Vous êtes sur la page 1sur 16

Sauti ya Waislamu

Al Shabab bandia aponza Waislam


Imam akishwa matesoni Kigoso, Kirumba Waislamu wapongeza Polisi kwa umakini
Na Mwandishi Wetu, Mwanza

ISSN 0856 - 3861 Na. 987 MUHARRAM 1433, IJUMAA DESEMBA 2 - 8, 2011 BEI TShs 500/=, Kshs 50/=

Suala sio kuichukia Amerika wala kuwatetea Al Shabaab Uk. 2

V I J A N A w a Kiislamu waliokuwa wamekamatwa wakihusishwa na

harakati za Al Shabaab wameachiwa huru. Wameachiwa baada ya kugundulika kuwa, hawana wanachojua Inaendelea Uk. 3

Adhana usiku yamwokoa aliyekamatwa na Polisi


Ilikuwa namna nzuri ya kupinga uonevu
Na Mwandishi Wetu

ADHANA iliyopigwa saa nne usiku imemnusuru Muislamu kulala rumande. Adhana hiyo ilipigwa kama namna nzuuri iliyoonekana na Waislamu ya kupinga uonevu na dhulma aliyokuwa afanyiwe mwenzao na polisi. Polisi hao walimkamata Ustadh Mwindadi Abuhi

wakitaka asipige na kuuza kanda zinazozungumzia hatari ya mfumokristo chini. Kanda hizo-CD, ni zile zilizorekodiwa makongamano yaliyofanyika nchi nzima kuzungumzia hatari ya mfumo huo ambayo yalihitimishwa na kongamano la Diamond 2. Katika kongamano hilo,

Zanzibar, nchi kwanza Katiba mpya baadaye


Na Mwandishi Wetu

Inaendelea Uk. 11

Maalim Seif azidi kuwasha moto


mjadala wa katiba mpya ili kuhakikisha kuwa yote wanayoyataka yanapatikana. Maalim amekuwa akitoa wito huo katika ziara zake anazoendelea kuzifanya katika mikoa na wilaya za Unguja. Wa d a d i s i wa m a m b o wanasema kuwa, kinachobainika sasa ni mwelekeo wa kauli moja kwa wananchi wa Zanzibar kusimama juu ya madai ya kupigania kuirejesha Dola yao huru kabla ya hata madala ya Mabadiliko ya Katiba. Msimamo huu unaonekana kupitia majukwaa mbali mbali

MAREHEMU Dkt. Kilima akiwa katika mafunzo nchini Ujerumani wakati wa uhai wake. Habari Uk. 8.

JOTO la kudai nchi na mfumo mpya wa muungano linazidi kupanda Zanzibar. Kinachobainika hivi sasa ni kuwa, wakati katika Tanzania (Bara) kilio ni kutaka katiba mpya, kwa Zanzibar zoezi hilo linaonekana halina maana kama halitarejesha heshma ya visiwa hivyo ya kuwa nchi na Dola kamili. Kwa kuisoma na kuielewa hali hiyo, Makamu wa Kwanza wa serikali ya Zanzibar, Maalim Seif Shari Hamad, ametoa wito kwa Wazanzibari kuitumia vyema fursa ya

Inaendelea Uk. 11

2 AN-NUUR

MUHARRAM 1433, IJUMAA DESEMBA 2 - 8, 2011

AN-NUUR
S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786 Cel: 0784 370 208, 0713 110148, 0755 260 087, DSM. www.ipctz.org E-mail: annuurpapers@yahoo.co.uk Osi zetu zipo: Manzese Tip Top Usangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam

TAHARIRI/MAONI

MAONI YETU

Huu ni mwaka mpya wa Kiislamu, mwaka wa 1433 ikiwa na maana kuwa imepita miaka 1433 toka Mtume Muhammad (s.a.w) ahamie Madina kutoka Makkah. Mara nyingi watu hufanya sherehe zinazoitwa za kuzaliwa, yaani birth day. Aidha, kumekuwa kukifanyika sherehe za mwaka za kumaliza mwaka na kuanza mwaka mpya. Hii imekuwa kawaida katika baadhi ya familia, lakini zaidi katika maosi ya kiserikali, taasisi za watu binafsi na mashirika ya umma. Haja ya maoni haya sio kuonesha kufaa au kutokufaa kwa sherehe kama hizi. Tunachotaka kufanya hapa ni kuonesha n a m n a b o r a z a i d i ya kusherehekea kuingia mwaka mpya. Iwe ni katika masuala binafsi, ya kifamilia na ya kiofisi, tunachoamini ni kuwa kuna malengo ambayo huwa watu hujiwekea katika kujiletea maendeleo. Kwa hiyo, kila unapomalizika mwaka, namna bora ya kuaga mwaka unaomalizika na kukaribisha mwaka mpya, ni kutizama vipi mtu alitenda, wapi alifanikiwa na wapi alikwama na kwa nini. Akitizama hivi, basi aweke malengo mapya akiwa makini zaidi na kuwa na mikakati mizuri zaidi ya kiutekelezaji. Ni kwa mtizamo huo, inapokuja katika masuala ya kidini, mtu anapaswa k u f a h a m u k u wa k i l a sekunde, kila dakika, kila saa, kila siku, mwezi na mwaka unaomalizika, uhai nao unakatika. Kwa hiyo anachotakiwa kufanya mwanadamu, ni kujitathmini ni kwa kiwango gani ametekeleza wajibu wake kwa Mola wake katika mwaka unaomalizika. Uzuri ni kuwa Mwenyezi Mungu amejaaliya kila nafsi kujua jambo lililo la

Muharram: Jihesabu Jipange kwa 1433

Suala sio kuichukia Amerika wala kuwatetea Al Shabaab


Na Omar Msangi
M WA N D I S H I m m o j a kaandika makala yake akijaribu kuonesha kuwa wanaowatetea Al Shabaab wamepotoka. Hawana hoja. Na katika kuonyesha hilo akatoa maelezo marefu akaribu kuthibitisha kuwa Al Shabaab ni magaidi akiwafananisha na LRA ya Joseph Kony. Katika mlolongo wa hoja zake, akaonesha kuwa lipo tatizo kwa baadhi ya watu kuichukia Marekani. Alionesha hilo katika kile alichokiita hisia za kuipinga Marekani (anti-American sentiments). Mi nadhani kuwa jambo muhimu katika suala hili la Al Shabaab na madai kuwa ni magaidi pamoja na hatua zinazochukuliwa na serikali zetu (Afrika Mashariki), sio kuitetea Al Shabaab. Wala hoja hapa sio kuichukia au kuipenda Marekani. Suala n i k u o n e s h a u k we l i n a kuutenganisha na uwongo pamoja na propaganda. Hivi sasa Marekani ipo Djibout. Ina kambi za jeshi pale. Marekani ipo pia Somalia i k i f a n ya m a s h a m b u l i z i kupitia ndege zake za kikachero zisizoendeshwa na rubani, drone. Katika kufanya mashambulizi hayo, Marekani inadai kuwa inapambana na magaidi wa Al Shabaab na kwa maana hiyo agenda yake ni kuleta amani Somalia na Pembe ya Afrika na Afrika Mashariki. Kwa maana nyingine, Amerika inajiingiza kijeshi Somalia kama msamaria mwema anayewahurumia raia na wananchi wa Somalia. Na kwa maana pana zaidi ni kuwa Marekani inajinadi kama kiranja wa amani, demokrasia, utawala wa sheria, ustaarabu na mpigania haki za binadamu. Lakini, hii ni kweli? Hii ndiyo agenda iliyoipeleka Marekani Somalia? Kenya ipo vitani. Imeingiza jeshi lake ndani ya Somalia kupigana na Al Shabaab katika ile operesheni iliyopewa jina Operesheni Linda Nchi. Hili nalo lahitaji kutizamwa. Je, amani ya Somalia itapatikana kwa kuingiza majeshi ya kigeni kupambana na Al Shabaab? Je, kwa Kenya kuingia keshi Somalia kupambana na Al Shabaab, ndio inalinda na kudumisha amani yake au inazidi kuihatarisha? Mi nadhani haya ndiyo masuala ya msingi ya kutizama. Kwa upande mwingine tunaambiwa kwamba Al Shabaab ni magaidi. Lakini Al Shabaab ni nani? Wametoka

sawa na lisilo. La halali na haramu, baya na zuri. Ndio maana hata mtu aliyezoeya kusema uwongo, ukimwambia mwongo hukasirika kwa sababu hataki kunasibishwa na jambo baya. Kwa maana hiyo, kila nas inatakiwa itathmini kwa mwaka huu unaomalizika, imefanya yapi mazuri na ya kiibada na imefanya yapi mabaya, maovu na ya haramu. Akifanya hivyo, ajute na kuomba msamaha kwa makosa aliyofanya na kuchukua ahadi ya kutokurudia tena. Lakini kwa upande mwingine, achukue pia ahadi na kuweka mipango na m a l e n g o ya k u f a n ya mazuri zaidi ya kiibada na kujiletea maendeleo binafsi, familia na jamii kwa mwaka unaofuata. Waislamu tuna matatizo mengi yakiwemo yale ya l i y o s a b a b i s h wa n a mfumokristo, huu ni wakati wa kufanya tathmini tumefanya nini katika mwaka uliopita kuondoa mfumo huu wa kidhalimu na mwaka huu unaoingia tutafanya nini ili hatimaye mfumo huu ungoke. Tunayo mengi yaliyo katika uwezo wetu katika kujiletea maendeleo. Moja ni taasisi zetu za elimu tulizo anzisha. Ni lazima tufanye tathmini tunavyokwenda i l i k u z i f a n ya z i w e z e kuwa bora kitaaluma na maadili. Ni wakati pia wa kutizama yale maeneo ambayo bado hatujaingia vema. Hii ni pamoja na afya na vyombo vya habari. Kuna haja Waislamu kutumia masiku haya ya kusherehekea mwaka huu mpya wa Muharram 1433 kwa kuangalia namna gani tutaweza kushiriki vyema na kwa namna bora kabisa katika kutoa huduma za afya katika nchi yetu na pia kuwa na vyombo vya habari makini na madhubuti.

BI Hillary Clinton, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani wapi? Nini historia ya kuibuka kwao na nini malengo yao? Je, ni magaidi wenye mtandao wa k i - A l Q a i d a h k a m a tunavyoambiwa au ukweli hasa ni upi? Labda nianze kwa kusema kuwa unaoweza kuitwa usamaria mwema wa Marekani haukuanzia Somalia wala Iraq, Afghanistan na Libya. Vitabu vya historia vimerekodi kuwa miaka ya 1950 mpaka m a p e m a 1 9 7 0 s , i l i k u wa zama za harakati kubwa za makundi ya kizalendo na kamii katika nchi za Latin Amerika kupigania haki zao walizoona zinafisidiwa na watawala wao. Hii ilikuwa ni miaka ambayo ilishuhudia makundi yenye silaha mfano wale Campesinos wakichukua silaha katika nchi za El Salvador, Guatemala na Nicaragua, kupambana na watawala. Kwa upande mwingine, serikali za nchi hizo zikitumia nguvu kubwa za kijeshi walizowezeshwa na serikali ya Marekani kupitia misaada ya kijeshi, waliangamiza mamia kwa maelfu ya wakulima waliokuwa wakipinga mashamba yao yenye rutuba kunyakuliwa na makampuni ya kibeberu. Makampuni hayo yakishirikiana na watu wa wachache, waliokuja kuwa matajiri wakubwa, walimiliki takriban ardhi yote ya kulima na kuwaacha wananchi walio wengi masikini wa kutupwa. N a wa l e wa l i o b a h a t i k a kuajiriwa katika mashamba hayo, wakawa wakipewa ujira haba usiokidhi mahitaji muhimu ya maisha. Mfano katika miaka ya 1950s, uchumi wa Guatemala ulitegemea sana kilimo na hasa kilimo cha ndizi. Hata hivyo, ardhi kubwa iliyofaa kwa kilimo hicho ilikamatwa na makampuni ya kibeberu ikiwemo United Fruit Company (UFC) ya Marekani. Waandishi Schelsinger, Stephen na Stephen Kinzer, katika kitabu chao Bitter Fruit: The Untold Story of the American, wanasema kuwa kampuni hiyo ya Kimarekani ilifanya uharamia mkubwa ikiwa ni pamoja na kupora na kunyanganya ardhi, kutoa rushwa kwa viongozi, na uharamia wa namna mbali mbali, ili kuiwezesha kudhibiti mashamba ya ndizi na kujizolea faida kubwa. Wananchi wa Guatemala hawakuweza kuvumilia hali hii. Zikaibuka harakati kutaka mabadiliko. Rais Jacobo rbenz Guzmn aliposhika m a d a r a k a m wa k a 1 9 5 1 hakufurahishwa na hali ile ya wananchi kufukarishwa na kutaabishwa kwa faida ya makampuni ya kibeberu. Akaweka mikakati ya kuwapa wananchi ardhi na kuondoa udhibiti wa uchumi wa nchi mikononi mwa wageni. Aliona na kuchukizwa n a u n yo n ya j i u l i o k u wa ukifanywa na kampuni ya UFCO akiwa na lengo la kuipa Inaendelea Uk. 12

Al Shabab bandia aponza Waislam


kuhusu Al Shabaab ila ni watu mashabiki tu ambao walinaswa na mtego wa Al Shabaab bandia kutoka Uganda. Hata hivyo, haikuwa kazi nyepesi kwani mmoja wa watuhumiwa hao alifikishwa hadi kituo cha mahojiano
Inatoka Uk. 1 huwa ana kawaida ya kutoa mawaidha akizungumzia harakati za makafiri kuhujumu Uislamu na baadhi ya wakati akigusia masuala ya Al Shabaab na Al Qaida. Nahisi, ikiwa ni kweli ilikuwa mchezo, ilionekana kuwa Khatibu yule ni katika watu wanaoweza kwa wepesi kabisa kuwakubali na kuwapokea watu watakaojitambulisha kuwa ni wanaharakati kama Al Shabaab. Alisema. Hata hivyo Mzee huyo aliyejitambulisha kwa jina moja la Khalid alisema kuwa anawapongeza polisi kwa kufanya kazi yao kwa uhodari na umakini mkubwa. Kama ni mchezo, naamini kuwa polisi wetu hawapo katika mchezo ule, vinginevyo vijana wetu wasingeachiwa, lakini i n a v yo o n e k a n a k u wa watu wanataka kututosa katika tope la Al Shabaab, polisi wamefanya kazi yao kitaalamu kabisa, hili ni jambo la kushukuru. Aliongeza. Naamini polisi na vyombo vyetu vya usalama ni makini, walichosema wakiwaachia vana wale, ndio ukweli wenyewe, vijana wale hawana wanalojua zaidi ya haya wanayosoma na kusikia katika televisheni na redio. Habari zaidi zinaonesha kuwa ujio wa kana yule aliyejitangaza kuwa ni msafiri aliyeharibikiwa na kutaka msaada kwa Wa i s l a m u , u n a a c h a maswali mengi na kitendawili ambacho hakijapatiwa jibu la uhakika. Hata hivyo, kila watu wakitafakari alivyokuja na aliyosema Msikitini na alivyoingia mitaani na kisha kutoweka baada ya kujizoesha na kujikurubisha kwa Hassan ambaye baadae alikamatwa kama mtuhumiwa namba moja, inaleta shaka kuwa huenda alikuja kuweka mtego. Kutokana na wasiwasi h u o , b a a d h i ya wa t u wamesema kuwa kuna haja ya vana na jamii ya Kiislamu kwa ujumla kuwa makini zaidi. S wa l i a m b a l o b a d o Waislamu wa Mwanza hawajalipatia jawabu ni je, kama ni kutumwa, Mganda yule Al Shabaab bandia katumwa na nani? Wiki iliyopita gazeti hili liliripoti kukamatwa vana wanne wa Kiislamu wakituhumiwa kuhusika na kundi la Al Shabaab. Habari hiyo ilisema k u wa k a m a t a k a m a t a h i y o i l i t a n g u l i wa n a k i l i c h o o n e k a n a k u wa m t e g o n a m c h e z o wa kupanga ambapo kijana mmoja aliyejitambulisha kutoka Uganda alifika katika msikiti wa Buzuruga, Nyakato akitaka kusaidiwa kama msafiri aliyeharibikiwa. Kana huyo alidai kuwa alikuwa akitokea Somalia na aliharibikiwa na hivyo kutaka sadaka za Waislamu ili aweze kuendelea na safari kurudi nyumbani, Uganda. Taarifa zaidi zilisema kuwa kana huyo alitaja kama mtaalamu wa masuala ya kijeshi na ufundi wa aina mbalimbali, ila hakufafanua utaalamu huo alikuwa akiutumia vipi huko Somalia. Kwa upande mwingine kwa jinsi alivyojiweka na Waislamu na kuonekana kama mwana-Dawah, k i j a n a m m o j a O m a r, m a a r u f u O s a m a h wa Nyakato alimkaribisha akae nyumbani kwake kwa muda. Hata hivyo, ghafla kana huyo alitoweka na kamata kamata ikaanza kuwakamata waliokuwa maraki na waliomfadhili kana huyo wa Uganda. Zaidi habari hiyo ilisema kuwa, hadithi ya kijana huyu mtaalamu wa keshi na mujahidina wa Uganda inakuja wakati kashfa ya kupanga vitendo vya kigaidi inazidi kuiandama Idara ya ukachero ya Marekani-FBI. Kwa mujubu wa taarifa iliyoandikwa na gazeti la Guardian (Uingereza) la Novemba 16, 2011, mchezo huu wa FBI umemkumba David Williams ambaye amejikuta akihukumiwa kifungo cha miaka 25 jela kwa kosa la kutaka

