Vous êtes sur la page 1sur 99

1

4. Vous tous les malades et

ENTRÉE tous les souffrants.

1-4 : Dieu nous appelle dans sa


maison.

NAJA KWAKO BWANA NYUMBANI MWA BWANA WETU


R/ Nyumbani mwa Bwana wetu
muna furaha, wakristu njooni
R/ Naja kwako Bwana unipokee
wotee wote tumwabudu.
ntumishi wako kuijongeya
altare yako ee Bwana 1. Enyi mapadri: ingia kwa
unipokee Kukutolea sada ka Bwana, Enyi watawa: ingia
kwa Bwana.
ya misa ee Bwana unipokee
2. Enyi wa Baba: ingia kwa
katika milango yako Bwana Bwana, Enyi wa mama: ingia
napita niwekee mkono Wako kwa Bwana.
unibariki. 3. Enyi Vijana: ingia kwa Bwana,
Enyi Watoto: ingia kwa
1. Ninakuja kwako ee Mungu Bwana.
wangu kukutolea shukrani, 4. Enyi Wazee: Ingia kwa
sala na maombi yangu. Bwana, Enyi wakristu: ingia
kwa Bwana.
2. Ninakushujudu ee Mungu
5. Enyi wakaka: ingia kwa
wangu nifanye toba ya kweli
Bwana, Enyi Vijana: Ingia kwa
katika hii nyumba takatifu.
Bwana.

DE TOUTE LA TERRE NALIFURAHI SANA

R/ Venez dans la Maison de R/ Nilifurahi sana walipo


Dieu, Il nous appelle tous : niambia twende nyumbani
hommes, femmes et enfants. mwa Bwana . (Nalijazwa
Chantons dansons louons pour furaha, furaha ya Bwana
notre Seigneur, rendons-lui furaha kubwa sana) x.
grâce, honneur pour tous ses
1. Sana miguu, miguu yetu,
bien faits.
imesimama kwa milango
1. De toute la terre aux coins yako ee yerusalemu
d’horizon 2. Yerusalemu, yerusalemu
2. (Que) tu sois riche ou pauvre uliyejengwa ama muji ule
(que) tu sois noir ou blanc. wenyi kuungana na wote.
3. (Que) tu sois en tristesse 3. Makabila, makabila ya
(que) tu sois dans la joie. Bwana, yamepanda huko
wakilitukuza jina lake.
2

NJOONI WOTE TUMWENDEYE corps nous qui mangeons le


BWANA meme pain.
7. Soyons temoins de son
R/Njooni wote tumwendeye Esprit, que disparaisse toute
Bwana, tumwendeye hekaluni peur, montrons au monde
mwake, na furaha kubwa notre foi.
tukiimba wote, njooni
nyumbani mwake.
TERRE DES HOMMES
1. Tuje mbele yake kwa masifu
tumshangiliye kwa nyimbo R/Terre des hommes Ciel de
nzuri. Dieu Eglise des peuples; Ciel
2. Ingieni wote kwa shangwe des hommes terre de Dieu,
kubwa tukimsifu kwa raha Eglise du Seigneur.
kubwa.
3. Jongeeni wote tumuabudu 1. Rassemblés dans le Christ
tumwangukie muumba wetu. conduits par l’Esprit: nous
4. Njooni wote mbele ya Bwana proclammons la parole.
atumwangie baraka yake. Envoyes par le Pere unis
DIEU NOUS ACCUEILLE EN SA dans l’Esprit: nous
MAISON construisons le Royaume.
2. Rassembles dans le Christ
R/ Dieu nous accueille en sa conduits par l’Esprit: nous
maison, Dieu nous invite en vivont au coeur du monde.
son festin, jour d’alegresse et Envoyes par le Pere unis par
jour de joie, Alleluia. l’Esprit: nous vivons au coeur
du monde.
1. Oh quelle joie quand on m’a 3. Rassembles dans le Christ
dit approchons-nous de sa conduits par l’Esprit: nous
maison dans la cite du Dieu respectons tous les peuples.
vivant, Envoyes par le Peres unis par
2. Jerusalem rejouis-toi car le l’Esprit: solidaires des plus
Seigneur est avec toi pour pauvres.
ton bonheur il t’a choisi. 4. Rassembles dans le Christ
3. Criez de joie pour notre Dieu conduits par l’Esprit: nous
chantez pour car il est bon ressuscitons ensemble.
car eternel est son amour. Envoyes par le Pere unis
4. Avec Jesus nous etions morts, dans l’Eprit nous liberons
avec Jesus nous revivons l’esperence.
nous avons part clarte.
5. Approchons-nous de ce repas
où Dieu conduit tous ses DUNIA YOTE
enfants mangeons le pain qui
donne vie. R/ Njooni wote tuingie mwake
6. Que Jesus christ nous garde Bwana matendo yake ni ya
tous dans l’unite du meme ajabu, Dunia yote imwabuduye
3

bwana karibu naye ni nguvu R/Muyishe mweshi ah, emwani


tele, mwe mugogomirwe aha,
nabah’omurhula ayi yeye aha
Tuingie wote na furaha, n’emisi y’enyanya aha x2
tumusifu kwa nyimbo za
shangwe wema wake, u milele 1. Irhondo bakaba babirhi,
nyumbani mwake. ayiyeye aha
bagwasiny’okw’izino lyani,
1. Mwimbieni bwana kwa kuwa nani nabagwase ayiyeye aha
ni mtukufu, uwema wake ni guhika aha guyurha.
wa milele. Enyi inchi 2. Lyorhushuzo kw’izu lyage
zotekuzeni mungu kweli ayiyeye aha rhuyunvirize
mutoleeni sifa tukufu. emyanzi yage, rhumuhu
2. Kageuza bahari kuwa inchi n’obwonjo, ayiyeye aha lyo
kavu taifa lake likaokoka. ruhashimukuza.
Mwimbieni Bwana jina lake 3. Namahanga rhulemire
tukufu matendo yake ni ya rhweshi, ayiyeye aha mpulyo
ajabu. rhumukuza, rhumukolerhe
3. Atawala vema juu ya mataifa kwinja han’igulu ayiyeye aha
awakanyaga wenyi kiburi. n’oluhembo lwirhu mu
Amezipa roho zetu uzima mpingu.
bora, na miili yetu nguvu
nyingi.
4. Nalimulilia yeye kwa kinywa NITAINGIA NYUMBANI MWAKE
changu, anasikia kilio BWANA
changu. Tena nalimsifu kwa
ulimi wangu, Dunia yote R/Nitanigia nyumbanai mwake
aliumb Bwana, nitajongea altare yake,
nitakaribia uwanja wake bwana
LELO ESENGO nifuraha moyoni mwangu.

R/ Lelo Esengo Esengo x2 1. Makao yako yapendeza sana


Nzambe tokoyembela a, ee Bwana wa majeshi, na
nzambe biso toye lelo na ndio maana ninakuja mbele
esengo aee. yako.
2. Nalifurahi sana walipo
1. Ba Tata esengo aee… niambia twende kwale, ni
2. Ba Mama esengo aee… heri shangwe furaha moyoni
3. Ba yaya esengo aee… mwangu.
4. Bilenge esengo aee… 3. Bwana ni mwanga wangu
5. Bachorale esengo aee… tena Bwana ni wokovu wangu
6. Bachristu esengo aee… sioni woga wanapo
nishambulia.
4. Neno moja ninaitaji ee Bwana
MUYISHE MWESHI maishani mwangu, kuketi
nawe kutazama uso wako.
4

TUINGIE WOTE NA FURAHA 3. Tuungane katika mapendo


moja na kumpenda Mungu
R/ Tuingie wote na furaha babetu.
nyumbani mwake Bwana 4. Sifa kwa Baba Mwana Roho
Mungu tuingie wote na kumsifu mtakatifu kama mwanzo
Bwana mwokozi wetu. sasa daima.
1. Ee Bwana sisi wano, tunakuja
nyumbani mwako. KARIBUNI WOTE
2. Tunakuja kwako ee Bwana
kutafuta neema yako. R/Karibuni wote (Karibuni
3. Ee wakristu njooni wote wote) karibuni ndugu karibuni,
tumwabudu Mungu wetu. ingieni na furaha kubwa
(nyumbani) nyumbani mwa
MAKAO YA BWANA babetu.
1. Ee Bwana napenda makao ya 1. Nali furahi sana walipo
nyumba yako na mahali niambia twende kwa Bwana
pautakatifu wako.
2. Sasa miguu yetu yasimama
R/Ee Bwana na furaha yangu Katika lango la Bwana
yote ninakuja ninakuja, 3. Tunaomba amani kwa ajili ya
ninakuja ee bwana kwa rafiki ndugu zetu.
kutukuza.
MUJENI WANDUGU KUSIKIA
2. Kwani wema wako wajaza
maisha yangu, naenda katika 1. Mujeni wandugu kusikiya
uaminifu wako maneno ya mungu tukisali na
kumuimbiya tukimsifuna na
3. Naosha mikono yangu katika furaha mujee (x2)
usafi, nitaizungukia altare
yake. R/ Wababa mujee wababa
mujee, muje mukasikie maneno
4. Ili nitangaze waziwazi sifa yatoka kwake baba muumbaji
yako nakuyaeleza maajabu baba atuma mkombozi
yako mkombozi yesu askanti kwa
SISI WOTE WATOTO WA MUNGU mungu baba aa (x2)
R/ Sisi wote watoto wa Mungu, 2. Mungu baba alituonyesha
twakusanyika kwa kumsifu mapendo ya kweli kamtoa
Mungu Baba wetu. mwana wake yesu kwa
1. Tumtoleye mungu sadaka ya malipo ya zambi mujee.
misa, kwa kumsifu na 3. Enyi waamini waamini wa
kumwabudu. Dunia vijana na wazee
2. Tuungane na mwokozi Yesu tumtolee Mungu wetu sifa
kristu kwa kutolea sadaka hii. milele amina mujee.
5

INGIYENI NYUMBANI MWA


BWANA
AMANGO NDI IMBELE ZA LARHA
R/Ingiyeni nyumbani mwa
R/ Amango ndi imbele za larha Bwana mikononi kifuani
nyakasane we, Larha (wandugu) x2
nyakasane ye bucire bwani,
nayumv’omwishingo 1. Yesu Kristu aliingiya hekaluni
gungwerhe mushana, (bulya ye akakuta kundi la wachuuzi
mwishingo go busole bwani)x2 wakicuuza
1. Mwe misole mweshi muyishe 2. Akapata hasira kali sana
muno rhusamire Larha we wandugu akafukuza
nyanya aha, rhukuze rweshi wachuuzi inje ya kanisa
obukulu bwage, rhuyimpe
rhweshi irenge lyage……. 3. Nasi tufuate mfano wa Yesu
2. Nyakasane larha ye misi kristu, tuwe na ibada
yani, burya ye rhuma nyumbani mwa Mungu wetu
ntahuligana aa, umurhima 4. Msifiwe Baba na Mwana na
gwani gucish5ngiraye, Roho pia kama mwanzo na
n’ululimi lwani rusima o daima na milele amen.
kumuderha,……
NAPIGA HODI KWA BABANGU
NALIFURAHI WALIPONIAMBIYA
1. Napiga hodi kwa babangu,
R/ Nalifurahi walipo niambiya nay eye ananikaribisha; na
twende nyumbani kwa Bwana. sitatangatanga tena
nipeperushwe sawa
1. Sasa miguu yetu imesimama mavumbi.
milangoni mwako
yerusalemu. R/ Nitajongea altare ya
Babangu nitaingia
2. Yerusalemu ulijengwa kama
nyumbani mwa babangu,
muji mwenye kuungamana nitajongea altare ya
wote babangu aleluya furaha
3. Ndiko wanakopanda yangu na heri yangu.
makabila, makabila ya 2. Ee Yahwe Mungu wa majeshi
Bwana univike mavazi ya Cuma,
unitenge na wacekaji
wanauliza ni nani yawe.
3. Nasikiya sauti nyingi
zanizunguka pande zote,
zanitia na wasiwasi univike
mavazi ya Cuma.
6

1. Bwana Mungu anatungojea


tuingiye tumsifu, (tumusifu
kwa shangwe na furaha)(x2)
MUJE TUINGIYE NYUMBANI 2. Ewe Baba acha kazi yako
MWA BABA YETU tuingiye tumusifu
R/ Muje tuingiye nyumbani …………………………
mwa baba yetu tukamuimbiye 3. Ewe Mama na watoto wako
nyimbo za furaha x2 tuingiye tumusifu,
1. Wa Baba wote: tumshangilie ……………………
bwana 4. Nyinyi ndugu na rafiki zenu,
tuingiye tumusifu,
Wa Mama wote:
…………………. …………………….

2. Wa Kaka wote: 5. Sisi wote Mungu atupenda


…………………….. tuingiye tumusifu,
……………………..
Wa Dada wote:
……………………. JAIME LA BEAUTE DE TA
MAISON
3. Wa Zee wote:
………………………. R/J’aime la beauté de ta
maison Seigneur, et le lieu du
Wa Toto wote: séjour de ta gloire.
……………………….
1. Scrute-moi Seigneur,
4. Vijana wote: eprouve-moi ; passe au feu
………………………… mes reins et mon cœur ; j’ai
devant les yeux ton amour,
Walimu wote: et je marche grâce à ta
………………………. lumière.
5. Mapadri wote: 2. Guide-moi Seigneur et garde-
…………………….. moi, dans le droit, l’amour et
la paix, je m’appuie sur toi
Mafrera wote: mon rocher car tu es ce Dieu
…………………….. de vérité.
3. Laisse-moi, Seigneur tout
TUINGIYE WOTE NA près de toi, pour te rendre
FURAHANYUMBANI MWAKE grâce en mon cœur,
BWANA debordant d’amour et de joie
et je te dire toutes tes
R/Tuingiye wote na furaha merveilles.
nyumbani mwake Bwana
TUINGIYE YERUSALEMU
7

R/ Tuingiye Yerusalemu, R/Karinu wote nyumbani mwa


yerusalemu kwa furaha. baba, karibuni wote nyumbani
mwa baba Mungu.
1. Wa baba tuingiye
Yerusalemu 1. Ingieni inameni, pigeni
magoti, tumwabudu Bwana
Wa mama ……… muumba wetu.
Vijana…………….. 2. Mkisikia neno lake, regezeni
2. Mapadri tuingie………. nyoyo, tubuni makosa na
ongokeni.
Wa frera tuingie………
3. Susu tu(po) taifa lake, naye
Ma bikira…………………. Mungu wetu ; kundi
liongozwalo kwa mkono
3. Atuita tuingiye………… wake.
Kumsifu ………………….. NOUS MARCHONS VERS TOI
Kwa shangwe…………… 1. Dans la paix et dans l’unité :
Seigneurs nous marchons
4. Eklezia……………………… vers toi, unis dans ta charité,
Wa Kristu…………………. nous marchons vers toi.

Waimbiji tuingiye Yerusalemu 2. Avec nos joies, nos soucies :


Seigneur nous………………..
5. Kanisa……………………………
…… Nos Esprit et nos ennuies :
nous…
Wa
zee……………………………….. 3. Sur la route de tes saints :
………….
Watoto……………………………
….. Nourris par le meme pain :
…………
6. Tuimbe……………………………
….. 4. Sans fausse honte et sans
detour..
Kwa
ngoma…………………………. Forts de ton immense
amour :………
Na
nzenze…………………………… R/ Rassemblés dans ton
amour, Seigneur unis par
KARIBU WOTE NYUMBANI MWA la même foi, tu nous
BABA montres le chemin
seigneur, qui conduit vers
toi.
8

Dans sa bonté tous nous


sommes pardonnés :
DES CRIS DE JOIE …………………………….
1. Des cris de joie dans la 3. Le roi de gloire nous a donné
maison de Dieu. le salut :………
- Venez (3x) avec joie Sa majesté nous pouvons la
- Venez (3x) avec amour contampler :……………………

- Venez (3x) avec joie 4. S’il est venu ce n’est pas


pour nous juger :
2. Venez (3x) louer Dieu, ……………………..
venez (3x) louer Dieu,
Mais seulement pour que
chantez (3x) sa bonté
nous soyons sauvés :
Chantez (3x) son amour, ………………….
chantez (3x) son amour.
5. Si nous croyons par lui nous
3. Des fideles réunis dans ce sommes guéris :
lieu saint : ………………………………………

- Pour glorifier le Oui nous croyons que c’est


seigneur lui le pain de vie :
……………………………….
- Pour adorer le bon Dieu
6. Dieu parmi nous c’est Jésus
- Pour rendre grâce au Emmanuel :…………………..
seigneur
Par son Esprit, il est au milieu
VENEZ CHANTONS NOTRE DIEU de nous :
……………………………
R/ Venez chantons notre Dieu
lui le roi des cieux, il est venu MUJE TWENDE WOTE
pour sauver l’humanité et nous
donner la vie, exulte pour ton R/ Muje twende wote nyumbani
roi Jérusalem danse de joie. mwa Bwana na furaha
tukimuimbia tumshangilie na
1. Il est venu pour nous sauver kumshukuru kwa mema yote
du péché : exulte Jérusalem anayo tutendea maishani
danse de joie. mwetu.
Oui par sa mort tous nous 1. Tuingie na furaha tusikilize
sommes libérés :…………… neno la Mungu nyumbani
mwake
2. Oui tous ensemble rejetons
notre péché : 2. Tuingie na furaha
……………………………. tumuangukie muumba wetu
nyumbani mwake
9

3. Tuingie na furaha tumuimbie


nyimbo nzuri nyumbani
mwake
4. Tunaomba msamaha wa
zambi zetu ee Mungu baba
utuhurumie.
10

GLORIA
SIFA KWAKO MWANA
MUKOMBOZI

IMANA N’ISINGIZWE MW’IJURU R/ Sifa kwako Mwana


mkombozi, Sifa kwako Mwana
R/Imana n’isingizwe mw’ijuru wa Mungu, Ee sifa, Ee Sifa
mkombozi.
Imana n’isingizwe mw’ijuru no
munsi abantu ikunda bahorane Base: Amani duniani kwa watu
amahoro anao wapenda (x2) Mkombozi.
1. Turakurata turagushima 1. Ulifika mu dunia kweli,
turagusenga turagusingiza kuondowa zambi zetu zote,
turagushimira ikuzo ryawe
ryinshi 2. Ulitwaa mwili kwa Maria, kwa
kitendo cha Roho mtakatifu,
2. Nyagasani Mana, mwami
w’ijuru, Mana Data ushobora 3. Ulishuka kwetu mwana wa
byose, nawe nyagasani Mungu, Ukazaliwa humo
mwami w’ikinege, Yezu kristu zizini,
nyagasani Mana Ntama
w’Imana , mwana w’imana 4. Usalama kwako mkombozi,
Data. Yesu mwema utuhurumiye,

3. Wowe ukiza ibyaha bya 5. Mwisho wetu Yesu utupokee,


bantu tubabarire, wowe ukiza ufalmeni mwake Mungu
ibyaha byabantu akira Baba.
amasengeshoyacu, wowe ALELUYA SIFA
wicaye iburyo bw’Imana data
tubabarire. R/ Aleluya sifa sifa: oh sifa aaa,
amani Dunianiii kwa watu
4. Kuko ari wowe gusa wote.
utunganye ni wowe mwami
wenyine ni wowe wenyine 1. Sifa kwa Baba aa, Mungu
usumba byose Yezu kristu muumba aa aleluya.
hamwe na Roho mutagatifu 2. Sida kwa Mwana aa, Yesu
n’uko hasingizw’iman Data, mwokozi ee aleluya.
(Amen, Amen, Amen, Amen, 3. Sifa kwa Roho oo, Mutakasaji
Amen)x2 ii Aleluya
4. Sifa kwa Baba aa, Mungu
utatu uu Aleluya.
11

1. Sifa kwa Mungu Baba sii(fa)


x2
Aliye umba mbingu na inchi
sifaaa

Ni muumbaji wa vitu vyote


sifaaa
IRENGE LYA NYAMUZINDA
R/ Irenge lya Nyamuzinda aa,
ligandaze hoshi en’igulu nko 2. Sifa kwa Mungu mwana
mu mpingu x2. sii(fa)x2
Alikombowa dunia nzima
1. Rhwama kukuza, rhwama sifaaa
kugashaniza rwhama
kuharamya rhwama na Ni mukombozi wa watu wote
kuh’irenge: ahee ahiee aha sifaaa
2. Yagirwa namahanga weri
mwami w’empingu we
nyamuzinda ishe ugala 3. Sifa kwa Mungu Roho
byoshi ahee… sii(fa)x2
3. Yagirwa Yesu kristu mugala Ni kiongozi wa Eklezia sifaaa
wa sho-cusha we
wekul’ebyaha Ni mufariji wa watu wote
orhuber’obwonjo ahee… sifaa
4. Yagirwa Mwana Buzi mugala
wa nyamuzinda we bwarhale
kulyo kwasho orhuyumve 4. Sifa kwa utatuu sii(fa)x2
nirhu ahe… Baba na Mwana Roho
5. Bulya wenene, we mwimana, mtakati(fu) sifa aa
we namahanga wene Yesu
Kristu ahee… Ni utatu Mungu moja sifaaa
6. Haguma naye Muka
omw’irenge lya sho ensiku
zoshi emyaka n’emyaka 5. Sifa milele amen sii(fa)x2
ahee.. Aleluya aman, aleluya amen,
sifa milele amina (x2)
SIFA ALELUYA SIFA IRENGE MPINGU
R/ Sifa aleluyaaa sii(fa) x2 R/ Iregnge mpingu kuli
Sifa kwa Baba, Sifa kwa Mwana namahanga, (en’igulu),
sifaaa en’igulu omurhula oku bantu
azigira.
Sifa kwa Baba sifa kwa Roho
sifaaa 1. Rhwama kukuza rhwama
kugashaniza aha
12

Rhwama kuharamya rhwama


na kuh’irenge aha
LARHA OHABW’IRENGE LARHA
R/ Larha habw’irenge larha
2. Mashi namahanga rhwama empingu n’igulu larha
komakagasha aha bikuh’irenge
Erhi bukulu bw’irenge lyawe
burhumire aha - Kristu ohabw’irenge
Kristu empingu n’igulu
kristu bikuh’irenge
- Muka mwimana
3. Namahanga oyagirwe werhi ohabw’irenge muka…….
mwami w’empingu aha
Nyamuzinda oyagirwe ishe 1. Rhwama kukuza larha ahee
ogala byoshi aha aha
Rhwama kugashaniza ahee
aha
4. Yagirwa Yesu kristu mugala
wa sho-cusha aha Rhwama kuharamya ahee
Yagirwa Mwana buzi mugal aha
wa Nyamuzinda aha Rhwama na kuh’irenge ahee
aha

5. We rhukulir’ebyaha orhubere Mulemi wa byoshi


obwonjo aha uhabw’irenge
We rhukulir’ebyaha
orhuyumve muhanyi aha
2. Yagirwa Yesu Kwistu ahee
We bwarhal’ekulyo kw’isho aha
orhuber’obwonjo aha Weri mfula ya Larha ahee
aha

Werhukulira ebyaha ahee


aha
Orhuyumvirize rhweshi ahee
6. Bulya wenene we mwimana aha
loshi
Wenene nyakasane Muchunguzi w’abantu….
wenyanya Yesu kristu
Haguma naye Muka Muka 3. Muka kamole kirhu…
Mutagatifu We murhuliriza…
Omwirenge lya sho We misi yirhu larha…
Nyamuzinda Amen .
13

We shoko y’obuzine… Mugala wa nyamuzinda:….


