Vous êtes sur la page 1sur 5

ECC/34e CADAF

DEPARTEMENT DE DEVELOPPEMENT
PAROISSE KITUKU
BP 107
KALEMIE
COMPTE RENDU DE LA REUNION
DU COMITE DE DEVELOPPEMENT

MODERATEUR :

DATE :

HEURE :

LIEU :

PERSONNES PRESENTES : Voir la liste de présence

ADOPTION DE L’ORDRE DU JOUR :

1.

2.

3.

DIVERS :

1. Mot du Président

- Débat

- Conclusion

(…)

2. IDEM

SECRETAIRE RAPPORTEUR PRESIDENT DE LA REUNION


ECC/34 e
COMMUNAUTE
DES
ASSEMBLEES
DE DIEU EN
AFRIQUE
LISTE DE PRESENCE DE LA REUNION
DU _____/______/2018

N° NOM ET POST-NOM FONCTION ADRESSE PHYSIQUE TELEPHONE SIGNATURE


01
02
03
04
05
06
07
08
09
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
26
27
28
29
30

SECRETAIRE RAPPORTEUR PRESIDENT DE LA REUNION


ECC/34 e COMMUNAUTE DES ASSEMBLEES DE DIEU EN AFRIQUE
DEPARTEMENT DE DEVELOPPEMENT
PAROISSE KITUKU
BP 107
KALEMIE
COMPTE RENDU YA KIKAO SIKU YA SITA 07/04/2018

Modérateur : Président KAKOZI OMARI


Point à l’Ordre du jour : 1. Kuomba statut ya 34e CADAF
2. Kazi ya Kamati ya Maendeleo
3. Gestion ya Wakristo
4. Remise et reprise
5. Miradi ya Kanisa
6. Stratégie de recouvrement
7. Siku ya Vikao

1. KUOMBA STATUT YA 34e CADAF

Kila shirika ina sheria zake. Sisi kama Idara (Département) ya Maendeleo
itatubidi kulomba Statut Kanisa ili tujuwe jinsi gani tunaweza kutumika bila kuenda kando ya
sheria ya Kanisa .
Jambo hili limekubaliwa na wanamemba wote walioshiriki kikao na ndugu
mweneyekiti amepewa jukumu ya kuonana na uongozi wa kanisa ili aombe Statut na kuona
Mwenenyekiti atasafiri basi mwenyekiti makamo atashugulikia jambo ili.
2. KAZI YA KAMATI YA MAENDELEO

Nani anausika na nini, kati ya MAendeleo na Kanisa?


Kanisa inausika na Idara zote (Vijana « DEC », Wamama « W.W.K », Wababa « U.P.C »,
Injili, … na hasa maisha ya kiroho ya waamini.
Idara ya Maendeleo inahusika hasa na mambo inayo husu maendeleo ya vitu,
mfano : Ufugo, uchuuzu, ujenzi, na kadhalika
 Patrimoine ya Kanisa iko chini ya uongozi wa maendeleo ao hapana ? : centre de
Santé, Robinet, contrat de bail des locataires)
Kwa kweli, kuna patrimoine ambazo ziko chini ya uongozi wa Extension kama vile :
Centre de santé, Robinet, contrat de bail. Centre de santé iko katika Idara ya Œuvre
Médicale ; kuhusu jambo la Robinet wazee wazamani waliweza kufungulisha maji ku
jina la Mtu binafsi badala ya kufanya abonnement ku adresse ya Kanisa ao ya
communauté.
 Tutapita njia gani kwa kuchukuwa contrôlr ya vitu ivi ?
Kamati ya Maendeleo ingetoa recommandation ku kanisa ili iweze kufanya
mazungumuzo na uongozi wa Extension ili gestion ya patrimoine iturudiliye sisi
kamati ya mahali tuchukuwe jukumu contrôle ya ivi vitu
- Kulingana na gestion ya contrat de bail, kwa kuwa iko mikononi mwa Extension,
baraza imeona vema kwamba tuanze miradi yetu wenyewe tusiangaliye vitu
vyenyekuwa chini ya uangalizi ya Extension, japokuwa vilipashwa kuwa chini ya
uangalizi wetu.
- Jambo lengine ni kwamba uongozi uliopo kwa sasa ni wa mpito, tusubiri muda
ambao kutakapo teuliwa Révérend Délégué na Stationnaire wa kituku hapo
tunaweza tafuta namna ya kuomba gestion ya patrimoine.

3. GESTION YA WAKRISTO NI WAJIBU WA MAENDELEO AO KANISA ?

Tuko tunapokea waaamani wapya karibia kila wiki, lakini tumefanya constat ni kama
idadi ya watu haiongezeki,
Kuhusu watu kanisani, ni jukumu la kanisa kwa sababu watu wanalelewa na injili, na
injili ni kiroho.
Lakini idara ya maendeleo inaweza kusaidia , kupitiya miradi ya maendeleo
inaweza kuvuta waamini wapya hasa.

4. REMISE ET REPRISE ITAFANYIKA NDIYO AO HAPANA ?

Apana, sababu hakuna kamati ambayo likuwa inafanya kazi kabla ya hii kamati.

5. MIRADI YA KANISA

- Ujenzi (Ukuta, mlango, umeme, WC na douche)


- Baffles
 Ordre prioritaire
- Ujenzi wakanisa mpya
- Ujenzi ya ukuta (urgence)
- Installation yak anisa (urgence)
- Mlango (urgence)

6. STRATEGIE DE RECOUVREMENT DES RECETTES (Mbinu za kukusanya pesa)

 Mchango wa hiari wa kila mwanamemba


Kila mwamemba wa Idara ya maendeleo inatakiwa kuchangiya kiwango cha pesa
kwa hiari yake mwenyewe ila kiwango cha chini kabisa ni 20$ (dolla ishirini).
Pesa izi tuzikufikishi kwa Mtunza hazina kunaza sasa hadi tarehe 05/05/2018.
 Kwa ulinzi bora wa pesa, itafunguliwa compte bancaire

7. SIKU ZA VIKAO (Réunion)

Tutakuwa tunakutana mara mbili kwa kila mwezi, siku ya Mungu ya kati na ya
mwisho wa mwezi.

SECRETAIRE RAPPORTEUR PRESIDENT DE LA REUNION


MUZALIWA KITCHA KAKOZI OMARI ZICO

Vice-secrétaire Président

Vous aimerez peut-être aussi