HABARI

AN-NUUR

MUHARRAM 1433, IJUMAA DESEMBA 2 - 8, 2011

kinachotajwa kwa utesaji, Kigoso, Kirumba akitakiwa kueleza uhusiano wake na Al Shabaab. Kijana huyo Hassan Jumanne Hassan ndiye alionekana kama mtuhumiwa mkuu kwa sababu ndiye alimpokea kijana kutoka Uganda ambaye alidai kuwa anatokea Somalia akiwa mtaalamu wa masuala ya keshi. Hassan ni Khatib katika msikiti wa Buzuruga, Nyakato na mara kadhaa huwa mawaidha yake hugusia masuala ya Al Shabaab. Kwa mujibu wa taarifa zilizopatikana jana kutoka Mwanza, polisi wa m e wa a c h i a v i j a n a hao baada ya kugundua hawana uhusiano wowote, wala hawana wanalojua juu ya Al Shabaab zaidi ya taarifa wanazopata juu ya suala hilo kupitia vyombo vya habari. Imeelezwa kuwa upo wasiwasi mkubwa kuwa yule Mganda aliyedai kuwa aliharibikiwa akitokea Somalia, huenda ni Al Shabaab wa kupandikiza aliyetumiwa kuwanasa vana wa Kiislamu. Mazingira ya kufika kijana yule na alivyojitambulisha kuwa anatoka Somalia akiwa mtaalamu wa kijeshi na alivyotoweka, kuna kila sababu ya kuamini kuwa kulikuwa na mchezo, kulikuwa na usanii wa k u w a n a s a Wa i s l a m u na kuwapachika u-Al Shabaab, amesema mzee mmoja wa jini Mwanza. Akijibu ni kwa nini ilionekana mtego uletwe katika msikiti wa Buzuruga a l i s e m a k u wa , k i j a n a Hassan aliyekamatwa

IGP Said Mwema k u f a n ya k i t e n d o C h a kigaidi kulipua hekalu la Mayahudi New York pamoja na kulipua ndege ya keshi kwa kombora. Kwa mujibu wa makala hiyo ya Guardian iliyoandikwa na Paul Harris, mtego huu wa kuwanasa watu katika ugaidi wa k u p a n g a u n a wa l e n g a zaidi Waislamu, ila wakati mwingine huingia na akina Willium, Wamarekani Weusi. Anasema Paul Harris katika habari yake katika Guardian aliyoipa jina Fake terror plots, paid informants: the tactics of FBI entrapment questioned kuwa kumekuwa na m c h e z o wa k u wa t e g a Waislamu na kuwaingiza katika mtego wa kufanya au kutaka kufanya vitendo v ya k i g a i d i n a k i s h a kuwakamata. Katika mchezo huo, makachero hupewa fedha na kutumwa misikini na mitaani ambapo hujifanya kuwa wachamungu na wanaharakati. Wa k i s h a k u b a l i k a , huanza kuwatega baadhi ya watu kwa kupenyeza kra za jihad na kulipiza kisasi kwa makari. Wakishafanikiwa kunasa shabaha, makachero hao huwa wafadhili wa mpango kwa fedha na silaha. Usanii ukikamilika kwa shambulio kufanyika au kiasi tu cha kuwaunganisha na mtu anayedaiwa kuwa Al Shabaab au gaidi kama ilivyokuwa kwa yule mtaalamu wa keshi wa Uganda anayetokea Somalia na kutua Masjid Buzuruga, Nyakato, polisi huingia na kuanza k u k a m a t a wa l i o k u wa naye. Ikifikia hapo kachero ama hutoweka au huwa shahidi na hata kuhukumiwa pamoja na vana walionaswa, lakini baadae huachiwa. Tuliwahi kutahadharisha juu ya suala hili la Al Shabaab kuwa maadhali Israel iliyofuzu na yenye uzoefu wa kutosha katika masuala ya ufaidi wa kupanga, imealikwa kusaidia kupambana na Al Shabaab, basi watu wawe makini. Tukasema kuwa yaweza kufanyika mashambulizi ya kutisha kama ilivyowahi kufanyika katika Operation Cynide, kashfa ya Lavon (Lavon Aair in 1954) na Operation Trojan. L a k i n i k wa u p a n d e mwingine ni huu mchezo wa entrapment ambapo m a k a c h e r o h u t u m wa misikitini na kwa Waislamu wakifanya watu wema na wachamungu kisha huwatega na kuwakamatisha kwa tuhuma za ugaidi.

Operesheni linda masilahi ya mabeberu


Na Omar Msangi HIVI sasa sio siri tena kwamba inachofanya Kenya sio Operation Linda Nchi, bali operesheni tumiwa au operesheni linda masilahi ya kibeberu. Katika taarifa moja ya hivi karibuni, baadhi ya maofisa wa Marekani wamenukuliwa wakisema kuwa, kwa muda wamekuwa wakiishinikiza serikali ya Kenya kuchukua hatua za kufaa dhidi ya Al Shabaab. Lakini wakati huo huo, katika taarifa nyingine Marekani ikadai kuwa haikuwa na taarifa za majeshi ya Kenya kuingia Somalia. Inajulikana kwamba kwa muda sasa Marekani ina ushirikiano wa karibu na Kenya wa kikachero. Lakini wakati huo huo, Marekani ina kambi za Kijeshi Djibout ambapo mtandao wa mawasiliano ya kijeshi kwa njia ya satelaiti hufanyika kuangalia harakati zozote za keshi katika eneo hili. Kwa hiyo haiwezi kuwa jeshi la Kenya likaingia Somalia bila Marekani kujua au kuridhia. Na ili kuonesha kuwa huu ni mpango unaoratibiwa na Marekani ni kwamba wakati Kenya inapigana ardhini, ndege za kijeshi za Marekani zisizo na rubani zimekuwa zikifanya mashambulizi ya angani ambapo Oktoba 19, siku tatu tu baada ya Kenya kuingia Somalia, zimeripotiwa kushambulia Kismayu na kuuwa raia 64 wa Somalia wasio na hatia na mamia wengine kujeruhiwa. Zaidi ya shambulio hilo ni kuwa ndege za kijeshi za Marekani na drone zimekuwa mara nyingi zikionekana na kufanya mashambulizi katika maeneo kadhaa ya Somalia. Hii ikiwa ni ushahidi kuwa Marekani inatoa usaidizi kwa Kenya kutokea angani. Lakini Marekani haipo peke yake, mnamo Oktoba 23, meli ya kivita ya Ufaransa nayo ilishambulia mji wa Kuday, jirani na Kismayu. Na siku hiyo hiyo, balozi wa Marekani nchini Kenya, Scott Gration, akasema kuwa Washington itatoa kila msaada kuhakikisha kuwa serikali ya Kenya inarejesha heshma ya nchi

4 AN-NUUR

MUHARRAM 1433, IJUMAA DESEMBA 2 - 8, 2011

MAKALA

Kenya inatumiwa, inajiunguza kama mshumaa

RAIS Barack Obama wa Marekani (kushoto). Rais wa Kenya Mwai Kibaki(kulia) yake na usalama katika mipaka yake na kwamba inaheshimu uamuzi wa Kenya kuingia kijeshi Somalia. Kauli hii ya Balozi Sco inaonesha wazi kuwa Marekani ipo pamoja na Kenya katika vita yake na Al Shabaab, ila ambalo si la kweli ni ile kauli kwamba nia ya Marekani ni kuona Al Shabaab wanatokomezwa n a m i p a k a ya K e n ya kubaki shwari na salama. Hili si la kweli. Hii sio nia na agenda ya Marekani. Marekani haina agenda ya kuleta amani Somalia, Uganda wala Kenya. Awali katika zile zama za vita baridi, Washington ilikuwa ikimsaidia Mohamed Siad Barre kwa silaha na fedha ili asaidie kuzuiya ushawishi wa Urusi katika eneo hilo. Siad Barre akapinduliwa mwaka 1991 na Mohamed Farrah Aidid. Washington ikavamia Somalia mwaka 1992, lakini Clinton akalazimika kuondoka baada ya kipigo cha aibu na fedheha mwaka 1994. Kutokea hapo Washington ikabadili mbinu. Sasa inatumia nchi nyingine kama inavyofanya Kenya hivi sasa kupigana kwa niaba yake (proxy war). Awali ilitumia wababe wa kivita ndani ya Somalia kupigana na Aidid, kisha baadae ikatumia proxy forces kutoka Ethiopia na sasa wale wanajeshi wa Uganda na Burundi wa n a o d a i wa k u l i n d a serikali ya mpito (TFG). Mahakama za KiislamIslamic Courts Union (ICU), zilianza kama mfumo wa kisheria na mahakama wa kusimamia sheria, lakini baadae zikashika mambo ya uongozi na utawala kuziba ombwe la serikali lililokuwepo. Mara moja ikaweza kurejesha amani Somalia na kupata kuungwa mkono na zaidi ya asilimia 90 ya Wasomali walio ndani na nje. Kuona hali hiyo, Washington ikawaelekea magaidi na wababe wa kivita. Ikawa inatoa misaada ya keshi na fedha kwa wababe wa kivita kuvuruga amani iliyorejea Somalia. Ilipoona wababe wa kivita waliojipa jina la Alliance for the Restoration of Peace and Counter-terrorism (ARPCT), wameshindwa kuwakabili UIC, ikaitumia Ethiopia kuisambaratisha Somalia njema na tulivu iliyokuwa ikichipua. Kuangushwa kwa serikali ya ICU, ndio kulikopelekea kuibuka kwa Al-Shabaab waliojikusanya kama kikosi cha harakati za kupinga uvamizi wa Ethiopia na majeshi mengine ya kigeni. Baada ya kukaa kwa muda, jeshi la Ethiopia likaondoka Mogadishu. Jukumu la kulinda serikali ya mpito, TFG, iliyoundwa uhamishoni bila ridhaa ya wananchi wa S o m a l i a i k a l e t wa kukaa Ikulu Mogadishu na jukumu la kuilinda ikapewa AMISOM, (kikosi cha jeshi chini ya Umoja wa Afrika kinachoungwa mkono na kinachosaidiwa na Marekani pamoja na Umoja wa Mataifa). Kuingia kwa Kenya kunafanya nchi zinazopambana na Al Shabaab sasa kuwa nne, kwa maana ya Uganda, Burundi, Ethiopia na sasa Kenya. Pamoja na ngonjera na porojo nyingi zitakazopigwa kuhusu nia ya Kenya kuingia vitani Somalia, lakini ukweli unabaki kuwa inachofanya K e n ya n i s e h e m u ya m p a n g o m k u b wa wa Marekani na nchi za Ulaya wa kulinda masilahi yao ya kibeberu. Sisi tunajikuta tu tukitumika bila kujua. Kama anavyosema mwandishi Eddie Haywood katika makala yake, US-backed Kenyan forces invade Somalia: K e n ya s i n c u r s i o n into Somalia is part of a broader campaign by the US and other Western powers to reassert their imperialist interests on the

continent and counter the rising influence of their global rivals, particularly C h i n a . T h e l a t t e r s deepening integration into the global economy has seen its emergence as a major economic power in Africa, heightening concerns in Washington that China could threaten its hegemony on the continent. Katika ufafanuzi wake Haywood anasema kuwa mwaka 2008, Pentagon ilianzisha Kamandi ya Keshi ya Marekani katika Afrika, yaani AFRICOM command. Akasema kuwa hii ni kamandi ya keshi inayoweka mazingira ye n ye k u we z e s h a n a k u f a n ya we p e s i k wa Marekani kujitanua kijeshi katika Afrika. K i l i c h o f a n y i k a L i b ya hivi karibuni, imetajwa kuwa ni katika harakati zilizowezeshwa na Africom. Kwamba kamandi h i yo i p o k u i we z e s h a Marekani kuingia mahali popote kijeshi katika Afrika, lakini na wakati huo huo kuzifanya nchi za Kiafrika, kinadharia ziwe zinajitawala, lakini kwa mtandao na utando wa kijeshi utakao kuwa umewazinga, wawe wanapokea amri kutoka Washington. K i l i c h o t o k e a L i b ya ambapo ndege za Marekani na zile za NATO zilifaya mashambulizi ya kihalifu n a k u u wa m a e l f u ya watu pamoja na kufanya uharibifu mkubwa wa miji na miundo mbinu yake, ni kielelezo cha siasa za kibeberu za nchi hizo zinazotoa salamu mbaya kwamba kuingia kwa Africom, Afrika isitarajie kuwa salama tena. Kwamba kila nchi itatakiwa kutumikia masilahi ya mabeberu wakiongozwa na Washington. Ikisita inapata kilimchotoa kanga manyoya. Inashughulikiwa kama alivyopigwa na kuuliwa Gaddafi. Sasa hizi si salamu njema za kuzikenulia meno, kuzishabikia na kuzililia k a m a i n a v yo o n e k a n a tukifanya katika huu mchezo wa Al Shabaab. Kinyanganyiro cha kupigania udhibiti na u p o r a j i wa m a l i a s i l i kinachofanywa na mabeberu, ndio kiini na sababu kuu ya mapigano na mchafukoge uliopo Inaendelea Uk. 6

Bush, Blair wauwaji Urusi katika mvutano


By Press TV (November 25, 2011) Jopo la Majaji nchini Malaysia (A War Crimes Tribunal in Malaysia) limewakuta na hatia ya uhalifu wa kivita George W. Bush na Tony Blair. Bush, Rais wa zamani wa Marekani na Blair, Waziri Mkuu mstaafu wa Uingereza wamekutwa na hatia hiyo kutokana na uvamizi wao waliofanya nchini Iraq na kuuwa zaidi ya watu milioni moja wasio na hatia. Jopo la Majaji sita likikaa kama Mahakama ya Uhalifu wa Kivita katika ji la Kuala Lumpur, imesema k u wa k i l i c h o f a n y i k a Iraq kwanza ni uvamizi haramu uliovunja sheria za kimataifa na pili yalifanyika mauwaji ya kuangamiza (genocide). Huo ni ule uvamizi uliofanywa na watawala hao mwaka 2003 kwa madai ya kusaka silaha za maangamizi ambazo hata hivyo hazikuwepo. Majaji wa Mahakama hiyo ya Malaysia walihukumu kuwa uamuzi wa kuvamia Iraq uliofanywa na wakuu hao wawili wa nchi ulikuwa uchokozi na uvunjaji wa sheria uliopelekea kuuliwa kwa mamilioni ya watu wa Iraq wasio na hatia. In their ruling, the tribunal judges also stated

HABARI ZA KIMATAIFA/TANGAZO

AN-NUUR

MUHARRAM 1433, IJUMAA DESEMBA 2 - 8, 2011

Wameuwa zaidi ya watu 1,000,000

TANZANIA na Uganda zimedaiwa kwamba zinapinga ombi la Sudan kupatiwa uanachama katika Jumuiya ya Afrika Afrika. Msimamo huo wa Kampala na Dar es Salaam unabainishwa huku wakuu wa J u m u i ya ya A f r i k a Mashariki wakitarajiwa kukutana katika kikao chao Novemba 30 huko Bujumbura, Burundi na moja ya ajenda kuu ikiwa ni kujadili ombi la Sudan Kusini na Kaskazini kupatiwa uanachama katika jumuiya hiyo. Waziri wa Uganda katika Jumuiya ya Afrika Mashariki, Eriya Kategaya, amesema kuwa nchi yake pamoja na

Tanzania, Uganda zaikataa Sudan Jumuiya ya Afrika Mashariki


Tanzania hazikubaliani na ombi la Sudan la kupatiwa uanachama EAC licha ya Kenya, Rwanda na Burundi kuunga mkono ombi hilo.