We kula echaha ch’igulu:….
4. Larha Ogandaze… Orhufe n’irhu olukogo:…
Kristu Oyime hoshi…

Muka Omoleke hoshi…


5. W’ekul’echaha ch’igulu:…
Muganze munagir’irenge O yumve omusengelo
insiku zoshi x2 gw’irhu:….
We bwarhale o kulyo kwa
sho:….
IRENGE MU MPINGU
Orhubery’obwonjo:…..
R/ Irenge o mu mpingu kuli
namahanga n’omurhula o ku
bantu bali balonza minja (x2)
6. Bulya wene we mw’imana:….
1. Rhwama kukuza: ahe ahi Wene wene na kuno:…
yeye aha
Rhwama kugashaniza:…… Wene na mahanga lwoshi:….

Rhwama kuharamya: ahe ahí Wene Yesu Kristu:….


yeye aha

Rhwama nakuh’irenge:….. 7. Wena Muka mwimana:….


Omu irenge lya sho:…

2. Rhwama kom’akagasha:….. Wena Muka mwimana:….


Bukulu bwirenge lyawe Omu irenge lya sho:…
burhumire:…
Mashi Namahanga:….
GLOIRE A DIEU
Weri mwami w’empingu:…
R/ Gloire à Dieu et paix sur la
terre aux hommes qu’il aime,
3. Yagira nyamuzinda:….. Gloire à Dieu merveille pour
Ishe ogala byoshi:… l’homme alleluia.

Yagira Yesu Kristu:…. 1. Nous te lous: nous te louns


Nous t’acclamons: nous
Mugala wa sho-cusha t’acclamons

4. Yagirwa mwana buzi:…


14

2. Nous t’adorons: nous Yene mwimana ahe


t’adorons Rhumuhen’irenge………………
Nous te chantons: nous te ……
chantons

3. Agneau de Dieu: Angeau de


Dieu
Tu es la paix: tu es la paix 2. Ayagirhe ajirenge mugala
kwistu aha x2
Injo ene n’irhondo no
4. Tu es vivant: tu es vivant mumiaka handaze aha x2
Tu es l’amour: tu es l’amour
Yene mwimana ahe
rhumuh’irenge nyamuzu
wirhu aganze bwenene
5. Toi seul es saint: Toi seul es namahanga naha mwirhu
Saint ahee aha.
Toi seul es Dieu: Toi seul es
Dieu

AYAGIRWE AJIRENGE Lungwe na muntu ahe


mwami mutudu aha
1. Ayagirwe ajirenge
namahanga ishe aha x2 Yene muciza ahe
Injo ene n’irhondo no warhucungwire aha
mumiaka gandaze aha x2
Mushinganyanya ahe ye
Yene mwimana ahe buzigire aha
Rhumuh’irenge nyamuzinda
wirhu aganze bwenene Mfula ya Larha ahe ubuye
namahanga naha mwirhu kaboko aha
ahee aha. Yene mwimana ahe
rhumuh’irenge …..

Yene lulema ahe Mulema 3. Ayagirhe ajirenge Muka


ndeka ndeko aha mwimana aha x2
Injo ene n’irhondo
Ye nyamubaho ahe Ogala n’omumiaka gandaze aha x2
byoshi aha
Yene mwimana ahe
Ntahwa-lukogo ahe mwinjinja rhumuh’irenge nyamuzu
loshi aha wirhu aganze bwenene
namahanga naha mwirhu
Ishe w’abana ahe Larha ahee ahe.
mukengwa aha
15

Kamole kirhu ahe omu 2. Yesu Kristu miciza n’abantu


mwizimya aha (rhukusamire)
Yesu Kristu wema buzine
Misi y’enyanya ahe omu (rhukuharamye)
buzamba aha
Yesu Kristu mfula ya Larha
Murhuluriza ahe (rhukuyimbire)
murhim’omunda aha
Ye Larha muka ahe Mugangu
wirhu aha

Yene mwimana ahe 3. We njira yo kuhika emwa


rhumuh’irenge………………… larha….
…. We murhula wema buzine
……
Neci naha mwirhaj’irenge aaa
x5 We buzine na byoshi…….

4. We muka mwimana kamole


wirhu….

We nshako yobuzine….
IRENGE KULIWE NAMAHANGA
We muguma na Larha
R/ Irenge x2 kuliwe Namahanga n’omugala……….
ahee

Irenge x2 kuliwe Yesu Kristu


ahee SIFA KWA MUNGU
Irenge x2 kuliwe Muka 1. Sifa kwa Mungu Baba
mwimana ayi yeye Muumbaji wa vitu vyote sifa
ee kwa Mungu Baba
Irenge x2 kuliwe empingu
mwa larha
1. We mulemi w’empingu
n’igulu (rhukusamire)
We mulemi w’izuba n’omwezi R/ Sifa ee sifa ee sifa ee
(rhukuharamye) ee

We mulemi w’abantu boshi R/ Ee sifa kwa Mungu juu


(rhukuyimbire) mbinguni sifa na duniani
amani kwa watu wema x2
16

2. Sifa ee kwa Mungu mwana 4. Kwa maana wewe peke yako


mukombozi wa watu wote Mtakatifu, kwa maana wewe
sifa ee kwa Mungu mwana peke yako mtakatifu, wew
3. Sifa kwa Mungu Mtakatifu pekee yako bwana, wew
Ubarikiwe na utukuzwe sifa peke yako mkuu Yeso Kristu.
ee kwako milele. 5. Pamoja na Roho Mtakatifu,
katika utukufu wa Mungu
GLOIRE A DIEU PAIX AUX Baba Amen(x3)
HOMMES SUR LA TERRE
GLOIRE A DIEU AU PLUS HAUT
R/ Gloire à Dieu paix aux DES CIEUX
hommes sur la terre (x2)
R/ Gloire à Dieu au plus haut
1. Nous te louons nous te des cieux, joie du ciel sur la
chantons, nous te rendons terre, gloire à Dieu au plus
grâce. haut des cieux, louange à toi
2. Seigneur Jésus, Agneau de Alleluia.
Dieu, Sauveur du monde.
3. Esprit Saint vivificateur de 1. Pour tes merveilles, Maitre du
l’Eglise de Dieu. monde, nous te louons nous
1-3 : Dieu de l’Univers te glorifions, pour ton
immense gloire eternelle
nous te louons nous te
glorifions.
SIFA KWA MUNGU SIFA SIFA
R/ Sifa kwa Mungu sifa sifa kwa R2/ Alleluia nous te louons,
Mungu juu mbinguni amani alleluia nous t’acclamons,
duniani kwa watu alleluia gloire à toi Seigneur.
anaowapenda.
2. Sauveur du Monde, ô fils du
1. Tunakusifu, tunakuheshimu, Père nous te louons nous te
tunakuabudu, twkutukuza benossons. O Fils unique de
tunakushukuru kwa ajili ya Dieu le Pere, nous t’adorons
utukufu wako mkuu. nous te glorifions.
2. Bwana Mungu mfalme wa 3. Toi qui enlèves les peches du
mbingu, Mungu baba monde nous te louons nous
mwenyezi, Bwana Yesu Kristu te benissons. O toi qui siege
mwana wa pekee Bwana à la droite du Pere, nous
Mungu mwana kondoo wa t’adorons nous te glorifions.
Mungu mwana wa Baba. 4. O Angeau immole, ô toi qui
seul est saint nous te louons
3. Unaye ondoa zambi za dunia nous te benissons. O agneau
utuhurumie, unayeondoa immoleee, toi seul est tout
zambi za dunia upokee ombi puissant nous t’adorons,
Letu, unaye kaa kume kwa nous te glorifions.
Baba utuhurumie. 5. Avec le Saint Esprit, le feu
qui vivifie, nous te louons
17

nous te benissons. Dans la 2. Bulya we njila yirhu: Ojirenge


Gloire de Dieu le Pere, nous muhanyi
t’adorons nous te glorifions. Kandi we misi yirhu:…
SIFA KWA MUNGU JUU
MBINGUNI Wena buzine bwirhu:…

R/ Sifa kwa Mungu juu We Kristu mwami wirhu:…


mbinguni na amani duniani 3. Wene buzine bwirhu:
kote, kwa watu wenyi mapenzi Ojirenge Muhanyi
mema. Wene murhula gwirhu:…
1. Tunakusifu, tunakuheshimu
Kandi we kuli kwirhu:…
twakuabudu Mungu wetu,
tunakutukuza tunakushukuru We Kristu mwami wirhu…
kwa utukufu wako mkuu.
2. Ee Bwana Mungu mfalme wa 4. We bucunguke bwirhu;
mbingu ee Mungu baba Ojirenge Muhanyi
mwenyezi ee Yesu Kristu We kristu mwami wirhu:…
mwana wa pekee mwana
Aleluya kuli we:…
kondoo wake Mungu.
3. Uondowae zambi za Dunia Rhukukuzize rhweshi:…
twaomba utuhurumie,
uondowae zambi za Dunia 5. We na muka mwimana: Oji
ulipokee ombi letu. renge muhanyi
4. Unaye kaa kuumeni kwa Nshoko y’ubuzine bwirhu:….
Baba ee kristu utuhurumie,
kwa maana we pekee yako ni We orhukul’omu mwizimya:
mtakarifu Mungu mkuu. ….
5. Na pamoja na pamoja na 6. Eby’enigulu byoshi: bikukuze
Mungu Roho mtakatifu, tena muhanyi
katika utukufu wa Mungu
Entondo n’orhubanda:
Baba siku zote. bikukuze muhanyi

Enkafu n’ebibuzi:
IRENGE KULI WE MUHANYI bikuh’irenge muhanyi
R/ Irenge kuli we muhanyi x2
Orhunyunyi n’ensimba:
Irenge kuliwe mwami wirhu x2.
biyimbirenge byawe ee
1. We bulangalire bwirhu: Aleluya amen.
Ojirenge muhanyi\
SIFA KWA MUNGU SIFA
We bulangashane bwirhu:…
R/Sifa kwa Mungu, sifa kwa
We buzigire bwirhu:…. Mungu sifa x2 Sifa kwa Mungu
We Krietu mwami wirhu:… juu mbinguni; amani duniani,
amani dunia kwa watu anao
wapenda.
18

1. Tuna kusifu tunakuheshimu 6. Kwa maana we(we) peke


tunakuabudu twakutukuza yako Baba sifa, we(we) peke
tunakushukuru kwa ajili ya yako mtakatifu sifa, sifa siku
utukufu wako mkuu zote.
2. Bwana Mungu mfalme wa 7. Sifa zimwendee Mungu Baba
mbingu Mungu Baba sifa Mungu mwana Roho
mwenyezi. Bwana Yesu kristu mfariji sifa.Sifa siku zotee.
mwana wa pekee, Bwana
Mungu mwana kondoo wa
Mungu Mwana wa baba.
3. Unaye ondoa zambi za dunia
utuhurumie unayeondoa
zambi zadunia upokee ombi
MEDITATION
letu, unaye kaa kuume kwa
Baba utuhurumie.
4. Kwa mamana wewe peke
yako mtakatifu kwa maana NINAINUWA ROHO YANGU
wewe peke yako wewe peke R/ Ninainuwa macho yangu
yako Bwana, wewe peke kwako Bwana ninakuaminia
yako mkuu Yesu kristu. wewe wala sitaona haya x2
5. Pamoja na roho mtakatifu
katika utukufu wa Mungu 1. Ewe kabila x2 la sioni tazama
Baba, Amen, amen, amen x2
amen amen.
2. Utupatie nguvu naamani
yako Bwana tunaimba x2
SIFA KWA BABA EE
Utusikie sisi waana wako Bwana
R/ Sifa kwa Baba ee sifa, sifa tunaimba x2
kwa Mwana ee fa, sifa kwa
Roho pia sifa, sifa siku zote. MPENI BWANA

1. Tuna kusifu Mungu Baba sifa, R/ Mpeni bwana enyi waana wa


twakuabudu muumbaji sifa, Mungu, mpeni Bwana utukufu
sifa siku zotee na nguvu x2
2. Tunakushukuru Yesu kristu
1. Mpeni Bwana utukufu wa jina
sifa, twakutuza mkombozi
lake: mpeni Bwana utukufu
sifa sifa siku zotee
na nguvu
3. Yesu ni mwana wa peke sifa,
mwana wa Mungu mwana 2. Mpeni Bwana mazao ya
Kondoo sifa, sifa siku zote ndugu zenu:
4. Uondoae zambi zetu sifa, ……………………………………
tunakuomba huruma yako ………..
sifa, sifa siku zotee
5. Unayekaa kuume kwa Baba 3. Kinywa cya ukahidi ukutenge
sifa upokee ombi letu baba mbali nawe:
sifa sifa siku zotee ………………………………………
19

4. Usipige shindo ukitowa kwa 4. Amri za Bwana ni safi


bwana: zinaangazia macho nuru.
……………………………………
………….. SIKU YA BWANA

5. Ujipatanishe na mwenziwe R/ Hii ndio siku aliyo yifanya


mbele ya Mungu: Bwana tushangilie na
………………………………. tufurahiwe nayo.
1. Waseme hivyo wale walio
kombolewa na Bwana

2. Waseme hivyo wakombolewa


mkononi mwa adui
3. Waseme hivyo aliyo
wakusanya katika inchi
TUJENGE HEMA TATU
4. Amefufuka Kristu msulubiwa
R/ tujenge hema tatu bwana x2 kwa ajili yetu.
moja ya Musa ingene ya Eliya
na yako x2 SEMA NENO LAKO

1. Walipo fika mlimani akasema R/ Sema neno lako (ee Bwana


x2 musieleze maneno yote Mungu usibaki kimya tena)
muliyo yaona x2 niangazie (gizani nilimo katika
maisha hii) nitakuwa wako (ee
2. Watu wote walipo muacha Mungu kama upendavyo
Yesu x2 wakamwambiya mwenyewe) leo mpaka milele.
Bwana ni vema tubakiye
hapa e x2 1. Maisha yako yatakufalia nini,
ukipoteza uzima kwa Mungu ,
UTUKUZWE BWANA WE ayapotezae kwa kunifuata
R/Utukuzwe Bwana we, ataishi nami milele kwa
mbinguni na duniani usifiwe Baba.
bwana we ee watu wote 2. Ukinipenda shika amri zangu
wakupende ee bwana mwema . na utapata heri kamili,
1. Sheria za Bwana ni kamilifu,
ukinisikia haya juu ya
aifuatae husabitishwa roho. msalaba wangu nami
nitakujia haya kwa Mungu
2. Ushuhuda wa Bwana ni wa Baba.
kweli, humtilia mjinga
hekima. YESU NI MZABIBU

3. Amri za Bwana ni adili R/ Nani kweli ni mzabibu, mimi


zinafurahisha kweli moyo. ni mzabibu mimi ni mzabibu
nanyi mu matawi yangu.
20

1. Kaeni ndani mwangu nami 4. Enyi mataifa msifuni Mungu


ndani yenu kwani mu matawi wetu zitangazeni habari za
yangu. sifa yake.
2. Bila nguvu yangu hatuwezi 5. Usifiwe Mungu hakukatalia
lolote kwani mu matawi maombi yangu, wala
yangu hakuondowa wema wake
kwangu.
3. Bila nguvu yangu hamuwezi
kuzaa kwani mu matawi
yangu.
MSIKIE SAUTI YAKE zab: 94
KAZI ZAKO
R/ Msikie sauti yake, msifanye
R/ Kazi zako zinakutukuza migumu mioyo yenu.
Bwana wamini wako
wanakusifu. 1. Njooni tumpigieni bwana
kelele za furaha,
1. Nitakutukuza ee Mungu tumshangilie mwamba wa
wangu mfalme, nitasifu jina wokovu wetu.
lako daima na milele.
2. Tuje mbele yake kwa masifu,
2. Kila siku nataka kukusifu, na tumshangilie kwa nyimbo na
kutukuza jina lako daima na sauti.
milele
3. Njooni, tumwabudu na ku
mwangukia, tumpigie magoti
bwana alie tuumba.

4. Kwani Bwana ni Mungu mkuu


MSHANGILIENI MUNGU na mfalme juu ya miungu
yote.
R/ Mshangilieni Mungu,
mshangilieni Bwana enyi nchi
zote mtoleeni Mungu sifa
tukufu. BENI SOIS-TU SEIGNEUR (Ps
144 (145) (ASKIF BANGA)
1. Mshangilieni Mungu enyi nchi
zote uimbeni utukufu wa jina R/ Beni sois-tu à jamais
lake, mtoleeni sifa utukufu. Seigneur Dieu de L’Univers,
Seigneur Dieu de l’Univers.
2. Mwimbieni Mungu matendo
yako jinsi yalivyo ya kutisha, 1. Je t’exalte mon Dieu mon Roi,
Dunia nzima ikuabudu na je benirai sans cesse ton nom
kukuimbia, iliimbie jina lako. , chaque jour je veux te benir
sans fin, je louerai ton nom.
3. Njoni tazameni matendo ya
Mungu, amafanya ya kutisha 2. Le Seigneur est tendresse et
kati ya mataifa. pitie, lent à la colere et plein
21

d’amour, la bonte du Ee ili nimshinde shetani na


Seigneur est pour tous, sa mambo yake yote
tendresse pour toutes les
œuvres. Ee nifike kule mbinguni niwe
pamoja nawe.
3. Que ton œuvre tout entiere
te rende grace Seigneur, que 2. Mwili huu ni muzaifu wajaa
tes fideles te benissant ! ils kiburi na chuki nisaidie ee
diront la gloire de ton reigne, bwana niushinde milele
ils parleront de ta puissance. 3. Unikamate bwana wangu
4. Le Seigneur est toujours vrai nitembeye ndani ya mwanga
quand il parle, toujours fidele nikutumikie ee bwana
quand il agit, il retient tous maisha yangu yote.
ceux qui tombent, il redresse ZAENI MATUNDA MEMA
tous les accables.
1. Zaeni matunda mema
MUTACHOTA MAJI
Zaeni matunda yale
R/ Mutachota maji mutachota
kwa furaha kisimani mwa Zaeni yenye baraka
wokovu, kwa furaha kisimani
mwa wokovu. Zaeni ya heri

1. Sasa Mungu ni mwokozi, na R/ Bwana akiyapokeya


mtumainia (x2) wala sina yatabarikiwa vema
hofu tena
Zaeni matunda mema zaeni
2. Kwa kuwa Bwana ni nguvu ya heri
yangu, na wimbo wangu Bwana
amekuwa kweli wokovu wangu. 2. Safisha mwenendo wako

BWANA YESU MUCHUNGA Safisha matendo yako


WANGU
Safisha na Bwana Yesu
1. Bwana Yesu muchunga
Safisha yote.
wangu unichunge pembeni
yako nifike mbingu muji uke 3. Fanyeni kazi kindugu
wa shangwe na amani.
Fanyeni kazi kwa bidii

Fanyeni nwa bwana Yesu


R/ Ee Yesu uondowe woga
ndani ya maisha yangu Fanyeni yote

Ee mimi peke sitaweza univike 4. Tolea matunda yako


silaha
Pamoja na moyo wako

Naye Bwana mungu wako


22

Atakubariki Tukivumilia tunaweza kuwa wote


sawa kondoo x2
5. Baraka za Mungu Baba
Mwisho wetu tutafurahiwa pamoja
Baraka za Mungu mwana na Bwana Yesu x2
Na za Roho mtakatifu Hakuna kittu kinaweza kututenga
Ziwe na nyinyi wote. mbali na Yesu.

HAKUNA KITU
BWANA NDIYE MCHUNGAJI
R/Hakuna kitu kinaweza WANGU
kututenda na mapendo ya Yesu
x2 R/ Bwana ndiye mchungaji
wangu sikosewi na kitu
- Wala Mateso hayawezi
kututenga mbali na Mungu 1. Anipumzisha kwenyi malisho
mabichi, anipeleka kwenyi
- Wala tabu: haiwezi maji matulivu.
kututenga mbali na Mungu
2. Anionza njiani iliyo sawa kwa
- Kufukuzwa……………………… ajili ya jina lake takatifu.
………………
3. Na nikipita katika bonde la
- Wala giza bwana sitaogopa kitu
njaa……………………………… uko nami.
………
4. Gongo lake na bakora yako
- Kuchukiwa……………………… ee Bwana, ndizo zanituliza
…………….. moyo, moyo wangu.
- Wala utupu 5. Watandika meza mbele
hauwezi…………………….. yangu ee Bwana, machoni ya
- Wala adui zangu, zangu zote.
upanga…………………………… 6. Umenipaka kichwa mafuta ee
…… Bwana, kikombe changu
chafurika, chafurika.
- Wala hatari
haiwezi……………………….
- Wala upanga
hauwezi……………………
- Umaskini…………………………
……………..

Sababu yako tunaishi na


masumbuko yetu yote x2
23

4. Roho yetu imeshibishwa sana


mzaa ya wenyi kucheka
NAKUTUKUZA EE BWANA Ps 29 mazarau ya wenye kiburi.
(30) : 2, 4-6
R/ Nakutukuza ee bwana kwa
kuwa umeniokowa, nakutukuza EE BWANA UTUONYESHE WEMA
ee bwana kwa kuwa WAKO
umeniokowa.
R/ EE Bwana x2 utuonyeshe
1. Nakutukuza ee Bwana kwa wema wako utuleteye wokovu
kuwa umeniokowa wala wako.
haukuwafurahisha adui
zangu juu yangu. 1. Nisikie anavyo sema Bwana
Mungu, hakika anawaomba
2. Ee BWana umeondoa roho watu wake amani.
yangu kuzimuni umeniokowa
katika wale wanashuka 2. Wokovu wake ni karibu nao
shimoni. wenyi kumheshimu utukufu
wake utakaa katika heri yetu.
3. Mwimbieni Bwana enyi
waaminifu wake shukurani 3. Wema na waminifu
jina lake takatifu. vitakutana haki na amani
vitabusana
4. Kwani hasira yake ni ya
kitambo kidogo mapendo 4. Katika inchi uaminifu utota
yake yadumu maisha yote. na haki itashuka toka
mbinguni.
NINAINU MACHO YANGU
EE BWANA KUMBUKA REHEMA
R/ Ninainuwa macho yangu
kwako (ee Bwana ) % kwako R/ Ee Bwana Kumbuka rehema
unaye kaa juu mbinguni % zako na dazili zako x2

1. Kama vile macho ya 1. Ee Bwana unijulishe njia


watumishi jwa mkono wa ma zako, unifundishe mapito
Bwana wao ndivyo macho yako, uniongoze katika kweli
yetu kwa Bwana Mungu wetu yako na kunifundisha.
wpaka utuhurumiye. 2. Maana wewe ndiwe wokovu
2. Kama vile macho ya mjakazi wangu, rehema zako ni za
kwa mkono wa bibi yake, milele, usikumbuke bwana
ndivyo macho yetu kwa kosa langu unihurumiye.
Mungu wetu mpaka 3. Bwana kweli ni mwema na
atuhurumiye mukamilifu atawatunza njia
3. Utuhurumiye Bwana wa zambi, wenyi upole
Utuhurumumiye kwani tume awaongoza vema katika
shiba sana mazarau. hukumu.
24

BWANA AMETUTENDEA MAMBO


MAKUBWA
R/ Bwana ametutendea mambo
makubwa tumeona heri yetu
kwake Bwana x2
1. Bwana alipo warudisha
wafungwa wa sioni tulikuwa
MWIMBIENI BWANA kama waota ndoto

R/ Mwimbieni Bwana wimbo 2. Nahapo walisema kati ya


mupya, mwimbieni bwana mataifa Bwana (a)me
inchi zote mwimbieni bwana tutendea makubwa
wimbo mupya lisifuni jina la
Bwana. 3. Nahapo kinywa chetu kilijaa
na kicheko na ulimi wetu
1. Elezeni utukufu wake katika shangilia
mataifa yote
4. Bwana ametutendea mambo
2. Tangazeni maajabu yake makubwa sana tumeona
katika mikutano yote kweli furaha tele.

