

AN-NUUR

MUHARRAM1437, IJUMAA NOVEMBA 12-18, 2015

Barua ya Malcolm X Al-Hajj Malik El-Shabazz kutoka Makka


Na Ben Rijal
Al-Hajj Malik El-Shabazz
amepitia misukosuko
mingi tangu kuzaliwa
kwake hadi anaaga dunia.
Akiwa na umri mdogo
tu babake aliuliwa na
kundi maarufu la
kibaguzi nchini Marekani
linalojulikana kwa
jina la Klux Klax Klan
(KKK) ambapo nyumba
ya o i l i c h o m wa m o t o
na kundi hilo na mzazi
wake kupoteza maisha.
Katika umri mdogo
alianza kujishughulisha
na ukupuwaji wa mali
za watu mifukoni
(Pickpocket) na biashara
ya u n g a i l i o p e l e k e a
kufungwa na huko jela
alipeleka tifu jengine pale
alipompiga kisu askari
jela mweupe ambaye
a l i k u wa a k i wa l a w i t i
watoto waliofungwa.
Malcolm X hilo
hakulistahmilia kuyaona
madhila hayo, ndipo
alipompiga kisu askari
cha tumbo matokeo yake
akaongezewa kifungo
cha jela.
Alipokuwa jela ndipo
alipoanza kubadilika
kidogo
kidogo.
Jela wakiruhusiwa
kuhudhuria masomo
ya kujiendeleza. Aidha
Mapadri na Masheikhe
wakiruhusiwa kwenda
kuwahubiria wafungwa
ili watapomaliza vifungo
v ya o wa r u d i u r a i a n i
wakiwa ni watu wema.
Jela ilikuwa ni mwanga
kwa Malcolm X ingawa
Kiengereza ndio lugha
yake, aliweza kuhifadhi
kamusi la Kiengereza
a l i p o k u we p o j e l a n a
ndio ilimuwezesha kuwa
fasaha anapozungumza
na kuweza kucheza
na maneno. Aidha,
alipotembelewa na
mjumbe wa Nation of
Islam, hilo ni vugu vugu
la Waislamu wajiitao
Waislamu Weusi Black
Muslim chini ya Kiongozi
wao Elijah Muhammed,
ilimpelekea Malcolm X
kusilimu. Wafuasi wa
Black Muslim wakiamini
kuwa Elijah Muhammed ni
kama Mtume. Alipoisoma
Q u r a n n a k u i e l e w a
hakusita wala hakuwa
na simile ila alisilimu.
Malcolm X alijenga uadui
na Waeusi wenzake na
Serikali ya Marekani na
mwishowe akauwawa

ANNUUR NEW.indd 13

Elijah Mohammed na Malcolm X

Malcolm akiwa Makka anasali

Malcolm X alipata fursa kukutana na Mfalme Feisal

akiwa anahutubia.
Malcolm X kapambana
na ugozi wa Wazungu
ulimchochea kuwa mfuasi
mkakamavu wa Nation
of Islam wakijenga imani
kuwa Black Muslim
ndio njia pekee ya
kujikomboa kutokana na
ugozi uliotopea wa watu
weupe. Ukakamavu wake
ulimfanya alipotolewa jela
kupewa kazi ya kueneza
n a d h a r i a i l i o a s i s i wa
na Elijah Muhammed
kuwa Waislamu weusi
wanaonewa wachukie
watu weupe na wawe
wapo tayari kwa lolote
lile kupambana na watu
weupe na watu weupe sio
watu wala wasishirikiane
nao. Malcolm X aliifanya
kazi hio ya ugozi na
akiwavutia vijana wengi
weusi kujiunga na Nation
of Islam na hata wale
walioshindwa kusilimu
wakimhusudu na
kumuigiza. Alipofika upeo
huo Elijah Muhammed
akawa anatiwa na
khofu kuwa nafasi yake
itanyakuliwa na Malcolm
X.
Mwaka wa 1965
Malcolm X alipata fursa
ya kwenda kuhiji Makka
na kuzitembelea nchi za
Kiafrika na hapo Malcolm
ndipo alipobadilika na
kuja kufwata Uislamu wa
kweli usiohubiri ubaguzi
wa Mweupe kwa Mweusi
na Mweusi kwa Mweupe
wala kutumia mabavu
pasi kuwa na sababu
zilizodhukuriwa katika
kitabu kitakatifu cha Quran
na Hadithi za Mtume
( S AW ) . A l i p o k u we p o
Makka aliandika barua
ambayo imewekwa kama
kumbukumbu. Barua
hiyo alimuandikia kaimu
wake aliokuwepo Harlem.
Tafsiri ya barua hio yapo
hapo chini.
Barua ya Malcolm X
kwa Kaimu wake
Aliaanza kwa kusema
maneno yafwatayo:
Sijapatapo kuona wema
na ungwana wa kindugu
ambao unatekelezwa na
watu wa rangi mbalimbali
na makabila mbalimbali
katika ardhi ya nchi ya
Mtume Ibrahim, Mtume
Muhammad (SAW) na
Mitume mbalimbali
walioteremshiwa vitabu
vitakatifu. Ukweli kwa wiki
nzima iliyopita nimekuwa
ni mtu nisiyekuwa na kauli
na kuvutiwa kwa kiwango

cha hali ya juu kwa yale


n i l i y o ya s h u h u d i a n a
kufanyiwa wema na watu
wa makabila mbalimbali.
Nimebahatika na
kupata baraka kuuzuru
mji mtukufu wa Makka,
nimeweza kutufu kwa
kuizunguka Al-Qaba
mara saba nikiongozwa
na Mutawaf aitwae
Muhammad, nimekunywa
maji ya Zamzam,
n i k a k i m b i a b a i n a ya
Safwaa na Marwa, nilifika
maeneo matakatifu ya
Mina na katika Mlima
Arafa.
Kulikuwa na Mahujaji
kwa maelfu kutoka kila
pembe ya dunia, watu
wa kila rangi, weupe
wenye macho ya kibuluu
na nywele za singa na
watu weusi. Juu ya watu
hao kuwa na rangi tafauti
lengo lao lilikuwa ni moja
tu, nalo ni kutimiza nguzo
ya tano katika Uislamu
na kujenga umoja na
mshikamano, ambao kwa
uzoefu wangu nchini
Marekani umoja baina
ya mtu mweupe na mtu
mweusi haupo.
Wamerekani wana haja
ya kuuelewa Uislamu
kuwa ni dini ilioondosha
na kufuta ubaguzi wa
rangi katika jamii ya kila
aina.
Katika ziara zangu
katika nchi zinazokaliwa
na Waislamu kwa wingi,
nimeweza kukutana na
kukaa na kula sahani moja
na watu ambao nchini
Amerika wanajiita watu
weupe wenye kujitenga
na weusi. Niliokutana
nao tabia za kujiona na
kiburi zimewaondoka
katika nafsi zao kutokana
na mafunzo ya dini ya
Kiislamu, sijapatapo
kuuona udugu huu kama
niliuwona nchini Makka
na nchi zinazokaliwa na
Waislamu wengi.
Najua kuwa utapigwa na
butwaa na maneno yangu
haya niliyoyanukulu.
Hijja na matokeo yake
yamenilazimisha fikra
zangu nizigeuze upya na
kuweza kuzizika fikra za
ubaguzi na fujo.
Kuyafanya hayo
niliyoamua kuyatekeleza
sio kazi nzito kwangu
ijapokuwa huko nyuma
mitizamo yangu ilikuwa
ni ya ukakamavu
kupambana na ugozi. Mie

Inaendelea Uk. 14

11/12/2015 4:57:00 PM

14

MAKALA/TANGAZO

KAMA SI NGUVU YA SODA!!!