RAIS wa zamani wa Marekani George W. Bush that the US, under the na serikali za Marekani na leadership of Bush, fabricated Uingereza kuonesha kuwa documents to make it appear Saddam Hussein alikuwa that Iraq possessed weapons na WMDs, jambo ambalo of mass destruction. However, Bush na Blair walua kuwa the world later learned that ni uwongo. the former Iraqi regime did Taarifa ya Mahakama not possess WMDs and that hiyo imetaka uhalifu wa the US and British leaders Bush na Blair usajiliwe knew this all along. k a t i k a M a h a k a m a ya Kwamba katika jumla Kimataifa ya Uhalifu wa ya ushahidi uliotizamwa Kivita (ICC) na hatua ni pamoja na taarifa za zichukuliwe vinginevyo, k u g h u s h i ( f a b r i c a t e d Mahakama hiyo itakuwa documents) zilizotolewa haina maana yoyote.

SHIRIKA la Keshi la Nchi za Magharibi (NATO), limesema limesikitishwa sana na vitisho vilivyotolewa na Urusi vya kusambaza makombora yake katika mpaka wa nchi hiyo na nchi za Umoja wa Ulaya kama jibu la mipango ya Marekani ya kujenga ngao dhidi ya makombora huko mashariki mwa Ulaya. Katibu Mkuu wa NATO, Anders Fogh Rasmussen, amesema vitisho vya Urusi vya kuweka makombora katika mipaka yake na nchi za Ulaya vinakumbusha zama zilizopita na haviendani na uhusiano wa kimkakati wa NATO na Urusi. Rais Dmitry Medvedev wa Urusi hivi karibuni alibainisha kwamba Moscow

Medvedev atishia mitambo ya Marekani Ulaya


itaweka makombora katika mipaka yake na nchi za Ulaya kwa ajili ya usalama wa nchi hiyo dhidi ya taasisi za mitambo ya ngao za makombora zinayokusudiwa kujengwa na Marekani katika nchi hizo. Medvedev amesema Urusi iko tayari kuweka makombora yake ya Eskandar, ambayo yana uwezo wa kupiga umbali wa kilomita 500 katika eneo la Kaliningrad linalopakana na nchi za Poland na Lithuania. Urusi inasema madai ya Marekani kwamba ngao hiyo inalenga kuzuia makombora ya Iran, si ya kweli na kwamba huo ni mpango wa Washington na waitifaki wake wa kutaka kuzidisha ushawishi wao wa kijeshi katika kanda hiyo.

mpya na NATO

THE ISLAMIC FOUNDATION

Taasisi ya The Islamic Foundation ya Morogoro, inawatangazia wananchi wote kuwa tarehe 18/12/2011 Jumapili itafanya kongamano kubwa la kuchangia TV Imaaan. Mahala: Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam kuanzia saa mbili asubuhi hadi saa 12 jioni. Wahadhiri wote watakuwepo. Pia kongamano hilo litarushwa "LIVE" kupitia Radio Imaan FM ya Morogoro.

Amesema, wamekataa ombi hilo baada ya kuzingatia mambo kadhaa kama vile demokrasia, jinsi serikali ya Khatoum inavyoamiliana na wanawake pamoja na mambo mengine.
Uamuzi wa mwisho wa kukataliwa au kukubaliwa uanachama Sudan Kusini na Kaskazini ulitarajiwa kutolewa katika kikao cha wakuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki cha Novemba 30 huko Bujumbura.

Mhe. Samwel Sia, Waziri wa Ushirikiano wa nchi za Afrika Mashariki.

Nyote mnakaribishwa

6 AN-NUUR

MUHARRAM 1433, IJUMAA DESEMBA 2 - 8, 2011

MAKALA

Al Shabaab: Tunakimbilia jahazi inayozama


Tukitumia japo 10% ya akili tutasalimika La, tukimuiga Goyim Musharraf, tumeumia
Na Mwandishi Maalum BAADA ya ile kauli ya awali ya Jeshi la Polisi juu ya kitisho cha Al Shabaab ikifuatiwa na ile ya Waziri wa Mambo ya Ndani Mheshimiwa Shamsi Vuai Nahodha, wiki hii vyombo vya habari vimeripoti tena juu ya kitisho hicho. Safari hii amenukuliwa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam akisema kuwa amelazimika kusitisha mikutano yote ya kidini kwa kuhoa kipigo cha Al Shabaab. Tishio la kigaidi la kundi la Al Shabaab la nchini Somalia, limeulazimisha uongozi wa serikali mkoa wa Dar es Salaam kusitisha utoaji wa vibali vya kuruhusu mikutano ya kidini kwa hofu kwamba kundi hilo linaweza kutumia mwanya huo kufanya mashambulizi. Hivyo ndivyo ilivyosema habari iliyoandikwa na mwandishi Nora Damian katika gazeti moja la kila siku mapema wiki hii. Habari hiyo iliyopewa kichwa cha habari, Viongozi Dar es Salaam wahofia Al Shabaab, inamnukuu Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadik akisema kuwa uamuzi wa kisitisha vibali vya mikutano ya kidini ni wa tahadhari za kiusalama. Ukisema kuwa unasitisha mikutano Dar es Salaam kwa hofu kuwa magaidi wa Al Shabaab wanaweza kutumia mikutano hiyo kufanya mashambulizi, unachosema ni kuwa ndani ya nchi, ndani ya Dar es Slaaam kuna magaidi wa Al Shabaab. M a a n a k wa m f a n o , h a i we z i m a g a i d i h a o wakawepo Mogadishu au Kismayu wakafanya shambulio katika mkutano unaofanyika Jangwani, Kidongo chekundu au uwanja wa Barafu, Kinondoni. Wanaoweza kufanya hivyo ni Marekani, Ufaransa na Uingereza ambao wanaweza kupiga mahali wakiwa umbali wa maelfu ya maili au wakatuma ndege na Drone zikapiga na kurejea. Al Shabaab hawana uwezo huo. Kwa hiyo tukisema kuwa tuna hofu ya kupigwa na Al Shabaab Kariakoo, tunachosema n i k u wa A l S h a b a a b wapo nchini. Sasa swali ni je, kama tuna uhakika k wa m b a A l S h a b a a b wapo Dar es Salaam, kwa nini hatuwakamati t u k a w a f i k i s h a mahakamani? Kwa nini, tunasubiri mpaka watupige? Ufupi wa maneno habari hii kama ilivyoandikwa na mwandishi Nora inakoleza kitisho cha Al Shabaab na kuzidi kuwatangaza kuwa ni maadui, sio tu wa Somalia na Kenya, lakini maadui wa Tanzania pia. Ambayo tafsiri yake ni

Operesheni linda masilahi ya mabeberu


Inatoka Uk. 4

JENERALI Pervez Musharraf kuwa serikali ya Tanzania, wanajeshi wapatao 28 kwa namna yake nayo wa Pakistan waliuliwa ipo vitani na Al Shabaab. na majeshi ya Marekani Kenya wao tayari wapo n a w e n g i n e k a d h a a vitani kijeshi ndani ya kujeruhiwa. Miongoni Somalia. Kwa mwendo mwa waliouliwa ni pamoja huu, sui Tanzania nayo na maasa wawili wa jeshi itaishia wapi. mmoja akiwa na cheo Inaendelea Uk. 7 Kiasi wiki moja iliyopita

Somalia. Hakuna agenda ya amani wala ya kuitakia mema Kenya kama alivyodai balozi Scott Gration. S o m a l i a i k i wa n a pwani yenye urefu wa takribani maili 1,000 katika bahari ya Hindi, ikiwa pia na ukuruba na Ghuba ya Aden na Bahari Nyekundu, eneo muhimu na kistratejia kwa uchumi wa kidunia kutokana na kuwa ni njia kuu ya meli za mafuta kutoka Mashariki ya kati. Moja ya malengo ya Marekani ni kudhibiti njia hii kuu ya meli za mafuta kwenda sokoni Ulaya. Ndio maana pamoja na sasa kuikamata Somalia, tayari ina kituo kikubwa cha keshi Djibout, mahali ambapo kuna mlango wa kuunganisha Bahari ya Hindi na ile Red Sea. Lakini kuna taarifa pia kuwa katika masiku ya

hivi karibuni Uganda imegundua mafuta halikadhalika Sudan ya Kusini. Kutokana na kupatikana mafuta hayo, tayari kuna mipango ya kujenga bomba la mafuta la kusafirishia bidhaa hiyo muh i m u k u t o k a Kampala kwenda bandari ya Mombasa. Bomba la kutoka Sudan ya Kusini nalo litaingia Uganda na kuungana na lile la K a m p a l a n a k u f a n ya bomba moja kuelekea Mombasa. Na hii ndio sababu Marekani imeanza kuikamata Kampala kwa kutuma askari wake kwa kisingizio cha kusaidia kupambana na John Kony. I n a s e m e k a n a k u wa kupelekwa kikosi hicho ni kutokana na kiwewe cha Marekani baada ya kuona kuwa kampuni kubwa ya mafuta inayomilikiwa na serikali ya China, ni miongoni

mwa kampuni zilizo katika foleni zikisubiri kupewa kandarasi ya kuchimba mafuta Uganda. Marekani ina uhakika kwamba makampuni ya Kimarekani hayawezi kushindana na yale ya China katika tenda kwa s a b a b u wa k a t i C h i n a inakuja na ushirikiano wa kibiashara wa kufaidi wote, huku ikisaidia ujenzi wa miundo mbinu ya nchi, Marekani inakuja na mkakati wa uporaji na zawadi ya risasi na vikosi vya kutesa na kuuwa wananchi watakaopinga kunyonywa. Ndio rekodi iliyojengea Latin Amerika ilikoanzia kusaidia makundi ya waasi na yale ya kigaidi kulinda masilahi yake na hata kupindua s e r i k a l i z i l i z o we k wa kidemokrasia. Mchezo unaoendelea hivi sasa wa Al Shabaab, una manufaa kadhaa ya kistratejia kwa Marekani.

Kwanza ni kukaa watawala Somalia ambao watalinda masilahi yake ikiwa ni pamoja na kuhakikisha usalama wa bomba la kunyonya mafuta kutoka S u d a n ya K u s i n i n a Uganda. Pili, kuleta vurugu za kijeshi na kigaidi ili kuhalalisha uwepo wa jeshi la Marekani kwa kisingizio cha kusaidia kulinda amani na kupambana na magaidi. Tatu, kama ilivyo kuwa kwa Libya, kutafuta namna ya kuitimua China ambayo haina mpango wa kujitanua duniani kiuchumi kwa kupitia mtutu wa bunduki n a k u u wa wa t u k wa mabomu kutoka angani. Marekani ilipoanza kupiga Libya, China iliondoa watu wake waliokuwa wakijishughulisha na mafuta. Nne, kwa kuzidhoofisha nchi za eneo hili, kwa propaganda z a u g a idi , it ap e le k ea kuwepo kwa viongozi

vibaraka ambao muda wote watajiona kuwa usalama wao unatoka Wa s h i n g t o n . Ta n o , kutokana na ushirikiano wa keshi katika masuala ya usalama, watafunzwa polisi na askari jeshi ambao watakuwa wakipambana na wananchi na wazalendo watakaoibuka kupinga unyonyaji, ukaliaji wa kikoloni mamboleo wa mabeberu. Sita, Al Shabaab kama ilivyokuwa Taliban na Al Qaidah kwa Pakistan, itakuwa zimwi litakalotumiwa kuipa uhalali Marekani kujaza makachero na wanajeshi wake katika nchi zetu, lakini wakati huo huo ikipa uhuru na kibali cha kuingia katika nchi zetu na kuuwa itakapo, mradi tu idai kuwa ilikuwa ikipiga magaidi. Na hii itakuwa ikifanyika mara kwa mara ili kuweka hai kile kitisho cha ugaidi.

Inatoka Uk. 6

Al Shabaab: Tunakimbilia jahazi inayozama


bila ya kuwa na serikali kwa zaidi ya miaka 16. Wakaka mahali wenyewe wakapata ufumbuzi nchi ikatulia. Marekani haikutaka. Ikiitumia Ethiopia, ikavunja serikali iliyorejesha amani na utulivu Somalia. Vita ikarudi, Al Shabaab wakaibuka kupinga u va m i z i n a k u k a l i wa na majeshi ya Ethiopia na mengine ya kigeni. Leo tunaimbishwa kuwa hawa ni magaidi na sisi tunajitahidi kuimba kwa hima kubwa na kujitisha na kuweka mbinu za medani kupambana nao. Tunageuzwa kuwa Musharraf wa kupambana na ndugu zetu, jirani zetu na Waafrika wenzetu Wasomali. Tu n a c h o t a k i wa tufahamu ni kuwa kinachoikuta Pakistan hivi leo ni gharama inayolipa kwa ujinga wa ki-Goyim uliofanywa na Musharraf. Juzi hapa Waziri Mkuu wa Pakistan, Yusuf Raza Gilani, amenukuliwa na Shirika la Habari la Reuters pamoja na televisheni ya CNN akisema kuwa hakuna tena bishara ya kushirikiana na Marekani keshi. Business as usual will not be there, alinukuliwa Gilani akibu swali la mpasha habari wa CNN aliyetaka kujua nini itakuwa hatma ya ushirikiano wa Pakistan na Marekani katika vita dhidi ya ugaidi kufuatia shambulio lililofanywa na ndege za kijeshi za Marekani/NATO na kuuwa askari 28 wa Pakistan. Hata hivyo, hii yaweza kuwa kauli ya kujikosha tu ya serikali ya Pakistan. Maadhali Marekani ishajichimbia keshi ndani ya ardhi ya Pakistan ikiwa na kambi za keshi na ndege za drone pamoja na silaha nzito za keshi, Gilani na serikali yake hawana ubavu wa kuiambia Marekani toka. Ishakuwa kisa cha ngamia na mwenye hema. Sasa tuna hiyari, kupanda boti inayozama ya Goyim Musharraf ambayo kwa bahati mbaya Kibaki na Raila Amollo Odinga tayari washaidandia au tutumie japo asilimia kumi tu ya akili zetu tusalimike.

Makala

AN-NUUR

MUHARRAM 1433, IJUMAA DESEMBA 2 - 8, 2011

cha meja na mwingine kapteni. Askari hao waliuliwa baada ya kushambuliwa na ndege za kijeshi z a M a r e k a n i / N AT O ambazo kama kawaida yake ziliingia ndani ya ardhi ya Pakistan kwa kile kinachodaiwa kuwa ni kusaka na kuwapiga Taliban wanaodaiwa kuwa ni magaidi. Kufuatia mauwaji hayo ambayo sio ya mara ya kwanza, serikali ya Pakistan imetoa kauli ikiitaka serikali ya Marekani kufunga mara moja kituo chake cha kijeshi kilicho ndani ya ardhi ya Pakistan, Shamsi Air Base, Baluchistan, ambacho ndicho hutumiwa kurushia ndege zisizo na rubani, drones, zinazouwa wananchi wa Pakistan na Afghanistan wasio na hatia kila uchao. Na kwamba nchi hiyo inatizama upya ushirikiano wake wa kijeshi na Marekani katika hii vita inayoitwa ya ugaidi. Vita ambayo kwa kujitia mshirika mtiifu kwa Marekani, Pakistan imejikuta ikiruhusu ardhi yake kuwa ngome na kambi za kijeshi za Marekani na NATO. Askari na makachero pamoja na ndege za kivita, huingia zitakavyo bila ya kuomba kibali kutoka serikali ya Pakistan na kufanya mashambulizi. Kupitia mashambulizi hayo, mamia kwa maelfu ya watu wasio na hatia w a m e u l i w a . Wa t o t o wakiwa shule, madrasa, waumini wakiwa misikitini, sokoni na hata kwenye harusi, wamekuwa wakishambuliwa na kuuliwa kisha hutolewa kauli kwamba ilidhaniwa kuwa ni magaidi. Pakistan ni nchi iliyokia kuwa na silaha za nyukilia ikipimana ubavu na India, lakini kwa kujiingiza katika mchezo huu wa Marekani, inadhooshwa kila uchao h u k u i k i f a n y wa n c h i isiyokalika kwa vitendo vya kigaidi ambapo watu huuliwa kila uchao kupitia mashambulizi ya ndege za drone na zile za kawaida za keshi.