3. Lisifuni jina lake Bwana MUTU HAISHI KWa MKATE TU


katika mikutano yote
R/Mtu Haishi kwa mkate tu x2
4. Mkubwa sana ni Bwana
Mungu na mwenyi kusifiwa 1. Ila kwa kila neno litokalo
sana kinywani mwa Mungu.

5. Mbele yake heshima kubwa ni


2. Heri wenyi kusikia neno la
yeye aliumba vyote. Mungu na Kulishika.
3. Neno la Bwana lipo kweli
kwetu chakula cha milele.
ONJENI NA ANGALIENI (PS 33)
4. Sikuja kuvunja sheria ya
R/ Onjeni na angalieni namna Musa bali kuyikuza.
gani Bwana alivyo mwema,
heri wenyi kukimbilia kwake. NINAKUSHUKURU EE BWANA

1. Nitamtukuza Bwana kila R/ Nina kushukuru ee bwana


wakati sifa yake kinywani maana ulikuwa umenikasirikia
mwangu daima. umeacha hasira yako
ukanifariji.
2. Roho yangu ijisifu katika
Bwana wanyonge wasikiye 1. Tazameni sina hofu tena,
na kufurahi. Bwana ni nguvu yangu na
wimbo wangu.
25

2. Ndiye nguvu ya wokovu 3. Bwana amejulisha wema


wangu na mtumaini wake na uaminifu wake, kwa
amekuwa wokovu wangu. nyumba ya Israeli.

BWANA NDIYE MCHINGAJI


WANGU
R/ Bwana ndiye mchungaji
wangu sikosewi na kitu x2 hata
moja.

BWANA YESU ALISEMA 1. Anipumzisha katika malisho


mabichi, anipeleka kwenyi
TUPENDANE
maji matulivu anipatiya
1. Bwana Yesu alisema nguvu
tupendane upendo ndiyo
amri kubwa kwetu. 2. Aniongoza katika njiya sawa
kwa ajili ya jina kwa ajili ya
R/ Amani idumu duniani jina lake
kwote tuwe na upendo
kwa majirani, tuwapende 3. Hata ninapo pita katika
na kuwasaidia bonde la giza sitaogopa
wanaohitaji msaada wetu. mabaya kwani wewe upo
nami
2. Hata nikitowa mali yangu
4. Fimbo yako na bakora yako
yote nikiwa sina upendo si
kitu x2 bwana vyanituliza moyo
vyanituliza moyo
3. Upendo wa Mungu kwa
5. Atandika meza mbele yangu
mwanaadamu hutokana na
kutii amri zake x2 Bwana machoni pa adui pa
adui Bwana.
MIPAKA YOTE YA DUNIA
BABANGU NINAJIACHILIA.
R/ Mipaka yote ya dunia,
imeona wokovu, mipaka yote R/ Babangu ninajiachilia
ya dunia, imeona wokovu wa mikononi mwako, ufanye namii
mungu. utakavyo (x2)

1. Bwana amepata ushindi, kwa 1. Ninakupigia aksanti kwa


mkono wake wa kuume, kwa vyote utakavyo fanya nami,
mkono wake mtakatifu. niko tayari kwa vyote.
2. Nakubali vyote Mungu
2. Bwana amejulisha ufufuo wangu, sitamani kitu kingine,
wake, mbele ya macho ya ila mapenzi yako yafanyike.
mataifa ameinua haki yake.
26

3. Mapenzi yako yafanyike, 1. Neno la Bwana ni la Kweli


yafanyike ndani mwangu na Matendo yake yote ni
ndani ya viumbe vyote. maaminifu.
4. Naweka roho yangu mikononi 2. Anapenda unyofu na haki,
mwako, nakutolea ayo Dunia inajaa wema wake
Mungu wangu na mapendo Bwana.
yote ya moyo wangu.
5. Kwani nakupenda na kwangu
mapendo yanikaza kujipana
na kujiweka mikononi mwako
PARLE SEIGNEUR
bila kipimo.
6. Nikiwa na kitumaini, R/ Parle, Parle Seigneur ton
kitumaini bila mipaka sababu serviteur ecoute x2
uko babangu.
1. Parle mon Dieu au milieu de
ma nuit, je tend l’Oreille et
tresaille à ta voix, parle mon
Dieu aussitot j’obeis, mon
coeur s’attache à ne suivre
que toi.

SHAMBA LANGU NI KUBWA 2. Parle mon Dieu par ta voix tu


gueris la mer se calme et
R/ Shamba langu ni kubwa l’enfant n’est plus mort, parle
mno, nimtume nani, nimtume mon Dieu que ton soufflé de
nani ndani ya shamba lile,
Vie penetre en moi et me
nimtume nani ndani ya shamba
lile. rende plus fort.

1. Mimi huyu ee Bwana unitume 3. Parle mon Dieu et domine le


niwakusanye waliopotea (Ee bruit qui fait le monde
Bwana), unitume, unitume abreuve de discours, parle
Bwana, Bwana shambani mon Dieu reunís tes brebis
mwako. ressemble-les au seul cri de
2. Ona ndani ya shamba lile,
l’amour.
utakuta watu walio poteya,
kusanyeni wote na VIENS VERS LE PERE
kuwafundisha neno langu.
Nitaenda kutimiza mapenzi R/ Pardonnez-moi frère et
yako Bwana, unitumee. laissez-moi recevoir la pure
HERI TAIFA lumière, car une eau vive
murmure en mon coeur,
R/ Heri taifa alilo chagua viens vers le père.
Bwana kuwa urisi wake.
27

1. Seigneur Jésus né dans la


pauvreté, c’est toi que je
veux, au momento où je vais
naître à la vie,

2. Seigneur Jésus, ressuscité


des morts…..

3. Seigneur Jésus, livré et mort


en croix….

4. Seigneur Jésus, frère des


opprimés,….

5. Seigneur Jésus, chemin des


égarés….

6. Seigneur Jésus, lumière des


nations…

HATUTAFICHA: (zaburi 77(78)


3-4-34-39

R/Hatutaficha, tutaambia kizazi


kijacho, sifa na nguvu ya
maajabu aliyo fanya Bwana.

1. Mambo baba zetu


walituhadisia mambo
tuliyosikiya na kuyajuwa
vema.

2. Bwana alipo wauwa, ndipo


walimtafuta kumshurikia,
wakaongoka tena.

3. Bwana nakumbuka kwamba


wao ni mwili, upumuzi wao
wapita haurudie.
28

1. Ndimi mchungaji mwema


asema Bwana nawajua
kondoo zangu.
R/ Alelua, aleluya,
aleluya x2
2. Kondoo zangu wanifuata
asema Bwana wasikia sauti
wangu
3. Nimefika wapate uzima wa
milele nitatowa uzima
wangu.

ENYI TAIFA ZOTE


1. Enyi taifa zote kamtukuzeni
Bwana, mwimbieni Mungu
wimbo mzuri wa aleluya

R/ [Aleluya x8 Mungu
wetu]x2
2. Enyi viumbe vyake, kamsifuni
mwenyezi, mwimbieni Mungu
wimbo mzuri wa aleluya

ACCLAMATI
ON
ALELUYA MSIFUNI BWANA

R/ Aleluya msifuni Bwana enyi


MIMI NIMESIKIYA
watumishi wake x2
1. Mimi nimesikiya ee sauti ya
AL/Ba/ : Aleluya x5 Watumushi
bwana ee ndani mwangu
wake
R/ [Aleluya x5] x2
1. Enyi watumishi wa Bwana
2. Mafundisho ya bwana inaleta sifuni jina la Bwana, Jina la
uzima ee ndani mwangu Bwana litukuzwe sasa na
hata milele.
3. Amri zake Bwana nitazifuata
zote ee Mungu wangu. 2. Jina la Bwana litukuuzwe
tangu kutoka kwa Juwa, Jina
ALELUYA MCHUNGAJI MWEMA
29

la Bwana lisifiwe mpaka ALELUYA MSIFUNI BWANA.


kutuwa kwa jua.
R/ Aleluya msifuni Bwana enyi
3. Ni Mkuu juu ya mataifa , watumishi wake, aleluya
utukufu juu ya mbingu, Nani msifuni bwana enyi watumishi
sawa na Mungu wetu akae wake.
juu kabisa.
1. Enyi watumishi wa Bwana
sifuni jina la Bwana, Jina la
Bwana litukuzwe, sasa na
TUNAHUBA YA KUSIKIA hata milele.
2. Jina la Bwana Litukuzwe
1. Tuna huba ya kusikia neno la
enjili yako likapenye nyoyo tangu kutoka kwa jua, Jina la
zetu katika maisha yetu. Bwana lisifiwe mpaka kutuwa
kwa jua.
R/ Aleluya msifuni bwana 3. Ni Mkuu juu ya mataifa,
Asifiwe aleluya utukufu juu ya mbingu, Nani
sawa , Mungu wetu akae juu
2. Tulifuate na mapendo neno kabisa.
lako takatifu ili tulisikilize
katika maisha yetu

3. Simameni tuheshimu neno


lake Mungu wetu kwa uzima
na afia katika maisha yetu.

ALLELUIA AMEN
R/ Alleluia (x8)
ALELUYE MTU AKINIPENDA
Alleluia (x2)
R/Aleluya(5) amen
1. Seigneur ta parole est
chemin vers le Ciel 1. Aleluya Mtu akinipenda
2. Seigneur, ta parole est la joie atashika neno langu naye
de nos cœurs babangu atamupenda , nasi
3. Seigneur ta parole est tutakuja kwake asema
lumière en nos yeux bwana.
2. Aleluya mimi nipo njia ukweli
piya uzima, mtu hawezi
R2 Tu as les paroles de la vie
éternelle.
30

kufika kwa baba, ila akipita NAMSADIKI MUNGU ROHO SAFI


kwangu asema bwana.
3. Kwa kuwa umeniona mimi R/Namsadiki Mungu Baba
eeToma umesadiki, heri wale Mungu Mwana, Mungu Roho
walio sadiki hata kama safi Mungu moja.
wasione asema bwana. 1. Mungu Baba ametuma
4. Uwe mwaminifu mpaka kufa, mwana duniani kwa
ndivyo asemavyo bwana, kutukomboa.
nami nitakupatiya taji la
uzima wa milele asema 2. Huruma yake niya milele
bwana. tumefanya mubaya
NILAKWELI NENO LA BWANA. tukazarau.
R/Ni la kweli neno hilo la 3. Akapata mwili kwa Roho
Bwana, neno njema (x2) akazaliwa na Maria
Neno hilao ndugu lakuita wewe 4. Akateswa akafa akafufuka
neno la wokovu neno njema siku ya tatu
(x2)
5. Akapanda mbinguni siku ya
1. Bwana Yesu yupo sasa asensio anakaa kuumeni kwa
mlangoni, anakuja. Baba
2. Aleluluya aleluya aleluya,
aleluya. 6. Naisadiki Elkezia moja
3. Simameni yusikilize neno takatifu katolika ya mitume

7. Namssadiki roho mtakatifu


Mungu anaye leta uzima

8. Ninaungama ubatizo moja


kwa maondoleo ya zambi
zangu
9. Ninangojea ufufuo wa wafu
na uzima wa milele.

NAMSADIKI MUNGU BABA


1. Namsadiki Mungu Baba
muumba wa mbingu na dunia
na Yesu kristu mwana wa
pekee aliyepata mwili kwa
tendo la Roho mtakatifu

CREDO akazaliwa na Bikira Maria

2. Akasulubiwa akafa akazikwa


akashuka kuzimuni siku ya
tatu akafufuka akapanda
31

mbinguni anapokaa mkono mleta uzima, ndiye kiongozi


wa Baba ee mwi atarudi wa eklezia duniani kote.
kuamuwa wazima na wafu.
6. Eklezia yake naisadiki,
3. Namsadiki Roho mtakatifu takatifu kabisa, ilio toka kwa
Eklezia Katolika shirika la mitume Eklezia katoliuka. Pa
watakatifu maondoleo ya saa ya Mwisho nikafufuke
zambi ufufuo wa mwili na kwa uzima mpya, nangoja
uzima wa milele ufufuo wa wafu, uzima wa
milele. Amen!
NAMSADIKI MUNGU MKUU
R/ Namsadiki Mungu,
namsadiki Mungu Mkuu NAMSADIKI MUNGU BABA
namsadiki Bawana. 1. Namsadiki Mungu Baba,
1. Namsadiki Mungu Mwenyezi, Namsadiki Mungu Mwana,
Muumba wa ulimwengu, Namsadiki Mungu Roho
navitu vinavyo onekana Namsadiki.
navisivyo onekana;
namsadiki pia mungu mwana R/ Namsadikii, Namsadikii,
mkombozi wa dunia, aliye Muumba wa vytote.
zaliwa na Maria. Bikira wa 2. Namsadiki Mungu baba,
neema. aliumba vitu vyote namsadiki
2. Anaye kweli Umungu moja namsadiki namsadiki.
sawa na Baba yake, nikweli 3. Namsadiki Mungu mwana
mutu na Mungu kweli, Yeye alikufa msalabani siku tatu
hakuumbwa. Alishuka toka kafufuka namsadiki.
mbinguni kwa ajili yaku, kwa 4. Namsadiki Roho pia
ajili ya sisi watu na kwa mtakatifu Mungu moja
wokovu wetu. namsadiki namsadiki,
3. Akakamata mwili wetu namsadiki.
akajifanya mutu, akateswa 5. Nasadiki Eklezia moja
sana na waaskari wake takatifu katolika, namsadiki
ponsio Pilato. Akafa vikali namsadiki namsadiki.
Mwasalabani juu ya kalvario, 6. Nangojea ufufuo na uzima wa
mikono na miguu yake milele namsadiki namsadiki
vikitobolewa. namsadiki.
4. Akazikwa vema na Yosefu,
kaburini mwake, akafufuka NINASADIKI MUNGU BABA
siku ya tatu kamailivyo R/ Ninasadiki Mungu Baba,
andikwa. Mwisho akapanda Ndiye chemchem ya uzima,
mbinguuni anapokaa kwa Nina sadiki kwamba, furaha
baba kule ana tutayarishia, yote yatoka kwake.
makao yeetu.
5. Namsadiki Roho mtakatifu, 1. Ninasadiki Mungu baba
Bwana mleta uzima, Bwana anaviumba vitu vyote, Nina
32

sadaki Mungu mwana, Mfalme milele atarudi


nimkombozi wa Dunia. kuamua watu wake:
2. Ninasadiki kwamba yesu Namsadiki.
amezaliwa na Maria,
ameteswa na amekufa ila 4. Na Roho mtakatifu Mungu
yesu emefufuka. anaye leta uzima: Namsadiki
3. Na Yesu amepanda mbinguni Eklezia moja katolika takatifu
kututayarishia na fasi, ya Mitume: Namsadiki
atarudi kuamua wazima na 5. Ninaungama Ubatizo moja
wafu.
kwa kusamehewa:
4. Nasadiki Mungu roho ndiye Naungama
chemchem ya uzima,
Ninangojea Ufufuo na Uzima
Anastahili nimuabudu pamoja wa milele: Nangojea
na Baba na Mwana.
5. Nasadiki Eklezia moja ni NAMSADIKI MUNGU MOJA BABA
takatifu Katolika hiyo eklezia MWENYEZI
niliyomo imetoka kwa
R/ Namsadiki Mungu moja,
mitume.
Baba mwenyezi Muumba wa
6. Naungama ubatizo moja kwa
mbingu na dunia, nayo yote
maondoleo ya zambi,
yanayo onekana na yasiyo
nangojea ufufuo na uzima wa
onekana.
milele.
1. Namsadiki Kristu mwanae wa
NINASADIKI KWA MOYO peke, aliye zaliwa na Bikira
WANGU WOTE. Maria.
2. Aliye tushukia toka mbinguni
R/ Ninasadiki Kwa moyo wangu
kwa ajili yetu sisi
wote Mungu moja
kutukomboa.
ninamsadikia.
3. Akasulubiwa kwa ajili yetu,
1. Namsadikia Mungu Baba ilikuwa wakati wa ponsio
Muumba Mbingu na Dunia: Pilato.
Namsadiki 4. Naye akafufuka siku ya tatu
Na Bwana Moja Yesu kristu akapanda mbinguni kukaa na
mwana wa pekee wa Mungu: Baba.
Namsadiki 5. Namsadiki pia Roho
mtakatifu, yeye ndiye
2. Mungu aliye shuka duniani mwanga maishani mwa watu.
kwa kutukomboa: 6. Nasadiki pia eklezia moja,
Namsadikia katolika takatifu na ya
Na Bwana moja Yesu kristu mitume.
mwana wa pekee wa Mungu: 7. Naungama kweli ubatizo
Namsadiki moja, ufufuo wa mwili uzima
wa milele.
3. Aliye panda kwa Baba
anapokaa kuumeni kwake:
Namsadiki NAMSADIKI MUNGU MOJA
33

R/ Namsadiki Mungu Moja. NAMSADIKI MUNGU ALIYE


Nasadiki utatu mtakatifu. NIUMBA.
1. Namsadiki Mungu moja, Baba R/ Namsadikia Mungu aliye
mwenyezi muumba wa niumba, namsadikia Mungu
vyote. aliye anikomboa,
2. Namsadiki Yesu Kristu, namsadiliaMungu aliye nipa
Mungu Kweli na mkombozi nguvu, utatu mtakitu. Amen!
wetu.
3. Aliye kufa na kufufuka, kwa 1. Mungu Baba muumbaji wa
ajili ya wokovu wetu. mbingu na Dunia: namsadikia
4. Namsadiki Roho mtakitifu, 2. Mungu mwana aliyeshuka
Mungu kweli na mleta uzima. kwetu, kwa kutukomboa:
5. Nasadiki eklezia moja, namsadikia
takatifu katolika ya mitume, 3. Na wakati wa Pilato
6. Naungama ubatizo moja, kwa akateswa, akasulubiwa:
maondoleo ya zambi namsadikia
7. Ninangojea ufufuo, pia uzima 4. Akazikwa na baada ya siku
wa milele amina. tatu, akafufuka: namsadikia
5. Naye Roho mtakatifu Mungu
sawa na Baba na Mwana:
MIYE NASADIKI namsadikia
6. Na Eklezia katilika takatifu,
R/ Miye nasadiki Baba, itokayo kwa mitume:
mwanae, Miye nsadiki roho wa namsadikia
mapendo. 7. Nangojea ufufuo wa mwili na
1. Aliumba vyote Babae vya mu uzima wa milele: namsadikia.
dunia na vya mbinguni, vyote
ni enzi lako Baba ni muumba
2. Alizaliwa na ma(ma) Maria, NAAMINI BABA.
akateswa zamani zote
nasadiki, akateswa zamani R/ Naamini Baba, naamini
zote nasadiki. Kristu, naamini naye Roho,
3. Kafufuka kapanda mbinguni, mtakatifu namsadiki.
anakaa kuume kwa Baba
nasadiki. 1. Namsadikia Mungu Baba,
4. Nasadiki eklezia moja, Yesu mwanae wa pekee,
takatifu na ya mitume Bwana wetu naamini.
nasadiki. 2. Kateswa Kauwawa, siku tatu
5. Naungama ubatizo moja, kwa kafufuka, akapanda kwa
maondoleo ya zambi Baba naamini
nasadiki. 3. Namsadiki Roho Mtakatifu,
6. Naungama ufufuo wa wafu, mwangaza wa kanisa,
nauzima wa milele nasadiki. mwongozi wetu naamini.
4. Naungama ufufuo, wa wafu
na uzima, wa milele, amen!
34

huyo na niwa maajabu


MIMI KWELI NAMSADIKI astahili sifa kubwa.
R/ Mimi kweli namsadiki kwa 2. Alimtuma Yesu mwanae wa
Mungu aliye niumba (yee)
pekee kazaliwa na Maria,
muumba wa mbingu na dunia
kweli namsadiki. akateswa zamani za Pilato,
kwa ajili ya zambi zetu,
1. Namsadikia Mungu Baba akateswa hata na kufariki
namwenyezi muumba wa siku (ya) tatu kafufuka.
mbingu na dunia na vyote
vilimo 3. Yesu alipanda mbingu kwa
2. Namsadikia Mungu mwana, Babae anakaa kuume kwake,
yesu kristu mwana wa peke
ninaamini kwamba atarudi
wa Mungu yeye alizaliwa na
Baba mbele ya nyakati. kuwatwaa watu wake, hapo
3. Akateswa akafa akafufuka ufalme wake wa furaha
kama ilivyo andikwa yeye utadumu bila mwisho.
atarudi kuamua wazima na
wafu. 4. Ninaamini roho mutakatifu ni
4. Namsadikia pia Roho mwangaza wa Dunia,
mtakatifu, Bwana na mleta ninaamini Eklezia katolika
uzima yeye naisadikia Eklezia takatifu ya mitume, nina
moja katolika. ungama ubatizo moja
5. Naungama ubatizo moja kwa
nangojea ufufuko.
maondoleo yambi nangojea
ufufuo wa wafu na uzima wa JE CROIS EN TOI
milele.
R/ Je crois en toi seigneur mon
Dieu, je crois en ta grandeur, je
crois en toi seigneur mon Dieu
je crois en ton amour.

NINA AMINI MUNGU MOJA 1. Tu crearas le ciel et la terre:


O oui seigneur je crois
R/ Nina amini Mungu Moja nina
ungama kwamba sina Tu es le seul unique vrai
mwengine Mungu wangu niwa Dieu:………
mapendo ameviumba mbinguni
na Dunia. 2. Seigneur Jesus le fils du tres
haut:…
1. Aliumba vyote vionekanavyo
na visivyo onekana, tangu Ne de Marie tu viens sur la
mwanzo Mungu huyo ni Baba terre:……
anapenda watu wote Mungu
35

3. Mort sur la croix tu fus 3. Akafufuka kiisha siku tatu,


enseveli:…… kama ilivyo andikwa yeyé
ni mfalme bwana wetu,
Pour nous sauver tu es
mwana wa aliye juu,
ressuscites:..
nasadiki.
4. Monte au ciel tu es pres du
4. Akapanda mbingu kwa
Pere:…...
Mungu baba, anapokaa
Tu reviendras pour nous kuukme kwake, ndipo
jugar:………. atarudi kuamuwa wazima
na wafu Namsadiki.
5. Esprit d’amour Saint Esprit
de Dieu. 5. Namsadiki Roho
mtakatifu, mutakasa wa
Tu communies le Pere et Eklezia, nina sadiki Eklezia
l’Esprit:……. moja katolika ya mitume,
nasadiki.
6. Un seul bapteme pour le
salut, O oui seigneur je 6. Na ungama ubatizo moja
reconnais maondoleo ya zambi, nina
sadiki ufufuo na uzima wa
La vie eternelle dans ton
milele, Amen.
royaume, O oui seigneur
j’attends NEMERI IMANA IMWE.
NASADIKI R/ Nemeri Imana imwe
Dat’ushobora byose. Nemera
R/Nasadikia Mungu moja nyagasani umwe Yesu Kristu na
muumba wa mbingu na Roho mutagatifu nyagasani
Dunia. utanga ubuzima.

1. Namsadiki Mungu baba 1. Nemera Imana imwe


Dat’ushobora byose ,
mwenyezi, muumba wa
waremy’ijuru n’isi
mbingu na Dunia, vyote n’ibitaboneka, nemera na
vinavyo onekana, na nyagasani umwe Yezu Kristu
visivyo onekana, Nasadiki. umwana w’Imana.

