Vous êtes sur la page 1sur 2

BUKOBA RURAL TEACHERS SAVINGS AND CREDIT

CO-OPERATIVE SOCIETY LTD

REG. NO:KAR 532 P.O. Box,1483, Bukoba


BUKOBA KAGERA Phone:0625144600,0769401553
burutesaccosltd@yahoo.com
TANZANIA website:www.burutesaccosltd.or.tz

PICHA

FOMU YA MAOMBI NA MKATABA WA MKOPO WA DHARULA

1. TAARIFA BINAFSI ZA MWOMBAJI:


a. Jina la mwombaji………....……………………………Me/Ke : Nimeoa/Nimeolewa
b. Kituo cha Kazi:…………………………………………………………………………………
c. Namba ya Uanachama:………………….Check Na:………………………………………
d. Namba ya simu: ……………………………………/…………………………………………
2. MICHANGO YA AKIBA NA AMANA:
i. Akiba Tshs. ……………………
ii. Amana Tshs……………………..
3. KIWANGO CHA MSHAHARA:
i. Mshahara (Basic Salary) Tshs. ……………………
ii. Mshahara (Take Home) Tshs……………………..

4. KIASI NA MADHUMUNI YA MKOPO :


i. Kiasi cha mkopo kinachoombwa Tshs: …………………………………………………...
ii. Kiasi kwa maneno ……………………………………………………………………………..
iii. Madhumuni ya mkopo…………………………………………………………………………
iv. Muda wa Mkopo: Miezi…………...Riba ya Mkopo (Asilimia)……......@ mwezi.
v. Mkopo Halisi: Tshs….……………….…..Riba Tshs………………………………………..
vi. Namba ya Akaunti ya Mkopaji: ………………………………………..Benki ya: ……….
vii. Marejesho ya kila mwezi: Tshs…………………………… kuanzia
mwezi……………………………hadi ……………………….
viii. Njia ya Urejeshaji: Standing Order/ A/c No. 31806600017 (NMB), Taslimu AU M-
Pesa Wakala 849169.(Tumia namba yako iliyosajiriwa kwa majina yako)

5. DHAMANA NA WADHAMINI WA MKOPAJI :


VITUO VYA DHAMANA WALIZOWEKA
Na MAJINA YA WADHAMINI KAZI
DHAMANA MAHALI THAMANI NAMBA YA SAINI
ILIPO SIMU

5.1 TAMKO LA WADHAMINI:


Kwamba Mimi/Sisi tulioweka saini zetu hapo juu tunathibitisha na kuridhia kuwa
maelezo yaliyotolewa hapo juu na mwombaji ni ya kweli na tunatamka kwamba
tutalipa deni la mkopo huu endapo Mwombaji atashindwa ama kukaidi kulipa mkopo
huo katika muda wa mkataba huu.
1
5.2 DHAMANA ZA MWOMBAJI WA MKOPO:
i. ………………………..Mahali ilipo ……………………….Thamani Tshs………………..
ii. ………………………..Mahali ilipo………………………..Thamani Tshs. …………….

Saini ya mwombaji…………………………….. Tarehe………………….

5.3 MAONI YA AFISA MIKOPO


…………………………………………………………………………………………………………...
............................................................................................................................. ....
Jina …………………………………………..Sahihi……………….…Tarehe……………………

6. KUIDHINISHA MKOPO:
Mimi/Sisi viongozi tulioweka saini zetu hapa chini tumepitia, kujadili na kuidhinisha
maombi ya mkopo kwa Ndg…… ………………………………………….na Tunakubali/
Hatukukubali kupitisha Mkopo wa shilingi ……………………. …kwa maneno Shilingi
………………………… …………..……………………………

Mwenyekiti/Meneja ………………….Katibu/Mhasibu .....…………..…Tarehe……………..


Kamati ya Mkopo Kamati ya Mkopo

7. KUKIRI MAPOKEZI YA MKOPO:


Mimi Bw/Bi ……………………………………..ninakiri kupokea mkopo wa Tsh………………
Kwa maneno:…………………………………………………………………….… kutoka BURUTE
SACCOS LTD ambao nitaurejesha kwa utaratibu ulioanishwa kwenye Mkataba huu.

Jina la Mwombaji: ……………………….Saini: …………………..Tarehe: ……………...

Mambo ya Kuzingatia:
1. Mkopo wa dharula utatozwa riba ya asilimia 4 (4%) kwa mwezi kwa mfumo
mnyoofu,
2. Endapo mwanachama atajiondoa uanachama akiwa na mkopo wa dharula
atatozwa asilimia 20 (20%) ya salio lililobaki,
3. Rejesho/Marejesho yatakayocheleweshwa kulipwa kwa kila mwezi yatatozwa
asilimia 5 (5%) ,
4. Mwanachama atakayesumbua katika urejeshaji atapumzishwa kukopa kwa miezi
mitatu (3) tokea tarehe ya kulipa deni lake lote la mkopo wa dharula,
5. Kwa mwanachama atakayekaidi ama kushindwa kurejesha mkopo na akataka
kutumia akiba kulipa deni la mkopo wa dharula atatozwa asilimia 30 (30%) ya
akiba iliyotumika.

Vous aimerez peut-être aussi