ASKARI wa Kenya waliongia Somalia kupambana na Al Shabab. K wa b a h a t i m b a ya rekodi yetu imekuwa ile ya kukimbilia kudandia majahazi yanayozama wakati waliomo ndani wakihangaika kutaka kujinusuru. Historia, uzoefu na yaliyowakuta wengine, haitusaidii hata kidogo kusoma na kuchukua hadhari. Pa k i s t a n h i v i s a s a inatafuta namna ya kujinasua katika ushirika wake na Marekani, haiwezi. Lakini ukiangalia yanayoikuta hivi sasa mpaka raia na askari wake wanauliwa ovyo na nchi imekuwa haina usalama tena, ilianza kwa mchezo na usanii kama huu tunaofanya wa Al Shabaab. Ipo hivi: Marekani kwa visa vyake na malengo yake, ilitangaza kuwa watawala wa Afghanistan, Ta l i b a n , n i m a g a i d i , ikaamua kuwapiga. Lakini ikataka pia msaada wa Pakistan. Rais wa zamani wa nchi hiyo, Pervez Musharraf, akakubali kutumika kuwapiga jirani zake na kuruhusu ardhi yake kutumiwa na jeshi la Marekani. Lakini wakati vita ikiendelea Afghanistan, ikajengwa mazingira kama haya ya kuona kuwa Al Shabaab sio tatizo la Somalia, bali la Kenya na Tanzania. Kwa hiyo polisi na jeshi la Pakistan nalo likatakiwa kuwapiga Taliban ndani ya Pakistan na jeshi la Marekani likajipa uhuru kuingia Pakistan kushambulia maeneo ya l i yo d a i wa k u wa n i vituo vya mafunzo vya magaidi. Zipo taarifa nyingi zilizochapishwa na watati na waandishi mbalimbali zikionesha kuwa makachero wa Marekani pamoja na vibaraka wa Kipakistan, walikuwa wa k i t u m i wa k u l i p u a maeneo mbalimbali ili kuonesha kuwa kitisho cha magaidi wa Taliban na Al Qaida ni cha kweli. Kupitia mchezo huo, wananchi wengi wameuliwa na kutiwa vilema. Na kupitia mchezo huo, Marekani ilipata sababu kwanza ya kuishinikiza serikali ya Pakistan kuongeza nguvu katika kuuwa raia wake wenyewe ikidaiwa ni kupambana na magaidi. Kwa upande wa pili, Marekani ilipata sababu ya kujiimarisha zaidi keshi na kikachero ndani ya Pakistan. Nchi hiyo hivi sasa ni kama imezingwa na chatu, uwezo wake wa kinyukilia haukuisaidia chochote. Inabomolewa kila uchao. Chanzo ni kuingizwa kinga kwenye vita kichaa dhidi ya dui wa kutengenezwa kwa masilahi ya beberu, Marekani. Ukitaka kujua kuwa ni adui wa kubuni, soma habari za kusilimu mwandishi Yvonne Ridley. Huyu ni mwandishi mwanamke aliyekwenda kuandika habari za Taliban akiwa na picha kichwani ya kukutana na watu magaidi katili kama walivyokuwa wakitangazwa na vyombo vya habari vya Magharibi. Kwa bahati mbaya au nzuri kwa upande mwingine, Yvonne alikamatwa na Taliban. Kutokana na wema aliofanyiwa katika muda alioshikiliwa kabla ya kuachiwa, ilimpelekea kutambua kuwa Taliban waliokuwa wakiitwa magaidi, sio waliokuwa wakitawala A f g h a n i s t a n . Ta l i b a n magaidi walikuwa zimwi la kuundwa na wanasiasa wa Marekani pamoja na vyombo vyao vya habari. Al ip ore jea Uin g ereza Yvonne aliamua kusoma Quran na Uislamu kwa ujumla ili ajue mafundisho yaliyowafanya Wataliban kuwa watu wema, rahimu na wakarimu kiasi kile. Aliishia kusilimu. L a k i n i k a m a tunavyoimbishwa Al Shabaab hivi leo, M u s h a r r a f a l i t a k i wa kushiriki kuwapiga Taliban na na ndugu zake wa Afghanistan kuwatangaza kuwa ni magaidi kama Kenya inavotumiwa hivi leo kuwapiga na kuwauwa ndugu zao na jirani zao Wasomali. Kinachoikuta Pa k i s t a n h i v i l e o , n i matokeo ya mchezo kama huu inaofanya Kenya. Wasomali wamekaa wakivurugana na kuuwana

8 AN-NUUR

MUHARRAM 1433, IJUMAA DESEMBA 2 - 8, 2011

Pumzi ya Mwisho: Ibra katika kifo cha Dr. Kilima


Na Mwandishi Maalum
JIANDAE kwa pumzi yako ya mwisho. Kila pumzi yetu inayoingia na kutoka, kila moja hushindana na nyingine pasi na kikomo. Kila pumzi ni muhimu kwa ajili ya maendeleo yetu. Kwa kila pumzi moja, maisha yetu yanarefuka. Lakini siku moja suala hili litasimama. Katika wakati huo, katika kipindi cha pumzi yetu ya mwisho, ipi itakuwa hali ya mioyo yetu? Huu ni ukumbusho ambao anatupa mwanachuoni Othman Nuuri Topbash. Katika ukumbusho huu Othman anasema kuwa, Mwenyezi Mungu ameweka sifa ya uwepo wa milele kuwa yake peke yake. Na ni kwa sababu hii Quran inasema kila kitu kitaondoka. Na kila nafsi itaonja mauti. Katika kuvuta hisia za mwanadamu kutafakari juu ya hatma yake, Rumi anasema, Ewe mwanadamu! Vuta taswira yako ya mwisho kwa kujisifu kwenye kioo, na kufikiri vipi huu uzuri ulionao pindi utapozeeka. Usipotoke kwa uongo wa kioo. L a k i n i k wa u p a n d e mwingine, fikiria vipi itakuwa siku ya kuvuta pumzi yako ya mwisho. Tunaambiwa kuwa pumzi ya mwisho ni kama kiyoo kilichosafi. Mtu atakuwa na uhakika wa makazi yake wakati wa dakika zake za mwisho. Kisha matendo ya uhai wake yataoneshwa mbele ya macho na moyo wake. Ni sababu hii kwamba hakuna maandalizi mazuri ya kifo kama kukitafakari kifo chenyewe. Kwa muktadha huu, ni lazima kila mwanadamu atazame amali zake na awe makini katika maandalizi yake. Ni lazima aishi kwa uangalifu katika uhai wake kabla mauti hayajawasili. Na la kuzingatia ni kuwa kifo hakina taarifa. Lini, saa ngapi, wapi na kwa namna gani kitaka, hayo ni mambo ambayo yamechika. Baada ya utangulizi huo, niseme kuwa nimelazimika kuandika makala hii kutokana na hali iliyotokea katika hospitali ya rufaa ya Mbeya alasiri ya Alhamisi N o ve m b a 1 0 , 2 0 1 1 n a masiku yaliyofuatia kwa zaidi ya wiki mbili. Ilikuwa vilio, kwikwi na

Makala

Dr. Hemed Kilima akimpima mmoja wa wagonjwa wakati wa uhai wake

Dr. Hemed Kilima (kushoto) akiwa mafunzoni nchini Marekani huzuni kubwa iliyotawala nyuso na mioyo ya wafanyakazi, wauguzi, madakitari na wagonjwa. Huzuni na hata kutawala vilio, ni hali ya kawaida kabisa ndani ya familia panapotokea msiba. L a k i n i h a l i i l i yo t o k e a katika hospitali ya Mbeya na kusambaa hadi Kyela, Sumbawanga, Mbozi na vijiji mbalimbali katika mkoa wa Mbeya, haikuwa ya kawaida. A s u b u h i y a s i k u ile hadi saa 4 alikuwa hospitalini akiwatizama na kuwakagua wagonjwa wake aliowafanyia upasuaji jana yakeilikuwa kawaida yake kuwa karibu sana kwa huruma na kujali wagonjwa wakeilikuwa hali ya huzuni sana na kuangua vilio wagonjwa wale walipoambiwa jioni k w a m b a D r. H e m e d Kilima amepata ajali na amefariki. Hayo yalikuwa maelezo ya mmoja wa wafanyakazi wa hospitali hiyo alipoongea na mwandishi alipotaka kujua ni kwa nini kifo cha Dr. Kilima kiliwagusa sana watu wa Mbeya. Maelezo zaidi yanaonesha kuwa Dr. Hemed Kilima ilikuwa aondoke Mbeya pamoja na wenzake wengine kwenda Dar es Salaam Novemba 9. Hata hivyo, Dr. Kilima akasema kuwa yeye asingeweza kuondoka siku hiyo kwa sababu alikuwa na mgonjwa ambaye aliona ni muhimu amfanyie upasuaji kwanza. Alhamdulillah, ilikuwa operesheni ngumu sana, namshukuru Mungu nimefaulu, hii ni kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu, maana siwezi hata kusema kwamba nilichokifanya nilikisomea. A n aeleza mmoja wa n d u g u wa D r. H e m e d

akimnukuu alivyoeleza aliporejea nyumbani baada ya kumfanyia upasuaji mgonjwa huyo. Akifafanua alisema kuwa Dr. Kilima alieleza kuwa mgonjwa huyo alikuwa na tatizo jichoni ambapo pamoja na kuuma lilikuwa l i k i t o k a k wa n j e k a n a kwamba linataka kungoka uchunguzi ukaonesha kuwa kulikuwa na uvimbe kwa ndani ambao ndio ulikuwa ukisukuma jicho litoke nje. Huyo ndiye mgonjwa aliyesema hawezi kusari kabla hajamfanyia upasuaji na hata kesho yake akasema hawezi kuondoka kabla hajaenda wodini na kumfungua na kuona anaendeleaje. A l h a m d u l i l l a h , anaendelea vizuri, nimefaulu, sasa naweza kuondoka, alinukuliwa Dr. Kilima akiaga baada ya kurejea nyumbani kutoka hospitalini alipokwenda kuona wagonjwa wake. Dr. (Kilima) akiwa na wagonjwa wa kuwafanyia upasuaji, alikuwa hajali muda, alifanya mpaka usiku na hata kukesha mpaka amalize wagonjwa wake. Wengine aliwafuata vini, akisari hadi Kyela na wilaya nyingne za mkoa kufanya upasuaji na kutoa matibabuwagonjwa wasio na uwezo wa kulipia matibabu alikuwa akiwalipia kwa pesa zake na hata kuwapa nauli na fedha za matumizi ilimuradi wasikose matibabu. Alisema mfanyakazi mmoja akiongea na mwandishi kwa simu wiki iliyopita. K wa k we l i n i p i g o na huzuni ambayo itakuchukua muda mrefu kufutikakuna wagonjwa walifika hospitalini siku ya pili baada ya Dr. Kilima kufariki wakitokea Kyela. Walisema kuwa Dr. (Kilima) alikuwa amewapa nauli ya kuja kutibiwa (walikuwa hawana uwezo na siku hiyo ndio aliwaambia wafike hospitali kwa matibabu). Ilikuwa vigumu sana kwa watu waliokuwepo m a p o k e z i k u wa a m b i a ukweli wagonjwa wale kuwa Dr. Kilima hatunaye tena, amefariki. Hayo yalikuwa baadhi tu ya maelezo ya baadhi ya wafanyakazi wa hospitali ya Rufaa Mbeya wakieleza Dr. Hemed Abbas Kilima alikuwa nani. Ni maelezo yanayoonesha utendaji kazi makini, kujitolea, kujali Inaendelea Uk. 9

Pumzi ya Mwisho: Ibra katika kifo cha Dr. Kilima


Inatoka Uk. 8
wagonjwa, huruma, mtu wa msaada kwa watu bila ya kubagua na kubwa zaidi ucha-Mungu uliomsukuma kufanya kazi kwa uadilifu akitaraji malipo kutoka kwa Mwenyezi Mungu. Ulikuwa utendaji kazi ambao haukuwa na malengo ya kujinufaisha na kupata masilahi binafsi ya kidunia. Mwenye malengo hayo, hawi mtu wa kutoa alicho nacho kwa manufaa ya wengine, bali huwa wa kujikusanyia kupitia taaluma na huduma anazotoa. Ni yule mwenye malengo ya kupata Radhi za Mola Muumba zitakazompatia furaha ya maisha ya Akhera, ndio huwa na moyo aliokuwa nao Dr. Hemed Kilima. Moyo wa kujitolea kusaidia wagonjwa na hata kuwalipia matibabu kwa fedha zake ikiwa ni sadaka kwa kile alichoruzukiwa na Allah Subhana wa taallah. Mtume Muhammad (s.a.w) aliacha nyuma yake kumbukumbu za hali ya juu katika kipindi cha uhai wake zilizotokana na upendo wake na huruma yake kwa watu kwa ajili ya Allah. Kwa hiyo alihama kutoka katika ulimwengu huu wenye kukoma kuelekea katika ulimwengu wa kweli wenye kudumu akiacha athari za kazi yake njema. D r. H e m e d K i l i m a hatunaye. Lakini alichotuachia ni fundisho kubwa kwa wenye akili. Ameacha utajo wa wema utakaopelekea watu kumwombea dua njema. Na hii nimegusa kwa uchache tu katika yale aliyofanya katika kituo chake cha kazi Mbeya. Tunaambiwa kuwa hata alipoteuliwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Hospitali ya Mbeya, kiasi mwaka mmoja na nusu uliopita, ndio alizidi kuwa mnyenyekevu kwa watu na kuzidi kiwango cha uadilifu wake na kujali watu. Si jambo la kawaida kiongozi kupendwa na wafanyakazi kwa sababu mara nyingi wafanyakazi wanakuwa na madai mengi ambayo si rahisi u o n g o z i k u ya t e k e l e z a yote; lakini Dr. Kilima hata kama kulikuwa na tatizo, akiongea na wafanyakazi wataondoka wameridhika. Na hii naamini ni kwa sababu alikuwa mkweli, hakuwa na mambo ya kinyume nyume. Alisema mfanyakazi mwingine. Muhimbili mwaka 1997. Mwaka 2002 akapata digirii ya pili (Masters of Science Community Eye Health), London. Mwaka 2005 akapata Masters nyingine-Masters of Medicine in Ophthalmology ya Chuo Kikuu cha Tumaini, KCMC. Ni wajibu kwa vijana kutanabahi na kupata ibra. Kwanza, muhimu sio kusoma tu kwa juhudi na kupata digirii nzuri katika fani uliyosomea. Lakini unaitumia vipi fani hiyo katika kuwasaidia na kuwahudumia watu. Unaitumia vipi kwa manufaa ya watu, jamii na nchi. Kufanya vizuri ni leo, kesho sio yako. Ipo dhana ya vana kukimbilia kuchuma na kujikusanyia mali, kama ni ibada, sadaka na kuhudumia watu baadae. Dr. Kilima alijikusanyia kwanza ridhaa ya Allah kwa kuwahudumia watu. Utajo wa wema unalipa. Ni dua itakayomsaidia milele. Tu n a a m b i w a k u w a alipoteuliwa kuwa Mkuu wa Kitengo cha Macho kwa Kanda ya Juu Kusini, i k i j u m u i s h a m i k o a ya Mbeya, Iringa na Rukwa, alifanya kazi na kujenga mtandao wa huduma kwa watu akipita kijiji kimoja hadi kingine kuhudumia watu na kama ilivyoelezwa awali, wakati mwingine akitumia fedha zake mwenyewe. Wote waliopata huduma bora zikiambatana na huruma, upole na kujali, ndio waliobaki na huzuni na kufanya kifo cha Dr. Kilima kuwa ni msiba mzito wa Kanda hiyo. Zipo taarifa kwamba katika siku zake za mwisho alikuwa na kawaida ya kukaa faragha na mtoto wake wa kwanza Abdulatif na kumpa nasaha na usia. Moja ya mambo ambayo mtoto huyo wa miaka 9 anakumbuka ni kuwa baba yake Dr. Hemed alimuusia kumfanyia wema mama yake. Akimkosea amwombe msamaha. Na mwisho akawa anamwambia kuwa akifa (yeye Dr. Hemed akifa), basi awe anamwombea Dua. Abdulatif na wadogo zake kabla ya baba yao kukafiniwa akiwa bado chumba cha kuhifadhia maiti Iringa, waliomba kumwona baba yao wakamwombea dua kama alivyowausia. Innalillah wainna ilayhir rajiuun. Sisi sote ni waja wa Mwenyezi Mungu na sote kwake tutarejea.

