Académique Documents
Professionnel Documents
Culture Documents
GLORIA
SIFA KWAKO MWANA
MUKOMBOZI
We nshako yobuzine….
IRENGE KULIWE NAMAHANGA
We muguma na Larha
R/ Irenge x2 kuliwe Namahanga n’omugala……….
ahee
Enkafu n’ebibuzi:
IRENGE KULI WE MUHANYI bikuh’irenge muhanyi
R/ Irenge kuli we muhanyi x2
Orhunyunyi n’ensimba:
Irenge kuliwe mwami wirhu x2.
biyimbirenge byawe ee
1. We bulangalire bwirhu: Aleluya amen.
Ojirenge muhanyi\
SIFA KWA MUNGU SIFA
We bulangashane bwirhu:…
R/Sifa kwa Mungu, sifa kwa
We buzigire bwirhu:…. Mungu sifa x2 Sifa kwa Mungu
We Krietu mwami wirhu:… juu mbinguni; amani duniani,
amani dunia kwa watu anao
wapenda.
18
HAKUNA KITU
BWANA NDIYE MCHUNGAJI
R/Hakuna kitu kinaweza WANGU
kututenda na mapendo ya Yesu
x2 R/ Bwana ndiye mchungaji
wangu sikosewi na kitu
- Wala Mateso hayawezi
kututenga mbali na Mungu 1. Anipumzisha kwenyi malisho
mabichi, anipeleka kwenyi
- Wala tabu: haiwezi maji matulivu.
kututenga mbali na Mungu
2. Anionza njiani iliyo sawa kwa
- Kufukuzwa……………………… ajili ya jina lake takatifu.
………………
3. Na nikipita katika bonde la
- Wala giza bwana sitaogopa kitu
njaa……………………………… uko nami.
………
4. Gongo lake na bakora yako
- Kuchukiwa……………………… ee Bwana, ndizo zanituliza
…………….. moyo, moyo wangu.
- Wala utupu 5. Watandika meza mbele
hauwezi…………………….. yangu ee Bwana, machoni ya
- Wala adui zangu, zangu zote.
upanga…………………………… 6. Umenipaka kichwa mafuta ee
…… Bwana, kikombe changu
chafurika, chafurika.
- Wala hatari
haiwezi……………………….
- Wala upanga
hauwezi……………………
- Umaskini…………………………
……………..
R/ [Aleluya x8 Mungu
wetu]x2
2. Enyi viumbe vyake, kamsifuni
mwenyezi, mwimbieni Mungu
wimbo mzuri wa aleluya
ACCLAMATI
ON
ALELUYA MSIFUNI BWANA
ALLELUIA AMEN
R/ Alleluia (x8)
ALELUYE MTU AKINIPENDA
Alleluia (x2)
R/Aleluya(5) amen
1. Seigneur ta parole est
chemin vers le Ciel 1. Aleluya Mtu akinipenda
2. Seigneur, ta parole est la joie atashika neno langu naye
de nos cœurs babangu atamupenda , nasi
3. Seigneur ta parole est tutakuja kwake asema
lumière en nos yeux bwana.
2. Aleluya mimi nipo njia ukweli
piya uzima, mtu hawezi
R2 Tu as les paroles de la vie
éternelle.
30
3. Yarabyawe ntiyaremwe
asangiye kamere na se, niwe
byose bikesha kubaho,
icyatumye amanuka mu ijuru
ni twebwe abantu no
kugirango dukire.
INTENTIO
NS
• Bwana sikiliza sauti ya wanao
Bwana bwana bwana bwana
• E e Bwana utisikie, sikia
maombi yetu, ee bwana
utusikie ee bwana.
• Tuna kuomba uyasikie
maombi yetu yote tunayo
towa ndiwe wa huruma na
waupendo uwahurumie.
• Bwana sikia sauti zetu twa
kulilia, bwana silia sauti yetu
pokea maombi yetu
• Ee bwana unisikilize
natumainia tu kwako mungu
wangu na tegemeo langu
kamili.
• Nzambe tata yoka losambo
nanga nabeleli yo. Nabeleliyo
tata nabeleli yo.
Ewe larha orhuyunve rwe
bana bawe rwakuyakuza
n’obukenge oyunvirize
misengero yirhu.
Simba nga na maboko nayo
oo nkolo masiya.
Seigneur ecoute nos prieres,
nous sommes loins de toi
38
5. Banyango bapesi yo ee
yambae (x2).