Kalamu nimeishika, kasiye kuiyangaza,


Mamlaka aloshika, taifa kuliongoza,
Si mwingine mtajika, Magufuli nadokeza,
Kama si nguvu ya soda, wakati utaamua!

Kathiri yaaminika, kasiye yawapendeza,


Si ajabu kadhalika, kuna inowachukiza,
Ndivyo insi hugawika, si jambo la kushangaza,
Kama si nguvu ya soda, wakati utaamua!
Wizarani mwakumbuka, ziara avyofanyiza,
Kwa miguu kakakaka!, vuu! pasi kuwajuza,
Baadhi wakazumbuka, kwa ofisi 'telekeza,
Kama si nguvu ya soda, wakati utaamua!
Simile hakuiweka, maswali akauliza,
Kuhusu walotoweka, majibu yakatatiza
Nahisi hakuridhika, japo aliyakatiza,
Kama si nguvu ya soda, wakati utaamua!
Muhimbili akafika, nako kwa kustukiza,
Simanzi ikamshika, kwa alokuta mayaza,
Yasoweza 'vumilika, mengine akauliza,
Kama si nguvu ya soda, wakati utaamua!
Mashine kutotumika, nyeti kukamchukiza,
Hivyo akalazimika, papo hapo kuagiza,
Kutengenezwa haraka, kwa shadda akahimiza,
Kama si nguvu ya soda, wakati utaamua!
Sijamaizi hakika, ya ziara-stukiza,
Yumkini kadhalika, kwalo kuhisi naweza,
Uchapakazi ataka, kusiwepo mapuuza,
Kama si nguvu ya soda, wakati utaamua!
Falau ndilo ataka, kwa dhati si kuigiza,
Wala si swifa kusaka, bali taifa kufuza,
Kongole ninatamka, kwa hilo kumpongeza,
Kama si nguvu ya soda, wakati utaamua!
Lingine wazi naweka, watu lilowapendeza,
Safari kando kuweka, za nje na kuagiza,
Mabalozi kutumika, shughuli kutekeleza,
Kama si nguvu ya soda, wakati utaamua!
Lengole lafahamika, matumizi kupunguza,
Kwa hili wasononeka, si wala sima kwa chaza,
Vigogo waheshimika, wala ubwabwa kwa pweza,
Kama si nguvu ya soda, wakati utaamua!
Safarizo kutenguka, wasanze kugazagaza,
Ama kinyongo kuweka, au mambo kuvuruza,
Wapaswa kumakinika, taifa kuendeleza,
Kama si nguvu ya soda, wakati utaamua!

AN-NUUR

MUHARRAM1437, IJUMAA NOVEMBA 12-18, 2015

Barua ya Malcolm X Al-Hajj Malik El-Shabazz kutoka Makka


Inatoka Uk. 13
ni mtu ambaye nipo tayari
kwa wakati wowote ule
kukabiliana na ukweli na
kuukubali katika maisha
ninayoishi. Akili yangu
siku zote nairatibu na
kuielekeza kuwa tayari
kupokea mabadiliko
ambayo yanakupelekea
kwenye mafanikio.
Siku 11 nilizozitumia
katika Mataifa ya Kiislamu
kuweza kula sahani
mmoja, kunywa kwenye
bilauri mmoja na kusali
kwenye msala mmoja.
Uislamu umewaongoza
watu kuepukana na
ugozi, hakika ukweli huu
nimeuona nilipokuwepo
Sudan nchini Nigeria,
Algeria, Morocco na
Ghana.
Hakika sisi ni ndugu
kwa sababu tunamuabudu
Allah aliotufunza
kuondosha kasumba za
kiburi na ujahili. Nayaona
maamrisho haya kama
watu wa Marekani
watayafwata watasita na
ubaguzi na kuwanyanyasa
watu wa rangi nyengine.
Ta u n i y a u b a g u z i
imewagubika Wamerekani
na matokeo yake kuwa ni
kama Saratani isiyotibika.
Wakiristo na Weupe wa
Marekani nyoyo zao lazima
zibadilike juu ya ubaguzi.
Nafikiria wakati umefika
kwa Wamerekani kujivua
na fikira hizi ambazo
zitawavua kutotumbikia
katika janga lilowakumba
Wajarumani mwishowe
likawadhuru.
Kila sala niliosali katika
ardhi takatifu iliniwezesha

Malcolm akiwa amevaa vazi la Kiafrika


kuitakasa roho yangu
na kunifanya kujiuliza
kulikoni kukawa na tafauti
baina ya Weupe na Weusi?
Wa m e r e k a n i We u s i
wasilaumiwe kuwa
maadui na ghadhabu
walizonazo juu ya Weupe
kwani hayo ni majumuiko
na matokeo ya zaidi ya
miaka 400 ya ubaguzi
nchini Marekani. Imani
yangu nikuwa vijana wa
leo katika maskuli na vyuo
v i k u u wa n a s h u h u d i a
maandiko kwenye kuta
ya kupinga siasa chafu
wa l i o n a z o We u p e
maandishi labda yataweza
kuwabadilisha kiroho na
kuwaweka mbali na hili
janga.
Nasema kwa uwazi na

kujigamba kuwa sijapatapo


kuthaminiwa na kuona
utu nilionao kama mtu
Mweusi. Masiku machache
yaliopita anayejulikana
nchini Marekani kama
m t u M we u p e m wa n a
Diplomasia katika Umoja
wa Mataifa, akiwa balozi
mshirika wa wafalme
amejitolea kunipa nafasi
ya kukaa hoteli katika
nafasi yake, jambo ambalo
halijapatapo kunipitia
katika maisha kama ni
mtu Mweusi.
Shukurani apewe
Muumba, Mfalme wa
viumbe vyote.
Wako mtiifu;
Al-Hajj Malik ElShabazz (Malcolm X)

Na panapolazimika, kwenda wao 'tekeleza,


Kinopaswa kufanyika, dhahiri keshawajuza
Kibali kwake kutoka, au alikolekeza,
Kama si nguvu ya soda, wakati utaamua!
Mwisho karibu kufika, wa kasi kuiyangaza,
Kwa sasa yatononoka, tena kwa kufululiza,
Ofisi kuzimulika, za umma yazidi fuza,
Kama si nguvu ya soda, wakati utaamua!
Hofu yangu na wahaka, ni hiyo yake ruwaza,
Chamani kuvumilika, sidhani kama yaweza,
Na mfumo ulomweka, kweli havitaikwaza?
Kama si nguvu ya soda, wakati utaamua!
Kwa akali nilotaka, ni hayo kuyaangaza,
Khamsashara kuvuka, si khutuba sitaweza,
Kalamu chini naweka, tamati sina nyongeza,
Wakati ndiye hakimu, kama si nguvu ya soda.
ABUU NYAMKOMOGI-MWANZA