MAKALA

AN-NUUR

MUHARRAM 1433, IJUMAA DESEMBA 2 - 8, 2011

Dr. Hemed Kilima alikuwa pia mtu wa familia. Hapa akiwa na mkewe na watoto Kubwa tunalojifunza katika maisha ya Dr. Hemed Kilima, kwanza ni ile kauli ya Quran inayohimiza watu kwamba wafanye wema, wafanye mambo mazuri na kwamba Mwenyezi Mungu na Mtume wake na waumini wataona wema huo. Kinachosimuliwa hivi leo, huzuni iliyotawala mioyo ya wagonjwa na wafanyakazi wenzake, ni kielelezo kuwa nasi za waja zimetambua wema, uadilifu na kazi njema iliyofanywa na Dr. Hemed Shaaban Kilima. D r. H e m e d K i l i m a ameondoka akiwa bado kijana. Alizaliwa tarehe 28. 5. 1969 na amefariki 10 Novemba, 2011 katika ajali ya gari iliyotokea maeneo ya Ruaha, mkoani Iringa akiwa njiani kuelekea Dar es Salaam. Alizikwa katika makaburi ya Kisutu, jini Dar es Salaam Novemba 11, 2011. Dr. Kilima alipata shahada yake ya kwanza ya udakitari (medicine) katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam,

Dr. Hemed Kilima (katikati) Mwaka 2005 akapata Masters nyingine-Masters of Medicine in Ophthalmology ya Chuo Kikuu cha Tumaini, KCMC. Kushoto ni mkewe, kulia ni mdogo wake Abubakar Kilima.

10 AN-NUUR

MUHARRAM 1433, IJUMAA DESEMBA 2 - 8, 2011

Na Sheikh El-Eraqi Abdurahmani Ennady


AMESEMA Mwenyezi Mungu Mtukufu wale ambao wametolewa katika mi yao bila ya haki ila kwa kusema tu Mola wetu ni Mwenyezi Mungu, hakika mwenye kuzingatia aya hii tukufu inafafanua kwake juu ya yale yaliyompata mjumbe wa Mwenyezi Mungu na masahaba zake miongoni mwa maudhi na kebehi na manyanyaso mpaka wakaacha mi yao na nchi yao na mali zao kwa ajili ya kuinusuru dini yao.

Na miongoni mwa maudhi hayo ni yale ya Abuu Lahabi alikuwa akitembea nyuma ya Mtume ili kuyakanusha yale aliyoyasema na kumtukana wakati Mtume anawalingania watu katika dini ya Mwenyezi Mungu. Na alikuwa mama Jamilu mke wa Abuu Lahabi ya l i k u wa m a u d h i ya k e hayapungui yale ya mume wake juu ya uadui wake kwa Mtume na alikuwa mke wa Sulaitat akinyoosha ulimi wake na kuwasha moto wa tina alikuwa akiweka miba na uchafu katika njia ya Mtume hadi ikamtaja QURANI kuwa ni mchukuzi wa kuni na kumuahidi Mwenyezi Mungu yeye na mumewe kuwa wataingia moto wenye kuwaka na akateremsha Mwenyezi Mungu kwa ajili yake na mumewe sura hii: (Imeangamia mikono ya Abii Lahabi na imeangamia... hadi mwisho wa sura hii) N a a l i k u wa A k h n a s i Bin Sharif anapomuona Mtume basi hukonyezana hadi akamteremshia M we n ye z i M u n g u k wa hilo na yanayofanana na hayo:- Jangwa la moto

Sababu za kufanya Hijra Mtume (s.a.w)


kwa kila wenye kukonyeza ambaye anakusanya mali na anazihesabu... mpaka mwisho wa sura hii:- Na alikuwa Walidi Bin Mughera alikuwa akipata toka kwa Mtume (S.A.W) akateremsha Mwenyezi Mungu aya tisa (9) kauli yake na wala usimtii muapaji sana mkonyezaji, muenezaji umbea hadi kauli yake baada ya hapo mtoto wa zinaa na alikuwa Abuu Jahali ni miongoni mwa watu waliokuwa wakimuudhi Mtume (S.A.W) akawa anamzuia kuswali akateremsha aya hii (umemuona yule anayemzuia mja kuswali hadi mwisho wa sura). Haya ndio kwa upande wa Mtume (S.A.W) na Utukufu wake kwa Heshima yake juu ya nafsi za wote. Ama kwa upande wa Waislamu na hasa kwa wale wa n yo n g e k wa n i k wa o mambo yalikuwa makubwa zaidi ya hayo ikasimamia kila kabila kwa kumuadhibu kila yule anayeamini dini ya Kiislamu au kuisogelea dini hiyo kwa aina mbalimbali za adhabu na alikuwa abuu Jahali kila pale anaposikia kuwa kuna mtu amesilimu h u m z i w i l i a wa n a we n a humchukua hadi sehemu isiyo ya kabila lake na kuwaita wakubwa wa mji huo na kutoa aina mbali mbali za adhabu na hubabaisha adhabu hizo nyoyo za watu. Na akawa Umayah Bin Khalafi anamtoa Bilali Bin Rabaha hadi jangwani katika wakati wa jua kali humtupa kwa mgongo mgongo na kumuweka jiwe kubwa na anamwambia utabaki hivyo hivyo hadi ufe au ukufuru kwa Muhamad na umuabudu Lata na Uza na yeye anasema Ahadu, Ahadu, (mmoja m m o j a h a n a B a b a wa l a Mtoto). Na alikuwa Amar Bin Maula mtawaliwa wa Bani Makhzum yeye baba yake n a m a m a ya k e a l i k u wa Abuu Jahli akiwaadhibu na kuwapiga Sumaya mama wa Ammar na kumfunga shingo hadi kufa naye ndiye shahidi wa kwanza katika Uislamu. Na alipotaka Suhaibu kufuatana na msafara Basi humzuia Makuraishi hadi humchukulia mali zake na humwambia tutakubana mpaka uwe masikini na kumfanya awe hana mali

MAKALA/TANGAZO
hadi mali ikaongeza na wala asitoke ndani wakampa mali zake akajikomboa a k a t e r e m s h a M we n ye z i Mungu (Na miongoni mwa watu wapo wanaojikomboa wenyewe kwa kutarajia malipo ya Mwenyezi Mungu na Mwenyezi Mungu ni mpole kwa waja) na pale yalipozidi maudhi na adhabu kwa Waislamu wake kwa waume wakawa wanakiria katika kutafuta ujanja wa kuokoka katika adhabu hii yenye kuumiza akawaashiria Mtume (S.A.W) kuhamia Ethiopia kwa yale aliyoyasikia kuwa kuna kiongozi wa KiNajashi ni muadilifu na wema wa ujirani wake wakahamia Waislamu huko Ethiopia (Habashi) mwishoni mwa mwaka wa nne na mwanzoni mwa mwaka wa tano tangu kupewa Utume na wakakaa huko Waislamu kwa ujirani mzuri na akaamini najashi kumuamini Mtume (S.A.W) na akasema kuwaambia masahaba kuwa Mashekhe wapo nchini hapa. Na huu ndio uhamaji wa kwanza katika Uislamu.

Bismillahir Rahmaniir Rahiim

KAMATI YA KUENDELEZA UISLAMU TANZANIA

TAMASHA LA KANDA YA KASKAZINI, MASHARIKI NA VISIWANI PEMBA SHENGE JUU 16 23 DESEMBA, 2011
Wanaharakati wote wa Kiislamu wa Mikoa ya Arusha, Kilimanjaro, Tanga, Morogoro, Dar es Salaam, Pwani na Visiwa vya Unguja na Pemba wanaalikwa kuhudhuria Tamasha la Ujenzi wa Kituo cha Kiislamu Shenge Juu - Pemba litakalofanyika 16 23 Desemba, 2011. Shime Waislamu tujitahidi kuhudhuria kwa wingi. Wasio na wasaa wa kuhudhuria wachangie fedha na vifaa vya ujenzi. Tukumbuke, tukifanya hivyo tutakuwa tumefanya biashara na Allah (s.w) kwa mafanikio ya hapa duniani na malipo ya Pepo Quran (61:10-13) Wabillah Tawiq AMIR

Adhana usiku yamwokoa aliyekamatwa na Polisi


Inatoka Uk. 1 Waislamu walitakiwa kuacha kuendelea kulalamika, bali kila mmoja alipo aangalie namna ya kujinasua kutokana na dhulma na uonevu unaofanywa na mfumokristo. Kwa mujibu wa maelezo ya mtuhumiwa Mwindadi Abuhi, akiongea kwa simu na gazeti hili, alithibitisha kunusurika kulala rumande baada ya kuadhiniwa adhana majira ya saa nne kasoro u s i k u wa N o ve m b a 1 7 , mwaka huu, jambo ambalo liliwastua askari polisi na kuamua kumuachia. Alisema, baada ya adhana hiyo Waislamu wake kwa waume walikusanyika katika Msikiti wa Mwanasukari, wakipeana taarifa juu ya kukamatwa kwake majira ya saa moja na kushikiliwa mpaka muda huo. Alisema, akiwa kituoni humo akiendelea na mahojiano na Polisi, walisikia adhana jambo ambalo liliwastua wote kwa ujumla na baada ya kufuatilia, waligundua kuwa adhana ile ilikuwa ni kwa ajili ya tukio la kukamatwa Muislamu mwenzao. Akielezea tukio zima kwa ujumla, Ust. Mwindadi alisema, akiwa katika sehemu yake ya biashara, Sokoni standi ambayo ni kuuza kanda mbalimbali za mawadha ya dini ya Kiislamu, majira ya saa moja jioni walika askari wanne wakiwa na bunduki na kumkamata. Alisema, alipohoji sababu ya k u k a m a t wa k wa k e , alielezwa kuwa ni kuonyesha kanda za uchochezi hivyo anatakiwa kituo cha Polisi kwa mahojiano zaidi. Akiwa kituoni, alisema alikana kuuza kanda za uchochezi bali alieleza kuwa anauza kanda za mawaidha na midahalo ya Waislamu na Wakristo juu ya masuala ya dini mbili. Pamoja na kujieleza kwangu wao walingangania tu kuwa nauza kanda za uchochezi na kuandika maelezo yao wakiendelea kunihoji huku mimi nikibaki na msimamo wangu kuwa si uchochezi, bali ni madala ya wazi ambayo imeendeshwa Jini Dar es Salaam na hakuna aliyekamatwa. Alisema. Alisema, baada ya kushindana sana, walimtaka aonyeshe kibali cha kuuza kanda hizo, ambapo aliwaeleza kuwa hakuna sheria ya kuzuia au kumtaka muuza kanda za mawaidha kuwa na kibali. Alisema, wakiendelea na mahojiano yao majira ya saa tatu, walistushwa na adhana ya m u d a h u o , a m b a p o ilisikika kutokea msikiti ulio jirani na kituo. Ghaa tulisikia adhana, kila mmoja mle kituoni alistuka baada ya hapo ziliaza kusikika Takbir , polisi waliamua kuniachia ili kuwatuliza Waislamu na kunitaka kurudi siku ya pili kwa mazungumzo zaidi, baada ya kutoka kweli Waislamu walitawanyika. Alisema Ust. Mwindadi. A l i s e m a , k e s h o ya k e alienda kituoni hapo akiandamana na baadhi ya Waislamu pamoja na Shekhe wa Wilaya wa Bakwata, ambapo katika mjadala huo Polisi walimtaka kutorusha hewani maneno ya kanda hizo bali auze kimyakimya au zisikike palepale msikitini. Wakati huo huo imedaiwa kuwa Muislamu mwingine, a l i ye t a j wa k wa j i n a l a Mussa, naye alikumbwa na mkasa huo, ikiwa yeye zilikamatwa kanda (CD) alizokuwa akiuza zilizokuwa zikielezea makongamano ya Mfumokristo. K wa m u j i b u wa U s t . Mwindadi, alisema CD hizo zilizuiwa na kupangiwa muda wa kuonyesha, lakini alidai kufuatia tukio hilo, baada ya mjadala wao naye (Ust. Mussa) amerejeshewa CD zake. Alipohojiwa kama kuna k e s i a m b a yo a n a t a r a j i a kufunguliwa, alisema hamna kesi kwani mambo yote yalimalizika siku ya pili baada ya adhana ile na Waislamu na kukusanyika Msikitini. Alisema, kwa ujumla Wa i s l a m u h a w a j a a f i k i mashariti aliyopewa hivyo wanatafakari namna ya kukisha ujumbe wa kupinga mashariti hayo. Ust. Mwindadi, alisema amefarijika mno kutokana na umoja na msimamo walionyesha Waislamu, kwani anadai hakutarajia kama angeweza kutoka siku hiyo na vinginevyo huenda angefunguliwa mashitaka Mahakamani au hata kuzuiwa

HABARI/TANGAZO

AN-NUUR

MUHARRAM 1433, IJUMAA DESEMBA 2 - 8, 2011

11

Inatoka Uk. 1 ya madala ya hivi karibuni likiwamo Kongamano la Ukumbi wa Zamani wa Baraza la Wawakilishi, Mnazi Mmoja Mjini hapa. Katika kongamano hilo, viongozi wa itikadi na vyama tafauti vya siasa walisimama na kwa kauli moja waliamua kuhamasisha utetezi wa nchi kulikoni majadiliano ya muundo wa muungano. N a wa o m b a p a m o j a n a s e r a z e t u z a v ya m a waheshimiwa tusahau yote hayo muhimu tunahitaji Wazanzibari wote tudai Dola yetu huru, hapa hatuhitaji muungano kwanza, alisema Bw. Massoud Juma mmoja wa Viongozi wa Ngazi za Juu wa CHADEMA Zanzibar, katika kauli iliyoungwa mkono na Naibu Katibu wake Mkuu Hamad Mussa, upande wa ZanzibaR. Msimamo kama huo ulitolewa hivi karibuni na Waziri wa Katiba wa Zanzibar, Abubakar Khamis Bakar, akitoa ufafanuzi hapa juu ya umuhimu wa Wazanzibari kushikamana katika kudai maslahi ya nchi yao sasa. Kinachoonekana sasa madai haya yataendelea na kwa mujibu wa taarifa za uchunguzi yatamfikia Rais Kiwete wakati atakapokutana n a M a n a i b u K a t i b u wa CUF Taifa Ismail Jussa na Julius Matiro, Ikulu Dar es Salaam. Wakati huo huo, Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad amewataka Wazanzibari waungane na kuwa na kauli moja wakati wa kutoa maoni juu ya Katiba mpya ili kupata mfumo wa Muungano wanaoutaka. Maalim Seif ambaye pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, alisema hayo juzi wakati akihutubia mkutano wa hadhara Donge Mchangani katika Wilaya ya Kaskazini B Unguja. Maalim Seif amesema hivi

Zanzibar, nchi kwanza Katiba mpya baadaye


karibuni Rais Jakaya Kikwete kwa kushirikiana na Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein, atateua wajumbe wa Tume ya Kuchukua Maoni kwa wananchi juu ya Katiba mpya wanayoitaka ambapo wananchi wa Zanzibar na wa Tanzania Bara watapata fursa sawa za kutoa maoni yao. Akasema, katika hatua hiyo iwapo Wazanzibari watakuwa na kauli moja kuhusu mambo wa n a y o t a k a ya w e m o au yasiwemo kwenye Katiba hiyo, Tanzania Bara hawatokuwa na njia nyingine isipokuwa kukubaliana na maoni ya Wazanzibari. Alifafanua kuwa iwapo Wazanzibar watatofautiana na kukosa msimamo, inaweza kuwaathiri kupata kile wanachokihitaji. Hii ni fursa adhimu kwa Wazanzibari kupata mambo wanayoyataka ndani ya Jamhuri ya Muungano ikiwemo mfumo wa Muungano wenye maslahi kwa Zanzibar, alisema Maalim Seif.

kufanya biashara hiyo. Kwa upande wake Bw. Pesa Mohammed Pesa, aliye mkazi wa Morogoro na Diwani wa Kata ya Bwakila, aliyeshuhudia tukio hilo alisema, anawapongeza Waislamu wa Pangani, kwa umoja walioonyesha. Alisema, huo ni mfano wa kuigwa na kamwe Waislamu wasirudi nyuma katika kupinga uonevu na dhulma. Alisema, kwa hali ilivyokuwa siku ile, Waislamu walikuwa tayari kwa lolote kwani walitokeza kwa wingi wake kwa waume kuitikia wito wa adhana ile.