2. Naye Yesu mwana wake 2. Mbere ya byose Imana yari


wa pekee, aliye zaliwa na isanzwe imubyaye, ni Imana
Maria akakufa, akazikwa, ikomoka ku Mana, ni urumuri
rukomoka k’urumuri n’Imana
kwa ajili ya zambi zetu
nyakuri ikomoka ku mana
nasadiki. nyakuri.
36

3. Yarabyawe ntiyaremwe
asangiye kamere na se, niwe
byose bikesha kubaho,
icyatumye amanuka mu ijuru
ni twebwe abantu no
kugirango dukire.

4. Yasamwe ku bwa Roho


mutagatifu, abyarwa na
bikira Mariya nok’aba
umuntu, yabambwe ku
musaraba aritwe agirira
kungoma ya Ponsiyo Pilato
5. Niho yababaye maze arapfa
maze arahambwa nuko ku
munsi wa gatatu arazuka
nkuko byari byaranditswe,
maze azamuka ajya mu ijuru
yicara iburyo bw’Imana data

6. Kandi azagarukana ikuzo,


gucira imanza abazima
n’abapfuye, ingoma ye
izahor’iteka.
7. Nemera na Roho mutagatifu
nyagasani utanga ubugingo,
uturuka ku mana data na
mwana, arasengwa
agasingizwa hamwe na data
na mwana, niwe wabwirije
abahanuzi ibyo bavuga.
8. Nemera na kiriziya imwe
ntagatifu gatulika, kandi
ishingiye ku ntumwa,
ndahamya ko batisimu ari
imwe ikiza abantú ibyaha.
9. Kandi ntegereje izuka
ry’abapfuye nubugingo bwo
mu gihe kizaza amen
37

nous avons peche, Seigneur


exhausse nos prieres.
 Mana yacu turagusenga
utwumvire Date, mana yacu
turagusenga akira
amasengesho yacu.

INTENTIO
NS
• Bwana sikiliza sauti ya wanao
Bwana bwana bwana bwana
• E e Bwana utisikie, sikia
maombi yetu, ee bwana
utusikie ee bwana.
• Tuna kuomba uyasikie
maombi yetu yote tunayo
towa ndiwe wa huruma na
waupendo uwahurumie.
• Bwana sikia sauti zetu twa
kulilia, bwana silia sauti yetu
pokea maombi yetu
• Ee bwana unisikilize
natumainia tu kwako mungu
wangu na tegemeo langu
kamili.
• Nzambe tata yoka losambo
nanga nabeleli yo. Nabeleliyo
tata nabeleli yo.
 Ewe larha orhuyunve rwe
bana bawe rwakuyakuza
n’obukenge oyunvirize
misengero yirhu.
 Simba nga na maboko nayo
oo nkolo masiya.
 Seigneur ecoute nos prieres,
nous sommes loins de toi
38

5. Banyango bapesi yo ee
yambae (x2).

SASA NI WAKATI WA SADAKA


R/ Sasa ni wakati wa kutolea,
towenis \sadaka wandugu na
moyo mwema.
1. Ona twakuja kwako
kukutolea sadaka
2. Sadaka tunayo leta ni alama
ya mapendo
3. Totowe na moyo mwema
nasi tutabarikiwa
4. Ukiwa na moyo mgumu,
usitoe sadaka yako.
5. Ukiwa na chuki ndugu,
OFFERTOIRE sadaka yako ni ya bure.

NAYE NA MABONZA

R/ Naye (x6) na mabonza (naye


ee) (x2)
BWANA UPOKEYE MALI YANGU
1. Ba tata baza koyaa (x2) na
maboza. 1. Bwana upokeye mali yangu
2. Ba mama baza koyaa (x2) na nakutolea kwa furaha,
mabonza. ulinikomboa toka zambi
3. Bilenge biza koyaa (x2) na pokea matoleo yangu
mabonza R/ Ee Bwana Yesu wangu,
ulitafuta zambini, natowa Roho
R2. Tata Ndima Biloko topesi yangu ifanye akazi yako
yo (x2) bwana.

1. Ba tata bapesi yo ee yambae (Basse): Bwana wangu


(x2) mwokozi yesu wangu mwokozi,
2. Ba mama bapesi yo ee mwokozi wangu ulinitafuta
yambae (x2) zambini nakutolea roho yangu
3. Ba mama bapesi yo ee nakutolea, Yesuutawale
yambae (x2) maisha yangu.
4. Bilenge bipesi yo ee yambae
2. Nayaweka mali yangu juu
(x2)
mbinguni kwako we bwana
Mungu, Tumaini langu
39

nitayakuta huko mbinguni mwenyi huruma, uipokee


kwa baba. baba.
3. Ulininunua bwana Yesu mimi 2. Twakutolea (Baba): Divai
mali yako bwana wangu kwa yetu…………
hiinatowa mali yangu ifanye 3. …………………...: Eklezya
kazi yako bwana. yetu………….
4. …………………...: Furaha yetu:
…………….
POKEA SADAKA TUNAKUTOLEA 5. …………………...: Magumu
yetu:……….
1. Pokea sadaka tunakutolea ee 6. ……………….......: Maisha
Baba kwa kwa imani kubwa yetu…………..
ee x2 7. ……………….......: Vyote vya
dunia………
R/ Sadaka iye sadaka iye iye
baba Mungu, pokea sadaka
twakutolea x2 NIKUPE NINI MUNGU WANGU

2. Na Wa baba wote R/ Nikupe nini Mungu wangu


wanakutolea ee Baba kwa nikupe nini we mwokozi,
imani kubwa pokea ee nikupe nini Bwana Wangu cha
3. Na wa mama wote kukupendeza.
wanakutolea …
4. Na wa kaka wote 1. Nakutokea mukate toka
wanakutolea…… mmeya wa ngano, nakutolea
5. Na wa dada wote divai ni tunda la mizabibu :
wanakutolea….. Ninakuomba mwokozi
6. Na wa toto wote nifanyiye musamaha na
wanakutolea…… unipokee mema ubayo
onyesha nitafanya nini mimi
nikurudishie.
2. Kila nitakachoshika mbona
bado ni kidogo, fazila
unazotenda kwangu mimi
naogopa
3. Mchana hata usiku wewe
wanisimamia na nikiwa
BABA MWEMA safarini waniepusha ajali
4. Nikiwa na matatizo bwana
R/ Baba mwema utazame sisi wanisimamia, nikiwa kwenyi
wanaana wako, twakutolea majonzi wewe unanifariji
tulivyo navyo 5. Kama njia sioni wewe
waniongoza, na hata
1. Twakutolea (Baba): Mukate
nikopoteya kwako
wetu (Baba Mwema) wewe unanirudisha.
40

R/ Nitafanya nini mimi


kitakacho kuwa sawa na fazili
zako, nitaimba vipi mimi
niyataje mema yako utendayo
kwangu.

EE MIMI NAKUJA
R/ EE Mimi nakuza ee mimi,
kutolea ee mimi sadaka yangua
upokee. EMBERE ZA MUNGU
1. Mkate na Divai nakuja 1. E mbere za Mungu
kutolea narhuzir’ebyanibyoshi
2. Nakuja kwako Yesu nakuja nakalamo emwa larha
kutolea. namahanga x2

R/ Entulo yani x2 nakulerhera


MUUMBA WA VYOTE POKEA x2 we larha wirhu x2
R/ Muumba wa vyote pokea ee oziyankirire bwinja.
x2 2. Nyumuzinda w’obwonjo
Muumba wa vyote pokea ee urhusimiwe ku lusha byoshi
x2 bya han’igulu x2
3. N’omugala Yesu
1. Twakutolea mkate huu baba bamubamb’okumusalaba erhi
pokea, ee sadaka yetu ebyaha byirhu birhumire x2
pokea, ee sisi wana wako 4. Rhurhure emisi rhurhure
pokea. n’akalamo kirhu embere za
2. Twakutolea Divai hii baba larha namahanga.
pokea, ee sadaka yetu
pokea, ee sisi wana wako
pokea. TWETE BINGI
R/ Twete bingi twete myengo
R/ Baba pokea, uipokea Baba ya mwana wobe mwene ushimu
Mungu nayitola kwako. tutanguke kya’a myengo.
1. Mungu nakutolea Mkate aa 1. Bashu babyamba twete
Mkate. myengo ya mwana wobe
2. Mungu nakutolea Divai aa 2. Na
Divai
bisetu……………………………
3. Mungu nakutolea Eklezia aa
…………..
Eklezia
3. Na
4. Mungu nakutolea Wazazi aa binetu……………………………..
Wazazi .
41

4. Ndume 2. Hanoba wamarhu


shetu………………………… larha………………
5. Ashi Ogendage orhale
shetu…………………………….. abakenyi………….
6. Mwene
ushimu……………………… Orhayibagiraga abukana
n’emfuzi…

MABONZA Larha, Larha we oziyankirirhe


omu mwawe…
R/ Tobonzela nzambe na
esengo iyole x2 3. Orhabale abazamba
yaga……………
Iyole iyole x yaka tobonzela Okayumva sho
hakuburhaga………..
1. Ba tata ba biso (babonzeli yo
x2) babonzeli yo na bango. Ozigirhe nyoko umubugikulu
2. Ba mama ba bwane
biso…………………………
3. Ba yaya ba Larha, larha we oziyankirire
biso………………………….. omu mwawe.
4. Ba leko ba
biso…………………………

NGASI MUGUMA
R/ Ngasi muguma achihume ko
we ahan’entulo, Abe mugele
abe mukenyi ahan’entulo
Achihomaganye we aha, NKOLA NARHULA
achimaramase we aha, [Arhule
arhule n’omwishingo oh] x2 R/ Nkola narhula:
Ohane n’obulonza ecigabi
c’ebirugu byawe
1. Oyigule omurhima gwawe:
ochihume kwo we aja Onamanye oku irenge buira
N’enkengero zawe obundi neshubira
zoshi………………………… Oleke mpane:
Orhayinganangwa omurhule Oleke mpane oku omurhima
untulo gwani gudesire
Larha, larha we oziyankirire Arhele mango nafa ekuzimu
omu mwawe. nabiheka.
42

1. Mumany’irhondo murha Ee mali yetu ahe ubari na


yonganagwa n’ebimwarhula furaha, ubariki na mapendo
aka mwene adamu bulya mali yetu ni ya bwana
cirhu ebi mwahirhwe birhi
binene bwenene murhaka
bilyula ENYI WABABA WOTE
2. Yesu adesirhe : babirh’erhi
basharhu bagwasinye 1. Enyi wa Baba wote tutowe
Okwizino lyani ndi ekarhi sadaka
kabo
R/ Tutabarikiwa naye Mungu
Chocirhumire baba, tukimutolea sadaka yetu
murhayihanaga, kwa furaha.
omukarhinda Orhaheba
embuga orhayilota. 2. Enyi wa Mama wote tutowe
sadaka
3. Enyi wa Zee wote tutowe
TUITOWE MALI YETU sadaka
4. Enyi wa Dada wote tutowe
1. Tuitowe, tuitowe mali yetu sadaka
ahe x2 5. Enyi watoto wote tutowe
sadaka
R/ Ee mali yetu ahe tuitowe
na furaha, tuitowe na mapendo
mali yetu ni ya bwana. OYANKIRIRE

2. Tusifiche, tusi fiche mali yetu R/ Oyankirire mashi muhanyi,


ae x2 mashi muhanyi ezi ntulo aha,
Ee mali yetu ahe tuitowe na Ezi rhudwire mashi muhanyi
furaha, tuitowe na mapendo mashi muhanyi aleluya aha
mali yetu ni ya bwana.
Aleluya ahaa ahaa x2
3. Tunaleta, tunaleta mali yetu
ae x2 1. Oziyankirire n’obwonjo
Ee mali yetu ahe tunaleta na bwawe n’obusime bwawe
furaha, tunaleta na mapendo larha mwinja
mali yetu ni ya bwana Zirhubere mulagi emwawe
larha, emwawe larha
4. Upokee, upokee mali yetu ae
x2 O mu mpingu aha, (O mu
Ee mali yetu ahe upokee na mpingu aha ha aha) x2
furaha, upokee na mapendo
mali yetu ni ya bwana 2. Ogu mugati rhwarherekera,
rhwarherekera bene werhu
5. Ubariki, Ubariki mali yetu ae aha,
x2 Guhinduke mubiri
gw’omwana wawe, mubiri
43

gw’omwana wawe aleluya Baba yangu ndiye mlimaji:


aha milele na milele
Aleluya aha ha aha x2 2. Kila tawi lililo ndani mwangu:
milele na milele
3. Eri rivai rhwarherekera, Ndalisafisha lizae zaidi:
rwarherekera bene wirhu milele na milele
aha,
Lihunduke muko gwage 3. Kila tawi lililo ndani mwangu:
mutagatifu muko gwage milele na milele
mutagatifu aleluya aha Lisilo zaa matunda nitalikata:
milele na milele
Aleluya aha ha aha x2
BYA BINO
4. Ngasi kantu rhubone eno
mwirhu, erhi emwawe R/ Byabino tata ebihembo,
Rhukarenzire aha n’ebyo byabino wangirire byoo (ka
byoshi warhuhire muhanyi byabino)
nirhu rhweshi rhukuluzire
ebyo aha rhuhune rhweshi aa 1. Twamakuherera tata aa
rhuhune rhweshi aha a aha. Omugati tata aa

5. Mulungano gwa bakristu 2. Twamakuherera tata aa


b’eno aaa Edivai tata aa
Gurhabal’abirhu balagilire 3. Twamakuherera tataa
aaa N’emitima tata aa
Orhuh’obuhashe nirhu 4. Twamakuherera tata aa
muhanyi aaa Amaghali tata aa
Rhuyigilize abarhakuyishi aaa
5. Twamakuherera tata aa
Obayigule amasu muhanyi Amulima tata aa
aaa UBARIKIWE
Bakumanye banakukolere: R/ Ubarikiwe ee Baba yote
kwinja muhanyi aha x5 tunayo ji mali yako, sadaka hii
JITOWENI SADAKA KWA BWANA tunakutolea ikuoendeze

R/ Jitoweni sadaka kwa \bwana 1. Tunapokea kwa wema wako


milele na milele(wandaugu) x2 mkate huu tunaokutolea uwe
kwetu sisi mkate wa uzima
(Kwani) kwani yeye bwana asifiwe bwana Mungu milele
aliye mwema mutumikiyeni x2 2. Tunapokeya kwa wema wako
divai hii tunayo kutolea iwe
1. Mimi ni mzabibu wa kweli: kwetu sisi kinywaji cha uzima
milele na milele asifiwe Bwana mungu milele.
44

3. Nararwaye irantabara:
……………...
BABA MUNGU POKEA Ngo ncumure irantabara:
BabaMungu we pokea x4 …………...

Baba wa huruma x4
Baba angaliya wana wako 4. Yarampaye ijambo ryayo:
wachanga ee x2 …………
Irampa ubuzima bwayo:
Wanakutolea x2 …………...

BABA WA MBINGUNI 5. Yanyeretse inzira nziza:


……………
R/ Baba wa mbinguni Baba wa Yam’imbwira ukuri kwayo:
rehema ww baba upokee …………
sadaka yetu x2
TU ES BENI
1. Tunakutolea mkate na divai
baba pokea R/ Tu es beni pour l’eternite,
2. ……………. Mimea yetu toi le seigneur qui nous donne
yote…………… ce pain et ce vin qui sont
3. ……………. Magumu yetu source de vie.
yetu………...
4. ……………. Furaha yetu 1. Nous presentons ce pain à ta
yetu……………. table par ton amour qu’il
devienne ton corps
5. ……………. Wazazi wetu
wote…………. 2. Nous presentons ce vin à ta
table par ton amour qu’il
devienne ton sang
EGO ME 3. Pour toi seigneur nous
chantons en freres fais qu’à
R/ Ego me, Ego me ce pain nous soyons tous
unis
Birakwiye ko nanje 4. Pour toi seigneur nous
nshikanira Iman yampaye chantons en freres fais qu’à
vyose. ce vin nous soyons tous unis
1. Yarandemye ingir’umuntu 5. C’est ton amour qui nous a
ndabishima: ndabishima donne, de tous nos travaux
Yarankunze iranzigama : voici notre fruit.
ndabishima

2. Yarampaye abavyeyi:
ndabishima BWANA MUNGU MALI YOTE NI
Yarampaye abagenzi: YAKO.
………….......
45

R/ Bwana Mungu mali yote ni 4. J’etais artisan et je n’etais


yako, we mwenyezi wa vyote, pas indigent, je ne songeais
twatolea sadaka kwako e qu’à mes outils, j’ai change
Mungu de vie pour retrouver la joie
de vivre :……………
1. Ibrahimu katowa mwanae
sadaka kwako ee Mungu
2. Abeli, katowa kondo nono NAZALI MWANA WA YO
kwako ee Mungu
3. Noe naye katowa sadaka safi 1. Nazaili mwana wa yo naye
kwako ee Mungu kopesa yo mabonza : nkolo
4. Yusufu Barnaba katolea tata yamba mabonza x2
shamba lake kwako ee
Mungu R/ Tata nzambe eee, tata
5. Mujane naye katolea senti yamba mabonza
mbili kwako ee Mungu Tata limbisa ngai : tata
6. Bwana Yesu katowa mwiliwe yamba , mabonza
sadaka kwako ee Mungu
Tata salisa ngai aa :
……………………
Ngayi mwana wayo :
TU N’AS VOULU NI SACRIFICE …………………..
R/Tu n’as voulu ni sacrifice, tu 2. Moteme mwanga mobebi
n’as voulu ni holocoste, mais nayeleli yo : tata yamba
tu m’as faconne un corps et je mabonza
dis seigneur me voici. 3. Batata ba biso banso
1. J’etais un pecheur quand le babonzeli yo :..
seigneur m’as appele, il m’a 4. Bamama ba biso banso
pris malgre mon peche, et babonzeli yo….
j’ai su ce jour que son amour 5. Bilenge ba biso banso
est sans frontiere : prends babonzeli yo:..
ma vie je suis à toi seigneur.
2. J’etais percepteur quand son RHULERHE ENTULO ZIRHU
regard m’a foudroye et j’ai
du changer de santier, j’ai R/Rhulerhe entulo zirhu
ferme la porte sans regerder rhweshi
en arriere :…………………….
3. J’etais commercant et Rhuharamye larha o
j’amassais beaucoup munyumpa yage
d’argents, je dormais en paix
sans souci, j’ai vendu mes Orhuyankirire haguma
biens, quite les miens pour le n’entulo zirhu
suivre :……… Ye muhanyi na larha wirhu
x2
46

1. Orhulolereze kurhenga sezi: R/Ninakuja kwako na maisha yangu


namwirhu navyote ni navyo uvipokee x2
Rhunali eburhambi bwawe:
……… 1. Maisha yangu: Baba
uyipokee
Nti rhukuyereke obuzigire Uzima wangu:………………
bwirhu:……
Furaha yangu:………………..
2. Rhukuhunyir’obwonjo
yagirwa:……… Magumu yangu:………………
Orhuhe n’irhu obushu bunji: 2. Wazazi wangu:………………..
………….
Wandugu wote:……………….
Rhukusereko bwenene ensiku
Watoto wote:…………………
zoshi:…
Vijana wote:………………….
3. Rhukulagirire ko bwenene:
…………. 3. Mapadri wote:……………......
Orhucize n’obwonjo bwawe: Watawa wote:………………..
………..
Ma frera wote:……………….
Yagirwa rharhuyirag’omu
mutula gwawe Ma bikira wote:………………

4. Kristu nawirhu 4. Matoleo haya:……………….


yen’arhulaganyize:… Mukate huu:…………………
Ok’abacigu shire haguma
banga:…… Divai hii:……………………

Bakahuna nenci bana Mahitaji yangu:……………


babalirwa:…… 5. Eklezia yetu:…………………
Diosezi yetu:…………………

5. Co cirhumire rwa Parokia yetu:…………………


kurherekera:……… Shirika zote:…………………
Ogu mugati n’eri rivayi:
………………
Amasu n’emirhima SHOGOMANGA N’ISHIKANWA
bej’emund’oli:…
R/ Shogomanga n’ishikanwa
turihereze Imana niyo itanga
vyose.
1. Umukate n’umuvinyo
tubihereze imana:
NINAKUJA KWAKO shogomanga n’ishikanwa,
47

Abavyeyi n’ibibondo Na furaha yetu:…..


tubahereze Imana: niyitanga
vyose Na magumu yetu:…

2. Ababanyi n’abagenzi Wewe muweza vyote


………………….
Abakunzi n’abatwanka:
……………….. KRISTU NYAKASANE
3. Ugwanda R/ Kristu nyakasane ahaa,
n’abanyagwanda…………… mudahwa mukulu lwoshi ahee
Abatware n’abatwarwa: ahaa aka melkisedeki, ahee
………………. arhul’omugati ni rivayi arhula
x3 omugati ni rivayi.
4. Abiwacu mbe
n’ivy’iwacu…………. 1. Nyakasane ajiraho abwora na
Abarwaye n’abagowe: wabo ahaa,
………………… Akanwa mputamale kulyo
kwani ahaa
uryango w’abakristu:
……………….. Ntangi yandaza
abashombanyi bawe ahaa
Eka twese turi ngaha:
magulu gawe arhula x3
………………… omugati ni rivayi
UPOKEE BABA 2. Nyakasane ayankitumu lyo
R/ Baba upokee, sadaka bwami bwage
Alirhogeza omusioni mpu
1. Twatolea kwako ee sadaka ly’oyime ahaa
Mkate na divai:………….
Lyo uhime omu garhi
Baba zipokee:………… kabashombanyi bawe.
Ni matunda yetu:…….. 3. Kurhenga hakuburhwa
kwawe olino bukulu
2. Twatolea kwako:…… Omubulangashane no mu
Mapadiri wote:…….. butagatifu ahaa
Mabikira mote:…...... Nyene nakuburhaga embere
Na Mafrera wote:….. zomu cira cira ngalume x2

3. Pokea sadaka:……....
Na maombi yetu:….. UTUKUZWE EE BABA
Na Eklezi yetu:……. 1. Utukuzwe ewe baba Mungu
Na Parokia yetu:….. utukuzwe aleluya
Kwani Yesu mufufuka
4. Pokea sadaka:……. ametualika:…………..
48

2. Toutes nos richesses


provinent du seigneur,
marchons vers lui mes
frères : pour lui confier nos
trésors en reconnaissance de
R/ Utukuzwe, utukuzwe baba ses merveilles offrons avec
Mungu wa ulimwengu:…. joie argents et produits.

