Vous êtes sur la page 1sur 1

Huruma

yako,ee Bwana, itushukie Zabiri 32 ( 33)


-Siku ya Mungu ya Pili ya Kwarezima mwaka A

 
Musique : BYAMUNGU Michel

    = 40  
-Siku ya Mungu ya Tano ya Paska mwaka A

 
    
 
                 
A     
   
S

 
                   
Hu ru ma ya ko, ee Bwa na, i tu shu ki e ka ma vi le tu na


T                 
B        
 
5    
 
    
    
  
ku
  
         
 
vyo tu ma i ni a.

    
  

   
7

1.Maana neno la Bwana ni la kwe - li,


Anapenda unyofu na ha - ki,

2.Macho ya Bwana yawaelekea wanaomhe - shi - mu,


ili aopoe roho yao katika ki - fo,

3.Roho yetu inamngojea Bwa - na,


Huruma yako , ee Bwana, itufishu - ki - e.

 
   
8

1.matendo yake yote ni maami - ni - fu.


dunia imejaa wema wake Bwa - na.

2.wale wanaotumainia wema wa - ke.


na wakati wa njaa awa - li - she.

3.Yeye ndiye msaada wetu na ngao ye - tu.


kama vile tunavyokutumai - ni - a.

Février 2019

Vous aimerez peut-être aussi