Maalim Seif ambaye pia alitembelea majimbo ya Kitope na Bumbwini, amesisitiza kuwa hiyo ni fursa pekee kwa Wazanzibari kuamua hatima ya nchi yao. Kinachobainika sasa Maalim atahamsisha hoja hiyo katika Mikutano yake inayoendelea mwishoni mwa wiki katika Majimbo ya Wingwi, Micheweni na Mgogoni Mkoa wa Kaskazini, Pemba.

Inaendelea Uk. 16

Mwenge Evening Secondary School ( MESS)


P.O.BOX 33663 Dar es salaam, Tanzania Phone +255 652 010 136, +255716811820+255 784 263886 Email:mwengevening@gmail.com

Uongozi wa Mess ( Sekondari ya Jioni inayoongoza kwa kufanya vizuri) unawatangazia waislamu wote kuwa umeanza kutoa fomu za kujiunga na masomo ya Sekondari kwa mfumo wa Q.T (mfumo unaowezesha kufanya mtihani wa kidato cha nne ndani ya miaka mitatu (3) badala ya mine (4) iliyozoeleka. Walengwa: wanawake na wanaume, vijana waliomaliza darasa la saba, wafanyakazi serikalini na sekta binafsi, wanaorudia mitihani yao ya Taifa na wafanyabiashara wenye nia ya kujiendeleza. Masomo: Historia, jiograa, Kiingereza, Kiswahili, Hisabati,Uraia,Fizikia na maarifa ya Uislamu. Programu za Ziada: Weekend Camp, Daa`wa Program, Get together Mess Family Tour za ndani na nje ya nchi, Mess Club & Group Discussion. Muda: Jumatatu mpaka Jumamosi saa 9:30 Alasiri mpaka 12:30 jioni. Gharama : Ada ni Tsh 220,000/= tu kwa Mwaka na inaweza kulipwa kwa awamu. Fomu: fomu za kujiunga zinapatikana shuleni Mwenge Islamic Centre ( Msikiti wa Ijumaa Mwenge) kwa gharama ya Tsh 10,000/= tu. Kozi ya maandalizi imeshaanza na itamalizika tarehe 28 Januari 2012 kwa wote waliochukua fomu na kurudisha. Wote mnakaribishwa!

Sekondari ya Jioni 2012

12 AN-NUUR

MUHARRAM 1433, IJUMAA DESEMBA 2 - 8, 2011

MAKALA/SHAIRI/
leo na maelfu wengine kupata mateso ya kutisha. Na huyo ndiye alikuwa kipenzi cha Washington. Hiyo ndiyo rekodi ya Marekani katika Latin Amerika kabla ya kuhamia Afghanistan, Iraq, Pakistan, Libya na Somalia. Katika Guatemala ilikuwa i k i l i n d a m a s i l a h i ya k e katika mashamba ya ndizi. Ilipohamia Afghanistan tukaimbishwa ugaidi wa Taliban, Osama Bin Laden na Mullah Omar, wakati mgogoro ulikuwa serikali ya Taliban kuikatalia Marekani kupitisha bomba la mafuta na gesi kutoka nchi za Balkani na masuala mengine ya kimaslahi na kistratejia za kiuchumi, keshi na udhibiti wa Washington katika eneo la Asia na Balkan. Ilipokuja zamu ya Saddam, Bush na Blair wakatunga uwongo na propaganda ya silaha za maangamzi na wakaupamba na kuupigia ngoma mpaka ikaonekana kuwa sababu ya kuvamia Iraq. Sababu ya uwongo iliyoangamiza mamilioni ya roho za watu wasio na hatia. Hoja inayojengwa hapa ni kuwa rekodi ya Marekani ni ile ya kutetea masilahi yake ya kiuchumi kwa gharama yoyote hata ikibidi kuuwa na kupindua serikali zilizochaguliwa kidemokrasia. Ni rekodi ya kuunga mkono na kusaidia makundi ya kihalifu, waasi na wababe wa kivita inaowatumia kudhoofisha serikali zisisotakiwa na Washington. Ndivyo ilivyofanya Congo iliposhiriki kumuuwa Waziri Mkuu wa kwanza wa nchi hiyo Patrice Lumumba na ndivyo inavyofanya Somalia. Iliwatumia wababe wa kivita na kisha serikali ya Ethiopia kuondoa serikali iliyoleta amani Somalia baada ya miaka 16 ya vita na mauwaji holela. Haikufanya vile kwa sababu ya kuhoa ugaidi au kuwatakia mema wananchi wa Somalia. Kwa upande wa Al Shabaab, haya ni matokeo ya uharamia uliofanywa na Marekani na Ethiopia. Walionya wenye nia njema kwamba hatua inayochukua M a r e k a n i ya k u o n d o a madarakani watu walioweza kuleta amani na wakapata kuungwa mkono na asilimia kubwa ya Wasomali walio ndani na nje ya nchi hiyo, basi matokeo yake yangekuwa kuibuka makundi yenye msimamo mkali kupambana na uvamizi wa majeshi kutoka nje ya Somalia. Marekani kwa vile ilikuwa na agenda zake, haikujali. Kilichohowa ndicho kilichotokea. Sasa kama ni kuizungumzia Al Shabaab, basi izungumziwe katika muktadha huu. Sio kuifananisha na kina Kony au magaidi walioibuka kwa sababu tu ya kutaka kufanya ugaidi. Hii sio kuondoa uwezekano kuwa kuna mabaya yanayofanywa na Al Shabaab, lakini iangaliwe pia mzizi wa kuwepo kwao ili ise kuchukuliwa hatua za kuparurana na majani ukaachwa mzizi wa tna. Lakini hata haya madai ya u-Al Qaidah na ugaidi wa Al Shabaab Kampala n a K e n ya , ya n a t a k i wa kutizamwa pia kwa makini zaidi. Yapo matukio mengi yameshawahi kufanyika ya ugaidi wa kupanga kisha habari zikasambawa katika mtandao ikidaiwa kuwa Al Qaida wamekiri kuhusika. Tuzingatie kwa makini zile habari za urongo na propaganda zilizokuwa zikisambazwa na vyombo vya habari vilivyokuwa vikifadhiliwa na United Fruit Company (UFC). Lakini tukizungumzia suala la Al Shabaab na ugaidi wake, tujikumbushe pia kile kitisho cha shambulio la kigaidi la kimeta katika Marekani (Anthrax Terror Aacks). Akina Bush na CNN zao walituambia kuwa kimeta kile kilichokuwa kinatumwa kwa barua kupitia posta kilitokea kwa Al Qaidah waliokuwa wakifadhiliwa na Saddam Hussein. Leo kidagaa kinaiozea FBI huku baadhi ya taarifa zikidai kuwa kimeta kile kilitokea katika maabara ya kijeshi pale Fort Detrick, Maryland. Tayari mtuhumiwa mmoja mtaalamu katika maabara hiyo, Bruce Ivins ashaanga dunia katika kile kilichoitwa k u j i u wa k wa k u b u g i a Tylenol mara tu baada ya kuanza kuhojiwa. Mtu anapopinga haya matangazo ya kwa hisani ya watu wa Marekani, sio kwamba ana anti-American sentiments, ila ni kwa sababu hii misaada ya kondomu n a m f a n o wa k e n i ya kutudharau, kutudhalilisha na kutudhania kuwa sisi wajinga. Kwa bahati mbaya kabisa, baadhi ya NGOs zetu na hata taasisi za kiserikali zimeona zimepata mahali pa kujikimu. Mtu akipinga hii misaada ya vyandarua katika ile kampeni ya Maleria Haikubaliki, sio kuwa anawachukia Wamarekani. Ni kwa sababu msaada wenyewe na hiyo kampeni n a m a t a n g a z o h a ya n a maana yoyote. Hakuna nchi iliyotokomeza maleria kwa kutumia chandarua. Na kukazania matangazo hayo ni kutangaza tu ujinga. Ni vinyo hivyo katika suala hili la Al Shabaab. Hoja ni kuchambua ukweli na kuutengaisha na propaganda. Suala la msingi ni kutizama mzizi wa tna na ile mipango ya hila na ya siri (covert operations) inayoendelea Somalia.

Tufunge Ashura!
1. Yailahi ya karimu, niongoze shairini, Unaze ilhamu, na sakina ubongoni, Niweze jambo adhimu, kuwajuza Ikhiwani, Mwezi kumi Muharramu, Ashura tuifungeni. 2. Enyi ndugu Islamu, wa Bara na Visiwani, Nimeishika kalamu, lengo kukumbusheni, Juu ya hii swaumu, wengi tusoithamini, Mwezi kumi Muharramu, Ashura tuifungeni. 3. Ashura funga adhimu, si leo toka zamani, Tumwa wetu mkaramu, funga aliithamini, Iweje Muislamu, ukose kuithamini, Mwezi kumi Muharramu, Ashura tuifungeni. 4. Ashura ni ya msimu, funga hii tambueni, Lililo kwetu muhimu, ni sisi kuithamini, Yapasa kujilazimu, kumuiga Adnani, Mwezi kumi Muharramu, Ashura tuifungeni. 5. Ashura ni Ikramu, kwa Musa na waumini, Walokuwa madhulumu, kwa sera za rauni, Kumbukumbuye muhimu, kwa kuhuisha Imani, Mwezi kumi Muharramu, Ashura tuifungeni. 6. Ashura kuiheshimu, mayahudi waliwini Akawahoji mwalimu, juu ya chake kiini, Akatutaka tudumu, kufunga kutokhini, Mwezi kumi Muharramu, Ashura tuifungeni. 7. Ashura ni yako zamu, jinalo kulithamini, Dumisha sasa nidhamu, jinalo usilikhini, Ni letu sote Jukumu, Ashura kuithamini, Mwezi kumi Muharramu, Ashura tuifungeni. Na Abuu Nyamkomogi Mwanza -Tanzania

Suala sio kuichukia Amerika


Inatoka Uk. 2 uhuru zaidi serikali na watu wake wa kisiasa na kiuchumi n a k u wa n a s u a k u t o k a makucha ya mabebreru. Hata hivyo, inaelezwa kuwa hatua hiyo ya kizalendo, ilimshushia hasira kutoka Washington. Mbwa mwitu (CIA) wakaingia kazini, haukupita muda Rais Arbenz, kipenzi cha watu wa Guatemala akapinduliwa. He was ousted in a coup dtat engineered by the United States government and CIA, and was replaced by a military junta, headed by Colonel Carlos Castillo Inaandika Wikipedia, the free encyclopedia. Inaelezwa kilichoanza ni kuandaa propaganda zilizomchafa Rais Arbenz kwamba ni kibaraka anayetumiwa na makomunisti kuleta utawala katili wa kidikiteta usio jali uhuru wa watu katika Latin Amerika. Taarifa za uwongo zikachapishwa katika magazeti na kutangazwa katika redio kuonesha kuwa kulikuwa na mdudu mbaya Guatemala. (Schlesinger 89). Baada ya propaganda kukolea, Rais Arbenz akapinduliwa mwaka 1954 n a b a d a l a ya k e i k a k a a serikali ya kijeshi headed by the CIAs hand picked man, Carlos Castillo Armas. (Boyer 113) Kuanzia hapo, serikali ya M a r e k a n i i m e k u wa ikiunga mkono madikiteta mmoja baada ya mwingine, ilimuradi kuhakikisha kuwa madikiteta hao wanalinda masilahi ya makampuni ya Marekani. Katika hali hiyo, hali ya wananchi imekuwa ya mateso mwaka hadi mwaka ukiwemo umasikini, utesaji, m a u wa j i n a u k i u k wa j i mkubwa wa haki za binadamu. Hali ilikuwa ni hiyo hiyo katika Nicaragua. Ikiunga mkono waasi wa CONTRA kwa fedha, silaha na mafunzo ya kijeshi, Marekani imesababisha maafa na mateso makubwa kwa wananchi wa Nicaragua. Nitaje pia mfano wa Chile ambapo Rais aliyechaguliwa k i d e m o k r a s i a S a l va d o r Isabelino del Sagrado Corazn de Jess Allende Gossens alipinduliwa na badala yake akaingia madarakani dikiteta Augusto Jos Ramn Pinochet Ugarte, maarufu General Augusto Pinochet. Habari ni ile ile. Allende hakutakiwa na Richard Milhous Nixon kwa sababu alionekana kuwa mzalendo aliyetaka rasilimali za Chile ziwanufaishe wananchi wa Chile. Habari za Pinochet ni maarufu, jinsi alivyouwa na kuwatesa raia wake. Maelfu waliuliwa, wegine kutoweka bila kujulikana walipo hadi

1. Naanza kulihimidi, jina la Mola wadudi, Kuswalia sina budi, tumwa wetu mMhamadi, Utimu wangu muradi, nudhumu kuradidi, Mwalimu EE mwalimu, nani anakuthamini 2. Utalia hadi lini, utasikiwa na nani, Jamii inakukhini, sirini na hadharani, Lini takua kundini, itukuke yako fani, Mwalimu EE mwalimu, nani anakuthamini 3. Watoto unasomesha, vidato unawavusha, Wengi unahitimisha, mataji unawavisha, Mashangingi wanaendesha, wakikulisha, Mwalimu EE mwalimu, nani anakuthamini 4. Iwapi heshima yako, toka wanafunzi wako, Wazazi chao kicheko, wewe kwao ni kivuko, Wazidisha chokochoko, bezo na minunguniko, Mwalimu EE mwalimu, nani anakuthamini 5. Watoto wapaofeli, lawama za kukabili, Matusi nazo kejeli, yote wasitahimili, kisomo bila akili, hiyo kwao sidali, Mwalimu EE mwalimu, nani anakuthamini 6. Mwalimu huna makazi, chakula hata mavazi, Humudu chako kizazi, kwa ada na kwa kivazi, Shule bora huwazi, tiba bora huwezi, Mwalimu EE mwalimu, nani anakuthamini 7. Subira huvuta kheri, heri ipi iso shwari, Kiinuwa usubiri, ukishapitwa mazuri, Wajihi hauna nuri, meno yameshasari, Mwalimu EE mwalimu, nani anakuthamini 8. Kwa beti nane nakoma, hapa ndipo kaditama, Mwalimua utalalama, na kugoma hutokoma, Kukwombea dua njema, hayupo wa kusimama, Mwalimu EE mwalimu, nani anakuthamini Na F. Mtuchake

Mwalimu EE mwalimu nani anakuthamini!