ANNUUR NEW.indd 14

Malcolm X na Moahmmed Ali

11/12/2015 4:57:00 PM

15

Watoto wa Kipalestina wanateseka jela srael

YOMBO vya Palestina


vimetangaza kuwa
watoto wa Kipalestina
wanashikiliwa katika
mazingira mabaya katika
jela za utawala dhalimu wa
Israel.
Ripoti zinasema kuwa
idadi ya watoto wadogo
waliokamatwa huko Palestina
katika miezi ya hivi karibuni
na katika wimbi la sasa na
mapambano ya Intifadha
ya Quds imeongezeka
na kwamba, wengi wao
wanateswa na kunyanyaswa
na askari wa utawala wa
Israel.
Mwanasheria wa Palestina
anayejihusisha na masuala ya
kutetea haki za binadamu,
Ibrahim al Aaraj, ambaye
Jumanne ya wiki hii
ametembelea jela ya Israel
ya al Oufi, amesema kuwa
jela hiyo haina tena nafasi
ya kupokea wafungwa zaidi
na kwamba, idadi kubwa ya
wafungwa wake wanalala
chini sakafuni kutokana na
ukosefu wa nafasi.
Al Aaraj ameongeza kuwa
watoto 138 wa Kipalestina
wanashikiliwa katika jela ya
Israel ya al Oufi.
Wakati huo huo, jeshi la
Israel limempiga risasi na
kumuua kijana mwingine wa
Palestina katika Ukingo wa
Magharib.
Kijana huyo amepigwa
risasi na kuuawa mapema
Jumanne ya wiki hii katika
kituo cha barabarani cha
Jalama katika mji wa Jenin.
Shirika la Hilali
N ye k u n d u l a Pa l e s t i n a
limesema Wapalestina 2,617
wamepingwa risasi na askari
wa Israel katika mwezi
uliopita pekee katika Ukingo
wa Magharibi wa Mto Jordan.
Wakati hayo yanabainika,
M a m l a k a ya N d a n i ya
Palestina imefungua
mashitaka katika Mahakama
ya Kimataifa ya Jinai-ICC,
dhidi ya jinai za utawala
wa Israel katika Ukingo wa
Magharibi wa Mto Jordan na
Ukanda wa Gaza wakati wa
Intifadha ya Quds, na tayari
mahakama hiyo imeanza
uchunguzi wa kufuatilia kesi
hiyo.
Mwakilishi wa Palestina
katika Baraza la Haki za
Binadamu la Umoja wa
Mataifa mjini Geneva Uswisi,
Balozi Ibrahim Khraishim,
a m e s e m a Wa p a l e s t i n a
wa n a s u b i r i k u m a l i z i k a
uchunguzi wa mahakama
hiyo ya ICC ili kuona hatua
gani zitachukuliwa.
Kukithiri mashambulizi
ya walowezi wa Kizayuni
dhidi ya Wapalestina na
dhidi ya Masjidul Aqswa na
Baytul Muqaddas, pamoja
na kuvunjwa nyumba za
Wapalestina na kuendelea
ujenzi wa vitongoji vya

ANNUUR NEW.indd 15

AN-NUUR

MAKALA

Wapalestina waishitaki Israel ICC

WATOTO wa Kipalestina wakiwa katika


jela za Waisrael.
walowezi wa Kizayuni ni
m i o n g o n i m wa m a m b o
yaliyomo kwenye faili hilo.
Mamlaka ya Ndani ya
Palestina siku ya Ijumaa
tarehe 30 Oktoba, ilifungua
kesi katika mahakama ya ICC
kuwashitaki Wazayuni kwa
kuwaua shahidi makumi ya
Wapalestina.
Hilo ni faili la tano la kesi
za jinai za Israel katika ardhi
za Palestina zinazokaliwa
kwa mabavu na Wazayuni,
a m b a l o l i m e f u n g u l i wa
na Mamlaka ya Ndani ya
Palestina katika Mahakama
ya Kimataifa ya Jinai ICC.
Baada ya Palestina
kujiunga na Mkataba wa
Roma uliounda Mahakama
ya Kimataifa ya Jinai ICC,
mahakama hiyo ilianzisha
uchunguzi wake wa awali
kuhusu kesi zilizofunguliwa
na Wapalestina kuhusiana
na ujenzi wa vitongoji vya
walowezi wa Kizayuni,
pamoja na jinai za kivita
zilizotendwa na utawala
wa Kizayuni katika
mashambulizi ya siku 51
mwaka jana huko Ghaza.
Wachambuzi wa mambo
wanaamini kuwa, hatua
yoyote itakayochukuliwa
na mahakama ya ICC
katika kufuatilia kesi za
jinai za Wazayuni, inaweza
kusaidia katika kuizuia Israel
kuendelea na jinai zake dhidi
ya Wapalestina.
K a b l a ya h a p o , R a i s
wa Mamlaka ya Ndani ya
Palestina Mahmoud Abbas,
alimwambia Mwendesha
Mashitaka Mkuu wa
mahakama ya ICC, Bi. Fatou
Bensouda, wakati alipoonana
naye hivi karibuni kwamba,
mahakama hiyo inapaswa

kulipa uzito mkubwa suala


la kufuatilia jinai za mwezi
mmoja uliopita za Wazayuni
d h i d i ya wa n a n c h i wa
Palestina.
Bi. Bensouda kwa upande
wake ameulaani utawala
wa Kizayuni wa Israel kwa
kufanya jinai za kivita dhidi
ya Wapalestina.
Tangu ilipoanza Intifadha
ya Quds tarehe Oktoba 1,
mwaka huu, utawala wa
K i z a y u n i u m e s h a wa u a
zaidi ya Wapalestina 69 na
kuwajeruhi wengine zaidi
7,000.
Hatua ya Palestina ya
kujiunga na mahakama ya
ICC imemaliza kipindi cha
kinga ya kisheria ya viongozi
wa utawala wa Kizayuni wa
Israel, ambao wamefanya jinai
kubwa dhidi ya Wapalestina
katika kipindi cha miongo
sita iliyopita wakiungwa
mkono na Marekani.
Karibu miaka 70 sasa,
Israel imekuwa ikitenda
jinai za kila namna dhidi ya
Wapalestina.
Licha ya hali kuwa hivyo
miaka yote hiyo, lakini
Mahakama ya Kimataifa ya
Jinai ICC kama ilivyo kwa
makumi ya taasisi nyingine
z a U m o j a wa M a t a i f a ,
muda wote huo ilikuwa
inanyamazia kimya jinai hizo
za Israel.
Hata hivyo hivi sasa
mahakama hiyo imeamua
angalau kufanya uchunguzi
kuhusu jinai hizo, hatua
ambayo wachambuzi wa
mambo wanaona itasaidia
katika kupunguza jinai
z a Wa z a y u n i d h i d i ya
Wapalestina.