NAYE NA MABONZA
EE MIMI NAKUJA
R/ EE Mimi nakuza ee mimi,
kutolea ee mimi sadaka yangua
upokee. EMBERE ZA MUNGU
1. Mkate na Divai nakuja 1. E mbere za Mungu
kutolea narhuzir’ebyanibyoshi
2. Nakuja kwako Yesu nakuja nakalamo emwa larha
kutolea. namahanga x2
NGASI MUGUMA
R/ Ngasi muguma achihume ko
we ahan’entulo, Abe mugele
abe mukenyi ahan’entulo
Achihomaganye we aha, NKOLA NARHULA
achimaramase we aha, [Arhule
arhule n’omwishingo oh] x2 R/ Nkola narhula:
Ohane n’obulonza ecigabi
c’ebirugu byawe
1. Oyigule omurhima gwawe:
ochihume kwo we aja Onamanye oku irenge buira
N’enkengero zawe obundi neshubira
zoshi………………………… Oleke mpane:
Orhayinganangwa omurhule Oleke mpane oku omurhima
untulo gwani gudesire
Larha, larha we oziyankirire Arhele mango nafa ekuzimu
omu mwawe. nabiheka.
42
3. Nararwaye irantabara:
……………...
BABA MUNGU POKEA Ngo ncumure irantabara:
BabaMungu we pokea x4 …………...
Baba wa huruma x4
Baba angaliya wana wako 4. Yarampaye ijambo ryayo:
wachanga ee x2 …………
Irampa ubuzima bwayo:
Wanakutolea x2 …………...
2. Yarampaye abavyeyi:
ndabishima BWANA MUNGU MALI YOTE NI
Yarampaye abagenzi: YAKO.
………….......
45
3. Pokea sadaka:……....
Na maombi yetu:….. UTUKUZWE EE BABA
Na Eklezi yetu:……. 1. Utukuzwe ewe baba Mungu
Na Parokia yetu:….. utukuzwe aleluya
Kwani Yesu mufufuka
4. Pokea sadaka:……. ametualika:…………..
48
SANCTUS
NZAMBE AZALI MOSANTU
R1/ Nzambe azali mosantu nzambe azali
mosantu, solo nzambe azali mosantu.
1. Likolo na nse ee bitondi na nkembo
naye, R2
2. Asanzolama mpe oyo akiti na
nkombo ya yawe, R2
R2/ (Hozana) Hozana, Hozana, Hozana oh
likolo x2
MWIMANA
R/ Mwimana nyakasane larha wirhu
1. Empingu, empingu n’igulu n’igulu
biyujwire irenge lyage.
2. Aganze, aganze oyishire, oyishire
okw’izino lya larha wirhu.
MTAKATIFU
51
PATER
TUMWIMBIYE BABA YETU
R/Tumwimbiye Baba yetu, Baba
yetu ee wa mbinguni jina lako
ee, ltukuzwe ee yo baba yoyo.
1. Jina lako litukuzwe ufalme
wako uje kwetu mapenzi
yako yafanyiwe duniani kama
vile mbinguni.
3. Usituace kushindwa
vishawishini utuopowe
maovuni milele na milele
amina
MITUME WALIULIZA YESU
4. Orhana rhulekaga
rwhahirim’omu mabi ci
orhulikize omu kubi amen
(larha)
NZAMBE WANGA
MKARIBIE MEZANI.
R/ Nzambe wangaa, nakelami
nayo nzambee, na bobeto R/Mkaribie mezani mkaribie,
bwayo nzambee, nzambe kula mwili wake Yesu na damu
wangaa (x2). yake mkaribie.
CHAKULA KITAMUEE
COMME LANGUIT UNE BICHE
Utangulizi: Chakula kitamuee
x4 R/Comme languit une biche,
après l’eau vive ainsi mon ame
R/ Aksanti kwa Mungu mfalme te cherche mon Dieu, mon ame
aniita mezani pa takatifu neno a soif de toi.
lililokuwa kwani kristu ni jmbo
kubwa. 1. Mon ame a soif du Dieu
vivant, quand irai-je te voir
1. Mkate tunakula twapewa seigneur te contempler.
hatuuzee 2. A chaqu’instant je cris vers
2. Divai tuna kunywa twapewa toi et mon ame gemit pour
hatuuzee toit le Dieu vivant
3. wa Baba njooni wote 3. je me souviens de ton salut
tumpokee Bwana Yesu x2 et chaqu’aube m’inspire un
4. Wa mama njooni wote… chant d’espoir
5. Wa Kaka njooni wote… 4. Espere en Dieu mon ame et
6. Wa Dada njooni wote… publie les louanges de ton
7. Wa Zee njooni wote… seigneur.
5. M’oubliras-tu seigneur mon
EE BWANA SISTAHILI Dieu, quand j’aurai à paraitre
devant la mort
R/Ee Bwana sistahili sistahili 6. Honneur au Pere, gloire au
Bwana uje moyoni mwangu Fils et louange à l’Esprtit
(lakini) sema neno moja sema d’amour à tout jamais.
neno (mojatu) nami nitajongea
mbele kwa Karamu x2
YESU HAPA ALTARENI
1. Mwili wako chakula bora cha
uzima wa milele R/Yesu hapa altareni nakusifu
2. Damu yake kinywaji bora cha moyoni ninapo kupokea
uzima wa milele najaliwa furaha, Yesu hapa
3. Njooni wote mezani pake ye altareni nakusifu moyoni.
mwenyewe atualika
59
ACTION DE
GRACE
MEMA HAYO YOTE
YE IYE YE
1. Ye iye ye dunia nzima
shukuri bwana wetu wa
mbingu ye iye ye ye x2
R/ Baba we usifiwe, Baba
we utukuzwe
Wa Kaka w
NITAMWIMBIA BWANA Dada………………………
R/ Nitamwimbia bwana Mungu Tumpigiye Bwana
wa huruma …………………...