Somalia: Mkasa uliojicha, ajenda iliyochwa


(Makala ya Media Lens) MNAMO Mei Mosi, ukurasa wa BBC katika mtandao uliripoti mashambilio nchini Somalia, chini ya kichwa cha habari: Shambulio la ndege laua wanaharakati wa Kisomali. Mtu angeweza kufikiria kuwa kichwa cha habari cha BBC kingemwonyesha wakala aliyefanya ulipuaji huo, lakini maneno kadhaa ya kwanza hayatoi mwanga w o w o t e , n a n i k a f a n ya mauwaji hayo: Kiongozi wa kitengo cha keshi cha kundi la kiharakati la Somalia ameuawa katika shambulio la ndege usiku. A d e n H a s h i Ay r o , kamanda wa keshi wa AlShabaab, alikufa wakati nyumba yake katika mji wa kati wa Dusamareb ilipopigwa mabomu. Watu wengine kumi, akiwemo mwanaharakati mwandamizi, pia walisemekana kuuawa. Ni katika sentensi ya nne ndiyo muuwaji muhusika unatajwa. Habari ikasema, Msemaji wa kijeshi wa Marekani aliiambia BBC kuwa ilishambulia lile alichokiita mlengwa anayejulikana wa Al-Qaeda nchini Somalia. Waalimu wa Kiingereza huwa wanadhihirisha m a t u m i z i ya k i t e n d wa kwa sentensi: Mtu amekamatwa. Kitendwa kinafaa zaidi, wanafunzi wanaambiwa, pale kitenda Polisi wamemkamata mtu, kinapokuwa na urudiaji aliyetenda anadhihirika katika kitendo. Hakuna haja halisi ya kuwataja polisi. Pia BBC inachukulia kuwa Marekani ni polisi wa dunia; hakuna haja ya kuitaja kwa jina. Hatua ya kuipiga mabomu nchi maskini inayoendelea tayari inaonyesha mhusika. Hii pia inaelekeza kwa nini haukutajwa ubatili kisheria wa kitendo hiki cha mashambulizi. Mara chache pale vyombo vya habari vikiutaja mgogoro wa Somalia, mwelekezo unakuwa wa m a j a r i b i o ya M a r e k a n i kuwatafuta Al-Qaeda, au malengo yanayodaiwa ya kibinadamu ya nchi za magharibi. Vipaumbele vingine viliainishwa mwaka 1992 wakati jarida la kila wiki la Marekani, The Nation lilipozungumzia Somalia kama moja ya maeneo nyeti keshi duniani kote leo: nje ya Pembe ya Afrika, ambako mafuta, uharakati wa Kiislamu na nia za Israel, Iran na nchi za Kiarabu na silaha kwa lazima zitaangukia na kugongana. Desemba 2006, Marekani ilkiunga mkono uvamizi wa Somalia na mshirika wake wa karibu Ethiopia kupindua serikali ya Kiislamu, Umoja wa Mahakama za Kiislamu (ICU). Ethiopia ya Kikristo ni adui wa kihistoria wa Somalia, ambayo haswa ni Waislamu wa madhehebu ya Sunni. Desemba 4 mwaka huo, Jenerali John Abizaid, mkuu wa majeshi ya Marekani katika Mashariki ya Kati hadi Afghanistan, alienda Addis Ababa kukutana na Waziri Mkuu wa Ethiopia Meles Zenawi. Wiki tatu baadaye, majeshi ya Ethiopia yalivuka kuingia Somalia na Marekani ikafanya mashambulio ya angani kuwafungulia njia. Gazeti la Guardian la Uingereza lilimnukuu osa wa kijasusi anayefahamu kwa undani eneo hilo: Mkutano huo ulikuwa ni wa kushikana mikono tu kukamilisha, (angalia Xan Rice na Suzanne Goldenberg, The American Connection: How the US forged an alliance with Ethiopia over invasion, The Guardian, January 13, 2007) Mchambuzi wa kisiasa J a m e s Pe t r a s a l i s e m a : Somaliailivamiwa na askari wa kukodiwa wa E t h i o p i a , wa l i o f u n z wa , kutolewa fedha na kuelekezwa na washauri wa kijeshi wa Marekani. (Petras, The Imperial System: Hierarchy, Networks and Clients: The Case of Somalia, iliyochapishwa na Dissident Voice, February 18, 2007). J a r i d a l a U S A To d a y liliripoti Januari 2007 kuwa Marekani ilikuwa inaingiza kimya kimya silaha nyingi na washauri wa keshi nchini Ethiopia, ambayo ilikuwa imepokea karibu dola milioni 20 za misaada ya kijeshi ya Marekani kuanzia 2002. Taarifa iliongeza: Uvamizi (wa Somalia) unapingwa Ethiopia, ambako serikali ya Meles imezidi kuwa ya kikandamizaji, alisema Chris Albin-Lackey, mtafiti wa Afrika katika Human Rights Watch. Serikali ya Meles imezuia nguvu ya upinzani bungeni na kukamata maelfu. Uchunguzi uliofanywa na serikali ulikia tamati kuwa majeshi ya usalama yaliua kwa risasi, kupiga au kunyonga watu 193 waliokuwa wanapinga wizi wa kura mwaka 2005. Petras aliainisha kuwa, baadaya kuwasukuma mabwana vita wa mwisho kutoka Mogadishu na maeneo mengi ya vini, ICU (serikali ya umoja wa mahakama za Kiislamu) ilikuwa imeunda serikali ambayo ilikubaliwa na wananchi wa Somalia wa l i o w e n g i n a i k a wa inamiliki juu ya asilimia 90 ya watu wake: ICU ilikuwa ni serikali adilifu, ambayo ilimaliza rushwa za mabwana vita na ulazimishaji (hongo).

Makala

AN-NUUR

MUHARRAM 1433, IJUMAA DESEMBA 2 - 8, 2011

13

VIKOSI vya kulinda amani nchini Somalia Usalama wa mtu binafsi na mali ulihakikishwa, ikaondoa ukamataji holela na utekaji nyara wa mabwana vita na makundi ya maharamia wenye silaha. ICU ni mkusanyiko wenye vikundi tofauti ikiwa ni pamoja na Waislamu wa mrengo wa wastani na wanaharakati, wanasiasa wa kiraia na wapiganaji, waliberali na wanamapinduzi, wapenda siasa za vyama na wataka uimla. Muhimu zaidi, utawala wa Umoja wa Mahakama ulifaulu kuunganisha nchi na kuweka mfano wa utaifa, kuondokana na migawanyiko ya koo. (Petras, juu). Martin Fletcher aliandika katika gazeti la Times (of London) kuhusu ICU: Umoja wa Mahakama kwa miezi sita walifikia kile kilichoonekana hakiwezekani, kurudisha utawala wa sheria katika nchi iliyoonekana haitawaliki. Umoja wa Mahakama haukuwa wakandamizaji kama marafiki zetu wa S a u d i a a n g a l a u wa t u waliweza kutembea barabarani bila kunyanganywa au kuuawa. Hiyo inafunika masuala mengine yote. Wa i s l a m u h a o s a s a wameondolewa, kwa uwezeshaji wa Marekani, na serikali dhaifu ambayo iliundwa kitambo kabla Umoja wa Mahakama haujachukua madaraka, ambayo inajumuisha mabawana vita wale wale iliowashinda na inategemea, ili idumu, adui mkuu wa Somalia. (Fletcher, The Islamists were the one hope for Somalia, The Times, January 8, 2007) Ilikuwa wazi kwa wachambuzi wengi kuwa uvamizi wa Ethiopia ungekuwa mkasa mtupu. Miezi mitatu baadaye, gazeti la Daily Telegraph liliripoti: Maafa na mkasa mwingine wa kibinadamu umeanza kufukuta katika Pembe ya Afrika ambako siku nane za mapigano makali katika mji mkuu wa Somalia zimewasukuma wa t u t a k r i b a n 3 5 0 , 0 0 0 kuzikimbia nyumba zao. Makombora ya mizinga yameharibu sehemu kubwa ya mji, na kulazimisha kiasi cha theluthi moja ya wakazi wake kuondoka. Majuzi tu, hospitali kubwa zaidi ya Mogadishu ilipigwa mabomu. M a b o n d e yanayozunguka Mogadishu yamejaa wakimbizi wakivumilia mazingira magumu ya kukatisha tamaa wakiwa na chakula kidogo sana na makazi. Mapigano yalianza wakati serikali inayotambuliwa kimataifa ya Somalia, ikisaidiwa na askari wa Ethiopia, ilipoanza wimbi la kukabiliana na wanaharakati, (Mike Panz, Fighting brings fresh misery to Somalia, Telegraph, April 26, 2007) Gazeti la Telegraph lilimnukuu mwajiriwa wa shirika la misaada mojawapo la Uingereza: Wanapiga mabomu chochote kinachotembea. Catherine Weibel, wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi ( U N H C R ) a l i n u k u l i wa akisema: Kila tunayeongea naye anasema hii ndiyo hali mbaya zaidi waliyowahi kuona katika miaka 16 tangu serikali ya mwisho ianguke. Vita Dhidi ya Ugaidi .Na Kinachotakiwa Haswa Mpangilio wa mawasiliano (na vyombo vya habari) wa kuweza kuelewa kinachofanywa (nchi za nje) na Marekani unaendana na mfumo wa vita ya kiitikadi (ya zamani, na iliyokuwa Urusi). Tunatakiwa tuamini kuwa Marekani inajituma kwa hisia, hata bila kuona, kupambana na maadui wa kiitikadi katika juhudi ya kujilinda yenyewe na nchi za Magharibi. Mwanasafu wa Guardian Jonathan Friedland anaweza kuwasemea wengi kuweka bayana taswira hii ya matukio: Wiki mbili zilizopita Wa e t h i o p i a w a l i i n g i a Somalia kupindua makundi ya harakati ya Waislamu ambao ndiyo kwanza walikuwa wameteka Mogadishu. Marekani inachukua harakati hiyo ya Kiislamu, ikihoa kuwa ina sura ya u-Taliban wa Kiafrika, hivyo waliwaunga mkono Waethiopia kuwaondoa. Kwa mujibu wa Patrick Smith, mhariri wa jarida la Africa Condential, vita dhidi ya ugaidi kwa haraka inakuwa vita baridi ya karne ya 21, ambako Marekani inatafuta washirika wa msimu kupambana na maadui wa kubuni katika nchi za mbali. (Freedland, Like a deluded compulsive gambler, Bush is fuelling a new cold war, The Guardian, January 10, 2007) Inaendelea Uk. 14

14 AN-NUUR

MUHARRAM 1433, IJUMAA DESEMBA 2 - 8, 2011

HABARI/MAKALA

Wazazi wakumbushwa kukamata barabara Iqra


Na Bakari Mwakangwale

WAZAZI wa Kiislamu wamekumbushwa kuichukua kwa juhudi kubwa amri ya kusoma kama ilivyokuja katika Quran. Katika kufanya hivyo wakatakiwa kujua kwamba elimu ina gharama ikiwa ni pamoja na ada kwa watoto wao skulini hivyo wawe tayari kulipa na kwa wakati. Wito huo umetolewa na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya wanataaluma wa Kiislamu (TAMPRO) Pazi Mwinyimvua Semili, akiongea na Waislamu katika mahafali ya kuwaaga wahitimu wa darasa la saba wa Shule ya Msingi Daarul A r q a m , ya l i yo f a n y i k a katika ukumbi wa Starlight, Kariakoo Jijini Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki iliyopita. Pazi amesema, ili kuleta uhai katika Shule za Kiislamu wazazi wa K i i s l a m u h a wa n a b u d i walipe ada kwa wakati kwani kinyume na hivyo, shule hizo zitakuwa hatarini kufa. Kwa upande mwingine Pazi amewataka watoto wanaosoma katika shule za Kiislamu kuwa mfano bora wa kuigwa kitabia mitaani na hivyo kuwa mabalozi wazuri wa shule hizo. K wa u p a n d e wa k e , Meneja wa Shule hiyo ya Kiislamu, Sheikh Shawwal Abdul-Azizi, alisema kuwa lengo lao ni kutoa

wanafunzi bora kitaaluma na maadili. Alisema, kila jambo huwa lina malengo yake hivyo malengo waliyojiwekea ifikapo mwaka 2013, ambapo watatoa kidato cha nne awamu ya kwanza, ni kufaulisha kwa kiwango cha juu kabisa. Shule za Daarul-Arqam ni Shule za Kiislamu, zilizoanzishwa mwaka 2003, zilizopo chini ya taasisi ya Daarul- Arqam Islamic Centre ya Jini Dar es Salaam. Masomo ya dini yanayofundishwa katika shule hizo zilizopo Ilala Sharifu Shamba za kutwa (Nursery and Primary-Day) na zile ya Kulala (Primary and Secondary-Boarding) zilizopo Amani Gomvu Kigamboni, ni Maarifa ya Uislamu, lugha ya Kiarabu pamoja na kuhifadhisha Quran.

Picha juu: Katibu Mkuu wa Jumuiya ya wanataaluma wa Kiislamu ( TA M P R O ) D k t . Pa z i Mwinyimvua Semili, (wa pili kushoto) akiwa na Meneja wa Shule ya Msingi Daarul Arqam Shawwal Abdul-Aziz akimkabidhi zawadi mmoja wa wahitimu katika mahafali ya kuwaaga darasa la saba yaliyofanyika katika ukumbi wa Starlight, Jini Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki iliyopita. Picha chini ni baadhi ya wathimu hao.

Inatoka Uk. 13

Somalia: Mkasa uliojicha, ajenda iliyochwa


ya kurasa za Nyaraka za Pentagon zilizowakilishwa kwangu na (mchambuzi wa masuala ya keshi) Daniel Ellsberg, kinachoibuka mara moja ni vidokezo vya siri kutoka Baraza la Usalama la Taifa. Zikielezea maslahi ya Marekani katika Kusini Mashariki ya Asia, zilisema wazi kuwa madhumuni halisi ya nchi hiyo ni kutafuta bati, mpira na mafuta. Uvamizi wa Ethiopia uliendana na madhumuni ya Pentagon ya kuunda Kamandi ya Afrika (Africom) kushughulikia kile ambacho jarida la Christian Science Monitor lilisema ni machafuko, mafuta na Al Qaeda. Richard While aliandika: Wa l e w a n a o i u n d a kamandi mpya watakuwa hawafanyi tu kazi ya ubadilisha yalipo masanduku ya utawala, wataalamu wanasema. Madhumuni ya serikali ya Marekani ni kulinda vianzio vya baadaye vya mafuta, na kushindana na China, ambayo imekuwa ikitafuta uraki na serikali za Afrika kwa mahitaji yake ya petrol, wanaeleza. (Richard Whittle, Pentagon kukaza jicho kwa Afrika, January 5, 2007) Kama Andy Rowell na James Marriot walivyoainisha, cha msingi ni kwamba kiasi cha asilimia 30 ya mafuta ya Marekani yatakuwa yanatoka Afrika katika miaka kumi ijayo. (Rowell na Marriot, A Game as Old as Empire The Secret World of Economic Hit Men and the Web of Global Corruption, kilichohaririwa na Steven Hiatt, BerretKoehler, 2007 , p. 118) Marekani ina mipango ya karibu theluthi mbili za maeneo yenye mafuta nchini Somalia yatolewe kwa makampuni ya Marekani kama Conoco, Amoco, Chevron na Phillips. Marekani inatumaini kuwa Somalia itajiunga kuwa mshirika kama Ethiopia na Djibouti, ambako Marekani imeweka makazi ya jeshi. Ushirika huu ungeipa

Kama hii inaonekana ni mtazamo rahisi mno, hata ya kitoto, ndiyo ilivyo. Kwa kweli, vita baridi, kama ilivyo vita dhidi ya ugaidi haikuwa hasa ya kiitikadi, na zaidi ni maslahi kuliko waandishi kama Freedland wanavyodai. Mwanahistoria Howard Zion kwa mfano amesema kuhusu vita v ya V i e t n a m , a m b a k o BBC ingependa tuamini kuwa ilikuwa ni juhudi za Marekani za kuzuia Wakomunisti kupindua nchi moja baada ya nyingine Kusini Mashariki ya Asia. Ninaposoma mamia

Marekani uwezo mkubwa wa kusimamia karibu na maeneo yanayotoa mafuta kwa wingi. Chatham House, tasisi ya Uingereza chini ya Royal Institute of International Affairs , iliandika kuhusu uingiliaji kati wa Ethiopia nchini Somalia mwaka jana, kuwa: Katika mazingira ambayo tunasikitika tumeyazoea, hisia halisi za kutaka kusaidia ujenzi upya wa Somalia zimedakwa na hatua binafsi za nchi nyingine hasa Ethiopia na Marekani zikifuata ajenga zao za mambo ya nje. (itaendelea)