MUHARRAM1437, IJUMAA NOVEMBA 12-18, 2015

JAWABU CHEMSHA BONGO NAMBA: 25


E
N
O
C
H
J
O
N
A
H

A
Y
O
U
B
B
C
A
M
M

A
D
A
M
A
S
E
N
T
U

A
T
A
B
U
K
D
S
U
S

N
A
B
C
D
E
G
F
M
S

S
U
L
E
Y
M
A
N
E
A

M
U
H
A
M
A
D
A
M
A

I
A
L
L
N
N
C
E
U
Y

S
D
B
A
O
O
N
I
H
O

H
U
I
M
U
U
N
O
A
U

A
R
R
H
R
H
S
U
M
B

Q
A
K
A
B
S
K
A
A
B

I
S
S
A
N
N
Y
B
D
N

MASUALA
1.
Jina la Mtume Issa kwa Kiengereza. Jawabu : Jesus
2.
Jina la Mtume Yunus Kienegereza. Jawabu : Jonah
3.
Alipopiga bahari kwa fimbo yake ikafanya njia akapita na
kaumu yake ni Mtume gani? Jawabu : Mussa
4.
Mtume gani akijua lugha za wanyama? Jawabu : Suleyman
5.
Mtume gani alikuwa na Subira ya hali ya juu yenye
kupindukia? Jawabu : Ayoub
6.
Mtume aliyemlea bibi Maryma baba wa Mtume Yahya.
Jawabu : Zakaria
7.
Kigezo chema kwa Waislamu ni kwa nani? Jawabu :
Muhamad
8.
Mtume yupi aliozaliwa Kimiujiza? Jawabu : Issa
9.
Aliwalingania Umma wake kwa karne 9. Jawabu : Nouh
10. Taja Mtume wa mwanzo na wa mwisho (Nouh-Idriss,
Mussa-Issa, Adam-Muhammad) Jawabu : Adam-Muhamad
*Kuna kosa ndani ya Jadweli hakuna jina la Jesus na Zakaria

CHEMSHA BONGO: 26

Weka duara kwenye jawabu ilio sawa. Jawabu kamili wiki ijayo.
B
E
N
G
A
L
U
K
K
1850

B
H
O
P
A
L
P
U
I
WHO

J
U
S
U
H
U
U
G
U
WMO

E
S
A
T
A
P
P
W
M
WCO

R
T
F
T
I
P
A
I
E
G

U
B
G
U
F
I
E
A
S
X

S
I
H
R
A
D
P
K
U
U

A
T
J
U
Y
A
O
I
K
C

L
I
K
K
A
E
S
R
I
R

E
U
L
I
F
B
B
U
K
Y

M
A
M
Z
A
F
H
S
E
1960

B
A
K
T
E
R
I
I
Y
Z

L
E
U
K
I
M
I
A
O
1950

MASUALA
1.
Jee utowaji wa majina kwa vimbunga umeanza mwaka
gani? 1850, 1950, 1988.
2.
Litaje shirika linaloratibu utowaji wa majina ya vimbunga.
WHO, WMO, WCO,
3.
Majina yepi yanatawala kuitwa kwa vimbunga, majina ya
Kiume au Kike?
4.
Bengal, Kashmiri, Bhopal ni mji upi ndio uliripotiwa
duniani kwa mara ya kwanza kukumbwa na janga la kipindupindu?
5.
Anayosababisha kipindupindu ni Kirusi, Kugwi, Bakteria.
6.
Saratani ya damu inajulikana kwa jina gani?
7.
Nini jina la ndege Hoope (Hud hud) kitaalamu?
8.
Jina la ndege Hoope linaekwa kwenye familia gani?
9.
Itaje Miji 3 muhimu katika eneo la Palestine.
10. Nchi gani yenye wakazi wengi wa dini ya Kiislamu ikiwa
ipo sehemu Ulaya na sehemu Asia

Jee Unajua?
1.
Miti inaisihi kwa miaka mingi kufikia umri wa miaka
alfu na kuongezeka kina cha urefu wake aidha asilimia 25 ya dawa
zote zinazotumiwa duniani hutokana na misitu ya mvua. http://
www.greenpeace.org.uk/blog/forests/9-awesome-facts-aboutforests-20140321
2.
Mti uliohesabiwa kuwa na umri mkubwa umeonekana
huko Marekani ukikisiwa kuwa na umri wa miaka 4,700.
3.
Inafahamika kuwa samaki wameanza kuonekna duniani
kwa zaidi ya miaka milioni 450, aidha kuna aina ya samaki zaidi ya
alfu 15 duniani bado hawajatambulikana. http://www.peteducation.
com/article.cfm?c=16+2160&aid=586
4.
Sio samaki wote wana magamba, mfano jamii ya Papa ni
samaki wasio na magamba. http://facts.randomhistory.com/fishfacts.html
5.
Inakadiriwa kuwa kiwango cha kiasi asilimia 40 ya samaki
duniani kote hupatikana katika maeneo ya maji ya baridi. https://
kidskonnect.com/animals/fish/
6.
Inafahamika kuwa Waskotish ndio watumiaji wakubwa wa
uraibu wa Cocaine duniani. http://www.factslides.com/s-Cocaine
7.
Watu wa Korea hula pweza mbichi kikiwa ni kitoweo.
http://www.factslides.com/s-Octopus
8.
Kila siku duniani kote watu hunywa vikombe bilioni 2.25
vya kahawa. http://www.factslides.com/s-Coffee
9.
Kuna baadhi ya nyoka hufikia kuweza kuishi kwa miaka
miwili pasi na kula. http://www.factslides.com/s-Snake
10. Pua yako ina uwezo wa kuzikumbuka harufu za aina
50,000. http://www.factslides.com/s-Your-Body

11/12/2015 4:57:01 PM

16

MAKALA

AN-NUUR

MUHARRAM1437, IJUMAA NOVEMBA 12-18, 2015

Israel issues eviction, demolition World Bank allocates $8 mil ion to


education sector in Palestine
orders to 10 families in Nablus
ETHLEHEM (Ma'an)
B
-- The World Bank
on Monday announced

ABLUS (Ma'an) -N
Israeli forces issued
eviction notices to 10

Pa l e s t i n i a n f a m i l i e s
from Jaloud village in
the northern occupied
West Bank district of
Nablus, with the intent
of demolishing the homes,
a local monitor said.
Ghassan Daghlas,
who monitors settlement
activity in the northern
West Bank, said the families
r e c e i ve d o r d e r s f r o m
Israeli forces that state the
families should leave their
homes within 15 days, so
they can be demolished
due to their proximity to a
nearby settlement.
Daghlas said the area

has been populated by


the 10 families since the
1970s, while the settlement
is new, adding that the
decision is "racist," and

aims to appease settlers


at the expense of the
Palestinian population.
Over 80 people live in
the homes, Daghlas said.