2. Tumepokeya mkate mazao 3. Toutes nos richesses


ya mashamba:…….. proviennent du seigneu,
Ndiyo alama kwetu ya wema marchons vers lui mes frères,
wako mkuu:……. pour lui confier notre vie en
reconnaissance de sa
3. Ni tunda la bidii ya mkono na puissance rendons au
ya moyo:……….. seigneur la gloire et
(U)jaliye iwe kwetu chakula l’honneur.
cha uzima :……….
4. Toutes nos richesses
4. Zawadi ya divai kutoka proviennent du siegneur
mizabibu :… marchons vers lui mes frères
Ndiyo alama kwetu ya wema pour lui confier nos familles
wako mkuu :…… en reconnaissance de sa
grandeur il est généreux
5. Ni tunda la bidii ya mkono plein de bénédictions
na ya moyo:………….
(U)jalie iwe kwetu kinywaji
chake roho :…
LES GRAINS DE BLE MOULUS
ENSEMBLE
COMMENT TE RENDRAI-JE 1. Les grains de blé moulus
GRACE
ensembles sont devenus un
R/ Comment te rendrai-je grâce meme pain :
au seigneur, pour les biens que
C’est Jésus Christ qui nous
tu m’as fait, je m’avancerai ressemble, Vivante hostie
vers ton Autel, en portant les aux mille grains.
merveilles de ton amour.
Les grains de blé moulus
1. Toutes nos richesses ensembles sont devenus un
proviennent du seigneur meme pain.
marchons vers lui mes
frères : pour lui offrir nos
présents en reconnaissance
de son amour, donnons au 2. Recois, O Père cette Hostie
seigneur de ce que nous Que nous t’offrons pour les
avons. péchés :
49

Fais de ce pain L’Echaristie le Na Divai tunayo tolea,


corps du Christ ressuscité igeuzwe Damu yake Kristu.
Recois, O Père cette Hostie 4. Twaleta mazao ya
Que nous t’offrons pour les mashamba, pia matunda ya
péchés kazi zetu;
3. Tous les raisins pressés Twavileta mbele yako Baba
ensembles sont devenus un vikupendeze uvibariki.
même vin :
TANGA ISHIKANWA
C’est Jésus-Christ qui nous
rassemble, Vivante grappe R/Tang’ishikanwa dutange
aux mille grains. amaturo yacu, tuyashir’Imana
yo itanga vyose, dukenguruke
Tous les raisins presses mu vyo yaduhaye, twizere yuko
ensembles sont devenus un izotwongera.
même.
1. Umukate iyo mvyeyi
4. Recois, O Père, en ce Calice, yaduhaye birakwiye yuko
le vin crée pour notre joie : tuwuyihereza

Qu’il soit le sang du sacrifice, 2. Umuvunyu iyo mvyeyi


Vrai sacrement du Christ en yaduhaye birakwiye yuko
Croix ! tuwuyihereza

Recois, O Père, en ce Calice, 3. Abavyeyi iyo Mana yaduhaye


le vin crée pour notre joie tubayiture ibahezagire.

EE NDUGU TOA 4. Abana iyo mvyeyi yaduhaye


tubayishire ibahezagire.
1. Una nini cha kumpa Bwana ?
Juwa kwamba yote mali yake
Usifanye choyo mbele yake,
umrudishie shukwani

R/ Toa ndugu toa leta leta


moyo wako kwa Bwana, toa toa
pia mazao yako : utatuzwa
naye.
2. Sadaka impendezayo Bwana,
siyanyama wakuteketezwa

Ni sadaka ya moyo mkunjufu,


unaojaa unyenyekevu
3. Mkate huu tunaotolea
ugeuzwe mwili wake Kristu,
50

SANCTUS
NZAMBE AZALI MOSANTU
R1/ Nzambe azali mosantu nzambe azali
mosantu, solo nzambe azali mosantu.
1. Likolo na nse ee bitondi na nkembo
naye, R2
2. Asanzolama mpe oyo akiti na
nkombo ya yawe, R2
R2/ (Hozana) Hozana, Hozana, Hozana oh
likolo x2
MWIMANA
R/ Mwimana nyakasane larha wirhu
1. Empingu, empingu n’igulu n’igulu
biyujwire irenge lyage.
2. Aganze, aganze oyishire, oyishire
okw’izino lya larha wirhu.

MTAKATIFU
51

R/ Mtakatifu x3 Bwana Mungu wa


ulimwengu.
1. Mbingu na dunia zimejaa sifa yako.
2. Mbarikiwa anayekuja kwa jina la
Bwana
1-2 : Hozana x3 juu mbinguni.

WEWE PEKE YAKO MTAKATIFU


R/ Wewe peke yako mtakatifu
eyo, jina lako ni kubwa ee
Baba, jina la sifa ee ee Baba ee
x2
ANAMNESE
Base: Wa mbinguni wanaimba: ee
Baba ee - Hakuna Mungu kama wewe x4
Mbarikiwa anayekuja: - Mwili huu ni wangu Kamateni mule
………………….. mwili huu ni chakula cha milele :
Kwa jina la Bwana: Damu hii ni yangu kamateni
…………………………. munywe Damu hii ni kinywaji cha
milele.
Hozana juu mbinguni:
…………………….. Tutangaze fumbo la imani Kristu
amekufa, amefufuka atarudi tena
Bwana.
- Voici le Coprs du Christ : Corps
livre pour nous.
Voici le Sang du Christ : Sang
verse pour nous
Il est grand le mistere de la foi :
nous proclamons ta mors seigneur
Jesus, nous celebrons ta resurrection,
nous attendons ta venue dans la
gloire
52

- Mkate huu twa tolea ugeuke mwili


wa mwanako….
- Oneni wote, oneni wote mwili
huu….

PATER
TUMWIMBIYE BABA YETU
R/Tumwimbiye Baba yetu, Baba
yetu ee wa mbinguni jina lako
ee, ltukuzwe ee yo baba yoyo.
1. Jina lako litukuzwe ufalme
wako uje kwetu mapenzi
yako yafanyiwe duniani kama
vile mbinguni.

2. Utupe leo chakula chetu


utumehe makosa yetu kama
tunavyo wasamehe wale
walio tukosea.

3. Usituace kushindwa
vishawishini utuopowe
maovuni milele na milele
amina
MITUME WALIULIZA YESU

1. Mitume waluliza Yesu tuseme


nini tumwombe Baba Mungu
53

R/Tumwombe namna gani EWE BABA WA MBINGUNI


Baba, namna gani Baba
yetu wa mbinguni. R/Ewe Baba wa Mbinguni Jina
lako kubwa lisifiwe, Ewe Baba
2. Baba Yetu wa mbinguni jina wa mbinguni jina lako kubwa
lako lisifiwe popote lisifiwe.
3. Utakayo yatendeke duniani 1. Ufalme wako ufike kwetu
kama vile mbinguni mapenzi yako baba
yafanyiwe ee Baba sikiya
4. Utupatiye chakula chetu wanao.
chakula chetu cha siku zote
2. Duniani kama mbinguni
5. Utusamehe makosa Yesu utupe leo chakula chetu
kama tunavyo samehe chakula chetu cha kila siku.
wenzetu
3. Utusamehe makosa yestu
6. Utuepuche na vishawishi tunavyo wasamehe walio
napia utuopowe maovuni tukosea mapendo yako
BABA YETU WA MBINGUNI yashinda mabaya yote.
(NEKPALA ) MI 4. Usituache kushindwashindwa
kushindwashindwa na
R/ Baba yetu wa mbinguni, jina
lako litukuzwe x2 vishawishi lakini utuopowe
katika maovu.
1. Ufalwe wako uje: Baba ee
BABA YETU EE BABA YETU EE
Baba
Mapenzi yafanyiwe: R/Baba yetu ee Baba yetu ee
………………. x2
1. Baba yetu wa mbinguni ii
Duniani mbinguni:
…………………. Jina lako lisifiwe ee
2. Chakula chetu tupe: Ufalmwe wako uje ee
………………
Mapenzi yako yafanyiwe ee
Makosa yetu samehe:
………….. 2. Utupe chakula chetu uu
Kama tunavyo samehe:……… Chakula cha kila siku uu

3. Usituache Baba: Utusamehe makosa aa


…………………..
Kama tunavyo wasamehe ee
Vishawishini Baba:
……………… 3. Usituache kuchindwa aa

Tuopowe maovuni:……………. Kushindwa na vishawishi ee


54

Lakini utuopoe ee 5. Et ne nous soumets pas à la


tentation mais délivres-nous
Leo kesho na milele ee. du mal.
LARHA MWINJA

R/ Larha mwinja oli omumpingu


(larha) x2 Izino lyawe likuzibwe
hoshi (larha) x2.

1. Obwami bwawe buyishage


oku walonza kube en’igulu
nk’omumpingu (larha)
2. Ene na ngasi lusiku urhuhe
eci rhwalya inarhubabalirhe
ebyaha birhu (larha)

3. Oku nirhu rhubabalirha ngasi


balya boshi barhujirir’amabi
(larha)

4. Orhana rhulekaga
rwhahirim’omu mabi ci
orhulikize omu kubi amen
(larha)

NOTRE PERE PLEIN DE BONTE.

R/ Notre Père plein de bonté et


d’amour, nous te prions. AGNUS
DEI
1. Notre Père qui es aux cieux
que ton nom soit sanctifié
nous te prions.
2. Que ton règne vienne, que ta MWAMEME YA NZAMBI
volonté soit faite sur la terre
comme au ciel. Bass: Ee Mwa meme ya nzambi
yeye
3. Donnes-nous aujourd’hui,
notre pain de ce jour, nous te Alto:
prions. ……………………………………………

4. Pardonne-nous nos offenses,
comme nous pardonnons Tenor:
aussi à ceux qui nous …………………………………………..
ont offensés.
55

Soprano: Mwa meme ya NTAMA W’IMANA


nzambi iii, ya yi kyekatula
masumu - Ntama w’Imana ukiza ibyaha
by’abantu tubabarire
Tuila beto nkenda
- Ntama w’Imana ukiza ibyaha
Pesa beto ngenda by’abantu tubabarire
Kimeme, kimeme, kimeme: - Ntama w’Imana ukiza ukiza
ee kimeme, ee kimeme ee ibyaha by’abantu uduhe
kimeme. amahoro.

MWANA KONDOO WA MUNGU AGNEAU DE DIEU


- Mwana kondoo wa mungu - Agneau de Dieu qui enlève
(x2) utuhurumie; huruma nos péchés Oh prend pitié de
(x7) utuhurumie. nous, oh prend pitié de nous.
- Mwana kondoo wa mungu - Agneau de Dieu qui enlève
(x2) utuhurumie; huruma nos péchés Oh prend pitié de
(x7) utuhurumie. nous, oh prend pitié de nous.
- Mwana kondoo wa mungu - Agneau de Dieu qui enlève
(x2) utuhurumie; amani (x7) nos péchés Oh prend pitié de
utupe amani. nous, oh donne nous la paix.

HURUMA YAKO EE BWANA

- Huruma yako ee bwana ni


kubwa juu yetu ewe mwana
kondoo (x2). Ae mwana
kondoo uondowaye zambi za
Dunia (ae mwana kondoo)
twaomba utuhurumie.
- Huruma yako ee bwana ni
kubwa juu yetu ewe mwana
kondoo (x2). Ae mwana
kondoo uondowaye zambi za
Dunia (ae mwana kondoo)
twaomba utuhurumie.
COMMUNI
- Amani yako ee bwana
itueneye sote ewe mwana
ON
kondoo (x2). Ae mwana
kondoo uondowaye zambi za OH TWENDE KWA BWANA
Dunia (ae mwana kondoo)
twaomba utupe amani.
56

R/Oh twende kwa Bwana 2. Bwana Yesu pale mezani


amatualika Karamuni mwa akatwaa kikombe.
mwana kondoo tumkaribie
(Akawapa wamitume
1. Na Mwili wa Bwana Yesu wakisema hii ni damu yangu
umejenga hekalu letu kunyweni)x2
tumkaribie
3. Bwana Yesu kiisha karamu
2. Na Damu ya Bwana Yesu akasema na mitume.
imejenga hekalu letu
tumkaribie (Na nyinyi mufanye hivi kwa
kunikumbuka)x2
3. Sisi wote twakaribishwa
mezani mwa Mungu baba 4. Twapokea mwili moja kwa
tumkaribie imani yetu moja.

ATUALIKA MEZANI PAKE (Sasa yuko mwili moja


watoto wa Mungu)x2
R/ Atualika mezani pake
twende tukale chakula bora x2 BWANA AMEWALISHA NGANO

1. Bwana Yesu atuita kwenye R/Bwana amewalisha ngani


karamu kubwa tukampokee bora Aleluya, na
amewashibisha na asali ya
2. Mwili wake bwana Yesu mwambani.
unaleta uzima mwilini mwetu
1. Mshangilieni Mungu aliye
3. Damu Yake Bwana Yesu ni nguvu yetu x2
kinywaji chetu cha wokovu
2. Mpigieni shangwe Mungu wa
4. Tunapo sogeya meza Yakobo x2
twaungana na bwana milele
yote 3. Mpazeni saburi na mpigeni
ngoma x2
5. Usiope ee ndugu kusogea
mezani ukashibishwe TUMEALIKWA NA BWANA

JONGEENI KWA MEZA YAKE R/Tumealikwa na Bwana aa


BWANA Mezani mwake ee x2

R/ Jongeeni kwa meza yake 1. Bwana Yesu asema mimi niko


Bwana x2 Jongeeni wote kwa chakula
meza ya Bwana jongeeni.
2. Bwana Yesu asema mimi niko
1. Bwana Yesu pale mezani kinywaji
akatwaa mukate. 3. Bwana Yesu asema mimi niko
(Akawapa wamitume mwangaza
akisema, huu ni mwili wangu
kuleni)x2
57

4. Bwana Yesu asema mimi niko 2. Bisengo, ambiance ngai


njia nalingite nzambe wanga,
naboi masumu ya mokili sepo
5. Bwana Yesu asema mimi niko nakolanda yo oh nzambe
mapendo wanga.
6. Bwana Yesu asema mimi niko
ukweli. JONGEENI JONGEENI.

R/Jongeeni Jongeeni jongee x2


BLE QUI MURIRA SUR LE Kula Mwili wa Bwana Yesu
MONDE. Kristu
1. Blé qui mûrira sur cette Na Kunywa kikombe cha
table, blé qui germera sur wokovu
notre terre, Blé qui mûrira
sur ta parole, blé qui germera Vile alivyo sema ndiyo uzima
sur notre monde. wa milele.
2. Blé qui mûrira dans nos
ténèbres, blé qui germera sur
la lumière, Blé qui mûrira 1. Mwili wake Yesu Kristu ni
parmi les hommes, blé qui
chakula cha uzima: Jongeeni
germera dans nos demeures. x2 kwa meza yake Bwana
3. Blé qui mûrira sur ta parole, 2. Damu yake Yesu Kristu ni
blé qui germera sur notre kinywa ji cha wokovu:
doute, Blé qui mûrira au tour Jongeeni…
de l’homme, blé qui germera 3. Anaye kula mlate huu ni
sur ton Eglise. rafiki ya Bwana Yesu:
R/ Seigneur ta parole nous Jongeeni…
uni au tour de cette table et 4. Anaye kunywa damu hii ni
tu redis à table prête (x2) rafiki ya Bwana Yesu:
Jongeeni…

NZAMBE WANGA
MKARIBIE MEZANI.
R/ Nzambe wangaa, nakelami
nayo nzambee, na bobeto R/Mkaribie mezani mkaribie,
bwayo nzambee, nzambe kula mwili wake Yesu na damu
wangaa (x2). yake mkaribie.

1. Yango ya nini bakopekisa 1. Wa Baba wote na wa Mama,


ngai na nzambe wanga, mkaribie, kula mwili wake
botika ngayi na landa nzela Yesu na Damu yake mkaribie.
oyo napolii, nzambe wangaa 2. Wa Kaka wote na wa Dada
(x2) mkaribie…
3. Wijana wote na Wazee
mkaribie…
58

4. Waimbaji wote na watoto 4. Bwana Yesu atualika kwa


mkaribie… chakula cha uzima
5. Wa Legio wote na Wajane 5. Alaye mwili na kunywa damu
mkaribie… atapata uzima mpya
6. Tujongee na moyo safi
tupokee mwili na damu.

CHAKULA KITAMUEE
COMME LANGUIT UNE BICHE
Utangulizi: Chakula kitamuee
x4 R/Comme languit une biche,
après l’eau vive ainsi mon ame
R/ Aksanti kwa Mungu mfalme te cherche mon Dieu, mon ame
aniita mezani pa takatifu neno a soif de toi.
lililokuwa kwani kristu ni jmbo
kubwa. 1. Mon ame a soif du Dieu
vivant, quand irai-je te voir
1. Mkate tunakula twapewa seigneur te contempler.
hatuuzee 2. A chaqu’instant je cris vers
2. Divai tuna kunywa twapewa toi et mon ame gemit pour
hatuuzee toit le Dieu vivant
3. wa Baba njooni wote 3. je me souviens de ton salut
tumpokee Bwana Yesu x2 et chaqu’aube m’inspire un
4. Wa mama njooni wote… chant d’espoir
5. Wa Kaka njooni wote… 4. Espere en Dieu mon ame et
6. Wa Dada njooni wote… publie les louanges de ton
7. Wa Zee njooni wote… seigneur.
5. M’oubliras-tu seigneur mon
EE BWANA SISTAHILI Dieu, quand j’aurai à paraitre
devant la mort
R/Ee Bwana sistahili sistahili 6. Honneur au Pere, gloire au
Bwana uje moyoni mwangu Fils et louange à l’Esprtit
(lakini) sema neno moja sema d’amour à tout jamais.
neno (mojatu) nami nitajongea
mbele kwa Karamu x2
YESU HAPA ALTARENI
1. Mwili wako chakula bora cha
uzima wa milele R/Yesu hapa altareni nakusifu
2. Damu yake kinywaji bora cha moyoni ninapo kupokea
uzima wa milele najaliwa furaha, Yesu hapa
3. Njooni wote mezani pake ye altareni nakusifu moyoni.
mwenyewe atualika
59

1. Yesu kwa mwili wako uzima mupya na mwili na


unanifanya wako, ukinipa Roho.
uzima wako babako mwema
Yesu kwa mwili wako 4. Hivi akafanya karamu ya
unanifanya wako. mwisho, akatwaha mkate na
2. Kwani ulitupenda ulituvuta divai alama ya mwili na
kwanda. Kwa ufalme wako
damu yake kawapa mitume.
juu, tufurahi kule juu, kwani
ulitupenda unatuvuta NITAJONGEYA MBELE YA MEZA
kwenda.
3. Nikila wako mwili napata R/ Nitajongeya mbele ya meza
nguvu kweli, (u) nipe wako nipokee. Roho yangu YEsu
mwangaza nao watu
inakutamani, ukae ndani yangu
waangaze, nikila wako mwili
unanivuta kwenda. nami ndani yako; nipate uzima
4. Tumtukuze Babetu, Mwana wa milele.
Roho mtakatifu mwanzo sasa
daima, watawale milele, 1. Karibu Yesu wangu shinda na
tumtukuze Babetu, Mwana mi daima moyoni mwangu,
Roho mtakatifu. uwe na mimi siku zote za
maisha yangu.

KARAMU YA BWANA 2. Karibu Yesu wangu kitulizo


cha njaa moyoni mwangu
R/ Karamu ya Bwana uwe na mimi siku zote za
inatungoja sisi wote wana maisha yangu.
tulio batizwa, tukila
tukinywa mwili na damu uu 3. Karinu Yesu kitulizo cya kiu
uzima ni wetu
moyoni mwangu uwe na
1. Bwana Yesu Kristu aliwalisha
mimi siku zote za maisha
vipofu viguru na viziwi wote yangu.
wakapata uzima mupya, TU SAIS BIEN
uzima ni wetu.
R/Tu sais bien que mon
2. Bwana Yesu Kristu aliwalisha amour, que mon amour est
mitume mukate na Divayi, fragile, tiens-moi la mais,
wote wakapata uzima mupya tiens-moi la main relève
uzima wa kweli. moi.
3. Kwa mifano mingi bwana 1. Tu es à l’oevre dans nos vie
Yesu alionyesha kama ana depuis l’aurore, tu veux
uwezo wa kuwapa watu planter dans nos déserts la
sémance de vie.
60

2. Tu nous consoles chaque jour 4. Tucheze na Furaha Bwana,


à chaque étape car nous ne Tumwimbiye Mungu wetu
sommes rien sans toi Bwana
espérance de vie. SISI WOTE TUMSIFU BWANA
3. Tu nous partage ton amour R/ Sisi wote tumsifu Bwana,
par ta présence, mais nous bwana wetu kwa maajabu yake
ne vivons pas encore ta aliyofanya Bwana asifiwe.
présence ene nos cœurs. 1. Kugeuzwa kwa maji kuwa
divai harusini pa kana Bwana
4. Tu nous invite à partager ta
asifiwe.
sainte table, mais nous avons
besoin de pain et de ta 2. Kushibishwa kwa watu elfu
vérité. tano ngambo ya bahari
Bwana asifiwe.
5. Loué sois-tu o notre Dieu
3. Kushibishwa kwa watu elfu
seigneur de gloire, qui reigne
inne pale mulimani Bwana
sur la création pour les asifiwe.
siècles sans fin.
4. Kufufuka kwa Lazaro na kwa
yule binti wa Yairo Bwana
asifiwe.

ACTION DE
GRACE
MEMA HAYO YOTE

R/ Mema hayo yote Bwana RHWE NGULA GULA


nitakurudishia nini Bwana x2 R/ Rhwe ngula gula rhuyimuke
1. Mkate tulio kula Bwana , rhusame rhunavugelarha
divai tuliyo kunywa Bwana omunkwa, rhwama yigurha
rhunavuge larha omunkwa,
2. Wokovu tulio pata Bwana, rhuhiny’amagala rhunavuge
kututumia mwanao Bwana larha omunkwa.

3. Tupendane kati Yetu Bwana, 1. Rhuvuz’engoma


tukutanane mbinguni Bwana rhuvuzeminiho
rhuvuz’enanga rhucishinge
x2
61

2. Rhudund’obula 1. Enyi mbingu za Bwana


rhudund’ebirhugo mtukuzeni, enyi maji ya anga
rhudund’emuhwe rucishinge mtukuzeni, Jua na mwezi
mtukuzeni bwana enyi nyota
3. Rhusam’entole, rhusame za mbingu mtukuzeni. (Kwani
mahwinja rhusame njoo Bwana amenitendea makuu )
rhucishinge x2
4. Rhulek’endalwe 2. Usiku na mchana mtukuzeni
rhulek’enshombo, enyi mwanga na giza
rhulek’enongwe rhucishinge. mtukuzeni Dunia yote
RENDONS GRACE AU SEIGNEUR tukuzeni bwana milima na
mabonde mtukuzeni kwani
R/ Rendons grace au Seigneur bwana amenitendea makuu.
car il est bon et son amour n’a
pas de fin. 3. Chemchem bahari mito
mtukuzeni ndege zote za
1. Rendons grace au Seigneur, anga mtukuzeni vitembeavyo
oh pour le pain et le vin pour majini mtukuzeni umeme na
la parole de vie merci vilima mtukuzeni, kwani
seigneur bwana amenitendea makuu

2. Pour le ciel et la terre, oh, les 4. Wanyama wa Porini na


astres, les mers, nos cœurs mifugo majani yote na miti
clament sans fin merci mtukuzeni enyi viumbe vyote
seigneur. mtukuzeni malaika wa
bwana, kwani bwana
3. Que nos cœurs tous joyeux, amenitendea makuu.
tout ce qui te chante
toujours merci seigneur. Sur l’Eglise de ce temps
alleluia que l’Esprit vient
purifier.

YE IYE YE
1. Ye iye ye dunia nzima
shukuri bwana wetu wa
mbingu ye iye ye ye x2
R/ Baba we usifiwe, Baba
we utukuzwe

MBINGU NA DUNIA Baba we upo mwema


kweli, sababu ya huruma
R/ Mbingu na Dunia mwimbieni yako iyoo
Mungu nanyi mikono ya watu
mpigieni aksanti ; kwani Bwana
amanitendea makubwa.
62

2. Aligeuza maji kuwa nchi B- Ndege miti nyama


kavu, watu walivuka mto kwa binadamu wote tumsifu
miguu x2
Kwa hiyo twa taka furahiya Tenor- Wote tumwimbie
bwana, yeye aliye mkuu sana bwana tumpigie aksanti
iyo tumshangilie bwana
Mungu ……
3. Enyi mataifa sifuni mungu
wetu, zitangazeni habari za 3. Bwana ni mwenyi nguvu na
sifa yake uwezo wote bwana ni
mwema sana bwana amejaa
Amezipa roho zetu uzima huruma
wala hakuacha miguu yetu
itereze iyo B- Tumpigie x2 Bwana x2
4. Nitaingiya nyumbani mwake Tenor- Tumpigie Bwana
bwana, na sadaka yangu ya aksanti aksanti
kuteketezwa
2ème Voix: Enyi Viumbe vyote
Nitatimiza naziri zangu aksanti sana
kwake, nilizotoa kwa midomo
yangu iyo Wa Baba wa Mama
…………………

Wa Kaka w
NITAMWIMBIA BWANA Dada………………………
R/ Nitamwimbia bwana Mungu Tumpigiye Bwana
wa huruma …………………...