Njama za kusidi Uislamu Tanzania


katika kipindi cha miaka kumi kwa ghaa Waislamu wamepungua nchini au kwa nini Wapagani wameongezeka katika nchi ya waumini. Hii ndio ilikuwa sensa ya mwisho iliyokuwa i k i o n e s h a m g a wa n y i k o wa dini. Inasemekana kuwa matokeo ya sensa hii yalifanyiwa mabadiliko kwa ajili ya sababu za kisiasa pale ilipobainika kuwa Waislamu Tanzania walikuwa wengi kupita Wakristo. Ilipobainika kuwa Waislamu ni wengi Tanzania, Idara husika ilipokea amri ya kuchoma moto matokeo yote ya sensa ya mwaka 1970. B a h a t i m b a ya m g a o wa madaraka katika siasa Ta n z a n i a u m e w a t u p a n j e Wa i s l a m u , i n g a wa inafahamika kuwa usalama na utulivu wa nchi yeyote unategemea mizani hii kuwa sawa. Magawanyo wa madaraka na wingi wa wafuasi katika dini au kabila havikuwa vitu vilivyokuwa vikiwashughulisha wananchi wakati wa Ukoloni kiasi cha kuleta mifarakano katika jamii, kwa bahati nzuri ukabila hauna nguvu Tanzania lakini dini imekuwa chanzo cha Ubaguzi toka zama za Ukoloni, tofauti ni kuwa wakati wa Ukoloni waliokuwa wakiwabagua Wa i s l a m u h a w a k u w a Wa k r i s t o w e u s i b a l i Wazungu. Ukristo uliingizwa katika Tanzania katika karne ya kumi na nane na umesionari kanisa na Mwafrika Mkristo ni matokeo ya Ukoloni kwa ajili hii basi historia ya Kanisa katika Afrika ni ile ya kushirikiana na kuwa tiifu kwa Serikali ya Kikoloni. Chini ya Ukoloni, taratibu Kanisa likaweza kujenga Uhusiano maalumu kati yake na Serikali pamoja na Mkiristo Mwafrika ambae imemuelimisha katika shule zake. Mwafrika Mkiristo akawa ananufaika na mfumo wa kikoloni. Wa i s l a m u w a k a w a wanataabika kwa kuwa dini yao ilikuwa inapingana na dini ya Mtawala. Mwafrika Mkiristo akawa mnyenyekevu kwa Serikali wakati wa na baada ya kupatikana kwa Uhuru akaja kushika madaraka ya Serikali. Waislamu wakatengwa na kuteswa katika Ukoloni kwa kubaguliwa na kunyimwa elimu hiyvo kuwaondolea fursa ya maendeleo, kuwepo Waislamu kama raia na ili kuinusuru dini yao ilibidi Wa i s l a m u w a s i m a m e kuutokomeza Ukoloni. Baada ya Uhuru Kanisa likabaki na msimamo wake wa enzi ya Ukoloni wa kutii na kujipendekeza kwa Serikali mpya iliyokuwa madarakani. Ushirika huu kati ya Kanisa na Serikali, u l i j e n g wa n a t a b i a ya kanisa ya kukubaliana na mfumo wowote wa Serikali ili Kanisa liweze kuwa na mazingira mazuri ya kujifanyia shughuli zake bila ya kipingamizi wala wasi wasi. Kutokana na uhusiano huu maalumu Kanisa likajifanyia msingi imara wenye nguvu kutokana na Wakristo waliowasomesha katika shule zao. Kanisa likatumia nafasi na uhusiano huu kwanza na Serikali ya Kikoloni kisha na Serikali ya Wananchi kujijengea himaya ambayo wafuasi wake wakaja kushika nafasi zote muhimu katika Uongozi wa juu Serikalini, Bunge na Mahkama katika Tanzania, katika miaka yake mia moja tu Kanisa likaweza kupata safu yake ya Viongozi ambao wanadhibiti kila sekta katika jamii ya Watanzania. Ndio hivi sasa tunauita MFUMO KRISTO. Wamisionari walipotia mguu pwani ya Afrika ya Mashariki, nia yao hasa ilikuwa kuufuta Uislamu. Wa k a z i w a p w a n i h i i iliyokuwa ikulikana kama Zanj waliuona Ukristo kwa mara ya kwanza kabisa m w a k a 1 4 9 8 Wa r e n o walipofika sehemu hizo mwaka 1567 wamishionari wa Agustinian waliingia Afrika ya Mashariki ili kupambana na Uislamu ili Ukristo uwe dini ya dunia nzima. Kadinali Lavigire alianzisha The White Fathers, taasisi ya Kanisa Katoliki kwa kusudi maalum la kupiga vita Uislam. Wakati huo huo Chirch Missionary Society (CMS) ilikuwa imejitwisha kazi ya kuondoa Ulimwengu kutokana na Uislam, ujinga na giza. Hadi hii leo White Fathers wapo Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakiendelea kufanya kazi iliyowaleta Tanganyika zaidi ya miaka mia iliyopita. Wajerumani walipofika Tanganyika waliwakuta Wa i s l a m w a n a f a h a m u kuandika, kusoma na walikuwa wameilimika katika hesabu. Mmishionari Ludwing Kraph alipofika kwa chifu Kimweri wa Usambara mwaka 1848 alimkuta yeye na wanae wote wanajua kusoma. Heru waliokuwa wakitumia zilikuwa za Kiarabu. Wajerumani kwa ajili hii basi waliwaajiri Waislam kama walimu, wakalimani na makarani Serikalini. Wamisionari na Wakoloni waliona wivu kwa maendeleo haya waliyoyakuta kwa Waislamu. Wamewakuta watu walistaarabika na

TANGAZO

AN-NUUR

MUHARRAM 1433, IJUMAA DESEMBA 2 - 8, 2011

15

Na Ibrahim Mohammed Hussein


Katika makala zangu zitakazofuata baada ya hii itakua ni Tathmini yangu k u h u s u Wa i s l a m u n a Nyerere baada ya miaka 50 ya Uhuru wa Tanganyika (Tanzania). Nimeona bora nitangulize makala hii kwanza. Uislamu katika Tanzania. Theluthi mbili ya Waislamu wote wa Afrika ya Mashariki wanaishi Tanzania, ambayo ndiyo nchi yenye watu wengi kuliko zote katika Afrika ya Mashariki, yaani Kenya, Uganda na Tanzania. Hii ni pamoja na Zanzibar yenye Waislamu takribani asilimia tisini na tisa na kuna wakati ilikuwa ndio vitovu cha maarifa ya Kiislamu katika Afrika Mashariki na kati. Takwimu za Africa South of the Sahara zinaonesha Waislamu ni wengi Tanzania kwa 60%. Takwimu hizi zimebaki hivyo bila ya mabadiliko toka mwaka 1982. kwa kuwa utati wa Waislamu wenyewe katika suala hili ni mdogo sana au haupo kabisa. Suala la wingi wa Waislamu katika Tanzania halijafanyiwa utafiti na Waislamu wenyewe. Somo hili ni nyeti, katika nchi za Kiafrika ambazo zinawafuasi wengi wa dini hizi mbili, kwa mfano Tanzania na Nigeria. Uchunguzi wa kuwa ni dini gani ina wafuasi wengi kupita mwenzake ni chanzo cha mgongano. Tatizo hili lipo Tanzania. Mfano mzuri ni sensa ya kwanza mwaka 1967 baada ya Uhuru jumla ya Wakristo Tanzania Bara ilikuwa asilimia thelathini na mbili 32% na Waisalamu asilimia thelathini na moja 31% na Wapagani asilimia thelathini na saba 37% sense hii inaonesha kuwa Wapagani ndiyo walio wengi Tanzania. S e n s a h i i ya m wa k a 1967 haikueleza kwa nini

WAISAMU wakiwa katika moja ya mihadhara ya dini kisiwani Pemba. ifanye linavyopenda wenye utamaduni wao wa Kanisa, wakati Waislam na kupendeza. Elimu hii yote Uislam ukafanywa kama na utamaduni huu wa hali vitu visivyokua na maana ya juu ulikuwa unatokana na yoyote. Uislam na Shule zake. Hapo Hadi kufikaia mwaka ndipo zilipoanza mbinu ya wa 1960 Kanisa likawa kuvunja maendeleo haya taasisi kubwa inayomiliki yote. m a m i l i o n i ya d o l a ya Herufi za Kiarabu misaada inayopokelewa zikapigwa marufuku kutoka wahisani na wafadhili kutumika na baada yake walioko katika ulimwengu watu walazimishwa wa Kikristo. kujifunza heru za Kirumi. Kanisa sasa hivi linahodhi Muislam ambaye jana mahospitali, misururu ya alipoingia kulala alikuwa ndege binafsi, viwanja anaitwa ameilimika akaamka vya ndege, makampuni ya asubuhi yake mjinga, hana uchapishaji na mitambo ya elimu, hajui kusoma wala kupigia chapa, steshini za kuandika. Njama hizi zote Radio na magazeti. dhidi ya Uislam ilikuwa K a n i s a l i m e k u wa n a sehemu ya makubaliano n g u v u n a u d h i b i t i wa kama ilivyoandikwa katika mambo kiasi kwamba wakati kifungu IV cha mkutano wa mwingine watendaji, hasa Berlin wa mwaka 1884-1892 Wakristo katika Serikali na katika kutekeleza kifungu ndani ya Chama tawala cha hicho kama ilivyokubalika CCM hawajui utii wao uwe katika Mkutano wa Berlin Serikalini bali wana amini Imperial British East Africa moja kwa moja kwamba wao Company ilitumia nguvu za wanawajibika kwa Kanisa kisiasa na keshi kuulinda zaidi kuliko Serikali. Ukristo katika Afrika ya N i k a t i k a Mashariki. kuchanganyikiwa huku kwa Ombwe lilioachwa na watendaji wa Serikali na elimu ya Kiislam ikajazwa Chama kuhusu uhusiano na elimu ya Kanisa chini ya wao na Kanisa ndiko usimamizi wa Waingereza. kulikoamsha kutoaminiana Kanisa linaeleza uongo na kati ya Waisalam na Serikali propaganda kuwa lenyewe na Chama cha Mapinduzi. ndio lililoweka msingi Serikali na Chama wa kwanza wa elimu ikaonekana kama ni Tanganyika. Ukweli ni miongoni mwa taasisi za kuwa Wamisionari walifuata Kanisa na Waislam wakiwa nyayo za madras na walimu ni watazamaji tu. wa kwanza katika shule za Baada ya Uhuru misheni walikuwa Waislam kupatikana, Kanisa likaanza ambao hawakusoma katika kusikika likisema kuwa shule za Kanisa bali katika lina haki na wajibu kuwa Madras. na ushawishi ndani ya Kwa kipindi cha zaidi Serikali, kuikosoa Serikali na kuiongoza pale inapoona ya miaka mia moja Kanisa Serikali haifanyi mambo likaelekeza nguvu zake sawa kwa matarajio yake. katika kuwatayarisha raia Kanisa likajipa fursa ya ambao wengi wao walikuwa kuwa msemaji wa watu. Wakrisho, watakaokuwa Huu ulikuwa ni muelekeo watiifu kwa Kanisa na katika mambo ya siasa na Serikali. Ni katika mtanuko utawala.. huu ndio Wakristo wanamiliki (Ibrahim Muhammed Serikali na chama cha Hussein-0715-498 363) Mapinduzi na kuimarisha

16 AN-NUUR

16

Zanzibar, nchi kwanza Katiba mpya baadaye


Inatoka Uk. 11
Kwa upande mwingine, M a a l i m S e i f a l i wa t a k a wananchi kuendelea kuhifadhi mazingira ili kuvirithisha vizazi vavyo nchi yenye misitu na neema. Alisema iwapo juhudi za makusudi hazitochukuliwa, kuna hatari kwa vizazi vijavyo kurithishwa nchi ikiwa jangwa, hali ambayo itazorotesha shughuli zao za maendeleo. Aliwataka wananchi wa maeneo hayo kuacha kabisa tabia ya ukataji miti ovyo na kuongeza juhudi katika upandaji wa miti mbalimbali ikiwemo ya matunda ili kuimarisha rasilimali ya misitu ambayo ni hazina muhimu kwa maendeleo ya Taifa. Alisema kuwepo kwa miti mingi kutasaidia kwa kikasi kikubwa kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi

AN-NUUR
MUHARRAM 1433, IJUMAA DESEMBA 2 - 8, 2011

MUHARRAM 1433 IJUMAA DESEMBA 2 - 8, 2011

USIKOSE KUSOMA AN-NUUR KILA IJUMAA


ambayo yamekuwa yakiathiri visiwa vya Zanzibar kwa kukosa mvua kwa wakati, kuathiri vyanzo vya maji na kupoteza rutuba na haiba ya visiwa vya Zanzibar. Akizungumzia kuhusu dawa za kulevya, Maalim Seif aliwataka wananchi kuvihifadhi vijiji vyao na tatizo hilo, kwa vile athari zake zinakuwa kubwa hasa kwa vijana na kupelekea kupoteza nguvu kazi ya taifa. Wenyewe wanavijiji tukiamua kudhibiti dawa za kulevya haziingii. Kweli, uongo, alihoji Maalim Seif. Kwa upande wake, Mkurugenzi wa Haki za Binadamu, Habari, Uenezi, Mawasilian o ya Umma wa CUF, Salim Bimani amewasisitiza wananchi wa maeneo hayo kufuatilia vitambulisho vya Uzanzibari ukaazi, ili kuhakikisha kuwa wanavipata.

BENKI ya kwanza ya Kiislamu nchini Amana Bank tawi la Tandamti, Kariakoo. Picha chini: bustani iliyotelekezwa ya Darajani, Unguja na kuwa msitu wa nyasi.

Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na Business Printers Limited, S.L.P. 78495 Dar es Salaam.

Vous aimerez peut-être aussi

  • Rasimu Ya Katiba (Toleo La Pili)
    Rasimu Ya Katiba (Toleo La Pili)
    Document0 page
    Rasimu Ya Katiba (Toleo La Pili)
    Muhidin Issa Michuzi
    0% (1)
  • Annuur 1091
    Annuur 1091
    Document16 pages
    Annuur 1091
    MZALENDO.NET
    Pas encore d'évaluation
  • Annuur 1081
    Annuur 1081
    Document16 pages
    Annuur 1081
    MZALENDO.NET
    100% (1)
  • Annuur 1087
    Annuur 1087
    Document7 pages
    Annuur 1087
    annurtanzania
    Pas encore d'évaluation
  • Annuur 1082
    Annuur 1082
    Document16 pages
    Annuur 1082
    MZALENDO.NET
    100% (1)
  • Annuur 1092
    Annuur 1092
    Document16 pages
    Annuur 1092
    annurtanzania
    Pas encore d'évaluation
  • Mkasa Wa Kilimanjaro 2
    Mkasa Wa Kilimanjaro 2
    Document13 pages
    Mkasa Wa Kilimanjaro 2
    MZALENDO.NET
    Pas encore d'évaluation
  • Annuur 1078
    Annuur 1078
    Document12 pages
    Annuur 1078
    MZALENDO.NET
    Pas encore d'évaluation
  • Annuur 1073 PDF
    Annuur 1073 PDF
    Document12 pages
    Annuur 1073 PDF
    MZALENDO.NET
    Pas encore d'évaluation
  • Annuur 1072
    Annuur 1072
    Document12 pages
    Annuur 1072
    MZALENDO.NET
    Pas encore d'évaluation
  • Annuur 1077
    Annuur 1077
    Document12 pages
    Annuur 1077
    MZALENDO.NET
    Pas encore d'évaluation
  • Uamsho Press Conference 25 05 2013 PDF
    Uamsho Press Conference 25 05 2013 PDF
    Document6 pages
    Uamsho Press Conference 25 05 2013 PDF
    MZALENDO.NET
    Pas encore d'évaluation
  • Annuur 1076
    Annuur 1076
    Document12 pages
    Annuur 1076
    MZALENDO.NET
    Pas encore d'évaluation
  • Annuur 1070
    Annuur 1070
    Document12 pages
    Annuur 1070
    MZALENDO.NET
    Pas encore d'évaluation
  • Annuur 1061.
    Annuur 1061.
    Document16 pages
    Annuur 1061.
    MZALENDO.NET
    Pas encore d'évaluation
  • An-Nuur 1071
    An-Nuur 1071
    Document12 pages
    An-Nuur 1071
    MZALENDO.NET
    Pas encore d'évaluation
  • Annuur 1067
    Annuur 1067
    Document12 pages
    Annuur 1067
    annurtanzania
    Pas encore d'évaluation
  • Annuur 1065
    Annuur 1065
    Document12 pages
    Annuur 1065
    MZALENDO.NET
    Pas encore d'évaluation
  • Annuur 1057
    Annuur 1057
    Document16 pages
    Annuur 1057
    MZALENDO.NET
    Pas encore d'évaluation
  • Annuur 1068
    Annuur 1068
    Document12 pages
    Annuur 1068
    MZALENDO.NET
    Pas encore d'évaluation
  • Annuur 1063
    Annuur 1063
    Document16 pages
    Annuur 1063
    Hassan Mussa Khamis
    Pas encore d'évaluation
  • Annuur 1060
    Annuur 1060
    Document16 pages
    Annuur 1060
    MZALENDO.NET
    Pas encore d'évaluation
  • Annuur 1062
    Annuur 1062
    Document16 pages
    Annuur 1062
    MZALENDO.NET
    Pas encore d'évaluation
  • Annuur 1059
    Annuur 1059
    Document16 pages
    Annuur 1059
    MZALENDO.NET
    Pas encore d'évaluation
  • Annuur 1046
    Annuur 1046
    Document12 pages
    Annuur 1046
    MZALENDO.NET
    Pas encore d'évaluation
  • Annuur 1031
    Annuur 1031
    Document16 pages
    Annuur 1031
    MZALENDO.NET
    Pas encore d'évaluation
  • Annuur 1049
    Annuur 1049
    Document12 pages
    Annuur 1049
    MZALENDO.NET
    Pas encore d'évaluation
  • Gazeti La Alnuur
    Gazeti La Alnuur
    Document12 pages
    Gazeti La Alnuur
    Hassan Mussa Khamis
    Pas encore d'évaluation
  • Annuur 1043
    Annuur 1043
    Document12 pages
    Annuur 1043
    MZALENDO.NET
    Pas encore d'évaluation
  • Mkono Wa Eid Kutoka Canada!
    Mkono Wa Eid Kutoka Canada!
    Document1 page
    Mkono Wa Eid Kutoka Canada!
    MZALENDO.NET
    Pas encore d'évaluation