$8 million worth of
funding to improve
"basic services and
quality of education" in
the occupied Palestinian
territory.
The World Bank
affirmed in a statement its
"long term engagement"
with the two sectors,
saying they were "vital
to the state building
process and the cohesion
of Palestinian society
despite the fragile sociopolitical context."
One grant worth $5

Israeli forces raze several Palestinian Israel takes Palestinian


homes in occupied Jerusalem radio off air in West Bank
SRAELI officials have
IArabic-language
taken a Palestinian
radio

SRAELI forces
demolished at least
three apartments
in the Beit Hanina
neighborhood of East
al-Quds on Monday,
the Palestinian Maan
news agency reported.
According to
witnesses, Israeli forces
used bulldozers to
demolish a housing
complex which
contained three
apartments. The Israeli
forces demolished the
homes with all of the
families' belongings
inside.
Sources say the
destruction has cut the
supply of water and
electricity to nearby

ANNUUR NEW.indd 16

houses and facilities in


the neighborhood.
Local residents say
the demolition took
place although they had
obtained an order from
an Israeli court to halt
the plan.
According to Israeli
rights group B'Tselem,
the Tel Aviv regime
has razed nearly 580
Palestinian homes over
the past 12 months.
Palestinians say Israel
is seeking to expand
settlements through the
demolitions.
Tel Avivs policy of
demolitions comes hand
in hand with the regimes
tight restrictions on
Palestinian construction.

station off air over what


they described as its
attempts to further
escalate tensions in the
occupied West Bank.
On Tuesday morning,
Israeli military forces
raided the office of
Free Palestine Radio in
the southern occupied
West Bank city of alKhalil (Hebron),
located 30 kilometers
( 19 miles) sout h of

al-Quds ( Jerusalem),
ransacked the building,
and confiscated the
radios broadcasting
equipment, Arabiclanguage Palestine alYawm news agency
reported.
The Israeli army had
earlier ordered Free
Palestine Radio to be
shuttered for at least six
months after accusing
it of spreading hatred
against the Tel Aviv
regime.

Israeli Soldiers Set House on Fire,


Injure Several Palestinian Families

ETHLEHEM (WAFA) Israeli army forces Tuesday


B
fired tear gas canisters inside Palestinians homes
in al-Miftah area in Aida refugee camp, north of

Bethlehem, setting one house on fire and injuring


members of another family.
Deputy Director of ambulance and emergency crews
in the Palestinian Red Crescent Mohammad Abu Rayan
told WAFA a part of the Abu Shaira familys house
caught fire and was partially burned after Israeli soldiers
fired tear gas canisters inside.
He explained that around 30 Palestinians, including
children, suffered from suffocation after Israeli soldiers
intentionally fired three gas canisters inside three
apartments belonging to the Abu Akr family.

million will go toward


local government to
assist with basic services,
the statement said.
"The critical reforms in
local government units
will improve service
delivery and respond to
citizens' demands," said
Steen Lau Jorgensen, the
World Bank's country
director for the West
Bank and Gaza.
A second grant worth
$3 million will go toward
the World Bank's teacher
education improvement
project.
"Over the last five
years, the project has
focused on improving
the competencies and
skills of teachers in the
West Bank and Gaza
schools," the statement
said.
Jorgensen added:
"Good teachers with
on-the-job training have
a direct impact on the
learning and success of
students. Recognizing
that need and translating
it into active strategy is
investing in the future
of Palestinian children
and their resilience
to challenges -- such
investment pays off for
years to come."
Since 1993, the World
Bank has provided just
short of $1 billion to the
occupied Palestinian
territory.
At t h e e n d o f
September, the World
Bank warned in a report
that the poor state of the
Palestinian economy
had led to the "high risk"
of renewed conflict.
The World Bank
pointed to reduced donor
aid, the suspension of
revenue payments, war,
and ongoing restrictions
by Israel as having all had
"a severe impact on the
Palestinian economy."
"The persistence of this
situation could potentially
lead to political and social
unrest," the report said,
just days before largescale protests swept the
o c c u p i e d Pa l e s t i n i a n
territory in October

11/12/2015 4:57:03 PM

17

HABARI/MASHAIRI

AN-NUUR

MUHARRAM1437, IJUMAA NOVEMBA 12-18, 2015

Sheikh Muhammad Bin Umar Al-Khatibu-(iv)


Na Ben Rijal

ATIKA mfululizo
wa makala za
wanavyuoni
wetu, hii leo
tutamuangalia alimu
mwengine wa visiwani
humu kwa jina ni Sheikh
Muhammad Bin Umar
Al-Khatibu.
Sheikh Muahammad
Bin Umar kama watu
walivyopenda kumwita
b wa n a wa S h a n g a n i /
Shakani, alizaliwa
m wa k a wa 1 2 3 9 A . H
(1876). Unapojaribu
kutaka kumzungumza
Sheikh inakubidi kwanza
umtizame ni nani mwalimu
wake? Katika wanafunzi
wengi wa Sheikh Abdallah
Bakathir (1860-1925)
aliowasomesha pale
alipokuwa keshastakimu
Unguja, alikuwa ni Sheikh
Muhammad Bin Umar.
Sheikh Muhammad Bin
Umar alipelekwa kupiga
goti na kupinda shingo
(kusoma) kwa Sheikh
Abdallah Bakathir na hapo
aliweza kuonyesha jitihada
kubwa ya kujifunza, na
Sheikh Bakathir akatokea
kumpenda mno na
kumfanya kati ya watu
wa aila yake na alikuwa
akiandamana naye popote
pale alipokuwa anakwenda
na kuhakikisha kuwa
Sheikh Muhammad Bin
Umar yupo naye popote
pale aendapo.
Sheikh Muhammad
B i n U m a r a l i p o k u wa
anajifunza na wanafunzi
wenzake ikiwa wa
makamo yake na
wengine waliomzidi
hirimu, kilimchukua
kipindi cha muda mfupi
sana kuonekana kuwa
mwanafunzi hodari na
aliweza kuwa taliisha
wenziwe na muda usio
mrefu. Aidha, alipata
makamo ya kusomesha
darasa ndogo ndogo hapo
Ukutani alipoachiwa na
Sheikhe wake Sheikh
Abdalla Bakathir.
Ukutani katika nyakati
hizo ilikuwa ni sawa na
"College yeyote ile kubwa
ya kidini hivi sasa duniani,
kwani wanavyuoni
takriban asilimia kubwa
walipitia hapo na kusomea
Ukutani na wasomi hao
walikuja kukubalika nje ya
Afrika Mashariki ikiwemo
Hadharmout, Makka na