Siku zote na milele Mungu Wazee na


wa huruma Bwana x2 Watoto……………………
Aksanti sana ee Bwana kwa Tumpigie Bwana
uwema wako ……………………..

1. Nafurahi sana Mungu wangu TUNAKUSHUKURU BWANA


umenitendea makuu
R/ Tunakushukuru Bwana
Moyo wangu pia na mwili mbinguni na Duniani kote
wangu vyote vya kushangilia tunasifu jina lako ee Bwana ee
Bwana x2.
2. 2ème Voix: Watu wote wa
dunia waimba sifa yako 1. Kwa mema uliyo tutendea:
tunasifu jina lako
Wamalaika na watakatifu
wote wakuabudu bwana Mbinguni na Duniani kote:...
63

2. Kwa vyote ulivyo tuambia: 5. Akampa chakula kila kiumbe:


…………… ………
Wanyama wa pori na vifungo: Mshukuruni Mungu wa
……… mbinguni:..
3. Kwa vyote tunavyo vitawala: NIMEONJA PENDO LAKO
………
1. Nimeonja pendo lako
Vionekanavyon kwetu sisi:… nimejuwa yu mwema:
nitakushukuru nitawainuwa
4. Shukrani na shangwe kwako wote wakusifu wewe,
Bwana:…. Nitawaongoza vema waimbe
kwa furaha:
Tusifu wote milele amen:……
………………………………
R/ Ukarimu wako Bwana
na huruma yako wewe,
msamaha wako Bwana na
MSHUKURUNI MUNGU upole wako wewe
umenitendeya wema
R/Mshukuruni Mungu (Kweli) usiyo pimika:
kwa sababu ndiye mwema nitakushukuru
wema wake ni wamilele, wema nitawainuwa wote
wake ni wamilele.
wakusifu wewe.
1. Mushukuruni Mungu wa 2. Kina mama simameni mpige
miungu: wema wake ni wa vigelegele:………………
milele
Na kina Baba nyanyuka
Mshukuruni Bwana wa mukapige magoti :….
mabwana:…..
3. Vitambaa mikononi
2. Alifanya mambo ya ajabu: vipeperushwe juu:…..
………….
Na vichwa viyumbeyumbe
Amefanya mbingu kwa kwa mwendo wa kuringa:
hekima:……… …………
3. Aliweka
nchi juu ya maji: 4. Nitakushukuru
mimi na
……………… nyumba yangu yote:
Alifanya mianga mikubwa: ……………………..
………… Nitayatangaza haya maisha
4. Nalo
jua litawale mchana: yangu yote:
…………… …………………………………………

Mwezi nyota zitawale usiku: MSHUKURUNI BWANA (ZAB :


……… 117)
64

R/ Mshukuruni Bwana kwani


ndiye mwema kwani wema
wake ni wa milele. Botika ngai nayembela
Nzambe na nga natondoe x2
1. Nyumba ya Israeli iseme
kweli wema wake ndiye wa Mpote, mpote bolamu bwaye boza
milele,Wenye kumwabudu na suka te x2
Bwana waseme , kweli wema Abateli nga…
wake ndiye wa milele.
2. Katika Mashaka nilimwomba Abikisi nga…
Bwana, Bwana akanisikiliza
akanipa tulizo Bwana ni Mundeke nyimpire Larha
pamoja nami siogopi kitu wani muvug’omunkwa x2
mwanadamu aweza kutenda
nini ? Bulya, buly’aminja gage gali
n’ensiku n’amango x2
3. Ni bora kumkimbiliya bwana
kuliko kumwaminia Amanyunva…
mwanadamu ni bora
kumkimbilia Bwana Kuliko Ansimire…
Kuaminia wakuu.
Bashu bose tumwimbile
ombe, tumulebule ombe wetu x2
NITAMSHUKURU BWANA
Alumbu ewe, mwene mponga,
Nitamshukuru Bwana, mwene mponga, mwene
nitamwimbia Bwana, nitamchezea mponga ,mwene mponga, mponga.
bwana, ee Bwana x2
Tutamshukuru kwani yeye ni
Muniiache nimwimbie Bwana Masiya, kwani yey ni mwokozi x2.
wangu nimshukuru x2 Amen x16 alleluya.

Kwani, Kwani wema wake ndio wa


milele x2
Ameniponya….
ASIFIWE DUNIANI KOTE
Amenipenda…
1. Asifiwe Duniani kote na
Mundeke nimwimbile leza mbinguni asifiwe.
wani nimukoze x2 R/ Furaha kwake Bwana
furaha kwake yeye, furaha
Lumbu, lumbu bushoga bwage ye ye ye ye ye ye, furaha ye
busine bikisa x2 ye ye furaha. Shangilieni
Wanziga… Bwana shangilieni ye ye
shangili yeye ye ye ye ye
Wanyunga shangili ye ye ye ye
shangilie.
65

2. Aliumba mbingu na dunia, R/ Nikitazama mbingu na dunia


vitu vyoye ni yeye. kazi ya mikono yako ee Bwana
3. Ndege zote zilizo porini na ninakushukuru.
samaki majini.
4. Vitu vyote vinavyoonekana, 1. Mbingu na Dunia na vyote
na visivyo onekana. vilivyomo kwa uwezo wako ni
wewe muumbaji. Mianga hii
mikubwa juwa mwezi na
MAISHA YANGU nyota, kwa uwezo wako ni
wewe muumbaji.
R/Maisha yangu Yesu 2. Nvua na juwa, joto na
nitakufwatae, mahali pote baridi…
nitakufwatae mahali pote. Mito na bahari milima na
1. Muniache nifwate njia ya mabonde…
Bwana. 3. Miti na matunda na mimea
2. Muniache nifwate njia na yote…
chagua. Mito na Bahari milima na
3. Wenzangu watanicheka mabonde…
nitakufwata.
4. Mutu kwa hekima aijenge
dunia…
NI WOWE MUGENGA. Atawale dunia na vyote
R/Ni wowe mugenga wanjye vilivyomo…
Yezu, wandindiye ubuzima nza TUNAKUSHUKURU EE BWANA
gusingiza.
R/ Tunakushukuru ee bwana,
1. Wabanye nanjye, mu ihe kwa kuwa umetenda mema
byiza no mubokomeye aksanti ee bwana twashukuru
unyitaho Yezu. ee bwana.
2. Usingizwe Yezu uririmbwe na
bose n’abatakuzi 1. Kwa mwili wako: aksanti
zabeshwaho nawe bwana
3. Urukundo rwawe Kwa Damu yako:…
runter’imbaraga
rukansimbagiza nkaririmba 2. Kwa uzima wetu …
alleluya Kwa mapendo yetu…
4. Nfasha gukund’abandi nkuko 3. Kwa maisha yetu…
wankunze, bose bakumenye Kwa furah yetu…
ko ari wowe mugenga.
5. Kub’uyu munsi nkiri muzima 4. Kwa wazazi wetu:…
s’uko nd’intungane, Kwa mema yako…
ahubw’unfitiy’umugambi.
5. Kwa taifa letu…
Kwa Eklezia yetu…
NIKITAZAMA
TUNAKUSHUKURU BWANA
66

R/Tunakushukuru Bwana, 3. Jina la Bwana litukuzwe asubui hata


mbinguni na Duniani kote, jioni.
tunasifu jina lako x2
4. Nani juu sawa na Bwana anaye kuwa
1. Kwa mema uliyo tutendea, mbinguni
tunasifu jina lako
Mbinguni na Duniani Kote… 5. Bwana Juu ya mataifa utukufu wake
mbingu.
2. Kwa vyote ulivyo tuambia…
Wanyama wa pori na 6. Asifiwe Mungu baba Bwana nasana
mifugo… mufarij

3. Kwa vyote tunavyo


vitawala… TWIMBE TUMSHUKURU BWANA
Vionekanavyo kwetu sisi…
R/Twimbe tumshukuru Bwana aleluya
4. Shukwani na shangwe kwako tumwimbie kwa sababau ndiye mwema
bwana… aleluya wema wake ni wamilele.
Tusifu wote milele amen…
1. Aliye umba mbingu na Dunia:
tumshukueru.
NI WAKATI WA SISI Vitu vyote vimeumbwa naye:…..
R/ Ni wakati wa sisi wakristu Shukuruni Mungu wa miungu:….
uu, twimbwe wote shangwe
owe, twimbe wote shangwe 2. Ni piya Yesu kristu mkombozi:…
owe.
Alikufa kwa ajili yetu :…..
1. Soprano simameni wote aa
tunasimama Akabeba zambi zetu zote :….
2. Alto………………………………… 3. Na piya Mungu Roho mtakatifu :..

3. Tenor……………………………… Yeye aliye msaidizi wetu :….
…..
4. Wa Yeye mwanga wa imani yetu :…
Kristu……………………………... 4. Mwimbieni Mungu enyi viumbe
vyote :….

BWANA WETU ASIFIWE. Ametenda mambo ya ajabu :….

R/Bwana wetu asifiwe x2 Asifiwe kwa Mwimbieni mbingu na dunia :…


milele amen.
1. Enyi watumishi wa Bwana lisifuni
jina la Bwana.
2. Jina la Bwana liyukuzwe tangu sasa
hata milele.
67

6. Asifiwe Mungu baba: amen

WOTE TUMSHUKURU BWANA Asifiwe Mungu mwana: amen


1. Wote tumshukuru Mungu : amen Asifiwe Mungu Roho: amen
Wote tumtukuze Bwana: amen Leo kesho na milele.
Kwa mema anayo tenda: amen MUACHE NI NIMUIMBIYE BWANA
Yeye ndiye Mungu Wetu. R/ Muache ni muimbiye Bwana kwani
amenitendea makuu: muache ni muimbiye
R/ Twimbe: twimbe na fura Bwana kwani ni mkubwa sana
amanitendea mambo makubwa.
Twimbe na kicheko, tumpigie shangwe
Bwana wa mabwana 1. Alitupatiya vipaji: vipaji vya
kumuimbia, vipaji vya
2. Ametenda maajabu: amen
kumuchezeya, vipaji mbalimbali
Kwa mkono wake wa nguvu: amen vyatoka kwakee Bwana asifiwe.

Kwa mkono wake mtukufu: amen 2. Ndiye muumbaji wa vyote: ndiye


aliumba mbingu ndiye aliumba
Kweli kweli nita msifu. Dunia samaki za maji, ndege za
angaaa, wanyama wapori Bwana
3. Aleta wokovu kwetu: amen asifiwe.
Kwa njia ya bwana wetu: amen 3. Asifiwe sana: asifiwe leo, asifiwe
Dunia ishangilie: amen kesho asifiwe siku zote n milele na
milele ,na milele ee Bwana asifiwe.
Mbingu zipige kelele
4. Atupa chakula bora: amen
Mwili damu ya mwanae: amen
Ndiyo nguvu yetu sisi: amen
Twimbe maajabu yake
5. Wema kwetu sisi: amen
Haina mipaka kweli: amen
Juwa mwezi nazo nyota: amen
Vyaangaza bila pesa: amen
68

1. Nendeni popote mtamukuta

SORTIE mtu asiye nafasi ya kuweza


kulala
2. Nendeni popote mtamukuta
mtu asiye na baba wala na
mama
NIKIPELEKA ENJILI
3. Nendeni popote mtamukuta
R/ Furaha kubwa nikipeleka
mtu labda tangu juzi
enjili, nikipeleka enjili kwa
hajapata chakula
ndugu zangu u
4. Nendeni popote mtamukuta
1. Ukiitiwa (nenda) mbele ya
mtu anateswa sana na
Mungu (nenda) fika upesi
mambo ya dunia.
shambani mwakee x2
TUNARUDIA KWETU
2. Maisha yako (towa) kwa
Mungu wako (towa) iwe R/ Tunarudia kwetu, tunarudi
sadaka kwa mungu wetu x2 na furaha, amani ya Bwana iwe
pamoja na sisi,
3. Shukuru Mungu (amen) kwa
kila jambo (amen) yeye 1. Tutatangaza aneno hilo neno
mwenyewe atakulipaa x2 la Bwana wetu ndiyo uzima
wetu.
NENDENI KOTE
2. Aleluya aleluya aleluya
R/Nendeni kote duniani,
musiogope Yesu yupo nasi.
mukawaeleze viumbe vyote,
habari njema habari ya 3. Bwana awe nanyi awe pia
wokovu. nawe, awabarikie Mungu
Baba Mwana Pia na Roho.
1. Mavuno ni mengi watenda
kazi ni wachache Bwana
asema asema.
BWANA ANAWATUMA WAWILI
2. Basi ombeni Bwana wa WAWILI
mavuno atume watendakazi
katika mavuno yake Bwana 1. Bwana anawatuma wawili
asema asema. wawili katika muji na kila
mahali ee Bwana x2
RUDIENI MJINI
R/Aleluya x3 Bwana
R/Rudieni mjini mkawatafute unitume
mkawakutane rafiki zangu
walio huko mukawaeleze 2. Kristu anawatuma wafuasi
furaha niliowapa leo wake katika muji na kila
mahali eeKristu
69

3. Roho anawatuma waongozi 1. Ameangalia udogo wangu,


katika muji na kila mahali ee vizazi vyote vitamtukuza.
Roho. Amenitendea maajabu
amenitendea mambo mengi
yeye ni mtakatifu.

2. Wema wake umepelelezwa


kwa wale wote wenyi
kumuheshimu kwa nguvu
yake ametawanya wenyo
kujivuna.

MARIE 3. Amewashusha wakubwa chini


amewapandisha
wapole, wenyi
watu
njaa
amewapa mali, wenyi mali
TUMSIFU MARIA amewarudisha mikono
1. Tumsifu Maria enyi wanawe, mitupu.
tutowe salamu tumshangilie 4. Akikumbuka huruma yake
R/ Salam x3 Maria, Salam akaisaidia Israeli alivyo
x3 Maria. mwambia Ibrahimu
amemuaganisha Ibrahimu na
2. Nyota ya bahari mlango wa uzao wake.
mbingu, mwondowa hatari
mma wa Mungu EE BIKIRA MAMA WA MUNGU

3. Maria bikira nddiwe mteule, 1. Ee Bikira mama wa Mungu


umeshangiliwa tangu milele. sisi wanao twakulilia x2

4. Hakuna mwombezi R/ Ee mama utuombee


aombeyae, kwa kristu kwa Yesu, ee mama usafi
mwokozi kuliko wewe wa mwili na wa moyo x2

5. Mametu mbinguni 2. Uwe nasi mama siku zote


tumshangilie, mwanawe kwani muovu atuzunguka x2
mpenzi pamoja nawe. 3. Uwe jibu na musaada wetu ili
Imani isipotee x2

MAGNIFICAT Twalia mbele yako mama sisi


waana wa dunia x2
R/ SUP-TEN: Moyo wangu
sifuni bwana na Roho yangu UTAZAME WANA WAKO WA
imtukuze DUNIA

ALTO-BASSE: MOyo msifuni R/Utazame waana wako wa


bwan, Roho yangu imtukuze. dunia we mama Maria, waana
70

wako wa dunia hii wanakulilia 1. Mama Maria usitusahau, sisi


we mama Maria. wenyi zambi tunamukosea
Mungu
1. Sala zetu hazifai kwa huruma
na mapendo yako malkia we 2. Mama Maria usitusahau sisi
mama Maria matajiri, tuna watesa
maskini.
2. Mama mwombezi wetu
malkia, Bikira wa rozario 3. Mama Maria usitusahau sisi
tunakulilia, we mama Maria wa askari tuna wanyanyasa
watu.
3. Tunda la Roho mlango wa
mbingu, Bikira wa rozario MILELE BABA
tuna kulilia we mama Maria
R/Milele Baba amemtayarisha
4. Mama Maraia utuombee kwa Mama asiye na zambi, kwa
mtoto wako Yesu alikuitikia neema yake Mungu baba
we Mama Maria. akazaliwa Bikira.
NJOO KWANGU MARIA 1. Ajabu kubwa ikatokeya
mbinguni: sifa yake
1. Njoo kwangu mama Maria itangazwe.
mwema
Mwanamke mwema akivaa
Uniongoze njia ya kwenda jua:……
mbinguni kwa baba nikaishi
milele x2 Amechapwa mwezi miguuni
pake:…
R/ Njoo Maria njo kwangu
Maria uniongoze x2

2. Njoo unijaze neema ya 2. Uso wake waangaa kama jua:


kushinda maovu nifuate njia ………
njema ya kufika kwa Yesu x2
Vazi lake leupe kama zeluji:
3. Njoo kwangu Mama Mara ………..
mwema unilinde mawana
nidafiri pasipo mashaka Kichwani taji la nyota kumi
safarini ya nguvu x2 na mbili :

NJONI KWANGU MIMI MALKIA 3. Tazama Bikira atamzaa


WA MBINGU mwana :…….

R/Njooni kwangu mimi malkia Atamwita jina lake


wa mbingu, njooni kwangu Emmanueli :……..
mutapata utulivu. Makabila yote yatamtaja
Heri yao waliosali Rozario hei mbwarikiwa :…
wenyi kumkimbilia Maria.
MUSALI ROZARIO
71

1. Enyi waana wangu uu mbona R/ umepanda mama mbinguni,


hamukunisikia, nimewaeleza umenyakuliwa mzima /umezungukwa na
mbele namna ingefaa utukufu mbinguni/x2
kutenda nimesema musali ili
mungu asaidie nyinyi 1. Mama maria mama bila zambi :
hamukusali sasa utuombee kwa Mungu
mumesumbuka. Mama mtukufu Mama wa mwokozi :
R/ Musali sana Rozario, 2. Mama maria mama bila taka :……
nasema musali sana,
mimi nitawaombeya, mimi Mama mtukufu bikira milele :……..
ni mama yenu nataka
muishi vema musichoke 3. Mama maria nyota ya mbinguni :…
na sala.
Umestahili kumzaa mkombozi :…...
2. Maisha munayo nyinyi, 4. Ee Mama mwema utuangazie :…….
imejaamo wasiwasi,
mwaogopa kila kitu njaa kiu Kwa mfano wako tufanane nawe :…
na hasa vita, nawaleteya
dawa ili musiogope tena, 5. Utuongoze kwa mapendo yako:…
musali bila kucho Yesu
Siku ya mwisho tufike mbinguni:...
atawajibu.
6. Mama Maria mama wa Kibeho:…
SALAMU NYOTA
Mama maria mama wa Rwanda
R/ Salamu Mama wa Yesu,
mzima:…...
salamu Mama wa watu ; Mama
utupokee tunakuja kuomba NIPO WOTE WAKO
amani.
R/ Nipo wote wako ee Maria, na vyote
1. Salamu nyota ya mbingu, ninavyo ni vyako.
Maria mama wa Mungu,
Maria Bikira mpole, 1. Ninakutolea macho yangu, ili nipate
umetufungulia mbingu. kuona kunacko mashimo.

2. Peleka Maombi yetu kwa 2. Ninakutolea midomo yangu ili


Yesu mkombozi wetu kwa nitamke maneno yenyi kufaa.
kufika duniani amejifanya
3. Ninakutolea miguu yangu ili
mwana wako.
niwasaidie walio maskini.
3. Takasa maisha yetu njiani
4. Ninakutolea miguu yangu iki neende
utuongoze na tutamuona
popote nieleze enjili.
Yesu kwa furaha inayo dumu.
5. Ninakutolea maisha yangu ili niishi
milele na mwanao Yesu.
UMEPANDA MAMA
EE MOYO WANGU
72

R/Ee moyo wangu (x3) unamsifu, unamsifu Njoo mataifa wakuone, njoo
Bwana, ee moyo wangu unamsifu Bwana mwokozi njoo.
(x2).
1. Bwana Mungu wa majeshi
1. Roho yangu inafurahiwa na Mungu urudi mbio: njoo mwokozi
wangu, Jina lake takatifu ee moyo njoo.
wangu.
2. Utazame toka mbingu
Amenikumbuka oh mimi mutumishi mzabibu wako:…
wake
3. Mkono wako uwe juu ya watu
Tangu sasa vizazi vyote wataniita wote:…
mwenyi heri ee moyo wangu;
4. Ujulishe jina lako na tutaishi:
Amawasambaza wale wote …….
wanaojivuna katika nyoyo zao ee
moyo wangu. 5. Utangaze uso wako
utuokowe:….
2. Amewashusha wenyi cheo katika viti
vyao amewapandisha wadogo ee NJOO MASIYA
moyo wangu
R/ Njoo njoo njoo njoo njoo,
Amewashibisha wenyi njaa na vitu njoo njoo njoo Masiya
vyema, na wenyi njaa
amewaondosha mikono mitupu ee 1. Tunakungoja siku nyingi
moyo wangu. shuka kwetu usikawiye tena
ufike mbiyo.
3. Amesaidia mtumishi wake Israeli, na
wenyi mali amewaondosha mikono 2. Mungu ametuahidia: shuka
mitupu: ee moyo wangu. kwetu usikawiye tena ufike
mbiyo
4. Bwana wa maajabu: amenitendea
makuu x2. 3. Tunateseka bila wewe:
……………….
Bwana yu ni mwema:………x2
4. Utuleteye mwanga wako:
Bwana wa huruma:………..x2 ……………..
Bwana wa mapendo:………x2 5. Tupogizani siku nyingi:
………………
Mapendo Gani:…………....x2
KESHENI KESHENI

AVENT R/ Kesheni kesheni x2 Bwana


atakuja
Basi kwa maana hatujui siku
gani bwana atakuja.
NJOO MATAIFA WAKUONE
73

1. Siku ile ya mwisho hakuna


ajuwae wamalaika hawajui,
hata mwana hajui ila Baba
peke yake UTUSHUKIYE MASIYA WETU
2. Mfano ni kama mutu aliye 1. Utushukiye Masiya wetu, sisi
aliye ondoka akaenda safari wote tunakungojea
akaacha yote mikononi mwa mkombozi masiya njoo njoo.
watumishi
R/ Tuishi na tungojee,
3. Nitarudi lini labda mangaribi matumaini kwa Bwana,
ao usiku kati awikapo jogoo
tusafishe nyoyo zeyu
ufahamu uwe macho azaliwe ndani mwetu
YESU UJE 2. Shuka kwetu na usikawiye
R/ Yesu uje uje x3 kwetu, uje twapotea tuopowe bwana
kwetu mfalme tena duniani mkombozi masiya njoo njoo
Yesu uje uje kwetu x2 3. Ni kifano chake Mungu wetu,
1. Mapendoo imepotea duniani si zaifu Roho yatamani ya
tunatumaini urudie kwetu uje uwingu masiya njoo njoo
kwetu mfalme tena wa
4. Usiwe tena usio wako mkali,
mapendo Yesu uje uje kwetu. angalia hii yetu hali, shetani
2. Ukweli umepotea duniani, atuwinda njoo njoo.
tunatamani urudie kwetu uje
USHAHIDI WAKE YOANE
kwetu mfalme tena wa
ukweli Yesu uje 1. UShahidi wa Yoane kule
jangwani alishuhudia ujio
3. Huruma imepotea duniani
wake Masiya yeye ni Mungu
tunatumaini urudie kwetu uje na tena Mwana wa Mungu x2
kwetu mfalme tena wa
amani, Yesu uje kwetu, R/ Uje Masiya mwokozi
tunakungoja uje Masiya
4. Amani imepotea duniani mkombozi tunakungoja.
tunatamani urudie kwetu uje
kwetu mfalme tena wa 2. Nabii Yoane janguani
amani, Yesu uje uje kwetu alishuhudiya yule atakuja
mukubwa kuliko mimi ufalme
5. Zambi zimetawala duniani wake hautakuwa na mwisho
tunatamani urudie kwetu uje x2
kwetu mfalme tena duniani,
Yesu uje uje kwetu. ONGOKENI MOYONI MWENU

R/ Ongokeni moyoni mwenu


mukabatizwe mukafanye
74

kitubiotengezeni njia ya Bwana Mu Betlehemu……………


linganisheni mapito yake x2
2. Makohani walituma kwa
1. Yoane nabiee wa mwisho wa Yoane ili wamuulize wewe ni
manabii Mungu amempa nabii wala Elia tukawaambie
ujumbe wa kumtangulia waliyo tutuma
mwokozi
3. Na Yoane akawajibu, mimi
2. Nyuma yangu kutakuja ni nawabatiza kwa njia ya maji
kristu masiya sistahili yule atakaye kuja nyuma
kufungua ukanda wa viatu yangu yeye atawabatiza kwa
vyake njia ya Roho.

