Vous êtes sur la page 1sur 16

Elaboré par :

MUTCHAMUBI MUNEMESHWA Antoine


SABITI DESIRE
ABEDI SUMAILI Kisinger

Mars 2021
Page |2

1 . MAAMKIO
Bonjour : jambo: sumbi, moyo
Bien reveillé?: muna lamuka?: mwa
tundumua ? mwabuuka ?
Bonsoir : magaribi njema : iyolwa ileela,
kyolwa kilwela
Comment t’appelles-tu ? quel est ton
nom ou votre nom ? jina lako nani ?
unaitwa nani ? zina dyobi nani ?
Tu es d’où, vous êtes d’où : kwenu ni
wapi, udi wa uni ? wi wauni ?
Où allez-vous ? où vas-tu ? unaenda
wapi ? ukena uni ? wena kuni ?
Qu’est ce que tu as mangé ? ulikula
nini ? ubudya ayi ? afadya kayi ?
Comment s’appelle votre : père, mère ?
baba (mama) yako anaitwa nani ? shobi
(nadjobi) inani ?
Page |3

2 . LES PARTIES DU CORPS HUMAIN

VIUNGO VYA MWILI WA MTU

BYETA (BIMANO) BYA MUBIDI WA


MUNDU
 Les cheveux : nyele: fui (fuki)
 Le front : uso : mbala
 Les sourcilles : makiki : mafifino
 Les cils : makopi : ndavi, madidi
 L’œil (les yeux) : jicho, macho : iiso,
mesu
 Le nez : puwa, muhembi, mwembe
 Les lèvres : midomo : minomu
 La bouche : kinywa : kuanywa,
kukanywa
 La dent (les dents) : jino, meno : yiino,
meno
 La langue : ulimi : ludimi
 Le menton : kidevu : asaya, kasaya
 La barbe : ndevu : idjeva, kidjava
 La nuque : kichoko : ngomu
Page |4

 Les oreilles (l’oreille) : masikio, sikio :


moochu, makushu
 Les joues (la joue) : machafu, shavu :
matama (tama)
 La tête : kichwa : muchu, mushu :
 Le cou :shingo : singu
 La gorge : mulibu : la’a, laka
 Les épaules : mabega : mahembi
 Les bras : mikono : mabo’o, maboko
 La main : kitanga : iazaaza, kiazaaza
 Les doigts : vidole : minyu
 Les ongles : makucha : zala
 La poitrine : kifua : hanga
 Les seins : maziba : mabeedi, mabeele
 Le ventre : tumbu : ifu
 Le cordon ombilical :kitofu : musuu,
musuku
 Le dos :mugongo : muongo, moongo
 La hanche : kuino: kiyozu, iyozu, lutino
 Les fesses : matako : buanino,
bwikanino
Page |5

 La jambe : mguu : uhulu, kidimba


 La cuisse : paja : luundu, lukundu
 Le génou : goti : ngongonyu, inyu
 Le mollet : mukombokolo : moozu,
mukozo
 Le pied : kikanyakio : kyayi
 Les orteils : vidole vya mguu : mana
 Le talon : kisingino : atindi, katindi
Page |6

3 . HYMNE NATIONALE: DEBOUT


CONGOLAIS
Débout congolais, Unis par le sort,
Unis dans l’effort pour l’indépendance.
Dressons nos fronts, Longtemps courbés,
Et pour de bon prenons le plus bel élan dans la paix
O peuple ardent, Par le labeur,
Nous bâtirons un pays plus beau qu’avant
Dans la paix ! Citoyens Entonnez
L’hymne sacré de notre solidarité
Fièrement Saluez
L’emblème d’or de notre souveraineté … Congo
Don bénit… Congo Des aïeux… Congo
O Pays… Congo Bien Aimé… Congo
Nous peuplerons ton sol et nous assurerons ta
grandeur
Trente juin, O doux soleil Trente juins du trente juins
Jour sacré soit le témoin
Jour sacré de l’immortel
Serment de liberté
Que nous léguons à notre postérité
Pour toujours…
Page |7

4 . WIMBO WA TAIFA : WIMA WA


KONGOMANI
Simameni wa kongomani tuungane kwa tabu,

Tuungane kwa juhudi ya uhuru wetu

Tunyanyuwe nyuso zetu zilizo inamishwa kwa muda

mrefu na kwa uzuri tuchugue mwendo muzuri katika

amani.

Inyi taifa hodari, kwa kutumika tutajenga inchi nzuri

kuliko mbele katika amani

Mwanainchi, imbeni wimbo wetu huu mzuri katika

umoja, kwa furaha pigeni saluti kwa bandera la

ushindi wetu wa kongo

Zawadi tukufu ni kongo, ya babu zetu kongo, ya

inchi Yetu kongo, Niipendayo kongo.