ANNUUR NEW.indd 17

Sheikh Muhammad bin Umar Al-Khatib ni kati ya wanafunzi waliokuja


kuchukua na kufwata nyayo za magwiji waliokuwepo siku hizo akiwa
Sheikh ABubakar Bakathir na Syd Ahamd bin Sumeyt. Sheikh Muhammad
bin Umar na Sheikh Muhsin bin Barwany na Sheikh Umar bin Sumeyt
ndio waliopewa makamo ya kusimamia urithi wa eneo la Ukutani, sehemu
ambayo ilikuwa ni kitovu cha elimu visiwani Zanzibar. Kipindi kifupi cha
kusoma kwake kwa Masheikhe wake aliweza kupewa nafasi ya kudarasisha.
Inasemekana alikuwa na mwandiko mzuri wa hati za Kiarabu na kuwa
mwandishi wa vitabu wa walimu wake.
Misri.
Sheikh Muhammad Bin
Umar alikuwa na wake
wawili, mmoja akikaa nae
mjini na wa pili akiishi
n aye k a tik a mta a wa
Kikwajuni ambako alikuwa
akidarasisha baadhi ya
siku za wiki katika Msikiti
wa Kikwajuni unaojulikna
hivi sasa Msikiti wa AhliSunna.
Kipindi cha kusomesha
watu wa hirimu yake
kilidumu miaka saba kabla
ya kupewa makamo kamili
ya kudarasisha darasa
zote, ijaza hio alipewa
na Sheikhe wake. Katika
kusomesha alifanya
kazi kubwa ya kutosita
kusomesha kwa siku nzima
inayompitia alikuwa
akianza kudarasisha
mara tu baada ya sala
ya alfajiri hadi saa tano
za asubuhi, wanafunzi
wa k i b a d i l i s h a n a k wa
makundi. Kundi
hili likimaliza kundi
jengine linaingia na hivi
n d i v y o wa l i v y o k u wa
wakisoma watu na
n a m n a wa l i v y o k u wa
wakisomeshwa.
Wa n a v y u o n i w e t u
waliopita walipitia
mkondo huu wa kusoma
na kutalii na wenzao
kuanzia asubuhi hadi Isha.
Suala la kujiuliza
ni vipi wakijiendesha
kimaisha? Kila mmoja
alikuwa na sampuli
yake. Wengine walikuwa
wa m e t o l e wa m a k wa o
na kila haja zao zilikuwa
zikikidhiwa makwao.
Wengine walikuwa na
mali za kurithi nyumbani.
We n g i n e w a l i k u w a
wafanya biashara, na
wengineo hawajakuwa
na lolote ila wakijifunza
na kuangalia bahari ya
maisha itawachukua vipi
na kuwaweka wapi?
Msikiti Gofu ni kati ya
misikiti michache visiwani
humu kuwa wanasali
sala ya Tarawehe na Sala
za Witri kwa mtindo

wa kusomwa juzuu
kamili. Kumbukumbu
zinaonyesha kuwa
ni Msikiti wa mwanzo
visiwani kuwa wakisali
Tarawehe na Witri katika
mwezi wa Ramadhani
kwa kusoma kila siku
juzuu moja. Hivi sasa
jema linaloendelea nikuwa
Misikiti mingi visiwani
inakwenda na mtindo
wa kusali Tarawehe na
Witri kwa usomaji wa
juzuu nzima. Msikiti wa
pili kusali Tarawehe na
Witri kwa kusoma Juzuu
nzima ulikuwa Msikiti wa
Chwaka katika Karne ya 19.
Chwaka ipo katika wilaya
ya kati, ikiwa ipo shamba,
mjini kulijaa Misikiti lakini
haikufwata mtindo huu
kwa haraka kama Chwaka.
Nini kilipelekea Chwaka
kwenda na mtindo huu?
Jawabu ni kusema kuwa
wanafunzi waliokuwa
wakisoma Ukutani
na kusali Msikiti Gofu
walichukua mtindo huo
na kwenda nao Chwaka
na Chwaka nako kulikuwa
k a t i k a s e h e m u z e n ye
wasomi wazito wa dini ya
Kiislamu kama ilivyokuwa
Donge na Makunduchi
siku hizo.
Sheikh Muhammad
Bin Umar alitokewa
kupendwa sana na Sheikhe
wake na alipewa makamo
ya kusalisha Tarawehe
na Witri wakati walimu
wake wakuu wa hai na
wakiwa nao wakihudhuria
sala hizo, hao sio wengine
ila ni Sheikh Abdallah
Bakathir na Sayid Ahmed
Bin Sumeit. Sheikh
Muhammad Bin Umar
alidumu kuzisalisha
sala hizi hadi alipokuja
k u p o k e wa n a S h e i k h
Abdallah Saleh Bin Farsy
katika mwaka wa 1933.
Sheikh Muhammad
alikuwa akiisoma Quran
kwa hukmu zake na kwa
ukamilifu, jambo ambalo
lilimfanya achaguliwe
kuwa Khatibu wa Msikiti
Ijumaa wa Malindi na
Sheikh Abdallah Saleh

Farsy anatueleza kuwa


"hakutokea Khatibu
katika Unguja, Pemba,
Mrima, Mombasa na
Lamu mwenye sauti ya
juu na kali kama Sheikh
Muhammad Bin Umar".
Sheikh Muhammad Bin
Umar alidumu kusomesha
darsa zake zote Msikiti
wa Kikwajuni aliweza
kupata wanafunzi wengi
ilibidi ahame Msikiti wa
Kikwajuni na kuhamia
Msikiti Gofu kusomesha
darasa zake katika mwaka
wa 1927 alipokufa Sheikh
Muhammad Bin Abdallah
Al-Hinzwany. Alikuwa na
darsa nyingi akizisomesha
hapo Msikiti Gofu na
alizidi kutwikwa mzigo
na mzigo kumuelemea
pale Sheikh Muhsin
Barwany aliposhindwa
kuzisomesha darsa pale
Ukutani kuzidiwa na
maradhi na kupokewa na
Sheikh Abubakar na Sheikh
Abubakar kumwachia
Sheikh Sheikh Muhammad
bin Umar. Usomeshaji wa
Sheikh Mohammed bin
Umar ulikuwa sawa na
wa Masheikhe wake Syd
Ahmad bin Sumeyt na
Sheikh Abdalla Bakathiri
kwani walipofariki namna
alivyokuwa akiziendesha
darsa wengi walitamka
kuwa zimeondoka sura
tu za watangulizi wake
lakini taaluma waliokuwa
wakiipata ni ileile.
Darsa zake zilikuwa
zikihudhuriwa na watu
a m b a o wa l i k u wa wa
madhehebu nyenginezo,
lakini waliyaweka
madhehebu upande na
kwenda kuchota elimu
kwake, kwani alikuwa ni
kisima chenye kina kirefu
na maji yake yapo saa
zote na kila yakitekwa
basi huzidi kuja juu.
Sheikh Muhammad bin
Umar alikuwa akiepuka
masuala ya malumbano
katika madhehebu na haya
ndio yaliowavutia wafuasi
wa madhehebu mengine
kushikamana naye.
Alipokufa Sheikh