3. Nimewabatiza kwa maji ya USHUKIYE MASIYA


yordani yeye atawapa
ubatizo wa Roho mtakatifu. R/ Ushukiye Masiya kuokowa
watumwao, mukombozi masiya
4. Manabii wengi wamesema njoo, njoo, njoo.
ongokeni nasi leo tutakatishe
nyoyo tumpokee mwokozi. 1. Shuka kwetu usikawiye
twapoteya (u)tuopowe hima
FURAHINI KATIKA BWANA hima ushukiye, kwani nguvu
hatuna tusiweze kwa mregeo
R/Furahini katika Bwana siku basi wewe tuponye, njoo,
zote nasema tena furahini x2 njoo, njoo.
1. Upole wenu ujulikane kawa 2. Tangu zambi ya wazee
watu Bwana yu karibu x2 twakungoja tuopowe kwetu
2. Na amani ya Mungu yapita hapa ushukie kwani nguvu
ufahamu utalinda nyoyo x2 hatuna hatuwezi kwa mregeo
shuka kwetu tuponye, njoo,
3. Bwana yu karibu musi njoo, njoo.
hangayike katika neno x2
3. Ni kifano chake Mungu wetu
MIMI NI SAUTI YA MTU si zaifu Roho yangu yatamani
ya uwingu tumefungwa lakini
1. Mimi ni sauti ya mtu aliaye yamepigwa makatao
jangwani tengenezeni njia ya tusiingiye ndani, njoo njoo,
Bwana, yanyoosheni mapito njoo.
yake vile alisema nabii Isaya.
4. Siwe tena uso mkali angalia
R/ Masiya wetu atazaliwa yetu hali tuelekee sasa kweli
katika muji wa Daudi mashetani huwaka vita uzito
Emmanueli. tuna leo ulimwengu shuka
njoo, njoo, njoo.
Mwokozi……………………
Mfalme……………………
……
75

SASA HII NI WAKATI WA sur notre terre, vienne la paix


KUAMKA éternelle,
1-4 : Vienne ton royaume
R/ Sasa hii ni saa ya kuamka Seigneur, vienne ton
katika usingizi wetu wa dunia amour.
x2
1. Maana wokovu wetu umefika
kuliko wakati tulipo amaini
2. Usiku umeendelea sana
mchana nao sass ni karibu

3. Katika mchana twende vizuri,


kwa ajili ya Mungu na ya
Jirani
4. Tuvae Bwana Yesu Kristu
natufikiri mahitaji ya mwili.
LE JOUR EST PROCHE
NOEL
R/ Veilleurs où en est la
nuit ? Veilleur où en est la
nuit, la nuit s’avance le NJOONI WAKRITU TUFANYE
jour est proche, revenons SHANGWE
vers le seigneur, le matin
vient et encore la nuit ; 1. Njooni wakristu tufanye
marchons en enfants de shangwe mwokozi Yesu
la lumière. amezaliwa,

1. Vienne le jour où nos ténèbre Viumbe vyote tufanye


rencontreront ta lumière, shangwe:……
Vienne le jour où toutes
R/ Na tufanye shangwe,
larmes rencontreront ton
twimbe aleluya, mwokozi yetu
sourire.
amezaliwa.
2. Vienne le jour où l’espérance
rencontrera ton étoile, vienne 2. Hakika mbingu zashangilia:
le jour où notre route mwokozi Yesu amezaliwa
rencontrera ta demeure.
3. Vienne le jour où ta Nayo Dunia yafanya
tendresse, remplira toute la shangwe:………
terre, vienne le jour où ton
3. Juu
mbinguni na duniani:
Eglise rencontrera ton
royaume. …………….
4. Vienne le jour où tous les Viumbe vyote vinafurahi:
hommes s’aimeront tous ……………
comme frères, vienne jour-là
76

4. Hii ni siku aliyo fanya: Gloria Gloria in excelsis deo x2


…………………
YESU KRISTU AMEN
Tufurahiwe na tumwimbiye :
…… R/ Yesu Kristu amen x3

5. Tufanye shangwe kwa Njooni wote tumshangilie


nyimbo nzuri :…… amezaliwa mwokozi wetu, njooni
wote tumushangilie amezaliwa.
6. Tusifu Bwana na
tumwimbiye:…….. 1. Siku ya leo amen, amezaliwa
amen, na amani na mapendo
7. Mwenyi ukuu na utukufu:…. aleluya.
………….
2. Siku ya leo amen, wachungaji
Ni mfalme Bwanana vitu amen, na majusi
vyote:…… wamwangaliya Betlehemu.

SAA YA USIKU KATI 3. Na sisi wote amen, wa dunia


amen, tufurahiwe na
1. Saa ya usiku kati kulikuwa na mwokozi aleluya.
kimya, wachungaji wa
kondoo walikuwa wamekesha 4. Sifa kwa Baba na kwa Mwana
malaika toka juu mbinguni, na kwa Roho mutakatifu
walikuwa wakiimba sifa za aleluya.
Mungu.

2. Wachunga msiogope,
mwende huko pangoni
Mungu mwana yupo nasi,
wachungaji wa kondoo usiku
walikwenda kumwangaliya SASA LATIMIYA
bwana Yesu
R/ Sasa latimiya: sasa latimiya
3. Tangu maelfu miaka, nabii agano alilosema tangu kale
wali muaguwa, sasa leo sasa la timiya x2
amefika twende wote
kumwabudu, wamajusi toka 1. Usiku kati nasikiya sauti
kule mashariki walifika tamu mbali sana malaika
kumwabudu mwana wa waja wote makiimba sasa la
Mungu. timia

4. Ndiye Emmanueli Mungu 2. Wachunga mulio bondeni


pamoja nasi, ni masiya njooni wote kwa haraka,
Mukombozi Emmanueli kitoto maskini chalazwa
Mungu nasi, Malaika toka juu nyasini sasa latimia
mbinguni, walishuka
wakiimba sifa za Mungu. 3. Maria akimfunika Yosefu
akimchungulia kwa
77

mshangao wote wote mwenyi kuimbiwa ni nani juu


wakiimba sasa latimia ya nani sifa hizo.
4. Wa kwanza nani kumwabudu 3. Je hamjui jambo kuu la
majusi walitoka mbali alama kuzaliwa mwokozi habari ya
ya nyota iki watangulia sasa wimbo huu ndiyo
latimia kumshukuru mwenyezi.
5. Herode mfalme wamayahudi 4. Kweli nasi twende hima
akatafuta roho yake misri kufika kule alipo tuone
akaenda mama akimlinda mtoto na mama, tuwasalimie
sasa latimia. huko.

AMEZALIWA BWANA JE MALAIKA NYINYI HABARI


GANI
R/ AMezaliwa Bwana,
amezaliwa leo, amezaliwa 1. Je malaika nyinyi habari gani
tumshangilie. twawaomba mutujulishe nasi
hizo kengele zinazo pigwa
1. Leo mbingu ni furaha kwa pigwa, hizo ni kwa ajili ya
kuzaliwa mwokozi amezaliwa nini.
tumshangilie.
R/ (Kwa sababu) kwa
2. Malaika wafurahi wakiimba sababu leo amezaliwa
nyimbo nzuri kwa kuzaliwa kwetu katika muji wa
mwokozi wetu. Daudi, (na mwokozi) na
3. Wamajusi walikwenda mwokozi ndiye Kristu
wakifwata nyota kubwa, bwana na hiyo ni alama
kumwangalia mwokozi Yesu. kwetu.

4. Sifa kwa Mungu mbinguni na 2. Amefungwa nguo za kitoto,


amani duniani, kwa watu amalezwa katika sanduku za
kuwalishia wanyama, nyuma
wote anao wapenda.
yake ni mama maria
3. Twende twende zet
wachungaji tukaone neno
lililo fanyika kama malaika
MBALI KULE NASIKIA alivyo tuambia, twende wote
nasi nkwa bidii.
1. Mbali kule nasikiya malaika
wa mbinguni wakiimba wengi 4. Salamu salamu Maria,
pia wimbo huu juu angani. salamu salamu Yosefu amani
amani iwe nanyi iwe nanyi
R/ Gloria in excelsis deo iwe nasi pia.
x2
SALAMU SALAMU
2. Wachungaji twambieni
sababu ya nyimbo hizo,
78

R/ Salamu salamu x2 Bwana Tumpigie magoti:


Yesu ndiye Mungu na mwana ……………………….
wa Maria.
Maana yeye ni Mungu:
1. Malaika akaleta noeli ya ………………
kwanza kwa wachunga wa
kondoo katika mabonde x2 4. Tumwimbie mwokozi:
………………
2. Betlehemu wakawa walinzi
wa zamu wakaona usiku Kikao cha hekima:
ajabu ya nuru x2 …………………….

3. Mashariki wakatokea wa Kionyesho cha haki:


falme watatu majusi …………………
wakifuata Yesu Mufalme x2 5. Sifa kwa Mungu Baba:
4. Wakafuata hii nyota iliyo ……………..
waleta hata muji wa Daudi Pia kwa Mungu Mwana:
nalimo zaliwa x2 ………….
5. Na sisi wa kristu Pia Roho mtakatifu:
tumshuhudie, na sisi wakristu …………………
tumshangilie mwokozi aliye
tujia x2 Milele na milele:
………………………
FURAHA FURAHA AMEZALIWA
AMEZALIWA TUMEMUONA
R/ Furaha furaha amezakiwa
mkombozi wa dunia x2 R/ Amezaliwa x2 tumemuona
x2 Tumwimbiye hozana mwana
1. Ee Maryamu bikira: twimbe wa Mungu.
aleluya
1. Ilikuwa siku x2 za mufalme
Umemzaa mwanako: herode x2 kazaliwa mwokozi
…………………..
2. Tazama wafalme x2 walikuja
Tufurahiwe nawe: kumwabudu x2 Yesu mwana
………………………. wa Mungu
2. Njooni tumshangilie:
3. Wamemtolea x2 zahabu
………………….. manemane x2 ubani ubani.
Mfalme wa amani:
KWETU NI NOELI
………………………
R/Kwetu ni noeli Bwana, Bwana
Anaye kuja kwetu: amezaliwa x2 aleluya, aleluya
…………………….. Yesu amezaliwa x2
3. Njooni tumwabudu:
…………………..
79

1. Tumepewa sisi mtoto Shangwe ikawashukiya


mwana ume x2 amezaliwa x2
Ataitwa jina lake Emmanueli 2. Wamajusi waliambiwa habari
x2 njema kwani kristu
amezaliwa mfalme wetu x2
2. Tumeona leo Yesu amezaliwa
x2 3. Wa kristu tumutolee mfalme
wetu, tumtolee nyimbo na
Na uwezo wa kifalme saa mfalme wetu x2
mabegani mwake x2

3. Tumeupokea ujio wa Yesu x2


Maongeo ya enzi yake haina
mipaka x2
4. Shangwe na Furaha duniani
kote x2
Bwana Yesu azaliwa leo
aleluya x2.

NYOTA ILE NAONA


USIKU ULE WACHUNGA
Utangulizi: Nyota ile naona:
nami ile naona x2 R/ Usiku ule wachunga x2
walikesha shambani shambani
Inaonekana kule
ndugu Yesu amezaliwa
mashariki yaonyesha kwamba
Betlehemu
mwokozi amezaliwa x2
1. Walingoja mukombozi x2
Noeli : aa Noeli ni
mara nyingi walimwomba
kuzaliwa kwa mwokozi
Mungu Baba amlete upesi
aleluya.
(mara nyingi)
1. Tumempata mukombozi Yesu
2. Walikuwa wakisema x2
Masiya, tazama amezaliwa
habari za mkombozi wasijue
kwa ajili yetu x2
kama amezaliwa x2 (habari).
R/ Hata wamajusi
walifurahi

waliona nyota wakaifuata


Waliona nyumba
wakaingia
Wakamtolea zawadi
nyingi
80

2. Par la Croix du bien-aimé


fleuve de paix où s’abreuve
toute vie,
Par le corps de Jésus christ
hurlant nos peurs dans la nuit
des hôpitaux,
Sur les hommes que tu fis
pour qu’ils soient beaux et
nous parlent de ton nom.
3. Par la Croix du serviteur,
porche royal où s’avancent
les pécheurs
Par le corps de Jésus Christ
nu outragé sous les rires des
bourreaux

Sur les foules sans bergers et


sans espoir qui ne vont qu’à
perdre cœur

4. Par la Croix de l’homme Dieu

CAREME arbre béni où s’abritent les


oiseaux

Par le corps de Jésus Christ


FAIS PARAITRE TON JOUR recrucifié dans nos cœurs
sans pardon
R/ Fais paraitre ton jour et le
temps de ta grâce, fais Sur les peuples de la nuit et
paraitre ton jour que l’homme du brouillard que la haine a
soit sauvé. décimés.

5. Par la Croix du vrai pasteur


1. Par la croix du Fils de Dieu alléluia ou l’enfer est
signe levé qui ressemble les désarmé
nations,
Par le corps de Jésus Christ
par le corps de Jésus Christ alléluia qui appelle avec nos
dans nos prisons innocent et voix
torturé
SEUL REFUGE
sur les terres désolées terre
d’exile sans printemps sans 1. Seul refuge de mon âme, je
amandiers. vais m’appuyer sur toi, la
81

paix que mon cœur réclame 3. Mule kwa Pilato: Akatiwa


est à tes pieds divin roi. miiba na kupigwa mijeledi
R/Jésus sauveur que je Wakamvalisha vazi: la
t’aime, O toi qui mourus zambarao na kusema jambo
pour moi et qui veut que mufalme
dans le ciel même qu’un
jour je règne avec toi. Alipo: alipo teswa mwokozi ni
kwa ajili ya wewe nami
2. Sur ta croix victime sainte
mon péché fut expié, plus Ee ndugu: Ee ndugu
d’angoisse, plus de crainte, kumbuka leo kama ungali
ton sang m’a purifie. katika giza.

3. Il n’est aucune autre chose


qui puisse apaiser mon cœur, MKOMBOZI UMETUTESEKEA
en toi seul je me repose, en
toi mon puissant sauveur. R/Mukombozi Yesu mwana
Mungu, mukombozi
4. A toi Jésus je m’abandonne,
ametutesekeya sana mu
mon cœur, mon âme et mes mateso yako umesulubiwa
jours qu’en moi mon amour
Yesu aliteswa tu kabisa.
rayonne je veux te servir
toujours. 1. Yesu mukombozi mfalme
wetu umekuja kutupa
KULE GOLGOTA wokovu minyororo ya miiba
1. Kule Golgota : ametundikwa imepangwa kichwani Yesu
mwokozi musalabani uliteswa tu kabisa

Alipokamatwa : wanafunzi 2. Wamekutukana na


wake wakaenda mbali mbali kukutemeya mate
wanekuvika kofua ya miiba
Huruma: Huruma gani ya minyororo ya miiba
Bwana kutufia sisi wenyi imepangwa kichwani Yesu
zambi x2 uliteswa tu kabisa

2. Petero njiani: kamwambia 3. Yesu mukombozi


Yesu mimi sitakuacha kamwe tunakuabudu tunakuona juu
ya musalaba twatazama uso
Yesu akamwambia: bado wako ulio fifia Yesu uliteswa
kidogo na utasema haukuwa tuu kabisa.
nami
MUNGU WANGU YOYO
Petero: Petero yu mlangoni
alimukana bwana Yesu R/ Munyu wangu Mungu wangu
yoyo
Mimi: Mimi huyu simujui wala
sikukuwa pamoja naye
82

Mungu wangu kwa nini kubwa mno uu na chungu


umeniacha kubwa mno
1. Waliponijia mimi maakida wa
hekalu yoyo, wanitegeya
nyavu njiani mwao BWANA ANAKUJA NA HURUMA

2. Umejisama ni Mungu kweli R/Bwana anakuja na huruma


we umekufuru yoyo, kwa bondeni mwa gestemani, moyo
neno hilo ungelistahili kufa wa uchungu na mateso Yesu
aliyetujia.
3. Umewaponya wagonjwa na
wafu umefufuwa yoyo 1. Siku ya Inne mangaribi, Yesu
ujiponyeshe kama u mwana akakamatwa bure;
wa Mungu akapelekwa hukumuni wenyi
zambi wamuuwe Mungu
4. Wamegawa nguo zangu kati
yao wenyewe yoyo, na kanzu 2. Yuda mtowaji na kundi la
yangu wameipigia kura watu, wenyi moto upanga na
fimbo; waliotumwa na
5. Ewe Bwana Mungu wangu makohani Yesu asfe ndio
usikae mbali nami yoyo uje ukomo
mbio unisaidie.
3. Yesu akabeba musalaba mu
NA UCHUNGU AKASIMA njia ya makokoto mulimo
mawe na mashimo taji la
R/ Nuchungu (a)kasimama miiba kichwani.
mama yake pa msalaba pa
msalaba akiteswa mwanae ee 4. Walipo fika Yerusalemu kundi
akiteswa mwanae. la wanawake wakamulilia
akawambia musinililie,
1. Sawa na upanga mkali teso mujililie nyinyi wenyewe.
kubwa lika mshika
likimpenya moyo oo
likimpenya moyo oo.

2. Ee Maria teso gani


kumtazama msalabani
mwana wake wa pekee ee
mwana wako wa pekee

3. Lia Mama ee machozi


ukimwona mtoto wako
akiteswa sana mno oo
akiteswa sana mno.

4. Tusikosekumlilia kwani
mama asumbuka na achungu
83

DIMANCHE DES
RAMEAUX
BWANA YESU ALIPO INGIYA
1. Bwana Yesu alipo ingia katika
mji mtakatifu waisraeli
walitangaza ufufuo wa uzima
hozana

R/Hozana, hozana, hozana juu


mbinguni

Hozana, hozana, hozana juu


mbinguni
Hozana, hozana, hozana juu
mbinguni

2. Bwana alipoingiya katika mji


mtakatifu, waisraeli
walichukuwa matawi ya
mitende hozana

3. Bwana alipo ingiya katika mji


mtakatifu, watu walitoka nje
na kumshangiliya na matawi.

HOZANA MWANA WA DAUDI


R/ Hozana mwana wa Daudi x2
Hozana Yesu anakuja kwa
jina la Bwana.
1. Tumtolee matawi, tumtolee
na shangwe mfalme wa
Israeli hozana juu mbinguni
2. Tumtolee vitenge,
tuvitandike njiani mfalme
apite juu hozana juu
mbinguni
3. Tupige vigelegele,
tumwimbimbie sifa kuu
84

mfalme wa Israeli hozana juu 1. Yeye ndiye mungu kutoka


mbinguni kwa Mungu, kweli astahili
sifa.
4. Abarikiwe anaye kuja kwa
jina la Mungu, mfalme wa 2. Yeye Kwake uwezo na
Israeli hozana juu mbinguni utukufu, kweli astahili sifa
5. Asifiwe mwokozi anaye 3. Yeye ndiye mfalme mkuu wa
maneno ya kweli mfalme wa wafalme, kweli astahili sifa
Israeli hozana juu mbinguni
6. Ndiye atakaye okowa na
kutawala mataifa, mfalme wa
PAQUES
Israeli hozana juu mbinguni
AMEFUFUKA YESU MNAZARETI
7. Ndiye Baba alituahidiya na
manabii wakanena, mfalme R/Amefufuka amefufuka Yesu
wa Israeli hozana juu mnazareti x2
mbinguni.
1. Akajionyesha (kwa) mamae
WOTE TUMSHANGILIENI Maria akawaambia
akawaambia ndugu zake
R/ Wote tumshangilieni Simoni Petro.
tuimbeni hozana, hozana
mwana wa dauni hozana 2. Akawatokea wafuasi (wake)
asifiwe. hao pia ni mashahidi wa
jambo hilo
1. Sifa na heshima kubwa kwa
mfalme mkombozi kwa 3. Amawatokeya wafuasi wa
mapendo twakuimbia wimbo Emaus akawaambia amani
wa hozana. kwenu mumeniona.

2. Ee mfalme wa Israeli mwana WOTE KWA FURAHA


wa Daudi ndiwe umebarikiwa
kwa jina la Bwana. R/ Wote kwa furaha tuna kula
paska paska yetu leo twimbwe
3. Malaika wa mbinguni wote aleluya.
wakuimbia na sisi tunakuja
kwako nyimbo na sala zetu. 1. Bwana kafufuka: twimbe
aleluya
4. Tunakutolea heshima kwa
kutukomboa mbele ya kufa Kifo kakivuka:
kwako kwa kufufuka kwako. …………………………….

KRISTU NI MUFALME WA 2. Kafufuka kweli:


MBINGU …………………………..

R/Kristu ni mfalme wa mbingu, Kaburi ni wazi:


njoni tumshangiliye ……………………………..
85

3. Adui kashindwa: Tuungane furahini aleluya


………………………….
R/ Aleluya aleluya , aleluya
Kichwani kapitwa: aleluya, aleluya aleluya
………………………..
2. Tumwimbiye kristu wetu
4. Siku ya sherehe: aleluya
…………………………
Mzima kashinda mauti
Yesu tumpokee: aleluya
……………………
3. Sanda zake za mauti aleluya
5. Wa mbingu malaika:
……………… Zangaa kama zeruji aleluya

Hakuna kilio: 4. Asubui magdalena aleluya


……………………… Kaburi kaenda hima aleluya
6. Shangwe la mwokozi: 5. Akalikuta ni wazi aleluya
…………..
Ameketi malaika aleluya
Acheni majonzi:
………………….
7. Leo bila mwisho:………………. 6. Kweli bwana yupo mzima
aleluya
Vile vile kesho:………………….
Akanena malaika aleluya
ALELUYA PASKA YETU
ALELUYA ALELUYA.
R/ Aleluya x3 Kristu amefufuka
R/Aleluya Aleluya, Yesu
1. Leo ni siku kuu imbieni amefufuka
Mungu kwa furaha
1. Maria Magdalena alienda
2. Wokovu watimia shangwe na kaburini asubui na mapema
heshima viwe kwake kuliko kukiwa bado giza
3. Malaika wasema hayupo akaona kama jiwe liwe
hapa amefufuka limeondolewa.

4. Wana wake wasema kaburi 2. Akapiga mbiyo kwa simoni


limebaki wazi Petro kamwambia habari
hiyo, wamewondowa Bwana
5. Nendeni pande zote kaburini hatujui
mkawajulishe waana wa giza. wamempeleka wapi.