Tutaijaza arzi yako na kuchunga mipaka yako tarehe

makumi tatu juni chini ya juwa tulivu, kwa tarehe

hiyo hiyo ndiyo siku iliyo tolewa kuwa shuhuda ya

damu ya wakongomani kwa heshima ya uhuru wetu


Page |8

Ambao tunatowa kwetu na kwa uzao wetu siku zote

Mtungaji :

5 . LUSIMU LWA ISI


Mushu teba ba kongomakini, mutalui Bakongomani
tulungaane kwa usuba, tulungaane kwa mutaata wa
buhulu bwetu
Tubanduludi mbala Yetu yibwenengi inyinami masu
afuyu (mabule) na kwa buya tuwati lweendu lu leela
kwa taladidjo.
Banyu isi kiina lengu kwa uvuba twa longanga isi
ileela (lwela) kuuta (kukila) mabusu mu taladidju.
Mwana wa isi yimba lusimu lwetu lulu luleela kwa
hamonga kwa lengu tuti lusaku ukalembi kwa kuuta
kwetu kwa kongo.
Muhombu uleela ikongo, wabashetu ikongo, wa isi
kyetu ikongo, kya ndiindja (kyangivula) ikongo
Twa yuudja mavu obi na kulola mihandu yobi
Lusu lwa mwangu makumi masatu mwangu wa
mutuba hasi ayuba ditaladi kwa lusu lwangalolwa
ilusu lwa tubuhimiibwa kwa muloha wa
Bakongomani
Kwa heshima ya buhulu bwetu bwa twa hana
kwatudi na kwabana betu masu hosi (moso).
Page |9

6 . A MA MERE
Femme noire Femme africaine, ô toi ma mère je
pense à toi.
O Daman ô ma mère, toi qui me portas sur le
dos, toi qui m’allaitas, toi qui gouvernas mes premiers
pas, toi qui la première m’ouvrit les yeux aux
prodigues de la terre, je pense à toi.
Femme des champs, femme des rivières, femme
du grand fleuve. O toi ma mère je pense à toi, ô toi
Daman ô ma mère, toi qui essuyais mes larmes, toi
qui me réjouissais le cœur, toi qui patiemment
supportais mes caprices, comme j’aimerai encore être
près de toi, être enfant près de toi.
Femme simple, femme de la résignation, ô toi
mère je pense à toi. O Daman, Daman de la grande
famille de forgeron, ma pensée toujours se tourne
vers toi. La tienne à chaque pas m’accompagne, ô
Daman, ma mère comme j’aimerai encore être dans
ta chaleur, être enfant près de toi.
Femme noire, femme africaine, ô toi ma mère,
merci pour tout ce qui tu fis pour moi ton fils, si loin
si près de toi.

CAMARA LAYE Enfant noire


P a g e | 10

7 . KWA MAMANGU
Mke mweusi mke mu afrika, ewe mamangu
ninaku fikiria, ewemke, ewe mamangu, wewe ulie
nibeba mgongoni, wewe ulie ninyonyesha, ni wewe
ulie ongoza hatuwa zangu za kwanza, ni wewe wa
kwanza ulie nifanya kuona vya ulimwangu, nina
kufikiria wewe.
Mwanamke wa mashamba, mwanamke wa
mitoni, mke wa mito mikubwa (bahari), kwako wewe
mamangu, naku fikiria, ewe mke ewe mamangu, ni
wewe ulie panguza machozi yangu, ni wewe ulie
furaisha moyo wangu. Wewe ulie vumulia vitendo
vyangu vibaya, kama ninavyo pendelea tena kuwa
karibu yako, kuwa mtoto karibu nawe.
Mke mtulivu, mke mkarimu, ewe mamangu
nimeku fikiria, ewe mke, mke wa jamaa kubwa la
mafunzo, mafikara yangu kila siku ina rejea kwako,
yako lakini kwa kila hatuwa ina ni sindikiza.
Ewe mke, ewe mamangu, kama ninavyo
pendelea tena kuwa katika joto lako, kuwa mtoto
kwako ; mke mweusi mke waki afrika, ewe mamangu,
aksanti kwa yote ulio nitendea mimi mwanako kwa
mbali ama kwa karibu nawe.
P a g e | 11

8 . KWA NADJAMI
Wamwaazi mufuvula, wamwaazi wa afrika
Bebi nadjami niku edjela
Bebi wamwazi, bebi nadjami
Bebi ubu nitchwala hamuongo, bebi ubu ni
nyamwisha.
Ibebi ubu ni ludika kutandiila kwami kubidi,
ibebi mubidi ubuta ti namoni bya ibalu, niku hedja
bebi,
Mwazi wa ibebi (makunda), mwazi wa zuyi,
wamwazi wa zuyi yataadi (yikata).
Kwobe bebe nadjami, nidimuku hedja, bebi wa
mwaazi, bebi nadjami. Ibebi ubu ni kukula
(kukundula) masheedju mami, ibebi ubuta ti tima
dyami dya seeledi, ibebi ubu ni vumidia bitebwa
byami bibi, byandiki hindja luya (byangivula dingi)
kuana nena nobi, kuana mwana hangondu yobi.
Wamwazi mutadididji (mulembeledje), wamwazi
wa lusa, bebi nadjami niku hedja, bebi wa mwaazi,
wamwaazi wa ilongo kiata kyoyiha miedjo yami kila
lusu ya alua kwobi.
Yobi miedjo yini sindiila ku usumuka kwami, bebi
wa mwaazi bebi nadjami, be byandiindja luya kuana
mu kivuvu kyobi kuana mwana kwobi.
P a g e | 12