Abubakar alikuwa yeye


ndiye mwenye amri zote za
nyumba mbili za Ukutani
kwani, bwana huyu alipata
bahati nzuri ya kumuoa
mtoto wa Sheikh wake,
kwa hivi nikusema Sheikh
Abdalla alikuwa mkwewe
na Sheikh Abubakar na
ndugu zake wanakuwa
shemegi zake, ni Sheikh
Muhammad Bin Umar
aliyetoa shauri ya kufanya
nyumba mbili za ukutani
k u wa n i n y u m b a z a
wakfu na kila mmoja wao
akaridhia. .
Wengi wa Masheikh
waliopita walikuwa na
muandiko mzuri, naye
Sheikh Muhammad
Bin Umar alikuwa
na muandiko wenye
kupendeza kuusoma na
yeye ndiye aliyeandika
"Muswada" (Manuscript"
wa b a a d h i ya v i t a b u
alivyovitunga Sayyid
Ahmad na Sheikh Abdalla
na kavisoma mbele yao, na
wao wakamsikiliza).
Sheikh Muhammad
Bin Umar alifunga macho
usiku wa kuamkia Jumaane
tarehe 30 Mfunguo Tisa
1377 A.H (21. 1. 1957).
Msikiti Gofu na Ukutani
kama nilivyokwishaeleza
wanavyuoni tele
wakisomesha hapo na
kusomea hapo, na
mwahali humu mulikuwa
ndio chimbuko la elimu
hapa visiwani. Leo Msikiti
Gofu darsa ya pekee iliyo
na wanafunzi wengi ni ile
ya mwezi wa Ramadhani
baada ya sala ya Alasiri ya
tafsiri ya Quraan Msikiti
Gofu haina tena darasa
nzito nzito zilizopata
kuweko ingawa kuna
darsa zinazosomeshwa
sio kama zama hizo. Kwa
upande wake Ukutani
nayo imepoteza mkondo
wa taaluma iliyopata
kuweko.
W a k o
w a p i
watakaochukua jukumu
la kuirejesha hadhi na
mkondo wake uliopata
kuweko mwahali humo
mwenye historia kubwa
ya elimu ya dini visiwani,
yaani Msikiti Gofu na
Ukutani?
Tunamuomba "Allah"
azirejeshee Unguja
na Pemba yake elimu
ya Kiislamu kama
walivyokuwa nayo kina
Sheikh Muhammad
Bin Umar na wengineo
"Ameen".

11/12/2015 4:57:03 PM

18

MAKALA/TANGAZO

AN-NUUR

MUHARRAM1437, IJUMAA NOVEMBA 12-18, 2015

Kikao cha Maalim Seif, Dr. Shein kina walakini

Inatoka Uk. 20

Alisema Maalim
Seif katika kikao
hicho cha kwanza
cha kuzungumza na
wajumbe hao tangu
u c h a g u z i m k u u wa
Zanzibar ulipomalizika.
Amesema, tayari dunia
nzima wanamfahamu
Rais aliyechaguliwa na
wananchi wa Zanzibar
katika uchaguzi mkuu
uliopita, na kuwataka
wanachama wa Chama
hicho kuacha kusikiliza
kile alichokiita
proganda za Chama Cha
Mapinduzi zinazoeleza
kurejewa kwa uchaguzi.
Amefahamisha kuwa
hakuna sababu za
kurejewa kwa uchaguzi
huo kwani uchaguzi
ulishakamilika katika
ngazi zote na washindi
wa uwakilishi na udiwani
kutangazwa bila ya
kuwepo malalamiko
yoyote, na kwamba
kinachosubiriwa hivi
sasa ni kukamilika kwa
zoezi la uhakiki wa kura
za Urais kwa majimbo
yaliyobakia na hatimaye
mshindi wa uchaguzi
huo aweze kutangazwa.
M a p e m a
a k i z u n g u m z a
katika mkutano huo,
Mkurugenzi Mipango na
Chaguzi wa CUF Omar
Ali Shehe, amesema
licha ya ushindi wa
Urais, Chama hicho

pia kimepata ushindi


mkubwa kwa nafasi za
Uwakilishi na Udiwani.
Amesema katika
uchaguzi Mkuu
wa mwaka 2010
Chama hicho kilipata
Wawakilishi wanne (4)
na madiwani saba (7)
kwa upande wa Unguja
ambapo uchaguzi wa
2 0 1 5 k i m e f a n i k i wa
kupata Wawakilishi

tisa(9) na madiwani
kumi na tano (15).
Aidha amesema
Chama Cha Mapinduzi
kimepoteza wodi zote
tatu (3) za udiwani
katika kisiwa cha Pemba
na kukifanya Chama
hicho kushindwa kupata
m j u m b e ye y o t e wa
Baraza la Wawakilishi,
Ubunge na Udiwani.
Kabla ya mkutano

huo, Baraza Kuu la


Uongoz i CUF c hi ni
ya Mwenyekiti wake
ambaye ni Mwenyekiti
wa Kamati ya Uongozi ya
Chama hicho Taifa Bw.
Twaha Taslima, liliitisha
mkutano wa waandishi
wa h a b a r i k u e l e z a
maazimio ya baraza hilo
kufuatia kikao chake cha
dharura kilichokutana
jana 07/11/2015 katika

hoteli ya Mazsons Mjini


Zanzibar.
Katika maazimio yake
Chama hicho kimeishauri
Tume ya Uchaguzi ya
Zanzibar (ZEC) kutengua
uamuzi wa mwenyekiti

wake Bw. Jecha Salim


Jecha wa kufuta uchaguzi
mkuu wa Zanzibar, kwa

vile hana mamlaka ya


kikatiba na sheria ya
uchaguzi kuweza kufuta
uchaguzi huo.

NAFASI ZA KUJIUNGA NA KOZI FUPI YA UALIMU KATIKA VYUO VYA UBUNGO NA KIRINJIKO-2016
MUDA WA KUCHUKUA FOMU UMEONGEZWA TAREHE 28 NOVEMBA 2015.
Sifa na masharti ya kujiunga
Muombaji atimize sifa na masharti yafuatayo:
(i) Awe Muislamu aliye tayari kuishi Kiislamu
(ii) Awe anajua kusoma Quran kwa ufasaha.
(iii) Awe amemaliza juzuu ya 1 na 2 ya Maarifa ya Uislamu, Darasa la Watu Wazima kabla ya kujiunga.
(iv) Awe na uwezo wa kusoma na kuandika lugha ya Kiswahili kwa ufasaha.
(v) Awe amehitimu darasa la saba au kidato cha nne na awe anafundisha madrasa au kipindi cha dini katika shule za Msingi
au Sekondari.
Patakuwa na usaili siku ya tarehe 06/12/2015 saa 2:00 asubuhi katika chuo cha Ubungo na Kirinjiko na katika vituo
mbalimbali vya mitihani kote nchini.
Mwisho wa kuchukua fomu ni tarehe 05/12/2015.
Fomu italipiwa shilingi 5,000/- tu.
Fomu zinapatikana katika vituo vilivyoorodheshwa ukurasa wa 19 wa gazeti hili.
WABILLAH TAWFIIQ
MKURUGENZI