R/Ee moyo wangu (x3) unamsifu, unamsifu Njoo mataifa wakuone, njoo
Bwana, ee moyo wangu unamsifu Bwana mwokozi njoo.
(x2).
1. Bwana Mungu wa majeshi
1. Roho yangu inafurahiwa na Mungu urudi mbio: njoo mwokozi
wangu, Jina lake takatifu ee moyo njoo.
wangu.
2. Utazame toka mbingu
Amenikumbuka oh mimi mutumishi mzabibu wako:…
wake
3. Mkono wako uwe juu ya watu
Tangu sasa vizazi vyote wataniita wote:…
mwenyi heri ee moyo wangu;
4. Ujulishe jina lako na tutaishi:
Amawasambaza wale wote …….
wanaojivuna katika nyoyo zao ee
moyo wangu. 5. Utangaze uso wako
utuokowe:….
2. Amewashusha wenyi cheo katika viti
vyao amewapandisha wadogo ee NJOO MASIYA
moyo wangu
R/ Njoo njoo njoo njoo njoo,
Amewashibisha wenyi njaa na vitu njoo njoo njoo Masiya
vyema, na wenyi njaa
amewaondosha mikono mitupu ee 1. Tunakungoja siku nyingi
moyo wangu. shuka kwetu usikawiye tena
ufike mbiyo.
3. Amesaidia mtumishi wake Israeli, na
wenyi mali amewaondosha mikono 2. Mungu ametuahidia: shuka
mitupu: ee moyo wangu. kwetu usikawiye tena ufike
mbiyo
4. Bwana wa maajabu: amenitendea
makuu x2. 3. Tunateseka bila wewe:
……………….
Bwana yu ni mwema:………x2
4. Utuleteye mwanga wako:
Bwana wa huruma:………..x2 ……………..
Bwana wa mapendo:………x2 5. Tupogizani siku nyingi:
………………
Mapendo Gani:…………....x2
KESHENI KESHENI
2. Wachunga msiogope,
mwende huko pangoni
Mungu mwana yupo nasi,
wachungaji wa kondoo usiku
walikwenda kumwangaliya SASA LATIMIYA
bwana Yesu
R/ Sasa latimiya: sasa latimiya
3. Tangu maelfu miaka, nabii agano alilosema tangu kale
wali muaguwa, sasa leo sasa la timiya x2
amefika twende wote
kumwabudu, wamajusi toka 1. Usiku kati nasikiya sauti
kule mashariki walifika tamu mbali sana malaika
kumwabudu mwana wa waja wote makiimba sasa la
Mungu. timia
4. Tusikosekumlilia kwani
mama asumbuka na achungu
83
DIMANCHE DES
RAMEAUX
BWANA YESU ALIPO INGIYA
1. Bwana Yesu alipo ingia katika
mji mtakatifu waisraeli
walitangaza ufufuo wa uzima
hozana
3. Siku tatu kisha kufa kwake: Kristu afe, kristu afe damu
……………. yake juu yetu
Nasalome na salome
wakahuzuriya kaburi
SAINT ESPRIT
UJE ROHO MUUMBAJI
R/ Uje Roho muumbaji utazame
nyonyo zetu uzijaze neema
nyingi ulizoziumba nyoyo.
1. Unaitwa mufariji paji la aliye
juu, chemchem ya uzima
moto pendo naza Roho pako
2. Wewe mwenyi paji saba,
chanda cha kuume Mungu,
88
BAPTEME
SISI WOTE TULIBATIZWA PA KISIMA CHA BETESTA.
CHANTS
DIVERS KWELI NITASIMAMA
R/Ni Kweli Kweli nitasi
BWANA YESU ANAKUITA WEWE nimwendee Baba anisamehe x2
1. Bwana Yesu anakuita wewe 1. Ona huzuni yangu, ona
anataka umutumikie mateso yangu
Sikia sauti yake umutumikie usamehezambi zangu,
anakupenda x2 unihurumiye bwana.
EE MUNGU WANGU.
R/EEe Mungu Mungu wangu
moyo wangu usabiti nitaimba
nitaimba zaburi (x2)
Amka ewe kinanda, amka ewe
kinubi, nitaamka alfajiiri
nitamuimbiya Bwana (x2).
1. Ee Mungu nitakushukuru kati
ya watu nitaimba zaburi kati.