Wamwaazi mufuvula, wamwaazi wa afrika, bebe


nadjami afaaku kwa byosi byalubu ni tela mimi
mwanobi kwaula au nena nobi

9 . LE LABOUREUR ET SES ENFANTS


Travaillez, prenez de la peine, c’est le fond qui

manque le moins.

Un riche laboureur sentant sa mort prochaine,

fit venir ses enfants leur parla sans témoins « gardez-

vous leurs dit-il, de vendre l’héritage que nous ont

laissé nos parents : un trésor est caché dedans, je ne

sais pas l’endroit mais un peu de courage vous le fera

trouver vous en viendrez about.

Remuez votre champ, dès qu’on aura fait l’oût.

Creusez, fouillez, bêchez ne laissez nulle place

où la main ne passe et repasse ».

Le père mort les fils vous retournent le champ,

deçà delà, partout si bien qu’au bout de l’an il en

rapportera davantage, d’argent, point de caché, mais


P a g e | 13

le père fut sage de leurs montrer avant sa mort que

le travail est un trésor.

10 . MKULIMA NA WANA WAKE


Fanyeni kazi kwa mateso, ni riziki isiyo pata

wengi.

Mtajiri mmoja mkulima katambua kifo chake ni

karibu, akaita watoto wake na kuwa shauri pasipo

mshuhuda mwengine.

Akawaambia, mjichunge kuto kuuzisha uriti

wenu tulio achiwa na wazazi wetu. Akiba moja

imefichwa ndani ya udongo, sijuwe fasi lakini iweni na

bidii mtaiona kama mkijitowa sana.

Limeni shamba lenu, kwa maana kupata ni

kuzito, mtipule, mufyeke, limeni na vipao, msiache

fasi hata moja ambao mikono yenu isipo pita na

kupita tena.

Baba kafa waana waka rudilia shamba, huku

nakule mahali pote hata kufikia mwisho wa mwaka


P a g e | 14

wakapata faida, pesa na vitu vilivyo fichwa vingi.

Ndiyo kweli baba alikuwa na busara kwa kuwa onesha

mbele ya kufa yakuwa kazi ni hakiba.

11 . MUNIMISHI NA BANA BAYI


Muti mwaambu kwa usuba

Himwengi usiimona bafuyu (babule)

Mundu wa bindu yumu, munimishi hibuyua ti

lufu lwayi ndalwi nena (tonono) hadya taana bana

bayi na ubalanga kwa bunga, hadya ba soodila:

Mundu nangu udisha sala dibu tu siila bashetu,

mbiidi (mbikile) yimo ngifiamishibwi munda mwa

mavu, siiyuha buha, lakini musehi kwa mukuuku

mwabimonanga ingá mwaitindimia kabisa, munime

unda dyenu manee upata ngunemanema, mubunde,

muyehi, muyiidi na lwaso, ndamusiha buha nediimu

disibu ila maboko menu na kuila niingi.

Shabu wafa, bana ba aluila unda (musebe).


P a g e | 15

Kuno na kokwa, buha dosi ata ubonga unguma

ya mucha, haba pata kya babu sehanga: mona, nabye

bya fuyu bibu fiamishibwa.

Nguniindu tata ubwenengi nanyinyi kwa uba

monesha mabusu a ufa ti mwaambu ni mbiidi

(mbikile).
P a g e | 16

12 . TABLE DES MATIERES


1 . MAAMKIO ................................................................................. 2
2 . LES PARTIES DU CORPS HUMAIN.............................................. 3
VIUNGO VYA MWILI WA MTU ............................................................ 3
BYETA (BIMANO) BYA MUBIDI WA MUNDU ...................................... 3
3 . HYMNE NATIONALE: DEBOUT CONGOLAIS .............................. 6
4 . WIMBO WA TAIFA : WIMA WA KONGOMANI .......................... 7
5 . LUSIMU LWA ISI ........................................................................ 8
6 . A MA MERE ............................................................................... 9
7 . KWA MAMANGU .................................................................... 10
8 . KWA NADJAMI ........................................................................ 11
9 . LE LABOUREUR ET SES ENFANTS ............................................ 12
10 . MKULIMA NA WANA WAKE................................................ 13
11 . MUNIMISHI NA BANA BAYI ................................................ 14
12 . TABLE DES MATIERES.......................................................... 16

Vous aimerez peut-être aussi