ANNUUR NEW.indd 18

11/12/2015 4:57:04 PM

19

ANNUUR NEW.indd 19

TANGAZO

AN-NUUR

MUHARRAM1437, IJUMAA NOVEMBA 12-18, 2015

11/12/2015 4:57:04 PM

AN-NUUR

20

MAKALA

20

MUHARRAM1437, IJUMAA NOVEMBA 12-18, 2015

Na Mwandishi Wetu

IKAO cha
M a a l i m
Seif Shariff
Hamad, kina
dosari kubwa na
taarifa zake haziwezi
kuaminika.
Hivyo ndivyo
wa n a v y o s e m a
wachambuzi wa siasa
na mambo ya utatuzi
wa migogoro ya kisiasa.
Mmoja wa wasomi
mashuhuri nchini
akitoa uchambuzi wake
amesema kuwa dosari
kubwa ya kikao hicho
ni mahali kilipofanyika
na wajumbe wa kikao
chenyewe.
Kwa Seif (Maalim
Seif Shariff Hamad)
kwenda Ikulu kukutana
na Mheshimiwa Dr.
Shein, kwanza inatoa
picha kwamba kaitwa
na bosi wake na
kaitikia wito, na hiyo
ni kuonyesha kuwa
anakubali kwamba Dr.
Shein bado ni Rais wa
Zanzibar kinyume na
wanavyotuchambulia
wanasheria na
wataalamu wa mambo
ya katiba.
Anasema msomi
h u y o a m b a ye h a t a
hivyo hakutaka jina lake
kutajwa gazetini.
Hali ilivyo hivi
sasa ni ya mgogoro,
hata kama ni mgogoro
b a n d i a , wo te hawa
wawili, hadhi yao ni
sawa, ni wagombea
urais kupitia vyama
v ya o , n a m g o g o r o
uliopo ni kuwa Tume
haijamtangaza ni nani
mshindi kati yao,
na kipindi cha urais
(serikali) uliokuwepo
ulishakwisha muda
wake kikatiba na
kisheria, si mgogoro wa
Rais na Makamo wake.
Maalim anapokwenda
I k u l u ya Z a n z i b a r ,
anakwenda kwa
bosi wake, sasa hapo
anakwenda kujadili
jambo au kupewa
maelekezo? Alihoji

Soma gazeti la
AN-NUUR
KWA TSH 800/=
kila Ijumaa

AN-NUUR

MUHARRAM1437, IJUMAA NOVEMBA 12-18, 2015

Kikao cha Maalim Seif,


Dr. Shein kina walakini

Wajumbe: CCM 4, CUF mmoja!


Kwani UKAWA hawana wazee?

MAALIM Seif Sharif Hamad (kushoto) akisalimiana na Dkt. Ali Mohamed


Shein.
mtaalamu huyo.
nini na mtu mmoja wa mgogoro (CUF/
Kwa
u p a n d e kutoka upinzani kama UKAWA) lakini ilivyo
m w i n g i n e a k a s e m a si kumpa maelekezo! ni kama wamekutana
kuwa tatizo jingine ni Alisema.
watu wa pande moja,
katika wajumbe wa
Kwani CUF wao Rais Dr Shein, Makamo
kikao.
hawana wazee? Hakuna w a k e w a K w a n z a
T u n a a m b i w a wazee katika UKAWA? Maalim Seif Shariff
pamoja na Rais Shein, Kama ni kutaka ushauri Hamad, Makamo wa
alikuwepo pia Balozi kutokana na busara za Pili, na wazee wawili wa
Idd ambaye ni Makamo wazee, wazee wa CCM CCM, ambao ni ma-Rais
wa Pili wa Rais, na huyu watakuwa na busara wastaafu wa serikali
ndiye mtendaji mkuu na ushauri gani zaidi ya CCM! Alisema na
wa serikali (ni Waziri ya kutaka ya Jecha k u h i t i m i s h a m a o n i
M k u u / K i o n g o z i ) , y a h i s h i m i w e k w a yake.
wengine walikuwa ma- kisingizio cha kulinda
Maoni ya mtaalamu
Rais wastaafu, Mzee Amani na utulivu?
huyo, ni kama
Alli Hassan Mwinyi
N a k a t i k a h a l i walivyosema wananchi
na Dr. Amani Abeid h i y o , k a m we C U F / wengine wa kawaida
Karume, wote hawa UKAWA, hawatajua wakitoa maoni yao
ni makada wa CCM, k i l i c h o o n g e l e w a wa k i s e m a k wa m b a
sasa mgogoro mkubwa katika kikao hicho. wanachoona hapa ni
kama huu, makada Angalau hata kama sarakasi na chenga za
4 wa CCM walio kaa ndio imebidi kwamba mwili za wajuanao kwa
katika kiti chao cha kikao kifanyike Ikulu, vilemba ili muda upite,
Dola, na mmoja wao basi pangekuwa na watu wachoke, waamue
akiwa kashikilia rungu uwakilishi wa kutosha kuendelea na yao.
lake la Dola, wanajadili kutoka upande wa pili
Hata hivyo, Katibu

Mkuu wa Chama Cha


Wananchi (CUF) Mhe.
Maalim Seif Sharif
Hamad, ameelezea
Imani yake kuwa punde
mgogoro utamalizika
na yeye kuapishwa
kuwa rais wa Zanzibar.
Maalim
Seif
amewataka wafuasi
na wapenzi wa Chama
hicho kutembea
kifua mbele kwa kile
alichosema kuwa ni
ushindi mkubwa
walioupata katika
uchaguzi mkuu
uliofanyika tarehe 25
mwezi uliopita.
N a
k wa m b a
ushindi huo umeleta
matumaini mapya kwa
Wazanzibari ambao
wameitumia vyema
haki yao ya kupiga
kura na kuwachagua
viongozi wanaoataka.
Akizungumza na
wajumbe wa mkutano
mkuu ngazi za
Wilaya na Majimbo
k a t i k a u k u m b i wa
Majid Kiembesamaki
Zanzibar, Maalim Seif
amesema hakuna namna
yoyote ya kupindua
maamuzi ya wananchi
waliyoyafanya kupitia
masanduku ya kura.
A k a s i s i t i z a k u wa
wanachokifanya
Tu m e ya U c h a g u z i
ya Zanzibar hivi sasa
ni kuchelewesha
kukamilisha uhakiki
wa kura kwa majimbo
14 yaliyobakia na
kumtangaza mshindi
wa Urais, na hivyo
kuishauri tume hiyo
kukamilisha zoezi
hilo ili serikali mpya
ianze kufanya kazi ya
kuwatumikia wananchi.
M i m i s i n a wa s i
wa s i , n i n a j i h e s a b u
kama Rais ninayesubiri
kuitwa na kuapishwa,
na sasa nimo katika
matayarisho ya kuunda
serikali ili nikiapishwa
tu nisipoteze tena muda
wa kufikiria kuunda
serikali.
Inaendelea Uk. 18

Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na Business Printers Ltd, Dar es Salaam.
ANNUUR NEW.indd 20

11/12/2015 4:57:04 PM

Vous aimerez peut-être aussi