MBINGU INCI NA BAHARI ALELUYA BWANA AMEFUFUKA


1. Mbingu inchi na bahari 1. Tumjongelee Yesu mtukufu:
aleluya Aleluya Bwana amefufuka
86

Amefufuka katika wafu: twasadiki Yesu amefufuka,


Aleluya Bwana amefufuka amefufuka.
R/ Utukufu wake wa milele, MAYAHUDI WAMESEMA
mbinguni juu pamoja na Baba
R/ Aleluya aleluya aleluya
2. Mmeona
nini kwaburini:
………………. Aleluya aleluya aleluya

Wewe Magdalena na Salome: 1. Mayahudi wamesema: kristu


………. afe x2

3. Siku tatu kisha kufa kwake: Kristu afe, kristu afe damu
……………. yake juu yetu

Ametoka mzima kaburini:…. 2. Pilato amesema: sioni kosa


…………. x2

4. Sasa anakufa kwa kutulisha: Sioni kosa, sioni kosa kristu


…………. afe msalabani

Mwili wake chakula cha roho: 3. Wahunga hushtuka: kwa


………… mshangao x2

5. Tukila Mwili wake mtukufu: Kwa mshangao, kwa


…………… mshangao wakahuzuriya
kaburi
Tutapokea uzima mupya:
………………. 4. Maria magdalena na
salomex2

Nasalome na salome
wakahuzuriya kaburi

HABARI GANI WANDUGU 5. Malaika awambiya : afufuka


x2
1. Habari gani wandugu wa
Yerusalemu wanamake Afufuka afufuka hayumo tena
wamesema Yesu amefufuka, kaburini
amefufuka.
6. Milele na milele: amen x2
R/ Aleluya x20
Amen amen amen amen
2. Habari gani wandugu wa amen amen amen amen
Yerusalemu (wa) na mitume
wamesema Yesu amefufuka,
amefufuka.
3. Habari gani wandugu wa
Yerusalemu sisi kweli
87

SAINT ESPRIT
UJE ROHO MUUMBAJI
R/ Uje Roho muumbaji utazame
nyonyo zetu uzijaze neema
nyingi ulizoziumba nyoyo.
1. Unaitwa mufariji paji la aliye
juu, chemchem ya uzima
moto pendo naza Roho pako
2. Wewe mwenyi paji saba,
chanda cha kuume Mungu,
88

Kiagani we cha Baba, Aleluya x3


unazisemesha ndimi.
1. Unaitwa mufariji: Roho
3. Nia zetu angazia nyoyo zajaa Mungu
na mapendo, mwili wetu
muzaifu ukapate nguvu Pendo moto utaini: Roho
kwako. Mungu shuka

4. Mbali ufukuze pepo na amani Ni kipaji cha mwenyezi pia


upe mbio, hivyo uwe kiongozi uzima wa mbinguni.
tuepuke kila zambi. USHUKE ROHO YA BWANA
5. Kwako tukamjuwe Baba tena R/Ewe Roho ushuke Roho ya
tumtambuwe Mwana, nawe
Bwana ushuke tujazwe furaha
tunakusadiki Roho utakae
kwao 1. Roho mtakatifu:
kawashukiya
6. Mungu Baba asifiwe Mwana
aliye fufuka, nawe tena Kama ndimi za moto
mfariji kwa milele na milele.
2. Tufanye bidii : tumutafute

Huyo Roho mutulizaji

3. Atukuzwe Mwana Atukuzwe


Mwana

Piya Roho mtakatifu.

SHUKA ROHO MTAKATIFU


R/Shuka Roho mtakatifu Mungu
Shuka Roho mtakatifu ROHO MTAKATIFU UTUSHUKIE
Mungu
R/ Roho mtakatifu utushukie
Shuka ukae sana Rohoni tuongozwe nawe eee
mwetu
1. Utushukie Roho wa mapendo
Kwa siku zote bwana utujaze sisi neema zako
ukazidishe imani yetu
2. Utushukie na uwashe moto
Tuwe Imara kwa siku zote wa mapendo yako ndani
Bwana mwetu
89

3. Utushukie tuwe watumishi donne la lumière à ce monde


wa kuitangaza habari njema. perdu.
ESPRIT DE DIEU 1. Esprit de Dieu descends sur
nous renouvelle la face de la
R/ L’Esprit de Dieu repose sur terre.
moi, l’Esprit de Dieu m’a
consacre, l’Esprit de Dieu m’a 2. Fortifie notre fragilité, Esprit
envoye proclamer la paix la de vie, Esprit
joie.
1. L’Esprit de Dieu m’a choisi
pour etendre le regne du
Christ parmi les nations, pour
proclamer la bone nouvelle à
ses pauvres ; J’exulte de joie
en Dieu mon sauveur.
2. L’Esprit de Dieu m’a choisi
pour etendre le regne du
christ parmi les nations pour
consloler les cœurs accables
de souffrances :…………

3. L’Esprit de Dieu m’a choisi


pour pour le regne du christ
parmi les nations pour
acceuillir le pauvre la grace
de la delivrance :
…………………………………

4. L’Esprit de Dieu m’a choisi


pour pour le regne du christ
parmi les nations pour
celebrer sa gloire parmi tous
les peuples :
……………………………….

DESCENDS ESPRIT DE DIEU

R/ Descends Esprit, descends


Esprit de Dieu, Esprit de vérité,
MARIAGE
90

7. Voila comment sera béni


celui qui craint le Seigneur tu
TON DIEU SERA MON DIEU verras les fils de tes fils tous
R/ Ton D ieu sera mon Dieu, ta les jours de ta vie.
vie sera ma vie partout où tu 8. Tu verras Jérusalem dans le
iras, j’irai avec toi. bonheur, tous les jours de ta
1. Heureux qui craint le vie, de Sion le Seigneur te
Seigneur et qui marche sur la bénisse, vienne la paix sur
route du labeur de tes mains Israël.
tu mangeras. Hereux es-tu COMME UNE FIANCEE
en toi le bonheur.
R/ Comme une fiancée parait
2. Ton Epouse sera dans ta pour son époux, tu resplendis
maison comme une vigne de la gloire de Dieu oh alléluia
féconde, les enfants alentour alléluia tu surgis comme
de ta table, comme des l’aurore.
plants d’Olivier.
1. Ecoute ma fille prête l’oreille,
3. Voila comment sera beni le Roi désire ta beauté
celui qui craint le Seigneur tu
verras les fils de tes fils tous 2. C’est lui ton Seigneur rend-lui
les jours de ta vie. tes hommages oublie ton
peuple et ta maison.
4. Tu verras Jerusalem dans le
bonheur, tous les jours de ta 3. Vêtue de brocarts la Reine
vie, de Sion le Seigneur te est conduite auprès du Roi
benisse, vienne la paix sur dans le palais.
Israel.
4. Des Vierges la suivent lui font
COMME UNE FIANCEE cortège dans l’allégresse et
dans la foi
R/ Ton Dieu sera mon Dieu, ta
vie sera ma vie partout où tu 5. Puisse-je chanter ton nom
iras, j’irai avec toi. d’âge en âge et tous les
peuples te loueront.
5. Heureux qui craint le
Seigneur et qui marche sur la 6. Mon Cœur a frémi des belles
route du labeur de tes mains paroles voici mon chant je
tu mangeras. Heureux es-tu l’offre au Roi.
en toi le bonheur.
EE BWANA UWALINDE
6. Ton Epouse sera dans ta
maison comme une vigne R/ Ee Bwana (u)walinde
féconde, les enfants alentour watunze ndowa hii daima, ee
de ta table, comme des Bwana walinde wapate tuzo la
plants d’Olivier. milele.
91

1. Mbele ya kanisa lake Bwana


mumeunganishwa ninyi
pendo na amani ziwe kwenu
ndoa itakate hima.

2. Mume umupende muke


wako, liwe kubwa lako tuzo
muke umutunze mume wako
mbinguni (u)tatunukiwa.

3. Vita na ugomvi vijitenge


omba radhi ukosapo choyo
na anasa visiwepo mwanga
wenu upendano.
4. Nyumba ya amani lengo
lenu, kristu tegemeo lenu
ndoa ni patano takatifu
timilifu kwake Mungu.

5. Mungu awajaze neema zake


mbarikiwe na watoto
msiwapoteze waana wenu
wote mali yake Mungu.
92

BAPTEME
SISI WOTE TULIBATIZWA PA KISIMA CHA BETESTA.

1. Sisi wote tulibatizwa katika 1. Pa kisima kile cha betesta,


jina lake Yesu Kristu cha betesta kulikuwa watu
mwokozi, wengi sana na wagonjwa,
(navipofu na wagonjwa wenyi
Ili tulizikwa na zambi neema kupooza) X2
(sababu ya ubatizo) ya
ubatizo katika kufa. R/ Baba Mama nanyi
ndugu zangu sisi wote,
Basse: Hum hapana hata baba mama na nyi ndugu
kidogo kwa kuwa na zangu sisi wote kisima
zambi tafazali kuishi na chetu cha uzima ni Bwana
Yesu hum Yesu. X2
Kwa maana 2. Bwana Yesu katika kisima
tumebatizwa na Baba na cha Yakobo Bwana Yesu
Mwana naye Roho katika kisima cya yakobo
mtakatifu. (alikuta mwanamke moja wa
musamaria)x2
Tenor: Tusidumu tena
katika zambi neema, 3. Bwana YEsu akamwomba
neema yake uzidi nasi maji nipe maji nipe maji yako
lazima, tutembee kwa ya kisima we mwanamuke
jua ( nami nirakupa maji yangu
ya uzima)x2
La Babana la Mwana na la
Roho mtakatifu amen. 4. Walingoza malaika pale:
walingoja malaika pale wale
2. Bwana Yesu alisulubiwa wagonjwa (ili waingiye
sababu mwili wa zambi kisimani akawaponye).
uharibiwe na tena,

Tusitumikiye tena zambi


sababu alishinda kifo mpaka
heri.
93

3. Nawe uliye kuwa mulevi


Bwana Yesu leo anakupenda
sikia sauti yake…….
4. We uliyekuwa musharati

Bwana Yesu leo anakupenda


sikia sauti……

CHANTS
DIVERS KWELI NITASIMAMA
R/Ni Kweli Kweli nitasi
BWANA YESU ANAKUITA WEWE nimwendee Baba anisamehe x2
1. Bwana Yesu anakuita wewe 1. Ona huzuni yangu, ona
anataka umutumikie mateso yangu
Sikia sauti yake umutumikie usamehezambi zangu,
anakupenda x2 unihurumiye bwana.

R/ Baba uache yote baba yooo 2. Bwana nakuja kwako, bwana


nakulilia unisikilize wewe
Baba kuja kwa Yesu nguzo ya maisha yangu.
akupenda
3. Bwana ninainua nafsi yangu
Mama uache yote mama yote, naweka kwako ee
yooo Bwana tumaini langu lote.

Mama kuja kwa Yesu 4. Nitatangaza Bwana uaminifu


akupenda wako, wema na ukweli wako
vikanilinde daima.
Kaka uache yote kaka yooo
NAPESI MOLIMO NANGAE NA
Kaka kuja kwa Yesu NKOLO
akupenda
1. Napesi molimo na ngai na
Dada uache yote dada yooo nkolo, mayele nangai na
nkolo, bomoyi nyonso na
Dada kuja kwa Yesu
nkolo
akupenda
2. Naluki mayele ya mokili te,
2. Wewe uliyekuwa mulevi
mayele ya bozui mpe te,
Bwana Yesu leo anakupenda mayele ya nkolo.
sikia sauti………
94

3. Nkolo nasengi yo belela ngai, Israeli ni iseme sasa ya


lakisa ngai kotambola kati ya kwamba fazili zake ni za milele.
mpela mwinda mwayo.
1. Milango ya Aroni na iseme
sasa ya kwamba fazili zake ni
za milele.
2. Wa mchao Bwana na wa
seme sasa ya kwamba fazili
zake niza milele.
ENYI WATU WA GALILEA

1. Enyi watu wa galilea


mwatazama nini juu, Ginsi
mulimwona Yesu kwenda
vivyo hivyo atarudi.
BWANA NI MWANGA WANGU
R/ YEsu amepanda juu
R/ Bwana ni mwanga wangu na kwa Babae kututayarishia
wokovu wangu nimwogope fasi aleluya.
nani, nimwogope nani.
2. Sitawacha hata kidogo
1. Bwana ni ukingo wa roho mpaka mwisho wa dunia
yangu ni mtetemekeye nani aleluya
.
3. Roho atafika kuleta nguvu ya
2. Ee bwana usikie sauti yangu kufundisha neno aleluya.
inayo kulilia, unihurumiye
unisikilize MUWE NA MOYO MITUME

3. Uso wangu unakutafuta, R/ Muwe na moyo mitume


ninautafuta uso wako ee wangu, ni nyinyi mutashinda
bwana. dunia (mitume)

UMSIFU BWANA YERUSALEMU 1. Mimi sikuja kupendana


duniani, juweni nyinyi pia
R/ UMsifu Bwana ee Yerusalem mutachukiwa (mitume)
msifu bwana, sifu Mungu wako
ee sayuni. 2. Vumilieni masumbuko yote
ndio taji lenu nyinyi
Mshukuruni Bwana kwa kuwa mwapewa (mitume)
ni mwema aleluya shukuruni
Bwana aleluya shukuruni 3. Vumilieni sababu mwanifuata
Bwana muwe na moyo nyinyi
mutaishinda (mitume)
Kwa maana fazili zake aleluya
ni za milele ni za milele. KRISTU NI MFALME KWELI
95

1. Kwa michezo yetu na nyimbo AMANI KWENU


nzuri tumsifu mwokozi wetu
x2 1. Amani kwenu vile baba alivyo
nituma, na mimi sasa
R/ Kristu ni mfalme kweli, nawatuma nendeni
Kristu ni mufalme wa mkafundishe.
dunia x2
R/Pokea Roho wa Bwana
2. Wakubwa wadogo wote Aleluya, aleluya pokeeni
pamoja tumsifu mwokozi Roho mtakatifu x2
wetu x2
2. Alipo kwisha kusema hayo
SIKU YA INNE TAKATIFU akawapulizia, akasema
pokeeni Roho mtakatifu.
R/Nawapa amri mpya asema
bwana Yesu, mpendane vile 3. Wale mtakao ondolea ambi
kama nilivyo wapenda ninyi zitaondolewa, wale mtakao
wandugu x2 fungia zambi zitafungwa
kwao.
1. Siku ya ina takatifu bwana
YEsu alitupa mfano wake YESU KRISTU NI MFALME

2. Yeye aliye Mungu wetu R/ Yesu kristu ni mfalme, ni


kasukuwa miguu ya mitume mfalme wa wafalwe ni bwana
wake wa mabwana utawala wake si
wa dunia hii bali utawala wake
3. Siku ya Inne taka tifu ni wambinguni.
aliwagawiya mwili wake wale
1. Utawala wake Kristu
4. Siku ya Inne takatifu ungekuwa ni wa Dunia hii
aliwagawiya damu yake kweli hakika angekuwa na
wanywe. jeshi lake lakumlinda
TUPENDANE WOTE KWA IMANI 2. Utawala wake Kristu
1. Tupendane wote kwa imani ungekuwa ni wa dunia hii
vile baba Mungu alisema kweli hakika angekuwa na
tupendane serekali ya kuiongoza

R/ Mapendo tunda la Roho 3. Utawala wake Kristu


(la Roho) tuwe na imani ungekuwa ni wa dunia hii
kweli kamwe asingekufa kwa
2. Ukisema unapenda Mungu na ajili yetu sisi wanaadamu.
unachukia ndugu yako ni
uongo J’AI VU L’EAU VIVE

3. Kanisa letu la hapa Gikondo 1. J’ai vu l’Eau vive jaillissant du


tupendane vile Bwana Yesu cœur du Christ alleluia aa
alitupenda. tous ceux que lave cette eau
sront sauves ils chanteront.
96

R/Alleluia: alleluia 4ème Voix : Maseso yakawapo,


alleuia, alleluia alleluia zambi zikatawala.
2. J’ai vue la Source devenirt un 2ème Voix : Mungu Kwa Kutupenda
fleuve imense alleluia aa les sana akachaguwa taifa lake
Fils des Dieu rassembles
chantaient leur joie d’etre 1ère Voix : Abraham, Isaka, Yakobo
sauv es. na Musa waliliongoza

3. J’ai vu le Temple desormais 3ème Voix : Mungu kwa wema wake


s’ouvrir à tous alleluia le kawapa warisi inchi ya kanani
Christ revient victorieux
1ère Voix : Israeli hakuona hayuo
montrait la plaie de son cote yote, akaabudu miungu
4. J’ai vu le Verbe nous donne la mbalimbali, Mungu kaarifu watu
paix de Dieu alleluia, tous wake, akatuma manabii wahubiri
ceux qui croient en son nom 4ème Voix : Hawakuwasikia, ubaya
seront sauves ils chanteront
ukazidi
2ème Voix : Mungu kwa mapendo
HADISI YA WOKOVU yake kamtuma Yesu ili tuokoke

1ère Voix: Zamani Mungu alikusudia 1ère Voix : Na watuy wakamtundika


kuviumba mbinguni na Dunia, nuri msalabani mpaka akafariki
na giza ndipo vikawapo, jua 3ème Voix : Lakini hakubaki kaburini
mwezi nao nyota kaumbwa.
akafufuka
4ème Voix: Milima na mabonde, 1ère Voix : Yesu kawatuma mitume
maji na inchi kavu wake wapeleke habari njema
2ème Voix : Mimea yote ya porini na popote akapanda mbinguni kwa
wanyama wote waliomo. Baba yake atarudi kuokowa watu
wake
1ère Voix : Samaki majini na ndege
anagani vyote vikawapo. 4ème Voix : Akamtuma Roho nasi
tukaangazwe.
3ème : Mwisho akawaumba adamu
na eva wazazi wetu 2ème Voix : Nasi twakusanyika
katika Eklezia moja ya mitume
R/ Kwa ajili ya hayo yote
twimmbe wote na shangwe 1ère Voix : Eklezia yasema umpende
tuseme pamoja Mungu asifiwe jirani kama vile Yesu

1ère Voix : Mungu akawapa Adamu 3ème Voix : Tumani kwamba


na Ev a busatani nzuri yenyi raha tutakuwa naye kujle mbioinguni
kubwa, Shetani akamushawishi B/ Aliye tuumba aaa
Eva,Nao wakakosea Mungu wao
Kamtuma mwanae eee
97

Kafa msalabani BWANA KAMA WEWE


Tukafufuke naye R/ Bwana kama wewe
ungehesabu maovu yangu
Tuseme pamoja : Mungu asifiwe [nani angesimama x3 mbele
BWANA YESU ANAKUITA WEWE yako] x2

1. Bwana Yesu anakuita wewe 1. Lakini kwako tuna


anataka umutumikie musamaha, ili wewe
uogopwe nimemungoja
Sikia sauti yake umutumikie bwana roho yangu na neno
anakupenda x2 hilo nimelitumaini.

R/ Baba uache yote baba yooo 2. Nafsi yangu inamungoja


Bwana kuliko walinzi, walinzi
Baba kuja kwa Yesu waingojavyovyo asubui nam
akupenda walinzi wangojavyo asubui
Mama uache yote mama 3. Ee Bwana toka vilindini
yooo nimekulilia bwana sauti
yangu usikiemasikio yako
Mama kuja kwa Yesu yasikiye duha yangu.
akupenda
EWE SIMONI PETRO
Kaka uache yote kaka yooo
1. Ewe simoni petro mwana wa
Kaka kuja kwa Yesu Yona juu yako nitajenga
akupenda Eklezia yangu
Dada uache yote dada yooo R/ Uzichunge kondoo zangu x3
Dada kuja kwa Yesu na nitakuwa nawe x2
akupenda 2. Ewe Simoni Petro mwana wa
2. Wewe uliyekuwa mulevi Yoza nimejuwa kweli
wanipenda
Bwana Yesu leo anakupenda
sikia sauti……… 3. Nimekupatiya funguo za
ufalme na mbinguni vile vile
na duniani

3. Nawe uliye kuwa mulevi 4. Kile utakacho kifunga hapa


chini na mbinguni vilele
Bwana Yesu leo anakupenda kitafungwa
sikia sauti yake…….
5. Nanyi vile vile maaskofu wa
4. We uliyekuwa musharati Eklezia Bwana Yesu
Bwana Yesu leo anakupenda amewaambia leo
sikia sauti…….
98

6. Nanyi vile vile mapadri wa 3. Ikiwa


munahubiri vema,
Eklezia Bwana Yesu ………………
amewaambia leo
7. Nanyi vile vile viongozi wa
Eklezia Bwana Yeu 4. Ikiwa
munagawanya mali,
amewaambia leo ……………
5. Hata mukisema lugha zote,
……..….
EWE MUNGU WANGU
MUNGU WANGU MBONA
R/ Ewe Mungu wangu x2 UNANIACHA
ninakutafuta uniokowe Roho
yangu inaona kiu kwako, ndiwe R/ Mungu wangu mbona
bwana wangu na mungu unaniacha (mimi), katika tabu
wangu, kweli njoo x2 zote hizi maisha yangu niya
mashaka (kwani) sina Roho
1. Roho yangu Bwana nimekosa amani
inakutamani, uje mbio bwana matatizomengi yananisonga
uniokowe, Roho yangu (sana) nakuomba Bwana
inaona kiu kwako ndiwe (u)nisaidiye maadui zangu
bwana wangu na mungu wananiwinda (kutwa)
wangu kweli njoo. wamenitega ili wanilkamate,
nimelala macho wazi mimi
2. Mwili wangu Bwana (kama ndege) kama ndege
unakutamani sana, kama mkingwa ju ya anga nimekuwa
inchi kavu isiyo na maji, roho lwama kundi mimi (fanya hima)
yangu inaona kiu kwako , fanya hima Bwana uniokowe.
ndiwe bwana wangu na
mungu wangu kweli njoo. 1. Nimekuwa kama kichekesho
kwa watu jamani ii mimi
BWANA YESU AMETUAMURU bwana kila nipitapo hunisema
1. Bwana Yesu ametuamuru na kunicheka wamenizushia
tuheshimiye mapendo maneno ya uwongo jamani,
mimi ee Bwana mimi
R/Mapendo ya kweli nimekuwa kijalala la kila
hayaoni wivu, mapendo baya
kamili yanavumili,
2. Maadui zangu kutwa
(mapendo makubwa wanisimanga jamani ii mimi
hayahesabu mabaya) x2 bwana wanatiya kiwani sonya
ae na kunitusi, jina langu
limekuwa gumuzo lao jamanii
2. Ikiwa munajitowa mufe, bila mimi ee BWana sasa ndilo
mapendi ni bure walitumialo kwa kulniya
99

SIKU NITA MUONA MUNGU


(NShombo Marius)
R/ Siku Nyota ya asubui
itangaa, siku nitajazwa na sifa
yake bwana, siku machozi
yangu yatakauka, Siku hiyo
nitamwona Mungu wangu x2

1. Yesu Kristu uliye shinda kifo,


moyo wangu unamtafuta
Mungu mzima, siku hiyo
nitaona sura yake
2. Yesu kristu, uliye shinda kifo,
ni wewe furaha ya maisha
yangu, katika njia ya mbingu
nipeleke

3. Yesu Kristu uliye shinda kifo,


siku Baba ataniita juu
mbinguni kicheko chako ee
kristu kinijie.

EE MUNGU WANGU.
R/EEe Mungu Mungu wangu
moyo wangu usabiti nitaimba
nitaimba zaburi (x2)
Amka ewe kinanda, amka ewe
kinubi, nitaamka alfajiiri
nitamuimbiya Bwana (x2).
1. Ee Mungu nitakushukuru kati
ya watu nitaimba zaburi kati.

2. Kwa maana fazili zako ni za


milele na uaminifu wako
wote juu mawinguni.

Vous aimerez peut-être aussi